Posts

Showing posts from October, 2019

FAIDA TANO ZA KUMBUSU MWENZI WAKO

Image
1. Husaidia kuiboresha afya yako Unampombusu mkeo au mmeo kwa moyo wote na hisia zote (hapa tunaongelea deep kiss ‘kula den*a’) unapata faida kubwa kiafya ambao kitaalam tendo hilo huweza kusaidia kukupunguzia maumivu ya kichwa kwa kupumzisha taratibu misuli. Pia kitaalam tendo la busu hukusaidia kuing’arisha ngozi yako kama inavyofanyika kwa mtu anaependa mazoezi. Hivyo basi unapotaka kulala, ni vyema ukambusu kwa hisia mkeo/mmeo upate faida hizi badala ya kumpotezea na kumrukia wakati wa tendo la ndoa. 2. Housemaid katika ufanyaji kazi wa virutibisho mwilinia Inaelezwa kuwa busu husaidia sana mwili kufanya mrejesho ambao unadhibiti ufanyaji kazi wa virutubisho mbalimbali mwilini hivyo inaweza kusaidia katika kuboresha afya yako zaidi. 3. Busu huongeza furaha na kupunguza msongo wa mawazo. Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali zilizofanywa inaelezwa kuwa tendo la busu huongeza kitu kinachojulikana kama ‘endorphins’, na endorphins husababisha mtu afurahi. Kama hivyo ndivyo, kwa nini

HIZI Ndio Sehemu 10 zenye Msisimko Mkali zaidi Kwenye Mwili wa Mwanamke

Image
                                                 Kila mwanaume anapenda kua fundi wa tendo la ndoa akiwa faragha na mke au mchumba wake lakini bahati mbaya sana hakuna kanuni maalumu ya kumsisimua mwanamke kwani kila mwanamke ana eneo lake ambalo likiguswa anakua taabani hivyo ni wajibu wa mwanaume kulitafuta na kuligundua eneo hilo. Mazoea ya kufanya mambo yaleyale kila siku kwa muda mrefu hufanya tendo hilo la ndoa lianze kua baya na huenda ikawa chanzo  cha mtu kuchepuka kutafuta ladha zingine. Kitaalamu katika sayansi ya binadamu kuna maeneo kadhaa ambayo wanawake wote wakiguswa hupata msisimko mkali lakini msisimko hutafautiana kutokana na mwanamke husika kama ifuatavyo. 1. Kichwani;  juu ya kichwa cha binadamu kuna mishipa mingi ya damu na ile ya fahamu hivyo maeneo haya yakishikwa homoni kama oxytocin na serotoinin huachiwa mwilini na kuleta msisimko mkubwa. Jinsi ya kufanya; mshike kwanzia nyuma ya sikio kisha ingiza vidole katikati ya nywele kama unamkuna kichwa

UKWELI Unauma..Hivi Ndio Vitu Kumi Msichana Anavyoangalia Kwa Mvulana Siku ya Kwanza Mnapokutana

Image
Ngoja nikwambie wasichana hukufikiriaje wakikuona siku ya kwanza. 1.Kwanza hutazama tembea yako, kisela au kiheshima ili wajue kama una kazi au la. 2.Kama nguo zako zimefubaa unatembea juani, kama hazijanyooshwa basi hata pasi kwako huna. 3.Kama viatu vina vumbi moja kwa moja gari huna. 4.Kama pesa hutoi kwenye waleti hujazoea kuwa na pesa tena yawezekana hata laki hujawahi kushika. 5.Kama hunukii vizuri basi wanawake huwajui vizuri, na hujui romance, hata hug hujawahi kupewa. 6.Kama hutunzi nywele zako hata zake hutazigharamia. 7.Ukiongea nae muda mrefu na maswali mengi, hata kama hujamtongoza, anajua umempenda. 8. Ukimshika au kumgusa popote kwenye maongezi basi unamtaka kimwili. 9.Kama mkanda wa suruali na viatu havimachi rangi, hujawa na mwanamke kwa muda mrefu. 10. Usipomtazama machoni, yawezekana muongo au hujiamini na unamuogopa.

Kwanini Penzi la Mbali Linanoga Kuliko Penzi la Karibu

Image
Wadau nimeona niwashirikishe hili jambo ili wale wataalam wa malavidav watupe utaalamu wao kwanini Penzi la Mbali huwa linanöga kuliko penzi la karibu nikiwa na maana kwamba; kama una mpenzi wako mnaishi umbali wa kuweza kusitisha shughuli zako japo kwa siku mfano arusha-dar ili muonane, hisia zake ni kubwa na kuheshimiana kunakuwepo sana kuliko yule wa pale mtaani? Wanandoa ambao hawakai pamoja wengi wao wanaheshimiana zaidi kuliko wale wanaoishi pamoja? Mkianzisha mahusiano katika hali yoyote kabla ya kuonana au kufahamiana mnaonyeshana lv sana, ila mkikutana tu hata kama ni sms mlikuwa mnatumiana zinapungua? Ni Theory gani inafaa kutumika hapa?

MPENZI Wangu Analilia Nimnunulie Gari Kukwepa Miluzi Barabarani

Image
Asikuambie mtu presha ya mwanaume yoyote ipo pale anapojua kuna mbaya wake anataka kufaidi ile raha anayoipata yeye naumia kila niwapo faragha na mpenzi wangu nikiwaza vitu hadimu anavyonipa bila hiyana bila uchoyo na mchezo anavyouweza hadi nachanganyikiwa mtoto kweli mashalaaaa akitembea utadhani kadondoka hajazaliwa. Mtoto kaja juu kuwa akitembea mitaani watu wanapiga kelele na miluzi sana kwa wingi kitu kinachomkera sasa kaja juu kua nimnunulie gari maana kazichoka hizi kelele nashindwa nifanyeje kwa kweli, naumia sana na nikiwaza tuu nahisi kuchanganyikiwa mimi. Nifanyeje niudhibiti huu mzigo?

Utafiti Waonyesha Wanaume Wenye Vipara Wana Mvuto zaidi Kimapenzi Zaidi ya Wenye Nywele

Image
Kuna vitu vingi humvutia mtu inapokuja swala la kumchagua mpenzi, siwezi taja sifa zote, kila mtu anasifa zake na vigezo vyake, ila ngoja tuongelee mvuto wa kipekee unaopatikana kwa wanaume wenye vipara. Nikiongelea vipara naongelea wale walio na vipara asili, achilia mbali wale wanaopenda kunyoa vipara japokuwa kuna baadhi ya sifa hapa wanaweza wakawa nazo pia. Muonekano wa kiume: wanaume wenye vipara wengi huwa na muonekana wa kiume zaidi,muonekano nadhifu  sina maana kama wanaume wengine walio na nywele ndefu ama wastani hawana mvuto lah, nauongelea mvuto zaidi ama mvuto wa kipekee. Ujasiri: wanaume wa aina hii wengi huonekana ni wajasiri kwa muonekano wao tu, hii huwafanya kuwa kivutio kwa wanawake. Wana hisia kali za kimapenzi: daktari kutoka Chuo cha Yale Marekani , James B. Hamilton alisema katika utafiti wake wanaume wengi walio na vipara miili yao huwa inazalisha mbegu nyingi za kiume kuliko wanaume wenye nywele, japokuwa si kwa asilimia 100 alisema pia  uchunguzi zaid

Huyu Ndio Jamaa Anayeoa MAPACHA Wawili Wanaofanana...Hulala Nao Kitanda Kimoja na

Image
Mapacha Anna na Lucy Mapacha wanaofahamika kufanana ulimwenguni mzima wamefichua kwamba wanapanga kuolewa kwa mpenzi mmoja aitwaye Ben Bryne  hivi karibuni. Mapacha hao huwa wanakula pamoja,kuoga pamoja na wana mpenzi mmoja. Anna na Lucy DeCinque wenye umri wa mia 33 kutoka Perth nchini Australia walisema wao hulala kwenye kitanda kimoja na mpenzi wao na hata hushiriki tendo la ndoa kwa pamoja ambapo kila mmoja huwa anakuwepo wakati mwenzake akishiriki tendo la ndoa na Ben. Wakizungumza kwenye mahojiano na runinga moja nchini Australia, mapacha hao walisema hawana wivu kati yao na wao kuonyeshwa mapenzi ya dhati na mpenzi wao. Kulingana na mapacha hao ambao wanaishi pamoja na mama yao, walisema wanapanga harusi hivi karibuni licha ya serikali ya Australia kutokubali ndoa za mitala.  "Hakuna wivu kati yetu, mpenzi wetu akimbusu mmoja wetu, atambusu tena mwingine, mpenzi wetu Ben Bryne  hufurahia mtindo wetu wa kimavazi na hutusifia kila mara, tunampenda sana sisi wote

Tabia ya Mwanamke Asiyewajibika Kitandani na Kusababisha Kukimbiwa na Mwanaume

Image
Inasemekana wanawake wengi wenye ndoa wanakuwa na tabia zifuatazo zinazosababisha waume zao kwenda nje ya ndoa na wale wasio na tabia ya nyumba ndogo wanaishia kubakwa na waume zao *Mwanamke asiyemtamkia kabisa mumewe kuwa anajisikia kuwa naye. *Mwanamke ambaye baada ya mechi huwa haonyeshi dalili yoyote kama ameridhika na tendo au hakuridhika *Mwanamke ambaye akiwahi kulala yeye mume akija hataki kuguswa *Mwanamke ambaye mumewe akimgusa anakubali huku analalamika .. kama ulikuwa unataka kwa nini hukuwahi kulala unangoja nilale ndo unakuja kunisumbua.. *Mwanamke huyo hatingishiki kwenye mechi kata kidogo tena amenuna... anangalia kushoto au kulia anangoja goli liingie ... kama golikipa aliyekata tamaa ya kudaka penati...... *Mwanamke haweki kabisa maandalizi kama zana za kufanyia usafi baada ya mechi kama taulo, kitambaa nk Ziko nyingine nyingi ambazo ni kero zinazowafanya wanaume kusononeka....na mara nyingine juamua kuzira na kuwa mwanzo wa mmoja kuhama chumba..... Wanawake

Vitu Nane vya Kipumbavu Ambavyo Wadada Hufanya Kwenye Mapenzi

Image
1. Kuishi na mwanaume ambaye ajakutolea mahari au kukuoa. Hii inachoma lakini ndio ukweli wenyewe. Usiwe mjinga 2. Kukubali kuwa mke wa pili. Samahani sana nitakao gusa imani zao 3. Kuvaa pete ya uchumba ya mwanaume ambaye even hata kwenu apajui. Na pengine hata wazazi wako hawajui 4. Kutumia picha ya boyfriend wako kama profile picture wakati yeye hana hata wazo la kufanya hivyo. 5. Kumpa thamani yako PRIDE (Bikira), mwanaume ambaye ajatoa pesa ya mahari 6. Kupika chakula mara kwa mara na kufua nguo kuonyesha upendo kwa boyfriend wako ambaye sii mume wako. 7. Kutokumuheshimu mzazi wako kwa sababu tu ya mwanaume ambaye wazazi wako hawamjui 8. Kumpa mwanaume sex kirahisi tu kwa sababu amekuambia atakuoa JITAMBUWE!!!

Madhara ya kufanya Mapenzi kinyume na Maumbile

Image
Kama nilivyoelezea kwenye mada zilizopita, mchezo huu unatumika sana katika mapenzi ya sasa, watoto wa mjini wana usemi wao kwa kitu kilichovuma kuwa ‘ndiyo habari ya mjini’. Mchezo huu umekuwa ukipendwa sana na wanaume wengi ambao wengi wao huwa hawatumii kinga na kusababisha wengi kupata magonjwa ya zinaa pamoja na maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU). Lakini mchezo wa kuruka ukuta umekuwa na madhara makubwa sana kwa wanaume wanaoufanya kwa muda mrefu. Tulipoangalia upande wa wanawake, tuliona sehemu kubwa ya wanaopenda mchezo huu ni wanaume ambao wengine wamebatizwa majina ya ‘basha’, wakimaanisha mwanaume mpenda kuruka ukuta bila kuangalia ni wa mwanaume mwenzake au wa mwanamke. Kwa vile nia ya kona hii ni kuelimisha madhara ya mtu kupenda kuruka ukuta ili aache mara moja, tunaendelea kutoa elimu ya bure ili mtu yakimkuta ajue yamempata kwa kiburi chake na kwa kupenda starehe ya kipuuzi. Madhara anayoyapata mwanaume anayependa mchezo huo ni kama ifuatavyo: 1.     Husababisha

Hii Hapa Sababu Kubwa Inayowafanya Wanawake Kupiga Kelele Wakati wa Tendo la Ndoa

Image
Kumekuwa na tabia au hali ya wanawake wengi kupiga kelele au unaweza kusema kutoa sauti wakati wakishiriki tendo la ndoa. Hali hii imeacha maswali kama kutoa huko sauti ni jambo la asili au ni mwanamke mwenyewe anaamua hapa atoe sauti na kwingine asitoe. Mwaka 2011 watafiti wawili mmoja kutoka Chuo Kikuu cha Lancashire na mwingine kutoka Chuo Kikuu cha Leeds wote wa nchini Uingereza walichapisha utafiti wao walioufanya uliokuwa ukihusu utoaji wa sauti wa kati wa kujamiina. Walitaka hasa kujua kwanini wanawake hutoa sauti hizo. Katika utafiti huo, waliwahoji wanawake 71 wenye umri kati ya miaka 18 na 48 ambao hushiriki mapenzi mara kwa mara juu ya utoaji wa sauti wakati wa kujamiiana. Katika utafiti huo ulibaini kuwa wanawake wengi huto sauti hizo lakini sio pale tu wanapokuwa wamefika kileleni. Asilimia 66 walisema kuwa hutoa sauti wakati wa kujamiina ili  kuwasaidia wenza wao kufika kileleni haraka, wakati asilimia 87 walisema kuwa hutoa sauti hizo ili

Unaambiwa Muda wa Kufanya Mapenzi Unatakiwa Uwe Dakika 13 tu...Zaidi Unajiua

Image
Ujumbe huu ni mahususi kwa Wanandoa, utafiti uliofanywa na wataalamu kutoka nchini Marekani na Canada umeeleza kuwa dakika 13 ni sawa kwa tendo hilo - Utafiti huo uliofanywa mwaka 2008 umeeleza kuwa mwanaume anaweza kufanya tendo hilo kwa umakini na usahihi kwa dakika 5 hadi 13 Taarifa hiyo inaeleza kuwa kuzidishwa kwa dakika hizo si kawaida na kunaweza kusababisha kifo kwa Mwanaume au Mwanamke wakati wa tendo - Wataalamu hao wameongeza kuwa vijana wengi wanafariki mapema kwa kutumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume na hamasa ya mapenzi, dawa hizo ni hatari kwa afya

HIZI Ndio Sehemu 10 zenye Msisimko Mkali zaidi Kwenye Mwili wa Mwanamke

Image
                                                 Kila mwanaume anapenda kua fundi wa tendo la ndoa akiwa faragha na mke au mchumba wake lakini bahati mbaya sana hakuna kanuni maalumu ya kumsisimua mwanamke kwani kila mwanamke ana eneo lake ambalo likiguswa anakua taabani hivyo ni wajibu wa mwanaume kulitafuta na kuligundua eneo hilo. Mazoea ya kufanya mambo yaleyale kila siku kwa muda mrefu hufanya tendo hilo la ndoa lianze kua baya na huenda ikawa chanzo  cha mtu kuchepuka kutafuta ladha zingine. Kitaalamu katika sayansi ya binadamu kuna maeneo kadhaa ambayo wanawake wote wakiguswa hupata msisimko mkali lakini msisimko hutafautiana kutokana na mwanamke husika kama ifuatavyo. 1. Kichwani;  juu ya kichwa cha binadamu kuna mishipa mingi ya damu na ile ya fahamu hivyo maeneo haya yakishikwa homoni kama oxytocin na serotoinin huachiwa mwilini na kuleta msisimko mkubwa. Jinsi ya kufanya; mshike kwanzia nyuma ya sikio kisha ingiza vidole katikati ya nywele kama unamkuna kichwa