Posts

Showing posts from May, 2021

Mondi Kibo, Konde Boy Mawenzi

Image
Yes Mondi yupo juu zaidi, lakini chini yake kuna Konde Boy. Baada ya hapo kuna gepu kubwa sana mpaka kuwakuta wengine. Bahati mbaya zaidi hata wasanii wameamua kuwa mashabiki. Yaani kuna Team Mondi na Team Konde ya wasanii wenzao. ADVERTISEMENT Jamaa wapo juu pale. Yes Mondi yupo juu zaidi, lakini chini yake kuna Konde Boy. Baada ya hapo kuna gepu kubwa sana mpaka kuwakuta wengine. Bahati mbaya zaidi hata wasanii wameamua kuwa mashabiki. Yaani kuna Team Mondi na Team Konde ya wasanii wenzao. Mlima Kilimanjaro una vilele viwili, Mawenzi na Kibo. Yes! Ni mfano kwa wasanii hawa waliopo vileleni wakiwatazama wenzao kwa chini mitaa ya Marangu. Ukifuatilia mitikasi zao tu kupitia mitandaoni kama Insta. Utaona masela hawa namna wanavyoonyesha kwa vitendo matumizi ya noti wanazoingiza. Noti, faranga, mkwanja, mapene, mawe, shilingi, paundi, dola unaweza kuita utakavyo. Ndiyo kipimo rahisi zaidi cha mafanikio kwa wasanii na sanaa. Heshima ni moja, utajiri ni jambo lingine tofauti kabi

Nuh Mziwanda aitwa polisi

Image
 Msanii wa muziki nchini Nuh Mziwanda ameitwa na jeshi la polisi katika kituo cha  Oysterbay . Taarifa hiyo ameitoa msanii huo kwenye ukurasa wake wa instagram bila kutoa sababu iliyofanya aitwel Aidha, Nuh ameeleza kuwa anaheshimu wito huo na atafika kituoni hapo. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2RQDNcU via IFTTT

Wadau wa buruduani Twitter waanzisha kampeni ya kutompigia kura Diamond tuzo za BET kisa kujihusisha na siasa

Image
Kutoakana na taarifa ya kuwa msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ameingia katika tuzo za BET katika kipengele cha BEST INTERNATIONAL ACT ambapo anashindana na wasanii wengine kutoka nchini Nigeria kama Burna boy na Wizkid baadhi ya wadau wa burudani kupitia mtandano waTwittwer Tanzania wameanzisha kampeni ya kutompigia kura msanii Diamond kwenye tuzo za BET wakidai kwamba anajihusisha na Siasa za upande mmoja mfano kwenda kupigia kampeni Chama fulani Cha Siasa. Zifuatazo ni baadhi ya post za wadau hao wakimlaumu Diamond kujihusisha na Siasa wakidai eti aliipigia kampeni Chama fulani hivyo wao kwa sababu wanatoka katika vyama vingine hivyo hawatajihusisha na upigaji kura kwa kumpigia Diamond labda apigiwe kura na Chama hicho licha ya kuwa ni Mtazania mwezao bali watampigia msanii kutoka Nigeria Burna boy. Ikumbukwe kuwa baadhi ya wasanii wenzake wameanza kumkingia kifua akiwemo Wakazi Irene Paul, Dora na wengine lakini pia Mange Kimambi naye amekuwa msatari wa mbele kumpigani

Alikiba "Ntaenda Kigoma kumpa support Nandy anajituma sana anahitaji kupewa nguvu"

Image
Baada ya msanii wa Bongo Fleva Nandy kuanzisha taamsha lake la NANDY FESTIVAL na katika tamasha hilo kuna baadhi ya wasanii ambao watakuwepo na miongoni mwao akiwa ni Alikiba, Kupitia ukurasa wake wa Twitter Alikiba ameandika kuwa : “Sanaa yetu ina upungufu wa wasanii wa kike, inabidi waliopo wapewe nguvu ili waweze kufanikiwa zaidi. @officialnandy ni msanii anayejituma na mwenye jitihada. Napenda anachofanya na ndio maana Jumamosi ijayo nitaenda nyumbani Kigoma kumpa support katika #NandyFestival #StrongGirl” from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3vF890p via IFTTT

Fid Q "Kuna Rich Mavoko halafu kuna wengine, navutiwa sana na uimbaji wake"

Image
Rapa kutoka katika kiwanda cha muziki cha Bongo Fleva Farid Kuband alimaarufu Fid Q ameandika kupitia ukurasa wake wa Instagram akionyesha kuvutiwa na uimbaji wa msanii Rich Mavoko, akiambatanisha na ngoma ya Mavoko mpya ya #Mapenzi, Fid Q ameandika kuwa: “Kuna huyu——-> @richmavoko halafu kuna wengine kama watatu au wanne.. ninavutiwa sana na TUNGO zao pamoja na “ufanisi wa mawimbi ya sauti” wanaouweka kwenye uimbaji wao.. ( wengine waliobaki ✋🏾 waniache kwanza 😀 from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3wIi9pS via IFTTT

Chombo cha Dola Hakipaswi Kumuadhibu Mtuhumiwa

Image
Wakili maarufu nchin Jebra Kambole amesema vyombo vyenye mamlaka nchini hususan vyombo vya dola havina mamlaka yakumfanyia mtu kama wanavyotaka pindi wanapomtia hatiani kwani kuna sheria ambazo zinaeleza taratibu zinaposwa kufuatwa. Wakili Kambole ameeleza hayo katika mahojiano na Kipindi cha Supa Breakfast ambapo amesema kitendo kilichofanywa na askari wa Uhamiaji kwa mtuhumiwa kupitia video zilizosambaa mtandaoni kuwa hakikuzingatia utu na wala haki kwa mujibu wa sheria. “Watu wana viheshimu vyombo vyenye mamlaka na wao kwakuwa wanaheshimiwa hawapaswi kumfanyia mtu ndivyo sivyo, kuna vitu vimetendeka katika tukio hilo mimi naona havipo sawa mtuhumiwa angeweza kusema naomba mnichukulie hatua au apelekwe mahakamani,” amesema Wakili Kamabole. “Hakuna chombo cha dola kinachoweza kuamua kumtesa mtu wanavyotaka wao, kama kuna mtu kafanya kosa la jinai utaratibu upo kwenye sheria zetu, ukisema kila mtu ajichukulie sheria mkononi hii nchi haiwezi kutawalika,” ameongeza Wakili Kamabo

BI zuura Shariff Anawashukuru wale wanao piga simu za shukrani na kutoa shuuda jinsi Tiba zake zinavyo saidia watu

Image
BI zuura Shariff Anawashukuru wale wanao piga simu za shukrani na kutoa shuuda jinsi Tiba zake zinavyo saidia watu Je? Umeachwa na mke/ mume/mchumba na bado unampenda ? Kuna mtu unamtaka unashindwa kumwambia? BI. Zuura shafiff  humvuta mume, mke ,mchumba na mtu yoyote unaye muhitaji katika mahusiano na kumfanya atimize unachokiitaji kutoka kwakwe na kumfunga asiwe na mtu mwingine zaidi yako hata kama yupo mbali ndani ya masaa .(2) tu na kukutafufuta yeye mwenyewe ,unamatatizo ya kushika mimba ? Na ukishishika zinaharibika?dawa zipo . PIA.TUNAYO DAWA YA ASILI YA NGUVU ZA KIUME YENYE KUTIBU MATATIZO MATATU KWA WAKATI MMOJA (1)nguvu za kiume ,(2) kurefusha na kunenepesha uume saizi uyipendayo ,nchi (1-7) (3)kuchelewa kufika kilelen,Yajue .matatizo yanayosababisha upungufu wa nguvu za kiume .(1)ngiri ya kupanda na kushuka (2)korodani moja kuvimba (3)tumbo kuunguruma,kujaa yes.(4)kisuk ari (5)presha(6)kiuno kuuma (7)kutopata choo tunatibu kisukari Suki (14)vidonda vya tumbo siku(30) mmigu

Yanga Yathibisha Carlinhos Kuondoka

Image
Uongozi wa Yanga umethibisha kufikia makubaliano na Carlinhos ya kusitisha mkataba wao kuanzia sasa. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Carlinhos kuwasilisha maombi ya kusitisha mkataba wake, uongozi wa Yanga umesema, baada ya majadiliano na kwa kuzingatia maslahi mapana ya pande zote, uongozi umeafiki ombi lake. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3uCaCYi via IFTTT

Mange Kimambi Amkingia Diamond Kifua Apigiwe Kura BET Baada ya Wengine Kumtosa Kisa Siasa

Image
Kuna kampeni huko mtandaoni ya kutokumpigia kura Diamond platnumz kura BET awards kisa alikuwa anapigia kampeni chama kimoja wakati wa Uchaguzi Mange Kimambi amejitokeza kumtetea na kusema haya: Reposted from @mangekimambi_ Hey guys lets vote for our boy. He is ours na ndo mwakilishi wetu mkubwa duniani. Kama wewe ni mtanzania na unapanga kumpigia kura msanii wa nchi ingine jua we ni mngese. Ni bora usipige kura kuliko kupigia mtu wa nchi si yako. Maana hiyo sio chuki ila ni ujinga na upumbavu. Na sio tu kumpigia eti sababu ni MTz ila jamaa ana deserve kushinda ile tuzo. Hata kama hatoshinda but he still deserves to win. Hakuna asielijua hilo. Huu mwaka uliokwisha kijana ametuburudisha mnooooooo. UPDATE Sasa Bandugu ni hivi nimeelekezwa kuwa kura watapiga commttee ya watu 500 tu sio sisi wote. Anyways, we still stand behind our boy, he is Tanzania’s pride and joy. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3fB2AdN via IFTTT

Irene Paul "Natamani Tumpigie Kura Diamond Ashindi Alafu Mengine Tutajadili Baadae"

Image
''TANZANIA YETU.....LETS VOTE Ifike mahali tuthamini juhudi za mtu binafsi katika kuleta heshima kwa taifa letu na tuache mengine yote pembeni,hebu tufikie stage kukubali kwamba at the end of the day huyu ndio "NEMBO NA KINARA" ya mziki wa Tanzania kwa sasa. Sikatai na wala sipingi kuwa kuna wengi wazuri zaidi yake na kuna wanaofanya vizuri lakini haitatosha kumvua #platnumz heshima aliyotuletea kama Tanzania pamoja na mengine yote yanayoendelea,WENGI WATAFUATA LAKINI NI BAADA YA YEYE KUCHORA RAMANI YA JINSI INAVYOFANYIKA. Ninatamani tumpigie kura kwanza huko kwa #BET then turudi nyumbani tuongee tunayojisikia maana at the end of the day tutakuwa tumeshatambulika zaidi na kujulikana kama Tanzania. LETS VOTE and VOTE and VOTE again....tupeperushe Tanzania yetu. N.B :jamani kwa wale wa ma team na maneno machochezi post hii haiwahusu🙏🏼 '' @irenepaul001 from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3vB9CVu via IFTTT

Mshukiwa wa utapeli wa mamilioni ya pesa akiwa Marekani kufikishwa mahakamani Kenya

Image
Stacey Marie Parker anatuhumia kuwatapelli Wakenya mamilioni ya fedha huku akidai watapata faida zaidiImage caption: Stacey Marie Parker anatuhumia kuwatapelli Wakenya mamilioni ya fedha huku akidai watapata faida zaidi Mwanamke anayeshukiwa kuwa ndiye msimamizi wa mpango wa utapeli ambao ulitumiwa kuwalaghai Wakenya mamia ya mamilioni ya pesa amekamatwa mwishoni mwa wiki na atafikishwa mahakamani leo. Stacey Marie Parker mwenye umri wa miaka 50, alikamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta Jumamosi alipowasili kutoka Marekani. Mshukiwa alikamatwa kufuatia uchunguzi ulioendeshwa na idraa ya makosa ya Jinai nchini Kenya baada ya kuhusishwa na sakata hiyo ya ulaghai iliyopora pesa wawekezaji ambao hawakujua kwamba wanahadaiwa. Katika mpango ulioratibiwa na kupangwa vizuri, wawekezaji walidanganywa kuwekeza pesa zao katika programu ya mtandaoni inayojulikana kama Amazon Web Worker, kwa kudhani kuwa watapata faida kubwa ya hadi 38% kwa amana inayodumu kwa sik

Masharti Ya Kumtext Mwanamke - Makosa 5 Wanaume Wanayofanya

Image
Kila siku mara moja au nyingine huwa tunawatext wanawake. Aidha wawe ni wapenzi wetu, tunaowatongoza ama marafiki zetu. Na kila siku huwa tunapatwa na changamoto mbalimbali kutokana na matangamano yetu. So huwa kunakosekana nini? Ifuatayo ni orodha ya mambo 5 makuu ambayo wanaume wengi hukosea wakati wanapomtext mwanamke, na jinsi ya kutatua. #1 kukata tamaa mapema kwa mwanamke Kosa kuu ambalo wanaume wengi hufanya ni kukata tamaa mapema wakati wanapomtext mwanamke. Watamtext mwanamke, na kama hatajibu jumbe zake (ama kujibu kiuchache) watachukulia kuwa mwanamke huyu amepoteza interest na wanakata tamaa. Hili ni kosa kuu sana. Kama inavyojulikana kikawaida ni kuwa mwanamke anaweza kutojibu meseji zako, na sababu hizo hazina uhusiano moja kwa moja na kutokuwa na interest kwako. Kwa mfano, anawezakuwa labda yuko busy, katika mood mbaya, ama labda hayuko sure ni kitu gani cha kukujibu kwa meseji. Kiufupi ni kuwa haujui kile ambacho kinazunguka kwa akili ya mwanamke, so haina haja y

Umuhimu wa Kuhonga Katika Mapenzi...

Image
1. KUHONGA HUBORESHA MAPENZI: Fahamu kuwa unapomhonga mpenzi wako unamfanya ajihisi kama ni wapekee kwako, atajiona kama ni mmoja wapo kati ya watu wenye thamani kwako na huamini kama kweli upo karibu yake na unamjali. Hali hii humfanya yeye kushindwa kutolipa mazuri kwako. Wengi kabla ya kuomba papuchi hutanguliza hongo kwanza, si lazima iwe pesa hata hongo ya sifa za uongo na ukweli. Kwa kuhonga kwako inamlazimu na yeye kulipa fadhila kwa kuonesha upendo wa dhati na utamfanya azidishe mapenzi kwako. 2. KUHONGA KUNAJENGA SANA KUMBUKUMBU KATIKA MAPENZI: Fahamu kuwa unapomhonga mpenzi wako inakusaidia wewe kujijenga katika mawazo yake na endapo kama itatokea mkaachana nae basi pindi mpenzi wako atakapokuwa anaziona zawadi zako zitamfanya akukumbuke kwa mengi na atahisi kama kuachana na wewe kwake kuna tofauti na atajihisi kupoteza vingi toka kwako na kamwe kumbukumbu yako kwake haitofutika kila anapoona vitu ulivyomhonga. Jitahidi sana unapohonga usihonge pesa tu, honga v

Dalili na Tiba ya Upungufu wa Nguvu za Kiume na Kuongeza Maumbile

Image
Markson: Baada ya kuchambua mambo yanayosababisha upungungufu wa nguvu, kukosa ham ya tendo na maumbile madogo ya uume, leo tutachambua baadhi ya dalili na tiba. *DALILI NI KAMA:- 1.Kukosa ham ya tendo 2.Kuwahi kufika kelele ni 3.Kushindwa kurudia tendo 4.Uume kusinyaa katikati ya tendo 5.Kuchoka sana baada ya raundi moja 6.Uume kusimama kwa ulegevu *TIBA ZILIZOTHIBITISWA:- 1.GING SENG PILLS @220,000/= >Hivi ni vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza ham na nguvu za kiume hata kwa wenye kisukari 2.VIGRX OIL @220,000/= >Huongeza uume kwa 6-7 inch ndani ya wiki mbili 3.BIG PENIS, VIMAX, GOOD MAN @270,000/= (Vidonge) >Huongeza uume, nguvu za kiume na kuimarisha misuli hata kwa waliothiriwa na kujichua 4.HANDSOME UP @270,000/= >Mashine hii huongeza uume kwa saizi unayotaka pamoja na kuimarisha misuli 5.VIGA SPRAY @180,000/= >Huchelewesha kufika kileleni na kuongeza parfomance. Tiba hizi zote zimefanyiwa majaribio na zimethibitishwa. Matokeo ni uhak

Jay Z kwa mara ya kwanza afunguka kuikataa Tuzo ya Grammy kisa marehemu DMX

Image
  Jay Z kwa mara ya kwanza afunguka kuikataa Tuzo ya Grammy kisa marehemu DMX VIDEO: from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3g0G6BW via IFTTT

Wakazi Achafukwa Waopiga Kampeni Diamond BET Award

Image
ANAANDIKA Wakazi Nimesikitishwa na comment za watu za kusema hawataki kum-support Diamond BET kwa sababu akishinda ataitumia kama fimbo kuwa mahasimu wake na wengine wanasema hawawezi kum-support msanii ambae alikuwa CCM. Diamond mimi sio hata rafiki yangu na huwa nina m-criticize mara nyingi tu kama ninavyofanya kwa wengine, lakini penye pongezi apewe, na hii ya BET ina manufaa kwa TZ nzima. Akiwa nominated na akashinda, basi awareness ya Tanzania katika ulimwengu wa muziki inaongezeka, na ikiongezeka basi nafasi ya msanii unayempenda kupata fursa inaongezeka pia. So hata kama ningekuwa nina mchukia jamaa (which I don’t), naelewa umuhimu wa nafasi aliyopo kwetu Wasanii na kwa Taifa pia. Tujifunze kujenga UMOJA kupitia TOFAUTI zetu. Badala ya kudumisha CHUKI, basi tutafute suluhu ambazo zina manufaa kwa wengi kama sio wote. Ni kama hili swala la Ushindani na Ushabiki tumelielewa vibaya hapa Tanzania. Niliwahi ku-rap “SIMBA na YANGA ni wapinzani wa Jadi, ila ukiweka Simba na Yanga

Breaking News: Mchezaji Carlinhos Avunja Mkataba na Yanga...Sababu Hii Hapa

Image
  Kiungo Mshambuliaji wa Yanga, Carlos Sténio Fernandes Guimarães do Carmo maarufu kama Carlinhos amevunja mkataba na klabu yake ya Yanga na kurejea nchini kwao Angola huku sababu za kifamilia zikitajwa kuwa chanzo cha nyota huyo kuomba kuvunja mkataba from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3fxQLoG via IFTTT

Uhamiaji yawachukulia hatua askari wake walikosea

Image
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Peter Makakala, amesema Idara ya Uhamiaji Tanzania, imewasimamisha kazi askari wake watatu kwa kukiuka maadili ya kazi zao. Makalala ameeleza kuwa askari hao walioonekana kwenye video fupi wakitumia nguvu dhidi ya mtuhumiwa wa utapeli Alex Raphael Kyai kitendo ambacho ni kinyume cha sheria na maadili ya kazi yao. Soma taarifa kamili hapo chini from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3hZWzZU via IFTTT

Rais Mwinyi Atoa Msimamo Chanjo ya Corona Zanzibar

Image
Rais Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Dkt. Hussein Mwinyi, amesema chanjo ya ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona ni hiyari na hakuna mtu yeyote atakayelazimishwa na si lazima kama baadhi ya wananchi wanavyodai kiasi ya kuzusha taharuki. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo Mei 29, 2021 wakati wa ziara ya kuwashukuru viongozi wa CCM wa ngazi mbalimbali katika ukumbi wa Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja, amesema wananchi wasikubali kufikishwa sehemu na kuambiwa wakichanjwa wanakufa. ''Ndugu wananchi napenda kuweka wazi na bayana  suala hili la chanjo ya kujikinga na ugonjwa wa corona ni hiyari na hakuna atakayelazimishwa ingawa kwa upande wa mahujaji Serikali ya Sauda Arabia wametutaka mahujaji watakaofanya ibada hiyo lazima wapewe chanjo,'' amesema Dkt. Mwinyi. “Nimesema tutaleta chanjo anayetaka akachanjwe asiyetaka aache, tuwaambie watu walielewe jambo hili Serikali hailazimishi mtu na mimi binafsi nisingetaka mtu anilazimishe iwe hiyari yangu na

Wambura Aula Ndani ya Siku 13

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amempandisha cheo aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Camilius Wambura, na kuwa Kamishna wa Polisi (CP) ambapo pia amemteua kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI).  Taarifa ya uteuzi huo imetolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa, na kueleza kuwa uteuzi huo umeanza jana Mei 30, 2021. Mei 17, 2021, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, alimhamisha Wambura kutoka kuwa 'Chief of Operations Upel' kuu Dodoma na kumhamishia Dar es Salaam kuwa Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum akichukua nafasi ya SACP Lazaro Mambosasa. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3vBehqF via IFTTT

Wakazi Achafukwa na Waopiga Kampeni Diamond Asishinde BET Award "Hatumkomoi Diamond Tunajikomoa Wenyewe"

Image
Nimesikitishwa na comment za Watu za kusema hawataki kum-support Diamond BET kwa sababu akishinda ataitumia kama fimbo kuwa mahasimu wake na wengine wanasema hawawezi kum-support msanii ambae alikuwa CCM. Diamond mimi sio hata rafiki yangu na huwa nina m-criticize mara nyingi tu kama ninavyofanya kwa wengine, lakini penye pongezi apewe, na hii ya BET ina manufaa kwa TZ nzima. Akiwa nominated na akashinda, basi awareness ya Tanzania katika ulimwengu wa muziki inaongezeka, na ikiongezeka basi nafasi ya msanii unayempenda kupata fursa inaongezeka pia. So hata kama ningekuwa nina mchukia jamaa (which I don't), naelewa umuhimu wa nafasi aliyopo kwetu Wasanii na kwa Taifa pia. Tujifunze kujenga UMOJA kupitia TOFAUTI zetu. Badala ya kudumisha CHUKI, basi tutafute suluhu ambazo zina manufaa kwa wengi kama sio wote. Ni kama hili swala la Ushindani na Ushabiki tumelielewa vibaya hapa Tanzania. Niliwahi ku-rap "SIMBA na YANGA ni wapinzani wa Jadi, ila ukiweka Simba na Yanga unap

Hussein Machozi ajibu madai ya kuolewa Italy

Image
Msanii Hussein Machozi ameikataa kauli ya watu wanaomsema amefungiwa ndani na mwanamke nchini Italy huku wengine wakimwambia kwamba yeye ndio ameolewa na mwanamke huyo. Akizungumzia hilo kupitia EATV & EA Radio Digital Hussein Machozi amesema watanzania wanapenda sana maneno hasa wakiona mtu anaishi nje ya nchi au kupata mwanamke aliyemzidi kipato. "Watanzania wakiona mtu amepata mwanamke mwenye pesa utaambiwa umeolewa, Ben Pol aliambiwa kaolewa na mwanamke Mkenya na Dogo Janja nae aliambiwa ameolewa na Irene Uwoya, hawajui mtu ametoka nae wapi wanasema ameolewa, mimi nilienda Ulaya kwa mambo yangu" ameeleza Hussein Machozi "Hakuna mwanaume anayeolewa wanaume wote wanaoa, Mtanzania huwa hataki kuona mtu anafanikiwa, maneno yao huwa wanayatoa  Instagram wanaamini mtu akienda Ulaya anaenda kuishi vizuri" ameongeza Msanii huyo amekuwa akiishi nchini Italy kwa kipindi cha miaka 7 ambapo amefanikiwa kupata mwanamke na mtoto mmoja wa kike. fr

Helkopta ya Raila Odinga Yapata Ajali Mbaya Baada ya Yeye Kushuka

Image
Helikopta ya Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya na Kiongozi wa Chama cha Upinzani nchini Kenya cha ODM imepata ajali muda mfupi tu baada ya kumshusha yeye na Wasaidizi wake eneo Gem, Siaya, Kenya. Taarifa ya Citizen TV imesema hata hivyo Rubani na Abiria wengine wanne waliokuwemo ndani yake wametoka salama ila wamepata majeraha madogo from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3uutsQY via IFTTT

Tanzania na Kenya zakubaliana kuondoa vikwazo 30 vya biashara

Image
Mawaziri wanaohusika na masuala ya biashara wa nchi za Tanzania na Kenya wameanza utekelezaji wa maelekezo ya Maraisi wa nchi hizo kuondoa vikwazo vya biashara kataika mpaka wa Namanga. Katika utekelezaji wa maelekezo hayo watendaji hao akiwemo Waziri wa Viwanda wa Tanzania Prof.Kitila Mkumbo na Waziri wa Vianda wa Kenya, Betty Maina wamekutana jijini Arusha na kusaini makubaliano ya kuondoa vikwazo 30 vya kibiashara huku wakiahidi kukamilisha utatuzi wa vikwazo vingine 34 vilivyobaki ndani ya miezi mitatu. Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo (Mb) amewahamasisha wafanyabiashara wa Kitanzania kuendelea kufanya biashara na kwenda kuwekeza nchini Kenya kwa kuzingatia sheria, taratibu na miongozo iliyopo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki na amewataka kuwasiliana na Wizara iwapo kutakuwa na changamoto zozote. Hayo ameyasema katika Mkutano wa tano (5) baina ya Tanzania na Kenya kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali ya biashara ikiwemo vikwazo vya biashara visivyo

Waziri Mkuu Uingereza afunga ndoa

Image
Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson amefunga ndoa na Carrie Symonds katika sherehe ndogo iliyofanywa  kwa siri huko Westminster Cathedral. Boris anakuwa waziri mkuu wa kwanza kufunga ndoa akiwa anaitumikia ofisi ikiwa imepita takribani miaka 200 tangu kutokea kwa tukio la aina hiyo. Wawili hao waliofunga ndoa jana Jumamosi Mei 29, 2021 huku Waziri Nadhim Zahawi akisema  hakuhudhuria sherehe hiyo lakini amewatakia kheri katika ndoa yao. "Ninadhani ni jambo la kufurahisha kwa wote wawili kuweka nadhiri zao za ndoa, ninawatakia kila la kheri," amesema Zahawi. Ingawa Boris alishawahi kufunga ndoa mara mbili,  Kanisa Katoliki linaruhusu watalaka kufunga ndoa nyingine iwapo viapo vya ndoa za zamani vililiwa nje ya kanisa hilo. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3wKKPhQ via IFTTT

Jamaa Mgonjwa Atimuliwa Hospitali Baada ya Kumshika Nesi Makalio

Image
  Jamaa aliyekuwa akipokea matibabu katika hospitali moja eneo la Chogoria nchini Kenya amefukuzwa wodini kabla ya kupata nafuu baada ya kushindwa kula kwa macho akaishia kunyoosha mkono na kumgusa makalio nesi mkuu.  Inasemekena ilikuwa ni mwendo wa saa mbili usiku ambapo wagonjwa wote walikuwa wamekula wakati nesi aliyekuwa zamuni alipita katikati ya wagonjwa katika wodi kuhakikisha kila mgonjwa anashughulikiwa. Kwa mujibu wa Taifa leo, nesi huyo alikuwa amevalia sketi fupi mno bila kujali wagonjwa.  Duru zinaarifu kuwa alipofika alikokuwa jamaa aligundua kuwa kulikuwa na mgonjwa kando yake aliyehitaji msaada.  Alimuonesha jamaa mgongo kisha akaninama na kufaraghua sehemu yake ya nyuma iliyompagawisha na kumzuzua jamaa. Jamaa alipoona hivyo, akili zilimsimama akawaza na kuibuka na mawazo ya kumgusa nesi bila kujali matokeo yake. “Samahani dada. Nimeshindwa kuvumilia urembo wako nikaona ni bora niguse,” jamaa mgonjwa alisema.  “Mjinga wewe! Umefaidi nini? Nyie nyinyi vib

Mashabiki Wamtaka Rosa Ree Ajiunge na WCB , Mjadala Huu WaibukanYoutube Wimbo Wake Mpya I'm not Sorry

Image
Mashabiki wa Mziki wa Rosa Ree Wamtaka Ajiunge na WCB, Wadai Mziki Wake Utapenya Duniani Kirahisi Mjadala umeibuka huko youtube kwenye Wimbo mpya wa Rosa Ree Unaitwa "I'm not Sorry" Baada ya baadhi ya mashabiki kumtaka ajiunge na WCB kuwa mziki wake utafika mbali zaidi Nimekuwekea baadhi ya Comments hapa chini kutoka Youtube: Planta Media "nani anaamini huyu angekuwa kati ya WCB au Konde gang Angekuwa hakamatiki" Ombeni ruvubika "Wcb sawa ,Nawala hapana cha konde Gang  Na Hakuna label pale, ni vurugu tuu" Khannie Baraka "WCB tosha konde ni heri ache mziki" Daniel Mwakaseka "Wasafi ndo angefika mbali mno colabo na Nick Minaj angeifanya pale" Kennedy Sabatho "Mawazo kama yangu always nilikuwa natamani aweko huko kiukweli angekuwa juu sana zaid hata ya  Zuchuu songs zake ni internationally" VINZAH ZION ENTERTAINMENT "Si huyu dem aende WCB" Oscar Smart Bandah "Kusanyeni wcb Wote hawez fika

Simba haikamatiki VPL, yaichapa Namungo 3-1

Image
  Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara Simba SC imefanikiwa kuondoka na alama tatu dhidi ya Namungo FC baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 na kuendelea kujikita kileleni mwa msimamo wa VPL, wakiongoza Ligi kwa tofauti ya alama tatu.   Wenyeji Namungo ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa Styve Nzigamasabo dakika ya 22, lakini baadae kipindi cha pili Simba walirudi na kufunga mabao matatu kupitia kwa Chris Mugalu dakika ya 79, John Bocco alifunga bao la pili dakika ya 84 ambalo hili ni bao lake la 11 kwenye ligi kuu lakini ni bao lake la 5 kwenye michezo mitatu ya mwisho kwenye mashindano yote na Bernard Morrison akafunga bao la tatu dakika ya 88. Kwa ushindi huu Simba wanafikisha alama 64 na wanaendela kusalia kileleni mwa msimamo huku wakiwa wamecheza michezo 26 ikiwa ni michezo mitatu pungufu dhidi ya watani zao Yanga wanaoshika nafasi ya pili ambao wamecheza michezo 29 wakiwa na alama 61. Namungo wanasalia nafasi ya 8 na alama zao 40 na mchezo wa jioni ya leo u

RAY-C atoa POVU zito "Nyie watoto mna ROHO mbaya, "KIKI na drama za kibwege, ushamba unawasumbua"

Image
  RAY-C atoa POVU zito "Nyie watoto mna ROHO mbaya, "KIKI na drama za kibwege, ushamba unawasumbua" VIDEO: from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3fXYIT1 via IFTTT

NEYMAR na shutma nzito za kutaka kumuingilia kimwili mfanyakazi wa kampuni ya mavazi ya NIKE

Image
NEYMAR na shutma nzito za kutaka kumuingilia kimwili mfanyakazi wa kampuni ya mavazi ya NIKE VIDEO: from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3wGcOzm via IFTTT

Ongeza Maumbile, Nguvu za Kiume na Hamu ya Tendo Kwa Njia Salama

Image
Ili mwanaume na mwanamke wafurahie tendo lazima uume uwe na nguvu na unaosimama imara muda wote wa tendo (Long lasting erection). Upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo umechangia wanaume wengi kushindwa kujiamini wanapokuwa faragha na wenza wao hivyo kushindwa kumridhisha na kusababisha kusalitiwa. *DALILI NI KAMA:- 1.Kukosa hamu ya tendo 2.Kuwahi kufika keleleni 3.Kushindwa kurudia tendo 4.Uume kusinyaa katikati ya tendo 5.Kuchoka sana baada ya raundi moja 6.Uume kusimama kwa ulegevu 7.Uume kushindwa kusimama ili kurudia tendo n.k *TIBA YA KUDUMU:- 1.GING SENG PILLS @220,000/= >Hivi ni vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza ham na nguvu za kiume hata kwa wenye kisukari na pressure 2.VIGRX OIL @220,000/= >Huongeza uume kwa 6-7 inch ndani ya wiki mbili 3.BIG PENIS, VIMAX, GOOD MAN @270,000/= (Vidonge) >Huongeza uume, nguvu za kiume na kuimarisha misuli hata kwa waliothiriwa na kujichua 4.HANDSOME UP @270,000/= >Mashine hii huongeza uume kwa saizi

Taarifa ya Simba kuhusu kifo cha mke wa Chama

Image
  Kocha msaidizi wa klabu ya soka ya Simba, Selemani Matola amethibitisha taarifa kuwa mchezaji Clatous Chama amefiwa na mke wake, Mercy Chama.   Amesema hayo muda mchache kabla ya kuanza kwa mechi ya Namungo FC dhidi ya Simba katika Uwanja wa Majaliwa mkoani Lindi. Amesema wamepokea taarifa za kifo hicho mchana wa leo, ikiwa ni baada ya kuugua kwa muda akiwa nchini kwao Zambia. "Tumepata taarifa hizi mchana wa leo na baada ya mchezo dhidi ya Namungo klabu itapanga namna ya kushughulikia suala hili", amesema Matola. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3i3miAL via IFTTT

BASATA yatoa ONYO kali kwa Wasanii kwa haya yanayoendelea, Hatua kali kuchukuliwa kwa atakayekiuka

Image
BASATA yatoa ONYO kali kwa Wasanii kwa haya yanayoendelea, Hatua kali kuchukuliwa kwa atakayekiuka VIDEO: from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2TrMhaK via IFTTT

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakuu wa Taasisi.

Image
  Rais Samia Afanya Uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakuu wa Taasisi. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/34uX7yV via IFTTT

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo May 30

Image
  Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo May 30 from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3vupwkx via IFTTT

Mo Dewji Ampa Shavu Mondi

Image
Mfanyabiashara na bilionea maarufu Bongo, Mohamed Dewji amempongeza Msanii machachari wa Bongofleva, Naseeb Abdul, ‘Diamond Platnumz’ kwa kuteuliwa kuwania tuzo za BET awards.   Mo ambaye ni Mwekezaji na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa klabu ya Simba, kupitia akaunti yake ya Twitter ameandika, hongera sana @DiamondPlatnumz kwa kuteuliwa kuwania tuzo za #BETawards katika kipengele cha ‘Best International Act’. Tunajivunia uwepo wapo katika kukuza Bongofleva duniani.   Katika tuzo hizo Diamond anachuana na Wizkid, Burna Boy, Emicida, Headie, Aya Nakamura, Youssoupha na Young T & Bugsey.   Hii ni mara ya tatu Diamond Platnumz kuchanguliwa kuwania tuzo za BET ambazo zinafanyika Juni 28, 2021. Mwaka 2014 alitajwa kwa mara ya kwanza kuwania tuzo hizo na mara ya pili ilikuwa mwaka 2016.   from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/34sslGL via IFTTT

Mondi Kuwakutanisha Zari, Tanasha na Mobeto

Image
SIMBA ameamua! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kusoma taarifa hii inayomhusu supastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na ma-baby mama wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Hamisa Mobeto na Tanasha Donna.   Habari za ndani kabisa zinaeleza kwamba, jamaa huyo amepanga kuwakutanisha wote kwa mara ya kwanza kwenye sehemu moja; yawezekana hotelini au nyumbani.   Kwa mujibu wa chanzo cha ndani ya familia ya Diamond au Mondi, ma-baby mama hao watatu watakutana Dar au hata nje ya Dar kutegemeana na mahali mwamba huyo atakapopanga kukutana nao. Kabla ya kurejea Dar, wikiendi iliyopita Mobeto na Tanasha walikuwa Zanzibar ambako Mondi naye alikuwa ameweka kambi, lakini ambaye alikosekana ni Zari pekee.Hata hivyo, kuna madai kwamba, naye alitarajiwa kutua visiwani Zanzibar.   Moja ya vyanzo vya ndani vililithibitishia Gazeti la IJUMAA kwamba, ni kweli Mobeto na Tanasha walikuwa Zanzibar.   Kwa upande wake, Tanasha alithibitisha uwepo wake visiwani Za