Posts

Showing posts from January, 2024

Watoto wa Manara, Baba Levo watoboa matokeo Kidato cha Nne

Image
  Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2023, yakionyesha kuongezeka kwa ufaulu wa watahiniwa kwa asilimia 0.87 na ufaulu wa hisabati ukipanda kuliko masomo yote. Mbali na kuongeza kwa kiwango cha ufaulu, ubora wa ufaulu kwa daraja la kwanza hadi la tatu nacho kimeongezeka kwa asilimia 0.47 ikilinganishwa na ilivyokuwa mwaka 2022. Akitangaza matokeo hayo leo jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa Necta Dk Said Mohamed amesema asilimia 37.42 ya watahiniwa wamepata daraja la kwanza hadi la tatu ikilinganishwa na asilimia 36.95 waliopata madaraja hayo mwaka 2022. “Jumla ya watahiniwa wa shule 471,427 kati ya 527,576 wenye matokeo ambao ni sawa na asilimia 89.36 wamefaulu kwa kupata daraja la kwanza hadi la nne. Waliopata daraja la kwanza hadi la tatu ni asilimia 37.42,” amesema Dk Mohamed. Kwenye matokeo hayo wapo watoto wa watu maarufu akiwemo Msemaji wa Yanga, Haji Manara ambaye kupitia mtandao wa I

Mwakinyo: Mpinzani Wangu Asipotokea Nitazichapa na Promota

Image
Bondia namba moja Tanzania, amewatoa shaka mashabiki wa ngumi kuwa pambano lake litapigwa na kuahidi kuwaonyesha uwezo na kutoa burudani. Mwakinyo anatarajia kupanda ulingoni dhidi ya Mbiya Kanku wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) katika pambano la mtata mtatuzi litakalopigwa Januari 27, 2024 katika Uwanja wa ndani wa New Amaan Visiwani Zanzibar. Kauli hiyo imekuja baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa huenda pambano hilo lililopewa jina la 'Mtata Mtatuzi' likavunjika tena, kwani kuna baadhi ya watu wamekuwa na nia mbaya humtumia ujumbe mpinzani wake wakimtaka asipigane ili pambano hilo livunjike. Akizungumza na Wanahabari leo Januari 25,2024 bandarini Jijini Dar es Salaam wakati akijiandaa na safari visiwa vya Karafuu (ZANZIBAR) Mwakinyo amesema amejipanga kuonesha mchezo ambao wengi hawajahi kuuona huku, akiahidi kutoa burudani kwa mashabiki wake. “Mpaka sasa kila kitu kipo katika ubora kuelekea pambano langu. Lakini kuna changamoto kidogo kwa upande wa promota n

Kocha Benchikha wa Simba Kwenda Timu ya Taifa ya Algeria

Image
Kocha wa Simba SC Abdelhak Benchikha ni moja ya makocha wanaopewa nafasi ya kwenda kukinoa kikosi cha timu ya taifa ya Algeria. Kocha huyo raia wa Algeria anapewa nafasi hiyo baada ya Tetesi zinazoeleza kuwa Kocha Mkuu wa Algeria Djamal Belmad anataka kujiweka kando na timu hiyo. Benchikha anatajwa kutokana na mafanikio aliyoyapata akiwa na USM Alger mwaka jana Kwa kutwaa Kombe la Shirikisho na CAF Super Cup. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/afCmXdh via IFTTT

Kocha Afcon amng'oa Bacca Yanga

Image
MAKOCHA wawili mahiri waliowahi kuifundisha Yanga wameshtushwa na kiwango cha beki wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Ibrahim Bacca kwenye michuano ya Afcon. Na wameshangaa kuona kwanini bado anacheza ligi ya ndani. Kocha Mbelgiji anayeinoa Gambia kwenye Afcon, Tom Saintfiet katika wachezaji wote wa Stars amemuelewa zaidi Bacca kwenye eneo la ulinzi na kutabiri kwamba muda wowote staa huyo atapata ofa Ulaya kwa vile ameonyesha utofauti mkubwa licha ya matokeo ya timu. Saintfiet ambaye aliinoa Yanga mwaka 2012 kwa muda mfupi, alisema Bacca ni beki anayecheza jihadi wakati wote wa mchezo na kwamba kiwango chake kinastahili awe anajiunga na Stars akitokea klabu kubwa Ulaya au nje ya Afrika. Saintfiet ambaye jana usiku timu yake ilikuwa inacheza na Cameroon kukamilisha ratiba kwenye Afcon, amekumbusha kiwango cha beki wa zamani wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ lakini akakiri mkongwe huyo amezidiwa na Bacca. “Nilikuwa nahesabu wachezaji ambao wanatoka nje ya Tanzania, nilipofika

AFCON : Hizi Hapa Nchi Zilizoingia 16 Bora Michuano ya AFCON

Image
#AFCON2023 Na hawa ndiyo 16 Bora wa fainali hizi!! Je, kuna ambaye hakustahili!!? 27/01/2024 Angola vs Namibia Nigeria vs Cameroon, 28/01/2024 Guinea ya Ikweta vs Guinea, Misri vs Congo DR 29/01/2024 Cape Verde vs Mauritania, Senegal vs Ivory Coast 30/01/2024 Mali vs Burkina Faso Morocco vs Afrika Kusini from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/51sKWbO via IFTTT

Etoo Awachana Wachezaji wa Cameroon 'Wachezaji Waliozaliwa Ulaya Hawana Uzalendo'

Image
  Samuel Eto'o amewachana wachezaji wa Cameroon waliozaliwa ulaya; Wadogo zangu wapendwa naelewa, wengi miongoni mwenu hamjazaliwa Cameroon wala hamjawahi kucheza vilabu vya Cameroon. Nyie mlizaliwa ulaya huko mna haki juu ya viongozi. Mimi Cameroon ilinifundisha kwamba, napokuwa na timu ya taifa natakiwa kuwa mwanajeshi. Niwe tayari kukikabili kifo napopambania bendera. Leo Cameroon inapitia fedhea sababu wachezaji wengi hawana upendo wa asilimia  kwa taifa hili. Niwieni radhi kwa kujiongelea mimi kama mfano. Kwaajili ya upendo nilionao kwa nchi yangu, nilikuwa na uwezo wa kucheza mechi mbili kwa siku moja. Niliwahi kufanya hivyo, "Roger Milla" aliwahi kufanya hivyo, pia hata "François Omam Biyick." Unafikiri Cameroon ilikuwa ikitulipa zaidi ya vilabu tulivyokuwa tukichezea?! Hapana. Kuichezea Cameroon tulikuwa hatupati hata 1/10 ya kile tunacholipwa sehemu nyingine. Kufa ukiipambania nchi yako, thamani yake inazidi pesa yoyote katika ulimwengu.

Young Africans kucheza mbili za kirafiki

Image
  Uongozi wa Klabu ya Young Africans umesema umeanza mchakato wa kutafuta timu za nje kwa ajili ya mechi za kirafiki itakayokiweka sawa kikosi chao katika kipindi hiki cha maandalizi kabla ya kuanza kwa michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mwishoni mwa juma lililopita Kocha Mkuu wa miamba hiyo ya soka nhini, Miguel Gamondi aliuomba uongozi wa timu hiyo kumtafutia mechi mbili za kirafiki na timu za nje ya Tanzania ili kujui uimara wa kikosi chake kabla ya mechi mbili za hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mbali na hilo pia Gamondi anataka kuitumia michezo hiyo kuwatambulisha rasmi wachezaji wao wawili wa kimataifa waliowasajili kwenye dirisha dogo la msimu huu ambao ni Augustine Okrah na Joseph Guede. Makamu wa Rais wa Young Africans hiyo, Arafat Haji amesema wameanza kutafuta timu hizo na anaamini mchakato huo hautachukua muda kukamilika sababu wana maelewano mazuri na timu nyingi katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. “Lengo letu ni kupata timu imara ambazo zitakip

Makonda afichua siri Mbowe kwenda Ikulu alipotoka gerezani

Image
Katibu wa Itikadi na Uenezi (CCM), Paul Makonda ameeleza kuwa, kitendo cha Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kwenda Ikulu alipotoka gerezani kilikuwa na maana halisi ya dhamira ya kukuza demokrasia ya Rais Samia Hassan. "Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais Dkt. Samia anafanya kazi kwa msaada mkubwa we Mwenyezi Mungu katika kuongoza Taifa hili na ukitaka kujua hilo dalili mojawapo ya mtu anayeaaidia ni Mungu ni kuwa na Upatanishi" "Rais Samia alianza kuwapatanisha Watanzania bila kujali itikadi ya vyama vyao, kabilabwala kipato na kila aliyepeleka malalamiko alimsikiliza na kuchukua hatua" "Mbunge wenu wa zamani hapa Hai hata sura yake imebadilika sababu ndani yake anajua Rais Samia ametumwa na Mungu na nanjua wengine watakebehi na kutoa tafsiri nyingi lakini jiulizeni swali moja...anayepanga ratiba za binadamu ni nani? Maana yake Mungu alishampanga Samia kuwa Rais" "Mbowe katika mahabusu stendi yake ya kwanza kafikia Ikulu na alipotoka ali

Big Brother Mzansi 2024: All to Know About The Housemates

Image
  Big Brother Mzansi  season 4 Housemates The highly anticipated annual reality show  Big Brother Mzansi  has returned for its fourth season which premiered today, Sunday, 21 January. The housemates were revealed, and they shared brief details about themselves, which we will share with you. Let’s take a look at these housemates below: 1.  Makhekhe  is a 28-year-old from Soweto.  He says he is going to mosha in the house by bringing all the drama, vibe, and entertainment. 2.  BravoB  is 29-year-old from KwaZulu-Natal (KZN).   BravoB  is a food vendor who believes in testing the waters well before settling with a partner. 3.  Sinaye  is 24-year-old from Eastern Cape. He is leaving a long-term relationship to be in this house, so no mjolo for him? 4.  McJunior  is an aspiring writer and he calls himself a winner already. He said he has all it takes to win the money. 5.  Yolanda  says she is a talkative, she is overconfident sometimes and confrontational. She is a sales

Rais Samia awataka JWTZ wajiandae kwa lolote

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametoa wimbo kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kujiandaa kwa lolote katika kuelekea chaguzi za serikali za mtaa na uchaguzi mkuu wa 2025. Kauli hiyo ameitoa hii leo Januari 22, 2024, wakati akihutubia katika mkutano wa saba wa Mkuu wa Majeshi-CDF na Makamanda wa mwaka 2023, ambapo amebainishwa kwamba amewasilisha ombi hilo kwa kuwa chaguzi hizo zitashirikisha vyama vingi vilivyo na nia tofauti na kwamba si rahisi mambo yote kwenda kama yalivyopangwa. "Ombi langu kwenu (JWTZ) ni kwamba mwaka huu na mwakani tunaelekea kwenye chaguzi za nchi yetu na hapa ndipo usalama mkubwa ndani ya nchi unapotakiwa kuangaliwa kwa ukaribu zaidi, niwaombe sana Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwenye Kamandi zenu tofauti kujipanga kwa ajili hii, mwaka huu tunaanza na chaguzi za serikali za mitaa kwa sababu tuko wengi, ni chaguzi zinazoshirikisha vyama vingi vyenye nia tofauti, hatuoni kwamba kila kitu kitaenda kama kilivyopangwa k

Top Five Richest Musicians in Africa

Image
1. Wizkid — US$27 million As of year 2024, the richest African musician is Wizkid from Nigeria. He is arguably the biggest African artiste of the past decade and he has accumulated quite a lot of wealth over the years with an estimated net worth of US$27 million. Believe it or not, as of year 2024, Wizkid is the richest musician in Africa. He has been accumulating all the money since 2010. In 2012, Wizkid signed a one-year endorsement deal with Pepsi reportedly worth US$350 000. Davido — US$25 million Davido is a Nigerian singer, record producer and songwriter. His 2011 single “Dami Duro” spread like virus all over Nigeria and he became famous for his widely acclaimed 2012 debut album “Omo Baba Olowo”. THENET NG reported Davido had signed a 30 million Naira endorsement deal with MTN. In 2015 he signed a US$1 million deal with Ciroc vodka. He has signed many multi-million dollar deals since then. Black Coffee — US$16 million Going by the birth name Nkosinathi Maphumulo

Ivory Coast Star Breaks Down in Tears on Bench After Humiliating 4-0 AFCON Defeat

Image
A 4-0 humiliation at the hands of Equatorial Guinea proved to be too much for one Ivory Coast player, who was seen crying on the bench after missing a chance to equalise Ivory Coast's midfielder #8 Franck Kessie consoles Ivory Coast's forward #14 Oumar Diakite after Equatorial Guinea won the Africa Cup of Nations (CAN) 2024 group A football match between Equatorial Guinea and Ivory Coast at the Alassane Ouattara Olympic Stadium in Ebimpe, Abidjan on January 22, 2024 AFCON hosts Ivory Coast are now sweating on their knockout stage progression Ivory Coast star Christian Kouame broke down in tears as their Africa Cup of Nations hopes were left hanging in the balance. The tournament hosts suffered a shock 4-0 defeat at the hands of Equatorial Guinea, who are 39 places below them in the FIFA rankings. It meant they've finished third in their group, with their opponents securing top spot ahead of Nigeria. Those two are both through to the knockout stages, but the Ivor

Simba Yafichua Bilioni za Mo Dewji

Image
Simba imefichua kuwa mwekezaji wa klabu hiyo, Mohammed Dewji 'MO' alichangia Sh2.4 bilioni katika bajeti klabu hiyo kwa msimu wa 2022/2023. Akitoa taarifa ya fedha ya klabu hiyo ya 2022/2023, Mhasibu wa Simba, Suleiman Kahumbu amesema awali walipanga kukusanya Sh12.3 bilioni kwa msimu huo na mchango wa MO ulichangia kwa kiasi kikubwa wakavula lengo hadi Sh15 bilioni. “Katika bajeti ya fedha ya msimu wa 2022/23 rais wa heshima wa Simba Mohamed Deji alituchangia kiasi cha Sh2.4 bilioni, fedha ambazo zilienda moja kwa moja kwenye kufanikisha kukusanya bilioni 15 ambazo zimetupa faida kwa kiasi kikubwa," amesema Kahumbu. Kahumbu amesema hayo Leo januari 21, 2024 katika mkutano wa mwaka wa klabu hiyo unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Dar es Salaam. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/0wHxcug via IFTTT

AFCON: Tanzania, Zambia share the spoils

Image
San Pedro, Ivory Coast Tanzania national soccer team, Taifa Stars were  forced to a 1-1 draw by their neighbors, Zambia’s Chipolopolo. have missed the chance to go second in group F of the Africa Cup of Nations (AFCON) after a 1-1 draw against a 10-man Zambia. In the Group F match of AFCON 2023 played at Stade de San Pedro in Ivory Coast on Sunday night has seen both sides cherishing one point a piece. Simon Msuva put the country’s envoys upfront in the 11th minute after being set up by his skipper Mbwana Samatta. It was a nice move initiated by veteran midfielder Himid Mao who robbed of the ball from Zambian. Just before halftime, Zambia captain Rodereck Kabwe was shown a second yellow card forcing referee to give him a marching orders after fouling Mbwana Samatta in an aerial combat. In the second half, the Chipolopolo lads kept heads up by diffusing well each danger imposed by Stars. In the 88th minute, their venom striker Patson Daka used well the corner-kick deliv

AFCON : Tanzania yapokwa ‘tonge mdomoni’ na Zambia

Image
Bao la dakika ya 88 la Zambia limefuta matumaini ya Tanzania kuandikisha ushindi wa kwanza katika michuano ya kombe la mataifa ya Afrika (Afcon). Tanzania iliandikisha goli la kwanza katika dakika ya 11 kupitia winga wake wa kimataifa Simon Msuva akiunganisha pasi maridhawa kutoka kwa nahodha Mbwana Samatta. Zambia ilipata pigo kwa kutolewa kwa kadi nyekundu kwa nahodha wao Rodrick Kabwe katika dakika ya 44. Tanzania iliendelea kuutawala mchezo huo na kukosa nafasi kadhaa za wazi kuongeza goli la pili wakati Zambia ikicheza mchezo wa kujilinda zaidi na kufanya mashambulizi ya kushtukiza. Mashambulizi hayo ya kushtukiza yalizaa matunda katika dakika ya 88 ambapo mshambuliaji wa klabu ya Leicester City ya England Patson Daka alipofunga bao la kusawazisha kwa kichwa kikali akiunganisha krosi ya Clatous Chota Chama anayechezea klabu ya Simba ya Tanzania. Hii ni sare ya pili kwa Tanzania katika michuano ya AFCON. Sare ya kwanza waliipata kwa Ivory Coast katika michuano ya mwak

Ugonjwa wa Red Eyes Waikumba Familia Nzima ya Rapper Rosa Ree, Aweka Video Hii

Image
  Ugonjwa wa Red Eyes waikumba familia nzima ya Rapper Rosa Ree, Aweka Video Hii VIDEO: from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/vwMIuBz via IFTTT

Mange Kimambi: Kwenye Hii Kesi Dullah Kashinda, Kajua Kuwatoa Kwenye Reli Haji Manara na Zaylisa

Image
Ameandika Mange Kimambi: Mı sio mtu wa kupenda penda umbea wa mitandaoni au mtu wa kufatilia mambo ya watu ila ngoja tu niseme kitu, kwenye hii kesi Dullah kashinda aiseee, kajua kuwatoa kwenye reli sasa hivi kiki yoote yake insta….. Yani kajua kutembea na kiki ya watu….DAH!! Dadekiii. Alafu hiyo sehemu Dulla aliyoimba kwamba Siri yetu niliificha eti ni kwamba Zay alimpa kisamvu cha kopo… eti ndo maana akalia machozi alikuwa analilia aendelee kupewa kisamvu cha kopo….. Sio maneno yangu!!! So nyie mnaemcheka Dulla kulia vile mjiulize je ingekuwa wewe ndo umepewa kisamvu cha kopo alafu ghafla umekatizwa usingelia kama mbuzi jike? Hawa jamaa tuwaache tu wamalizane wenyewe maana hawana tofauti kabisaaa, mmoja akiachwa analia mwingine akiachwa anazimia chini puuh! from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/ROXDgrK via IFTTT

Tutawapima Wabunge, Madiwani kwa Kazi na sio Maneno - Paul Makonda

Image
  Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda, leo Januari 19,2024 ameanza ziara yake kwa kuongea na Wakazi wa Tegeta Jijini Dar es salaam ambapo pamoja na mambo mengine amesema Wabunge, Wawakilishi na Madiwani watapimwa kwa kazi wanazofanya na sio kwa maneno au kujipendekeza kwa Viongozi ambapo amesemaa wasiofanya kazi taarifa zao zitapelekwa kwa Mwenyekiti wa CCM (Rais Dkt. Samia), kwamba hawafai kupewa nafasi ya kugombea tena mwaka 2025. Makonda amenukuliwa akisema; “Duniani kote hawajawahi kumaliza matatizo hata Mataifa makubwa tunayokimbilia kuyaomba bado yana changamoto, nilikuwa namsikia Rais wa Marekani anajadili jinsi gani wanataka kujenga barabara na madaraja kwenye Nchi yao Marekani nao wapo kwenye ujenzi wa barabara, tafsiri yake ni kwamba changamoto haziwezi ktuisha siku moja, zinaendelea kuwepo kutokana na idadi ya watu, mabadiliko ya tabianchi na hali ya kiuchumi, vinginevyo tungeweza kujenga lami kote” “Mwaka huu 2024 na 2025 tutawapima Wabunge na Waw

Kiongozi ACT aliyepinga maandamano Chadema asimamishwa

Image
Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimemsimamisha Mwenyekiti wa Chama hicho mkoani Dodoma, Yohana Mussa kwa madai ya kutoa kauli kinzani na msimamo wa chama hicho kuhusu miswaada mitatu ya sheria za uchaguzi. Miswada hiyo ni ile inayohusu Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani, Muswada wa Sheria ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa iliyowasilishwa bungeni, Novemba 10 2023. Mussa alikuwa miongoni mwa viongozi wa vyama kadhaa vya siasa  waaliozungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma kupinga maandamano ya Chadema yaliyopangwa kufanyika Januari 24. Vyama hivyo ni ACT Wazalendo iliyowakilishwa na Mussa, CUF, NCCR Mageuzi, AAFP, ADC na Demokrasia Makini. Siku moja ya tamko la vyama hivyo, ACT Wazalendo imetoa taarifa leo Januari 19, 2024 ikieleza kumsimamisha Mussa. Taarifa hiyo iliyotolewa na Naibu Katibu wa Habari Uhusiano na Umma wa chama hicho, Janeth Rithe, imesema  “Ndugu Yohana Mussa ambaye alitoa

Matokeo ya Kidato cha Nne 2023-2024 Form 4 CSEE Results

Image
  In this post find Matokeo ya Kidato cha Nne 2023-2024 Form Four CSEE Results, Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2023 Pdf, Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2023 Download, Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2023/2024, The most convenient and popular method is to check the results online through the NECTA website or other reliable portals. As the academic year comes to an end, students in Tanzania are anxiously waiting for their NECTA CSEE results for the year 2023/2024. The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) is responsible for conducting exams for primary and secondary school students. If you are a form four student, you might have already taken the exams and waiting for your results. In this blog post, we will guide you on how to check your NECTA CSEE results 2023/2024. You can also download a PDF version of Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2023 NECTA Form Four Examination Results 2023/2024. How to Check Your CSEE Results 2023/2024 Matokeo kidato cha nne 2023/2024 To check the Matokeo Kidato

AFCON 2023: Misri Wapambana Kufa Kupona na Kulazimisha Sare ya 2-2 Dhidi ya Ghana

Image
  Misri ilipambana mara mbili na kupata sare ya 2-2 dhidi ya Ghana katika kipindi cha pili cha michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika jijini Abidjan Licha ya Ghana kuchukua uongozi kupitia kwa Mohammed Kudus na baadaye Omar Marmoush kuisawazishia Misri, Kudus wamerejesha uongozi wa Ghana haraka kwa juhudi zilizotoka nje Bao la Mostafa Mohamed liliihakikishia Misri pointi yake ya pili, na kuiacha Ghana bila ushindi baada ya michezo miwili ya Kundi B, na timu zote mbili zikisubiri hatima yao katika mzunguko wa mwisho wa mechi   Misri ilirejea mara mbili na kupata sare ya 2-2 dhidi ya Ghana katika kipindi cha pili cha nguvu kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika jijini Abidjan. Awali Ghana walichukua nafasi ya kwanza huku Mohammed Kudus akifunga, lakini Omar Marmoush akaisawazishia Misri. Kwa haraka Kudus alirudisha uongozi wa Ghana, lakini bao la Mostafa Mohamed lilisawazisha tena bao hilo, na kuwaacha Ghana bila ushindi wowote baada ya michezo miwili ya Kundi B. Kuumia kwa nahodha

Binti atupa kichanga chooni hospitalini akihofia kuachika

Image
Katavi. Rehema Erick (19) mkazi wa Kijiji cha Mtapenda Halmashauri ya Nsimbo ametupa mtoto chake kichanga cha siku moja chini ya sinki la kunawia mikono kwenye choo cha hospitali ya Nsimbo muda mfupi baada ya kujifungua, akihofia kuachwa na mume wake. Akisimulia kisa hicho leo, Alhamisi Januari18, 2024 Kaimu Mganga Mfawidhi wa hospitali ya halmashauri hiyo, Glory Solo amesema Rehema alifika hospitalini hapo akilalamika anasumbuliwa na maumivu ya tumbo. Amesema daktari aliyemuona alimwandikia baadhi ya vipimo na baadaye Rehema alitoweka pasipo kufahamu alikoelekea jambo lililomfanya ndugu yake aliyempeleka hospitalini hapo naye kuanza kumtafuta. "Kumbe aliingia chooni akawa amejifungua huyu mtoto na kisha alitoa kondo la nyuma na akamfunika mtoto kwenye kanga aliyokuwa nayo na kumsukumia nyuma ya sinki. "Sisi tumegundua baada ya kumuona anatoka chooni akiwa anavuja damu nyingi, tulianza kumhudumia bila kujua baadaye watu walimleta mtoto wakadai ametupwa chooni, tul

Diamond Platnumz na Zuchu Ndio Basi Tena, Atangaza Yupo Single Kupitia Instagram

Image
Star Wa Muziki Africa Diamond Platnumz Atangaza Rasmi Kuwa Kuanzia Leo Yupo Single Na Wala Hana Mahusiano Na Mwanamke Yeyote Yule Mpaka Pale Atakapowatambulisha Penzi Lake Jipya !. Diamond Amethibitisha Hilo Katika IG Story Yake Na Kisha Kuifuta Post Hiyo from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/JIT9SBc via IFTTT

John Bocco Asign Miaka Mingine Tena Simba, Malengendari Hawaondolewi Kiana Kama Fungu la Nyanya

Image
Francesco Totti alidumu AS Roma miaka 24, kila benchi la ufundi lililokuja lilimpa heshima yake, iwe kumpa nafasi ya kucheza ama lah, alikuwa kipenzi cha viongozi na mashabiki na nahodha wa mfano, hadi pale alipoufuata uongozi na kuomba kutundika daruga. Pale Bayern Munich hadi leo Thomas Muller na umri wake wa miaka 34, no matter kuna nyakati anasugua benchi ama anapewa dakika 10 pekee za kucheza bado klabu inaamini yeye ni wa thamani sana, uwepo wake kwenye timu una maana kubwa. Heshima aliyoipata Totti na anayoendelea kuipata Muler ni tofauti kabisa na ilivyo kwa John Bocco. Anapopolewa maneno makali kuanzia uwanjani hadi mitandaoni. Guys inawezekana Bocco hana hiyo energy, hana huo ubora, lakini nani anajua uzito wa kauli yake kwenye vyumba vya kubadilishia nguo kwa wenzake? Nani anajua ushawishi wake kwa wenzake? Nani anajua nguvu zake za kuwapambania wenzake kupata haki sawa? Nani anajua ilivyo bond yake kati yake na uongozi kuja kwa wachezaji hadi kwenye benchi la u

Tanzania Tumecheza Ovyo Sana, Tumefungwa Mabao Matatu Hatuna Hata Short On Target Moja, Tubadilike

Image
Pamoja na kuwa tumecheza na timu bora sana namba moja Barani Africa na kiukweli wamewekeza sana kwenye soka lao kuliko sisi lakini tumecheza hovyo sana chini ya kiwango approach ya mwalimu Adel Amrouche ya mfumo wa 5-2-3 haikumlipa pamoja na kucheza watu 9 nyuma ya mpira kwenye low block lakini bado Morocco 🇲🇦 wameweza kuifungua Deffensive zone yetu na kutengeneza nafasi za kutosha na kisha kuzitumia kuzalisha mabao ya kutosha. Namna ambavyo tulikuwa tunacheza hapakuwa na pattern iliyotengenezwa bora ya ushambuliaji mbele kwenye eneo la 14 zones tulikuwa hatufiki mara nyingi waliweza kutu press kwa juu sana na kutokutupa nafasi ya kuingia kwenye eneo lao la 1/3 ya zone yao kirahisi na wakafanikiwa kwa hilo. Kwangu mimi Bwana Samata hakupaswa kutoka isipokuwa alipaswa kuongezewa watu wa kucheza naye mechi ya leo ilikuwa inamuhusu sana Kibu Denis kwakuwa ana nguvu anaweza kukimbia Sana na ana uwezo mkubwa wa kukaba. Aishi anapaswa kubadilika aina yake ya uokoaji wa mipira weng

Haji Manara Amshukia Mchambuzi Geoff Lea Baada ya Kuweka Wazi Yeye ni Shabiki wa Simba

Image
Haikatazwi kwa Mwandishi kushabikia team flani lakini kujitambulisha kama hivi automatic unakuwa ushapoteza uhalali wa kuaminika na team nyingine. Unaweza kusema au kuandika kitu cha kweli kuhusu Yanga na labda hakitawapendeza Washabiki ,lakini kwa kuwa ushadeclere ufuasi wako wa Makolo,,itaonekana una nia mbaya tu. Tujitahidi kujizuia hisia zetu kama bado tunaendelea kufanya kazi kwenye media!! Tubaki njia kuu ya Professionalism, ili tupate Legitimacy ya kukosoa na kupongeza both sides. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/rN2L0Ot via IFTTT

Matokeo Tanzana Vs Morocco Leo January 17, 2024

Image
Matokeo Tanzana Vs Morocco Leo January 17, 2024 - AFCON 2024 MATOKEO Tanzania vs Morocco Leo 17 January 2024, Tanzania vs Morocco today, Tanzania vs Morocco results, Tanzania vs Morocco, Tanzania vs Morocco live stream, Tanzania vs Morocco live score, Tanzania vs Morocco live, Taifa Stars vs Morocco Live today. Morocco are playing Tanzania at the Group Stage of Africa Nations Cup on January 17. The match will kick off 20:00 your local time. Morocco national football team and Tanzania national football team meet again 2 months after the Africa Qualification Group stage match which Morocco won 0-2. Morocco national football team are having a solid run at the moment winning their matches against Sierra Leone, Tanzania and Liberia extending their unbeaten streak to 5 matches. Tanzania national football team, on the other hand, are preparing for the match after 2 defeats in a row from Egypt and Morocco. ScoreBat is covering Morocco vs Tanzania in real time, providing the live st