Posts

Showing posts with the label map

SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA

Image
 🔞Wakubwa tu: video kali zote  TAHADHARI WAKUBWA PEKEE NDIO WANARUHUSIWA KUBONYEZA HII LINK WATOTO KAA PEMBENI =>BONYEZA HAPA TATIZO hili la mwanamke kukosa msisimko wa tendo la ndoa kitaalamu tunaita ‘Female Sexual arousal disorder’. Mwanamke akiwa na hali hii huwa hajihisi hamu wala haja ya kuhitaji tendo hilo na wakati mwingine huona kama usumbufu endapo atakuwa katika mahusiano. Mwanamke wa aina hii kama yupo mwenyewe au ‘single’ haoni umuhimu wa kuwa na mpenzi au mwenza na hasa kama anajimudu kiuchumi. Wapo baadhi ya wanawake wenye hali hii ambao hawana watoto au wengine wanamtoto mmoja au zaidi na aidha wameachana na wenza wao au wenza wao walishafariki. Msisimko hupatikana baada ya hamu ya tendo la kujamiiana kuwa juu ya kiwango na kusababisha mabadiliko mwilini na kusaidia mwili uwetayari kwa tendo. Hali ya msisimko kwa mwanamke haina tofauti na hali ya mwanaume kusimamisha uume wake. Mwanamke aliyepoteza msisimko huwa hajisikii chochote wakati wa ’ Romanc...

muongozo

MUONGOZO WETU Bongo special tv Bongo special tv ni chombo cha habari kinachozingatia weledi na maadili yanayoongoza tasnia ya habari. Tumejikita katika kuripoti matukio ya burudani yanayowahusu watu mashuhuri katika muziki, filamu, michezo nk, mitindo ya maisha na masuala ya kijamii. Tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo: 1. Kuripoti habari za ukweli 2. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa ili kuwapa ukweli wafuatiliaji  wetu 3. Kufuata misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote 4. Kujiepusha na udini, ukabila au mambo yoyote yanayoweza kusababisha uchochezi Muongozo kwa wafuatiliaji (subscribers) wetu 1. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake 2. Ina uhuru wa kufuta maoni yasiyo na maadili au yenye matusi makali 3. Ina uhuru wa kupitia maoni kabla hayajaonekana na watu wote 4. Ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni KARIBUNI SA...

ONA JINSI YA KUMNYEGESHA MWANAMKE

Image
BOFYA HAPA KUONA JINSI YA KUMNYEGESHA MWANAMKE 

Change Language In this App

Image
You can change Language in this App  You can use Swahili Version or English Version from Utundu kitandani http://bit.ly/2Kl3w7I via  IFTTT

HII NDIYO AINA YA WANAWAKE WANAOPENDWA ZAIDI NA WANAUME

Image
Wenye msimamo Wanawake daraja la kwanza wanaopendwa zaidi na wanaume ni wale wenyemsimamo, uelewa mkubwa wa mambo na maamuzi sahihi, wako makini kwenye matendo yao na siku zote hufanya vitu kwa ajili ya kupata mafanikio. Wapenda usawa Aina ya pili inayohitajika katika ulimwengu wa kimahusiano ni wanawakewanaoheshimu usawa wa jinsia, walio tayari kubeba majukumu ya kifamilia kwa ulinganifu sawa na wanaume, wenye uwezo wa kuongoza jamii kwa asilimia 50 kwa 50. Wanaojua mapenzi Wanawake wajuzi wa mambo ya faragha wanapendwa sana. Sifa yao kubwa ni uwezo wa kutosheleza katika tendo la ndoa. Tafiti zinaonyesha kuwa wanaume hupenda sana wanawake watundu katika mchezo wa sita kwa sita. Mara nyingi wanatajwa kuwa na uwezo wa kuteka akili za wanaume bila kujali sifa zao za nje au za ndani. Marafiki Wanawake wenye sifa sawa na rafiki ni aina ya nne inayowavutia wanaume. Waohutegemea zaidi nguvu ya kushawishi inayotokana na namna wanavyojali nakujitolea kuhakikisha wanakuwa marafik...

HIZI NDIZO TABIA 30 ZA MWANAMKE/WIFE MATERIAL

Image
Mtu yeyote anapenda kuwa wa thamani, mtu au kitu kuwa wa thamani inategemea sana matumizi yake na tabia yake, hasa tabia. Tabia ya kitu au mtu ndio hupelekea ubora wake kubaki kama ulivyo au kupungua. Hali na mazingira yanapobadilika kitu bora hubaki kama kilivyo na thanmani yake kuzidi kuongezeka. Chumvi ikichanganywa na mchanga utatafuta mbinu ya kuitoka kwenye mchanga ili uitumie, na ukiamua kwenda kuiuza chumvi hivyo iliyotolewa kwenye mchanga gharama yake haitakuwa ile ya mwanzo. Inaweza kuleta shida kidogo kujadili thamani ya mwanamke pekee wakati huo huo wote wawili mwanamke na mwanaume wanathamani sawa. Nafahamu kuwa wanaume wenzangu wanathamani sawa na mwanamke lakini ukiangalia leo duniani mwanamke huenda hajithamini au athaminiwi jamii yake. Chanzo kikubwa ni mwanamke yeye mwenyewe na ufahamu wake uliojaa mtazamo wa kusaidiwa na kutaka kuthaminiwa pasipo sababu ya msingi. Kamwe mwanamke hata thaminiwa asipo baki kwenye ubora wake. Thamani iliyo ndani ya mwanamke ni ...

JINSI YA KUMRIDHISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA WAKATI WA KUFANYA MAPENZI

Image
Dondoo 10 muhimu, ambayo mwanaume akizifanya kwa mwanamke wake, hakika atakuwa amejijengea ulinzi mwenyewe kujilinda dhidi ya mwizi au dokozi yeyote huko nje kwenye mapenzi yake na mpenzi wake,. 1.Mfanye akojoe kabla hujaanza kumuingilia (kungonoka) Inawezekana likaonekana jambo geni na la kushangaza kidogo, lakini ukweli ndio uko hivyo. Hili ni jambo ambalo wanawake wengi wangelipenda kufanyiwa na wapenzi wao lakini ambalo wanaume huwa hawalifanyi. Wengi huwaandaa wanawake kwa lengo la kuhakikisha kuwa wametepeta kwenye uke, kwa maana ya kuwa wamelainika ili kuwezesha wao kupenya kwa urahisi, lakini wanawake wengi wangependa zaidi ya hapo. Ikiwa mwanaume utaweza kumfanya mwanamke akojoe kabla ya kumuingilia, unajiongezea nafasi ya kumfanya afurahie lile tendo la kutiana zaidi na kukuweka miongoni mwa wanaume walio bora kabisa wa maisha yake. Hii humfanya awe tayari yuko kwenye hali ya kuhitaji tu kuingia kwa uume wako aweze kupiga bao la pili, na hii inamaanisha kuwa inaweza k...

MADHARA YA KUCHUKULIA POA TENDO LA NDOA

Image
MUWE wachumba, muwe ndani ya ndoa, tendo la ndoa lina umuhimu wake. Kwa namna moja au nyingine linakamilisha maana nzima ya mapenzi. Ni kama vile kachumbari kwenye pilau. Si kwamba pilau haliliki bila kachumbari lakini ikiwepo, utamu unakamilika. Ili kuleta ustawi wa penzi, mwanamke ana wajibu wa kutenda tendo hilo kikamilifu, hali kadhalika mwanaume. Mmoja kati yao anapolifanya chini ya kiwango, humweka mwenzake njia panda. Aone kuna kitu hakijakamilika. Hakijakamilika kwa sababu amemuacha njiani. Mwenzake alikuwa anahitaji kuendelea na safari, lakini yeye ameikatisha. Ni sawa na mtu kuwa na kiu ya maji halafu ukapewa maji kiduchu. Kiu inabaki palepale, unatamani kupata maji mengi ili uikomeshe lakini mwenzako hana habari. Kwa kuwa uhusiano unajengwa na vitu vingi likiwemo hilo, linapokuwa linafanyika chini ya kiwango, uhusiano unakuwa haujakamilika. Upungufu utaonekana na taratibu penzi litaanza kuyumba. Kachumbari inakosekana kwenye pilau, ladha itatoka wapi? Nirudi kwe...

KUNA FAIDA WAPENDANAO KUKWARUZANA

Image
Mikwaruzano kwenye uhusiano inawafanya muwe imara. Inapotokea inawapa funzo kwamba mkishasameheana, muishi vipi ili msiweze kuingia tena kwenye kitu ambacho kiliwafanya mkwaruzane au mpoteze amani yenu. Katika hali ya kawaida kabisa, hakuna mwanadamu aliyekamilika hivyo tunapaswa kuelewa kwamba suala la kupishana mawazo lipo tu. Hauwezi kuepuka kutofautiana na mwenzako ambaye mmekutana mkiwa tayari na akili zenu timamu, hivyo mnachotakiwa kufanya ni kuitumia nafasi hiyo kujiimarisha. Hamuwezi mkakaa kwenye uhusiano mwaka mmoja, miwili hamjagombana hata iweje lazima itafika mahali kidogo mwenzako atakukwaza na mtaingia kwenye mvutano. Mnachotakiwa tu kufanya ni kuchukulia changamoto hiyo kama funzo. Mjue ni nini kimesababisha hadi mpishane. Kwenye eneo hili kila mtu anapaswa kujitathimini yeye mwenyewe. Zungumza na nafsi yako uone ni kweli hujamkosea mwenzako? Kama ulimkosea, muombe radhi na ujue kwamba hilo liwe kama mwongozo kwako ili kuwasaidia lisitokee tena. Kwa kawaid...

LADIES,HIZI NI DALILI 11 ZA MPENZI WAKO ANATAKA AKUFANYE MKE WAKE,SOMA HAPA

Image
Ukiotea story kwenye vikao vya wanawake, utasikia wakisema wanaume wanaooa siku hizi wamekuwa wachache. Kwamba wengi tunapenda kuwachezea tu. Lakini wapo wanaume ambao wanataka kutulia na mwanamke mmoja na kumfanya awe mke wake. Sasa utajuaje kuwa boyfriend wako anakupenda kiasi cha kutaka uwe mke wake? 1. Huweka mipango ya baadaye Anapoanza kuzungumza mipango yake ya baadaye, ni ishara kuwa angependa ajue mtazamo wako na mtazamo wako una uzito kwake. 2. Unaalikwa kwenye kila tukio Unakuwa mtu wa pili kwenye kila matukio muhimu. Hii inamaanisha kuwa anakuona una umuhimu kwenye maisha yake. Anataka kukutambulisha kwa familia yake na kukufanya ujisikie kuwa na wewe ni sehemu yake. 3. Yuko Makini Kama mpenzi wako anazingatia muda, ni lazima anakukubali sana. Pindi mwanaume anapokuwa kwenye uhusiano serious, atahakikisha kuwa mwanamke wake hamsubiri. Atahakikisha unajua kama atachelewa na hatokuchomesha mahindi. 4. Kuna ongezeko la ukaribu Itaonekana kama mlipoanza kuw...

UKISIKIA MWANAUME KUWA NA KOROMEO NDIYO HUKU

Image
M WANAUME  ame umbwa na koromeo. Ndiyo sentesi utakayoisikia mitaani kunapokuwa na mjadala unaohusisha suala la uvumilivu, kubeba siri na kukubaliana na matokeo yoyote! Kwamba inaaminika mtoto wa kiume hakuna kinachomshinda chini ya jua. Kuna ukweli katika hilo, lakini baadhi ya wanaume hutuangusha kwa kushindwa kuwa na sifa hizo. Wakati fulani mwanaume anaweza kulevywa na penzi la mwanamke kiasi cha kukabidhi sifa zake hizo kwake. Tunakumbuka kisa cha Samsoni na Delila kwenye Biblia. Samsoni alijikuta akitoa siri za nguvu zake kwa kumweleza Delila ambaye aliuza dili kwa Wafilisti, wakaja kumkamata baada ya kunyolewa nywele zake – zilizokuwa siri ya nguvu zake. Samsoni alileweshwa na penzi. Usiwe kama Samsoni. Wakati fulani unaweza kutofautiana na mkeo au mchumba wako, halafu unaona suluhu ni kupeleka jambo lako kwa watu wengine! Unafeli sana mzee. Jiulize, hadi wewe upeleke mambo yako kwa rafiki yako, kwani yeye hagombani na mwanamke wake? Kumbuka binadamu tumetofauti...

NJIA NANE ZA KUGUNDUA IWAPO MWANAMKE AMEPANDWA HAMU AKIWA KANDO YAKO

Image
Je unaweza kutambua iwapo mwanamke amepandwa na nyege akiwa kando yako? Well, kama unazifahamu ishara bayana basi inakuwa rahisi kwako.Ok, tuanze hivi. Hebu chukulia umeketi na marafiki zako wa kiume na wa kike halafu ghafla rafiki yako mmoja akaanza kuonyesha ishara fioa ambazo wewe pekee ndio umezitambua kuwa amepandwa na nyege na anataka ufanye makamuzi ya haraka haraka. Hiki ni kipawa kilioje? Sasa waonaje kipawa hiki cha kutambua mwanamke kama amepandwa na nyege bila hata kumgusa wala kumchungulia mwili wake wa ndani kiwe unakimiliki? Relax, Nesi Mapenzi iko hapa. Tutakupa ishara zote tuzijuazo hapo chini.Zama nasi… #1 Anakuangalia kana kwamba wewe ni nyama iliyotandazwa vyema Kwa lugha nyingine tunaweza kuita ‘macho ya mahabat’ ama ‘macho ya mlalano’. Kuna mtizamo wa macho ambao mwanamke atakuangalia tofauti na vile ambavyo unamtambua kukuangalia. Hii ni ishara ya kukuambia kuwa amekupa nafasi ya wewe uchukue hatua ya kwanza kwake. Utamwona kuwa mara kwa mara a...

UTAMU WA STYLE YA KIFO CHA MENDE

Image
Sawa sikatai kwamba siku hizi tunaenda na wakati,tunakuwa wabunifu ili kufanya tukio zima la kufanya mapenzi linoge.Mikao ya hapa na pale..style za kila aina kama vilema vileee mmh hii yote ni kuleta mzuka katika mapenzi lakini nakupa sababu moja ya msingi ambayo inakubidi uendelee kutumia style hii (KIFO CHA MENDE) 1. Kwanza stlye hii utaijua maana yake kama unafanya na mpenzi wako wa dhati kabisa na si mtu tu ambae umeamua kufanya nae tendo la ngono. 2.Kufanya mapenzi ni njia nyingine kubwa ya kudumisha uhusiano wako na mpenzi wako style hii inakufanya uwe karibu sana na mpenzi wako wakati mna  do…Style ya kifo cha mende inakufanya upate nafasi ya kumkumbatia mpenzi wako wakati mnafanya mapenzi,kumtizama usoni na kuona anajisikiaje wakati mnafanya mapenzi(anakufeel),wanawake tuna kawaida wakati gemu imekolea tunapenda kukumbatia kwa nguvu..kwa hiyo hapa utamvuta…utamkumbatia mpenzi wako..utamng’ata kwa wale wanaopenda kung’ata,utamlilia kwa wale wanaolia maaana kuna ...

Jinsi ya kumfanya mwanamke apagawe na wewe

Image
J Jinsi Ya Kumfanya Mwanamke Apagawe Kwako Kuna vitu vingi ambavyo unaweza kutumia kwa manufaa yako ili kufanya wanawake wakuone unavutia. Amini usiamini, hivi vitu si lazima uwe tajiri wala uwe na urembo wowote. Mwanzo kati ya vitu hivyo vingi ni rahisi kuvitumia kwa urahisi. Hii hapa ni orodha ya mambo ambayo ukiyazingatia yatakufanya wewe uwe na mnato kwa mwanamke yeyote yule. 1. Uwezo wako wa nishati Nishati inaweza kuwa na mkusanyiko wa vitu kadhaa, kama vile kuhisi kwa vipepeo ndani ya tumbo, kusuka, wasiwasi ama vitu tofauti kabisa. Kwa mtizamo wa moja kwa moja, nishati inahusiana na yote yale ambayo yanamfanya mwanamke kujiskia raha wakati anapokuona ama kutaka kuutumia muda wake mwingi akiwa na wewe. Nishati inacheza nafasi kubwa katika mapenzi kama wataka kumtongoza mwanamke na ufaulu kwa urahisi. Ili kupeana nishati zaidi kila wakati unapokuwa na mwanamke, hakikisha kile kikuu unachohitaji kufanya ni kumchekesha, kumsapraiz, umguse kwa bahati mbaya mara kwa mara, kuwa m...