Posts

Showing posts from April, 2023

Hitilafu za Umeme Katika Uwanja wa Benjamin Mkapa..Hii ni Mara ya Pili

Image
Hitilafu za umeme katika Uwanja wa Benjamin Mkapa zimeendelea ambapo leo tena zimesimamisha mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Rivers United. Mchezo huo ulisimama dakika ya 25 kipindi cha kwanza zikianza kuzimika Moja kwenda nyingine kisha kumalizika zote zinazozunguka uwanja huo. Baada ya kuzimika kwa taa hizo mwamuzi wa mchezo huo Jiyed Redouane kutoka Morocco alisimamisha mchezo na timu kubaki uwanjani zikisubiri kuwaka tena kwa taa hizo. Hata hivyo baada ya dakika 6 baadaye zilianza kuwaka taratibu Moja na kuondoa giza kubwa lililokuwa uwanjani. Jiyed ilipotimu dakika 40 ambapo ni dakika 15 baadaye tangu zilipozimika alizirudisha timu vyumbani huku taa hizo zikiendelea kuongezeka kuwaka. Dakika nane baadaye mwamuzi huyo alirudi uwanjani huku taa zikiendelea kuwaka ambapo pia dakika Moja baadaye wenyeji Yanga pia walirejea na kuanza kupasha misuli na kufuatiwa na Rivers. Hii ni mara ya pili kwa taa hizo kuzimika wakati mchezo unaendelea

Mchungaji Mwingine Akutwa na Waumini 32 Anaowalazimisha Kufunga Siku 14, Waumini Wakutwa na Hali Mbaya

Image
Jeshi la Polisi nchini Kenya limemkamata Mchungaji Hellen Wanjiru Weri (62) wa kanisa la Army Rurwama Fellowship la mjini Nakuru, kwa tuhuma za kuwafungisha baadhi ya waumini kwa wiki moja bila kula wala kunywa chochote, ili sala zao ziweze kupokelewa mbinguni. Mchungaji Wanjiru ambaye hujitambulisha kama mama wa kiroho wa mataifa yote (Spiritual mother of all Nations) aliwakusanya waumini 32 nyumbani kwake katika kijiji cha Kihingo, kaunti ya Nakuru kwa huduma ya maombezi, ambapo kwa wiki moja waliyokaa hapo hawajala wala kunywa chochote. Kutokana na kuzidiwa njaa kwa muda mrefu baadhi ya waumini hao walizirai, na wengine kupoteza nguvu za kuendelea na maombi lakini Mchungaji Wanjiru aliwasisitiza waendelee kuomba. Waumini wote walinyang'anywa simu na kuzuiwa kuwasiliana na ndugu zao wakati wote wa maombi hayo yaliyopangwa kufanyika kwa siku 14. Mama Wanjiru aliwaambia waumini wake ikiwa Yesu alifunga kwa siku 40 bila kula wala kunywa ili aushinde ulimwengu, nao watafunga

TMAAwards: Harmonize msanii bora wa kiume wa mwaka

Image
  Baraza la Sanaa Tanzania BASATA usiku wa kuamkia leo limetangaza washindi wa tuzo muziki Tanzania (TMA) za mwaka 2022 jijini DaresSalaam. Tuzo ya mwisho kutolewa usiku wa leo ni kipengele cha mwanamuziki bora wa kiume wa mwaka 2022 tuzo za Tanzania Music Awards ambayo imekwenda kwa Konde Boy @harmonize_tz. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/y0hMXj2 via IFTTT

Rivers United Wavamiwa Dar, Basi Lao Lapuliziwa sumu, Waiba Dola Elfu 5

Image
  Rivers United Wavamiwa Dar, Basi Lao Lapuliziwa sumu, Waiba Dola Elfu 5 Klabu ya soka ya Rivers United kupitia ukurasa wao rasmi wa Twitter wametoa taarifa ya madai ya basi lao kupuliziwa kemikali ya sumu pamoja na kuibiwa fedha zilizoachwa humo wakati ndani ya uwanja kwa mazoezi usiku wa jana. Kupitia ukurasa wao wa Twitter Rivers wameandika; ikiwa ni karibia masaa 24 kabla ya mchezo wa robo fainali ya kombe la shirikisho Afrika raundi ya pili ndani ya Dar es Salaam basi la Rivers United limevamiwa na vitu vyenye thamani ya maelfu ya dola za kimarekani vimeibiwa " " Rivers United imeiandikia CAF na inasubiri kuchukuliwa kwa hatua zaidi " " waliokuwepo kushuhudia tukio hilo ni pamoja na mratibu mkuu wa CAF, Ali Nwebe kutoka Uganda na Mkuu wa Idara ya Ulinzi WA CAF, Jamil Bawalaggana Mpagi kutoka Uganda ambaye ndiye amethibitisha kuwa kemikali iliyopulizwa ndani ya basi ni sumu " " hayo yamegunduliwa baada ya timu kumaliza mazoezi yake ya m

Wababe Wanne Waliotinga Nusu Fainali Ligi ya Mabingwa

Image
  Wababe Wanne Waliotinga Nusu Fainali Ligi ya Mabingwa Mechi mbili za robo fainali michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika zilihitimishwa usiku wkuamkia leo kwa mabingwa wa kihistoria Al Ahly kukata tiketi kibabe baada ya kulazmisha suluhu ya bila kufungana nchini Morocco dhidi ya Raja Casablanca Al Ahly walishinda mabao 2-0 kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa huko Misri Al Ahly iliungana na Esperance ya Tunisia ambayo pia ilitinga nusu fainali licha ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya JS Kbalylie Esperance ilishinda bao 1-0 kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa Algeria Mapema jana Mamelodi Sundowns ilitinga nusu fainali kibabe kwa ushindi wa jumla wa mabao 6-2 dhidi ya CR Belouizdad Mamelod walishinda mabao 2-1 katika mchezo wa mkondo wa pili wakiongezea juu ya ushindi wao wa mabao 4-1 katika mchezo mkondo wa kwanza Al Ahly, Mamelod na Esperance zimeungana na Wydad Athletic ambayo ilitangulia nusu fainali juzi kwa ushindi wa mikwaju ya penati dhidi ya S

Dawa ya Sado Mix Bora ya Kibamia Call 0713195321

Image
  DAWA YA SADO MIX _BORA SANA YA KIBAMIA CALL 0713 195321/ WHATSAPP +255745387469. ---------------------------------------- Ni dawa ya asili ( yenye mchanganyiko wa mitishamba yenye kutibu na kumaliza matatizo yafuatayo KIBAMIA _Uume kusinyaa na kuwa kama mtoto , _kunyoosha mishipa ya askari iliyosinyaa kutokana na kujichua kwa muda mrefu -au ngiri ,nk _kuongeza size ,urefu na unene wa askari nchi (6-8) _kukaza misuli ya askari iliyolegea kutokana na kujichua nk. 3 POWE Ni dawa ya kutibu matatizo ya Nguvu za kiume na tatizo la kuwahi kileleni kuongeza ham ya tendo la ndoa ndani ya dk 90 hukufanya unogewe kufika kileleni dk 15-20 na kurudia tendo zaidi ya mara 3 bila hamu kuisha.Pia kuna dawa za matatizo ya (1) Kisukari (2)tezi dime(3)bawasiri(4)madonda ya tumbo (5) busha bila opretion nk. Tunapatikana Dar es salaam na inaweza kukufikia popote ulipo dawa. dar es salam ,Mwanza, Zanzibar ,arusha ,mbeya ,na mikoa yote Tanzania kwa bus au kwa boti NB; dawa hizi ni za asil

Rosa Ree Atwaa Tuzo Mbili Tanzania Music Awards, Rapper Bora wa Kike na Wimbo Bora wa Hip Hop wa Mwaka

Image
Rapper Rosa Ree amejinyakulia tuzo mbili katika kinyanganyiro cha Kuwapa wasanii waliofanya vizuri mwaka jana 2022 katika mziki, katika hafla hiyo iliyofanyika usiku wa tarehe 29 April 2023 tuzo Msanii bora wa Hiphop wa kike Tanzania na tuzo ya Wimbo Bora wa Hip Hop zote zimechukuliwa na Rosa Ree Wimbo ulioshinda kuwa wimbo bora ni wimbo wa Blue Print ambao Rosa Ree aliimba kuhusu mateso waliopitia babu zetu kutoka kwa wakoloni Utazame wimbo huo hapa chini: Pia Msanii staa wa Bongofleva Harmonize ameshinda Tuzo Ya Mwanamuziki Bora wa Kiume wa Mwaka 2022 kwenye Tuzo za TMA usiku wa kuamkia leo, Zuchu ameshinda Mwanamuziki Bora wa Mwaka wa Kike. Billnass ameshinda tuzo ya Msanii Bora wa Hiphop wa kiume mwaka , Kontawa Mwanamuziki bora chipukizi. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/9YMz8IT via IFTTT

Mtoto wa miaka 7 achomwa moto na mama yake kisa kula kiporo

Image
Jeshi la Polisi Mkoani Shinyanga linamshikilia Grace Godwin (23) Mkazi wa Mtaa wa Sido Kata ya Ibinzamata Manispaa ya Shinyanga kwa tuhuma za kumchoma moto mikono yote miwili mtoto wake kwa tuhuma za kula wali. Tukio hilo lilitokea April 27, 2023 katika Mtaa huo wa Sido baada ya mama huyo kumchoma moto mtoto wake mwenye umri wa miaka saba anayesoma darasa la kwanza kwa madai ya kula wali uliobaki (kiporo) bila kuruhusiwa. Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na tayari wanamshikilia mwanamke huyo kwa hatua zaidi za kisheria na upelelezi utakapokamilika atafikishwa mahakamani. “Tunamshikilia mtuhumiwa ambaye anaitwa Grace ni mama mzazi wa mtoto anayedaiwa kuchomwa moto mikono yake yote miwili,tukio hili ni baya na vitendo hivyo vya ukatili tunalaani vikali visijirudie”amesema Kamanda Magomi. Mwenyekiti wa Mtaa wa Sido Kata ya Ibinzamata Emmanuel Kayange amesema alipata taarifa za tukio hilo na kuamua kufuatilia na

Rais amuagiza Katibu kuuza magari yote ya kifahari

Image
  Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema amemuagiza Katibu wa Baraza la Mawaziri nchini humo, Patrick Kangwa kuuza magari yote ya kifahari yaliyonunuliwa kwa ajili ya Maofisa Wakuu wa Serikali wakati wa utawala wa UPND. Hatua hiyo, inatokana na kiapo cha utawala wake cha kuzuia ubadhirifu wa maafisa wa Serikali, jambo ambalo lilidhihirika katika utawala uliopita, huku akisisitiza umuhimu wa kuzingatia kiapo hicho na kwamba magari hayo ya kifahari hayana ulazima. Aidha, Rais Hichilema amesisitiza pia dhamira ya Serikali yake ya kuwatumikia watu wa Zambia na kusimamia uwajibikaji wa maofisa walioteuliwa na agizo lake ni sehemu ya juhudi za utawala wake kupunguza matumizi ya serikali na kudhibiti ufisadi. Hata hivyo, ameonesha kusikitishwa na kitendo cha baadhi ya Mawaziri na Makatibu Wakuu kushindwa kutekeleza majukumu yao na badala yake kuendekeza starehe na kushinda mtandaoni huku akiwataka wahakikisha wanafanisha lengo la kisera na programu za serikali kiufasaha. from UDAKU SP

Mafuta ya Kuvuta Pesa za Majini au Jini wa Utajiri (Money Drawing Oil?)

Image
Haya ni mafuta Mapya kutoka Katika Maktaba kuu inayoshughulika kutengeneza Vifaa mbalimbali vya Nguvu za Asili na Za Kimiujiza vyenye uwezo mkubwa wa kumsaidia Binadamu kufikia malengo yake yawe Hasi ama Chanya Wanaitwa Lord's Divine wanapatikana Katika Maktaba Kuu ya Nguvu za Asili Kazi ya mafuta haya ni Nyingi ila Nitaanisha baadhi kwa Uchache.. 👉kuwa na uwezo wa kuvuta Pesa kwa wingi na hivyo kuweza kukupatia Utajiri kwa haraka 👉Kukufanya uwe MVUTO na BAHATI kubwa sana ktk kila jambo lako utakalofanya linafanikiw 👉Kukufanya uwe na mvuto na heshima kubwa katika Kazi, Kwa Wachungaji, Wanasiasa, Wasanii, au Mtu yoyote Maarufu Kwa wanayoyafahamu wanajua faida zake. Haya ni mafuta yanayotumiwa sana katika kuvuta pesa za majini ama kuita Jini wa Utajiri. Ni mafuta yenye kazi nyingi za umuhimu na kimaendeleo, shida ni kwamba hayapatikani kiurahisi sana kwa ajili ya umuhimu wake na mafanikio yake. MATUMIZI YAKE KWA WALE WANAOTAKA PESA ZA MAJINI : Andaa Chumba ( Kisiwe na Vi

Simba Baada Ya Kumalizana Na Wydad… Robertinho Ahamishia Nguvu Yanga, Azam

Image
  BAADA ya kumalizana dhidi ya Wydad Casablanca ya nchini Morocco usiku wa kuamkia leo Jumamosi, Kocha Mkuu wa Simba, Mbrazil, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ sasa nguvu na akili zake sasa amezihamishia kwa wapinzani wake Yanga na Azam FC. Simba jana usiku walitarajiwa kujitupa kwenye Uwanja wa Mohammed V, ulio Mji wa Casablanca nchini Morocco kuvaana dhidi ya Wydad Casablanca. Timu hizo zilicheza katika mchezo wa mkondo wa pili wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliotarajiwa kujaa upinzani mkubwa. Katika mchezo wa kwanza wa robo fainali uliochezwa wiki moja iliyopita kwenye Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam, Simba ilipata ushindi wa bao 1-0 ambalo lilifungwa na Jean Baleke. Simba wapo katika nafasi ya pili wakiwa na pointi 63 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara wanapambania taji hilo na Yanga ambao ndio watetezi walio kileleni wenye pointi 68. Pia Simba wana kibarua kigumu dhidi ya Azam FC watakaovaana hivi karibuni katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la FA msimu h

Simba watolewa kiume CAFCL, penati zaamua

Image
Klabu ya @simbasctanzania imeyaaga mashindano ya CAF Champions League kwa mikwaju ya penati baada ya dakika 90 kumalizika kwa goli 1-0 (Agg 1-1). Penati za Simba SC 1> Erasto Nyoni ✅ 2> Saido Ntibazonkiza✅ 3> Shomary Kapombe❌ 4> Moses Phiri✅ 5> Clatous Chama❌ from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/kyzUbR0 via IFTTT

Babu Sefu Mtaalamu wa Tiba Asili, Una Matatizo Au Shida Inayokusumbua...Usiteseke

Image
Una Matatizo Au Shida Inayokusumbua? Usiteseke Sana Babu Sefu Yupo Kwa Ajili Yako Ni Mtaalamu Wa Tiba Za Asili Ambaye Anakusaidia Matatizo Haya 📌Kurudisha Mahusiano Yaliyoharibika 📌Kutoa Zindiko La Mali Na Shamba 📌Kuongeza Mvuto Wa Mapenzi Na Biashara 📌Kutoa Utajiri Usio Na Masharti 📌Kutoa Utajiri Wa Majini 📌Kusaidia Kukurudisha Kazini Na Kama Huna Kazi Basi Utapata Kazi 📌Anatibu Magonjwa Yote Sugu Na Yale Ya Kurogwa 📌Una Kesi? Usijali Babu Sefu Atakusaidia Kushinda Kesi Yako Yoyote Ile 🚨BABU SEFU Anatibu Popote Pale Ulipo Kwa Uhakika Sana 🚨Anatibu Kwa Kutumia Jina Na Picha La Mtu Husika 📲Wasiliana Nae Kwa Kupiga Simu Namba 0769111403 Au WhatsApp 0769111403 USIHANGAIKE SASA KWANI BABU SEFU NI MKOMBOZI WAKO from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/LeBTH56 via IFTTT

Warudisha Mali Wakiwa na Matumbo Kama Wenye Mimba

Image
  Warudisha Mali Wakiwa na Matumbo Kama Wenye Mimba Ninaitwa Nathaniel kazi yangu ni uuzaji na usambazaji wa magari kutoka China kuleta Tanzania.Kazi yenyewe siyo kongwe sana kwangu ni kazi niliyoifanya kwa muda wa miaka mitatu sasa kabla sijaacha kujishughulisha na utowaji wa copper kwenye vyuma chakavu. Kazi yenyewe niliipata baada ya kumfahamu daktari BAKONGWA bingwa wa kutatuwa shida za wengi mwenye nambari zake za whatsapp + 243990627777 na tovuti zake https://bakongwadoctors.com . Mwaka wa tatu toka nianze kujihusisha na kazi hii ya kuuza magari nilikuwa mwenye kusafirisafiri sana mara kwa mara na hivyo kupaacha nyumbani penyewe bila ya muangalizi, sikuwa mwenye haraka ya kuowa nilitaka kujikamilisha kwanza kwenye kila kona ya maisha yangu. Sasa nilikuwa nimepanga mara baada ya safari yangu ya mwisho nimuhusishe daktari juu ya swala langu la mimi kuoa ili anifanyie wepesi katika jambo hili ambalo vijana wengi huwa linatusubuwa. Uangalizi niliokuwa nao hapo nyubani n

Dawa ya Sado Mix Bora ya Kibamia Call 0713195321

Image
 DAWA YA SADO MIX _BORA SANA YA KIBAMIA CALL 0713 195321/ WHATSAPP +255745387469. ---------------------------------------- Ni dawa ya asili ( yenye mchanganyiko wa mitishamba yenye kutibu na kumaliza matatizo yafuatayo KIBAMIA _Uume kusinyaa na kuwa kama mtoto , _kunyoosha mishipa ya askari iliyosinyaa kutokana na kujichua kwa muda mrefu -au ngiri ,nk _kuongeza size ,urefu na unene wa askari nchi (6-8) _kukaza misuli ya askari iliyolegea kutokana na kujichua nk. 3 POWE Ni dawa ya kutibu matatizo ya Nguvu za kiume na tatizo la kuwahi kileleni kuongeza ham ya tendo la ndoa ndani ya dk 90 hukufanya unogewe kufika kileleni dk 15-20 na kurudia tendo zaidi ya mara 3 bila hamu kuisha.Pia kuna dawa za matatizo ya (1) Kisukari (2)tezi dime(3)bawasiri(4)madonda ya tumbo (5) busha bila opretion nk. Tunapatikana Dar es salaam na inaweza kukufikia popote ulipo dawa. dar es salam ,Mwanza, Zanzibar ,arusha ,mbeya ,na mikoa yote Tanzania kwa bus au kwa boti NB; dawa hizi ni za asili

MATOKEO Simba vs Wydad Casablanca Leo 28 April

Image
  MATOKEO Simba vs Wydad Casablanca Leo 28 April, CAF Champions League About Simba and Wyday Results The leadership of Simba SC has made it clear that the final result will decide their fate in reaching the Semi-Finals of the African Champions League, despite leading by 1-0. Simba SC won the first leg of the quarter-finals against the defending champions Wydad Casablanca at Benjamin Mkapa Stadium on Saturday (April 22), and the next day, Friday (April 28), will play the second leg at Mohammed V Stadium in Casablanca. in Morocco. Simba News Department Manager Ahmed Ally has said that they have a big job to get results against Wydad away, but they are prepared to fight to the last drop to achieve their goal of going to the Semi-Finals this season 2022/23. "The results of the Mkapa Stadium do not mean that the work will be over, but it is until the second away game that will have the final and complete result to decide our fate, we have planned to fight in the away stadium, I

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Kampuni tofauti

Image
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo  Website namba  moja kwa kutangaza ajira mbali mbali hapa Tanzania ya  AJIRA YAKO Inakuletea Nafasi mbali mbali zilizotangazwa leo na Makampuni Tofauti tofauti ya Binafsi pamoja na Ajira za Serikali BONYEZA HAPA KUSOMA NAFASI HIZO  AJIRA YAKO: Website Provides an Open and Easy Access to Job Applications, Great Resources for Career Advancement and Job Placement. Tembelea Kila siku kwani Kwa siku tunaweza Nafasi Mpya za kazi zaidi ya 30  kutoka Makampuni tofauti , njia za kuapply ajira hizi ni tofauti , kuna makampuni wanataka utume email na viambatanishi kama CV, vyeti na Barua ya Maombi, Makampuni mengine yanataka ujiandikishe kaka Mfumo wao (Portal) Kisha ndio ufanye maombi  BONYEZA HAPA KUSOMA NAFASI HIZO  from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/1inPk0p via IFTTT

Video: Nyumba iliyokuwa ikijengwa na Mfanyakazi wa GGm alieuwawa kikatili Geita, Jirani amuelezea

Image
NI Mwendelezo wa stori inayohusu Mmfayakazi wa Mgodi wa GGML Mwanamke Mmoja ajulikanaye kwa jina la Milembe Seleman (43) Mfanyakazi wa Mgodi wa Geita Gold Mining (GGML) Kitengo cha Ugavi Mkazi wa Mseto Wilaya na Mkoa wa Geita alieuawa kwa kukatwa sehemu mbalimbali za mwili wake na Watu wasiojulikana. Sasa leo April 27, 2023 Ayo TV & Millardayo.com inakuletea kuhusu walichozungumza majirani pamoja na Ujenzi wa nyumba aliyoiacha huko Mkoani Geita from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/SfgPA0B via IFTTT

Mwana FA "Mimi Sichangii Harusi ya Mtu yeyote"

Image
"Mimi sichangii harusi ya mtu yeyote, ukifiwa nitakuchangia kwa sababu hilo hukulipanga, harusi wewe umepanga mwakani unaoana unaweza kukusanya hela zako.” “Pili, unatakiwa uoe kwa urefu wa mfuko wako. Kwanini utuchangishe wote kama sisi wote tunaenda kuoa? aliyekwambia ndoa lazima watu wapambe maukumbi na wanywe ni nani? gauni la bibi harusi ni gharama kubwa. What’s the point? Kitu kikubwa ni maisha yenu kwamba mnaweza kuishi sawa" - Ameshema Mh.MwanaFA mbunge wa Muheza ambaye pia ni mwanamuziki maarufu Ikumbukwe msanii huyo licha umaarufu alionao lakini miaka michache iliyopita alioa kimya kimya from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/Go51NM4 via IFTTT

Watatu Wydad AC kuivaa Simba SC Ijumaa

Image
Kurejea kwa Wachezaji watatu tegemeo katikakikosi cha Mabingwa wa Soka Barani Afrika Wydad Casablanca, huenda kukaipa wakati mgumu Simba SC katika mchezo wa Mkondo wa Pili wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika. Timu hizo zinatarajiwa kurudiana keshokutwa Ijumaa (Aprili 29) katika mchezo wa Mkonda wa Pili utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mohammed V ambao upo mjini Casablanca nchini Morocco. Katika mchezo wa Mkondo wa Kwanza uliopogwa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam Jumamosi (April 22) Simba SC iliibuka na ushindi wa 1-0, bao likifungwana Jean Baleke. Katika mchezo huo wa marudiano, Wydad Casablanca inatarajiwa kuwatumia wachezaji wake watatu tegemeo waliokosekana kutokana na majeraha ambao ni Mshambuliaji Bouly Junior Sambou, kiungo mshambuliaji Mohammed Ounnajem na Mlinda Lango chaguo la Kwanza Ahmed Reda Tagnaouti ambaye ni Mlinda Lango chao la Pili katika Timu ya Taifa ya Morocco. Mastaa hao wote juzi Jumatatu (April 24) walionekana katika mazoezi ya timu hiy

Fanya Haya Kupiga Hela Meridianbet

Image
Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakupa ushindi kirahisi kupitia sloti ya Titan Dice ambayo ni moja ya michezo inayotoa hela ndefu kirahisi.  Michezo ya  Dice  (kete) imekuwepo kwa muda mrefu kihistoria, mchezo huu ulianzia China ambapo waandaaji wa kisasa, Expanse Studios wametengeneza sloti ya Titan Dice kukumbusha uzuri wa mchezo huu. Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet imekuletea mchezo huu katika mikono yako sasa! Pata odds kubwa ukibashiri na Meridianbet. Namna ya kucheza mchezo wa Titan Dice Sloti  ya Titan Dice kutoka Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet inakupa burudani mara mbili! Unapata nafasi ya kuchagua namba na kuzungusha kete kwenye gurudumu la roulette kisha unafurahia ushindi mkubwa. Cha kufanya tafuta "Titan Dice" Kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, kisha ingia mchezoni ujikusanyie mavuno, weka dau lako kisha chagua namba na jumla ya odds unazohisi mzunguko wa roullete utamalizikia.  Baada ya hapo bonyeza kitufe cha "Roll" kuan

Gonjwa Lililo Nikosesha Ndoa za Kifahari

Image
Ninayo bahati ya kupendwa yoyote ambaye nimeishi naye katika ukuaji wangu analijuwa hili tayari nilianza kusumbuliwa na wanaume wa kila rika kuanzia niko na umri mdogo sana.Nilipojitambuwa tu nikaachana na tama za wanaume na kuamuwa kuwa na mwanaume mmoja amnbaye atanipenda na kujitambulisha kwa wazazi na mimi niwe wake wa kudumu. Ethan, ndiye alikuwa mwanaume wangu wa kwanza kumpenda naye pia akanipenda sana tumekuwa naye kwenye kipindi cha mahusiano na uchumba tukachunguzana na kujuwana vizuri kwa muda wa miaka mine bila ya yoyote yule kuona changamoto yoyote juu ya mwenzake. Sasa kipindi kirefu kilikuwa kimepita na sisi tukakubaliana kama wapenzi ni muda sahihi wa kuwashirikisha wazazi wa pande zote mbili lakini kabla ya kufanya hivyotukaamuwa tupime magonjwa yote nilishangazwa sana na majibu yalitoka kuwa mimi ni mgonjwa wa ukimwi lakini cha ajabu ethan mpenzi wangu hakuwa na ugonjwa huwo, sikuelewa ni nini kinanitokea lakini nikajuwa kuwa mapenzi yangu na ethan yameishia hapo n

Bondia Mwakinyo Ataja Kikwazo KO

Image
BONDIA Hassan Mwakinyo amesema sababu ya kutokumpiga kwa KO, Muvesa Katembo wa Afrika Kusini ni kutokana na bukta yake kumbana. Katika pambano hilo lilofanyika juzi katika Uwanja wa Jamhuri Jijini hapa, Mwakinyo alishinda kwa pointi ambapo jaji namba moja alimpa pointi 77-74, wa pili 76-75 na watatu 77-74. Mara ya mwisho kwa Mwakinyo kuingia ulingoni ilikuwa Septemba 3, mwaka jana ambapo alipambana na bondia Liam Smith mjini Liverpool na kupoteza kwa TKO katika raundi ya nne. Mwakinyo aliyewahi kuingia kwenye 20 bora ya dunia kwenye uzani wa superwelter na namba moja nchini kwenye kila uzani ‘pound for pound’ ameporomoka kote na sasa ni wa pili nchini na wa 66 duniani. Akizungumza mara baada ya mchezo huo, Mwakinyo alisema sababu ya kutopata matokeo mapema na kushindwa kupata TKO ni kutokana na bukta kumbana. "Bukta ilikuwa inaninyima uhuru wa kunyanyua mguu, kikubwa nashukuru nimeshinda, nawashukuru mashabiki wamejitokeza kwa wingi licha ya mvua iliyokuwa ikinyesha,

Lemutuz "Tusitegemee Kuwashinda Kirahisi Hawa Waarabu Wydad Kwao"

Image
Ameandika Lemutuz: HAO ni Washabiki wa WYDAD na Uhuni wao UGENINI hawaogopi maana MAKAO MAKUU YA CHAMA CHA SOKA AFRIKA yapo huko huko Karibu na Kwao ....ndio maana REFA ALIYEPANGWA MAPEMA alibadilishwa JUU KWA JUU ...hata Uamuzi wa Kucheza na Simba ulikuwa ni uamuzi wao ....SAWA ...the Americans wanasema CHAMPION HUPIGWA KWA KNOCKOUT huwa kumshinda Bingwa lazima Umpige Magoli ndio maana SUNSDOWN MAMELODI Huwa wanawapiga hawa Waarabu kwao MAGOLI 5 - 0 Kwenda mbele ...tusitegemee kuwashinda kwa GOLI MOJA KWAO watafanya lolote WATATUSHINDA NA KWA KAWAIDA SOKA LAO HUWA LINACHEZWA NJE YA UWANJA NA MASHABIKI WAO ambao WANA BACK UP YA CHAMA CHA SOKA AFRIKA.... So SIMBA LUNYASI tuna MTIHANI MZITO SANA lakini tunajua kwamba WANAFUNGIKA SO LETS GO SIMBA LUNYASI TUWAPIGE gademu KWAO! - BOMA LIWANZA from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/BgX2SbO via IFTTT

Baba adaiwa kuwanywesha sumu wanaye watatu, kisa ugomvi na mkewe

Image
Dar es Salaam. Watoto wawili wamefariki dunia na mmoja kulazwa hospitali baada ya baba yao mkazi wa Chanika, Karim Shaaban kutuhumiwa kuwanywesha sumu kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kutokana na mgogoro wake na mkewe. Kwa mujibu wa taarifa iliyoripotiwa na kituo cha televisheni ya Azam, mwanaume huyo aliwachukua watoto wake siku ya Sikukuu ya Idd El-Fitr na kwenda nao kwake ambako aliwapa juisi ambayo inadaiwa kuwa na sumu. Akisimulia mkasa huo, mjomba wa mtuhumiwa, Juma Mohamed amesema mwanaume huyo alitengana na mke wake kwa sababu alikuwa akimtuhumu kwamba mtoto wao wa mwisho sio wake. "Kabla ya tukio hili alikuwa na ugomvi na mke wakee akihisi kwamba mtoto wao wa mwisho sio wake. Alikuwa akimtishia kumuua, baada ya vitisho kuzidi mwanamke akaamua kuondoka," amesema Mohamed. Amesimulia kwamba siku ya tukio la mauaji hayo, Shaaban aliwachukua watoto wake watatu, mmoja mwenye umri wa miaka tisa, mwingine sita na mdogo kabisa miaka mitatu. Amesema alipofika kwake

Ukweli Kuhusu Alama ya Mnyama Inayosemwa Kwenye Biblia na Namba 666

Image
Je alama ya mnyama ni nini? Kuna maelezo mengi yaliyotolewa na baadhi ya watu juu ya alama ya mnyama, wengine hudhani kuwa alama ya mnyama ni “chip” ya computa, au kadi, au kitu halisi kinachoweza kubebeka! Lakini Je Biblia inaelezea vipi kuhusu alama ya mnyama? Ngoja tuangalie Mungu anachokisema juu ya alama ya mnyama. (NB: maneno “alama”, “muhuri”, “ishara” au “dalili” ni visawe). Ufunuo 13:16-17 “Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa masikini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao; tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.” Kwanini alama hii ni ya muhimu kuelewa? Kama ukitaka kuthibitisha kwamba kitu flani ni chako, au ukitaka kuonyesha kuwa wewe ni mmiliki wa kitu flani, au ukitaka kutia alama kitu flani kuwa chako, siku zote kutakuwa na vitu vitatu tofauti. *. Jina lako. *. Cheo chako. *. Mah

Mochari ya Hospitali ya Malindi Yalemewa na Miili ya Mateka wa Pasta Mackenzie

Image
Hospitali ya Kaunti Ndogo ya Kilifi- Malindi imeshuhudia ongezeko la miili ya wafuasi wa dhehebu tata ya pasta Paul mackenzie. Mochari ya Hospitali ya Malindi Yalemewa na Miili ya Mateka wa Pasta Mackenzie. Chanzo: UGC Kutokea kwa familia za waathiriwa kutafuta miili ya wapendwa wao huku wapelelezi wakiendelea kufukua miili zaidi na kupeleka hospitalini, imedumisha harufu ya kifo na uchungu. Robert Chonga, afisa anayesimamia hospitali ya kaunti ndogo ya Malindi, amefichua kuwa chumba cha kuhifadhia maiti kimezidiwa na idadi ya miili kutoka msitu wa Shakahola. Chonga alieleza kuwa wanatafuta njia mbadala ya kuhifadhi miili iliyofukuliwa kwa heshima ya maiti. "Hii mortuary kwa kweli imelemewa. Hata hivi tutapata njia mbadala ya kuweza kuhifadhi zile miili. Tunaangalia njia kadhaa kueza kuona njia mwafaka ya kuweka hii miili kwa njia ambayo inaonyesha heshima," Chonga alisema. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/tCwn7SV via IFTTT

Ndege Iliyobeba Kikosi cha Timu ya Arsenal Yalipuka Engine

Image
Ndege iliyokuwa imebeba kikosi cha timu ya wanawake ya klabu ya Arsenal iliyokuwa ikirejea kutoka Ujerumani ilipokuwa kwenye mchezo wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Wolfsburg iliwaka moto wakati ikianza kuondoka siku Jumapili jioni. Tukio hilo limetokea katika uwanja wa ndege wa Braunschweig, Wolfsburg baada ya kiumbe ndege kuingia ndani ya injini muda mfupi kabla ya kuruka na kusababisha kishindo kikubwa. Mlipuko ulianza kutokea kwenye ndege hiyo aina ya Boeing 737 hali iliyopelekea marubani waliokuwa ndani ya ndege hiyo kuwahamisha haraka abiria, kikiwemo kikosi cha kwanza cha Arsenal, hadi mahali pa usalama. Ikithibitisha kutokea kwa tatizo hilo Klabu ya Arsenal imesema kuwa wamerejea nyumbani salama leo mchana. Taarifa hiyo imesema: “Ndege yetu ilipata tatizo la kiufundi kabla ya kupaa nchini Ujerumani Jumapili jioni. Kutokana na hayo, tulibaki Wolfsburg usiku kucha Jumapili kabla ya kuruka kurudi Uingereza Jumatatu mchana. “Tungependa kuwashukuru wafanyakaz

NBC Bank Job Vacancies, April 2023

Image
NBC Bank Job Vacancies, April 2023 NBC Bank is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services. The Bank traces its origins to 1967 when the Tanzanian Government nationalised all financial institutions, including banks. In 1991, the banking industry was amended and six years later. In 2000, South African financial services group Absa Group Limited acquired a majority stake in NBC. The Government of Tanzania retained a 30% shareholding and the International Finance Corporation (IFC), a member of the World Bank Group, took up 15% shareholding in the bank. The new entity became known as NBC Limited. Enjoy the convenience of our range of banking services. With a network of more than 200 ATMs countrywide, as well as excellent internet and mobile banking services, you have the freedom to do your banking where and when you want. In 2000, South African

Wanao Ongoza Kwa Magoli Kombe la Shirikisho Caf

Image
Mshambulaiji wa Yanga, Fiston Mayele anaongoza kwa ufungaji magoli Kombe la Shirikisho Afrika akiwa na magoli matano. Katika mchezo wa leo dhidi ya Rivers United Mayele amefunga mabao mawili ya Yanga wakishinda ugenini 2-0 Hadi sasa Mayele amefikisha magoli 50 tangu alipoanza kuvaa jezi ya Yanga SC kwenye mashindano yote. Msimamo wa Wafungaji Kombe la Shirikisho Afrika upo hivi; 5 — Fiston Mayele (Yanga) 4 — Paul Acquah (Rivers United) 3 — Malanga Mwaku (Marumo) 3 — Mostafa Fathi (Pyramids) from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/akJUweT via IFTTT

Jean Baleke Aichimba Mkwara Wydad AC "Nitawafunga Tena"

Image
Mshambuliaji kutoka DR Congo Jean Othos Baleke amesema Simba SC ina nafasi kubwa ya kutinga Nusu Fainali Ligi ya Mabingwa Barani Afrika kwa kuitoa Wydad AC. Simba SC itacheza ugenini mchezo wa Mkondo wa Pili wa Robo Fainali Jumamosi (April 29) katika Uwanja wa Mohammed V, ambao upo mjini Casablanca nchini Morocco, huku ikiwa na mtaji wa bao 1-0 baada ya kushinda mchezo wa Mkondo wa Kwanza Jumamosi (April 22) Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam. Baleke ambaye alifunga bao la ushindi katika mchezo dhidi ya Wydad AC amesema kwa sasa wanajiandaa na mchezo wa marudiano, na wana matarajio makubwa ya kupata ushindi utakaowapeleka Nusu Fainali. “Malengo yetu ni kufika Nusu Fainali, tunawaheshimu Wydad ni miongoni mwa timu bora na ngumu lakini tuko tayari kupambana, jambo zuri ni kuwa tunarudi tena Morocco na mchezo wa mwisho tulicheza dhidi ya Raja Casablanca pale nami nilifunga bao moja.” “Kuhusu maandalizi hilo ni swala lililo chini ya kocha mkuu na tutasubiri kuona nam

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Image
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo  Website namba  moja kwa kutangaza ajira mbali mbali hapa Tanzania ya  AJIRA YAKO Inakuletea Nafasi mbali mbali zilizotangazwa leo na Makampuni Tofauti tofauti ya Binafsi pamoja na Ajira za Serikali BONYEZA HAPA KUSOMA NAFASI HIZO  AJIRA YAKO: Website Provides an Open and Easy Access to Job Applications, Great Resources for Career Advancement and Job Placement. Tembelea Kila siku kwani Kwa siku tunaweza Nafasi Mpya za kazi zaidi ya 30  kutoka Makampuni tofauti , njia za kuapply ajira hizi ni tofauti , kuna makampuni wanataka utume email na viambatanishi kama CV, vyeti na Barua ya Maombi, Makampuni mengine yanataka ujiandikishe kaka Mfumo wao (Portal) Kisha ndio ufanye maombi  BONYEZA HAPA KUSOMA NAFASI HIZO  from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/BZ0Yanr via IFTTT

Kuna Hakimi wengi Paris, Madrid, Antwerp na kwingineko

Image
  Kuna Wamorocco 1,146,000 wanaishi Ufaransa. Kuna Wamorroco 766,000 wanaishi Hispania. Katika hawa wanaoishi Hispania yumo mtu anayeitwa Achraf Hakim. Pia yumo mama yake anayeitwa Saida. Wote wawili wamevuma wiki iliyopita katika mitandao mbalimbali duniani. Kwamba Hakimi ameandikisha utajiri wake mkubwa kwa jina la mama yake hali iliyomzuia mke wake mrembo, Hiba Abouk kuchota nusu ya utajiri wake aliouchuma katika soka. Habari hii imeyumbisha dunia na imesababisha zogo kubwa. Sina uhakika wa asilimia zote kama ni habari ya kweli lakini sishangazwi kama habari yenyewe itakuwa ya kweli. Kuna pande mbili hapa. Kwanza kabisa kuna wanaume ambao ni watoto wa mama. Huwa hawaruhusiwi kukua mbele ya mama. Wengine ni kwa sababu ya maisha waliyopitia. Unakuta mwanamume analelewa na mama peke yake kwa muda mwingi wa maisha yake. Zaidi ya yote, katika historia ya Hakimi, ameishi maisha ya dhiki na mama yake. Sasa hivi ni muda wa kufurahia utajiri wake na mama yake. Yeye sio wa kwanza k