Posts

Showing posts from May, 2023

Mwamuzi wa Yanga na USM Alger Atangazwa

Image
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limemtangaza Mwamuzi Dahane Beida kutoka Mauritania Kuwa ndiye atakayechhezesha mchezo wa pili wa fainali ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kati ya USM Alger dhidi ya Yanga SC Mchezo huo Utachezwa Juni 03 Uwanja wa Julliet 5, Jijini Algers nchini Algeria Dahane Beida atasaidiwa na Jarson Dos Santos Kutoka Angola na Arsenio Marngol kutoka Msumbiji from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/23RWA96 via IFTTT

Sakata la Moses Phiri Kutaka Kuondoka Simba..Kiongozi Aingilia na Kumbakisha

Image
Kuhusu taarifa za straika wa Simba, Moses Phiri kutaka kusepa kutokana na kushindwa kupata nafasi kikosi cha kwanza, upepo umebadilika staa huyo ataendelea kusalia Msimbazi. Mwenyekiti Salum Abdallah alimwita Phiri na kumweleza bado wanamhitaji, hivyo wakakubaliana kwa amani from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/RrIJTfq via IFTTT

Stephane Aziz Ki aomba radhi Young Africans

Image
Kufuatia kipigo cha mabao 2-1 ilichokipata Young Africans katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa fainali, Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya USM Alger kutoka nchini Algeria, kiungo mshambuliaji wa timu timu hiyo, Stephane Aziz Ki amefunguka mazito huku akiwaomba msamaha mashabiki na wanachama baada ya kipigo hicho. Azizi Ki pia katika mchezo huo hakuwa katika kiwango bora na kushuhudiwa akitolewa kipindi cha pili huku nafasi yake ikichukuliwa na Sure Boy. Aziz Ki amesema kuwa bado wanazo dakika nyingine 90 za kuhakikisha kwa wanapambania ubingwa baada ya kushindwa kupata ushindi wakiwa nyumbani jambo ambalo wanalifanyia kazi kuhakikisha kuwa wanapata matokeo wakiwa ugenini huku akiwaomba mashabiki wa Young Africans kuendelea kuwaunga mkono. “Tumepoteza mchezo wa nyumbani ni jambo ambalo hatukulitegemea na tunaamini kuwa kama tuliweza kupoteza mchezo ugenini basi na sisi tupambane kuhakikisha kuwa tunashinda mechi yetu ugenini kama wao. “Mashabiki wanatakiwa waendele

Jemedari Saidi "Yanga Wananichukia Sana Sababu Siwasifii...Mimi Algeria Nikafate Nini"

Image
𝗠𝗜𝗠𝗜 𝗔𝗟𝗚𝗘𝗥𝗜𝗔 𝗡𝗜𝗞𝗔𝗙𝗔𝗧𝗘 𝗡𝗜𝗡𝗜" Anasema Jemedari Saidi ✍️ "Mimi nikafanye nini sasa Algeria ?! Wanajaribu kubadilisha AGENDA, Agenda iliyopo ni Yanga kupoteza fainali ya kwanza dhidi ya SM Alger" "Baadhi ya watu wa Yanga wanachuki na mimi kwa sababu huwa siwasifii. Sasa kama watu wengi wanawasifia mimi peke yangu ndio siwasifii wanachukia nini ?" "Wanajua wanawapa nini hao wanaowasifia ndio maana wanataka na mimi niwasifie ili kutengeneza uhalali" Maneno ya Mchambuzi Jemedari Said Kazumari wa Efm Tanzania from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/MpvJteu via IFTTT

Tiwa Savage Ndani ya Penzi Jipya |Tiwa Savage in New Relationship, Photos

Image
Staa wa muziki kutoka Nigeria Tiwa Savage ndiye anaimiliki mitandao kwa sasa nchini humo baada ya kuonekana na mpenzi mpya ambaye mpaka sasa haijulikani ni nani. Wawili hao wapo mjini Rio de Janeiro nchini Brazil, Tiwa anaonekana mwenye furaha na mahaba ya kutosha kwenye hili penzi jipya. Popular Nigerian singer Tiwa Savage has caused a stir online as she shares a loved-up video with her new lover. Tiwa Savage via her verified Instagram page today, May 30th 2023 flaunts her steamy photos with a mystery man on the beach in Brazil. This is coming few days after Tiwa Savage gets many people talking about the way she holds the bike man while biking in the country. Tiwa Savage has been known to be quite unlucky with finding her love interest in men, she was formerly in a relationship with Tunji Balogun better known as Teebillz the father of her child before they went their separate ways. In 2021, Tiwa Savage also had a relationship with Abolo Beckham an ostentatious spender

Yanga Tuna Fedha za Kutosha Mayele Haondoki.. Tutamlipa Anachotaka

Image
Makamu wa Rais wa klabu ya Young Africans Arafat Haji, amewaondoa wasiwasi Mashabiki na Wanachama wa Klabu hiyo kuhusu mustakabali wa Mshambuliaji kutoka DR Congo Fiston Kalala Mayele, ambaye anadaiwa kuwindwa na baadhi ya Klabu za BArani Afrika. Kufanya vizuri kwa Mayele akiwa na Young Africans kwenye Michuano ya Kimataifa kumezitamanisha klabu kadhaa kuhitaji huduma ya Mshambuliaji huyo ambaye amekuwa msaada mkubwa kwa Wananchi. Baadhi ya klabu zinazotajwa kuwania saini ya Mshambuliaji huyo kinara wa mabao katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika msimu huu akifunga saba ni Kaizer Chiefs, Orlando Pirates za Afrika Kusini, US Berkane na Raja Casablanca za Morocco. Arafat amesema wanafahamu klabu hizo zina fedha, ambazo anaamini Yanga pia wanazo za kutosha za kumzuia Mayele kuondoka. Arafat amesema mshambuliaji huyo hivi karibuni aliongeza mkataba wa mwaka mmoja ambao unatarajiwa kumalizika rasmi msimu wa 2023/24. Ameongeza kuwa, mkataba huo ukielekea kumalizika, uongozi ume

Bibi Alia Machozi Baada ya Kubeba Ujauzito wa Uzeeni

Image
Ninamuita bibi kwa kuwa ni mdogo wa mzazi wa kike wa baba yangu mzazi yeye anaishi huko kwao kijijini ambako huwa tunakwenda marachache sana kumtembelea kwasababu za umbali na changamoto za usafiri wa kutufikisha kwake, amebahatika yeye mpaka umri wake wa miaka 64 bado yupo hai na mume wake pia bado yupo wanaishi pamoja japokuwa hawajawahi kupata mtoto yoyote yule enzi za ujana wao. Yeye babu anao watoto wawili wan je ya ndoa aliozaa kwa ruhusa ya bibi kabisa baada ya wao kujaribu sana mitishamba mingi na kila kona ya hospital lakini hawakuwahi kupata tiba ya kuwaponya na kumpa bibi , mtoto hata mmoja wa kujivunia .Kwakuwa bibi hakuwa na mtoto hata mmoja alipenda sana wajukuu wa dada yake kukaa nao pale kwake angalau tumpe faraja na kuzungumuza naye pale anapokuwa hayupo na furaha au anapokuwa mpweke  tu bila ya kuwa na mtu yoyote. Sasa mimi zikuwahi kuishi kwake huko muda mrefu kwa sababu za kishule ilinibidi zinguzuke kila kona za huku na huko kupambana na masomo kwanza , na nil

Gigy Money Atamba Kuagiza Gari la Mil.40

Image
Msanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford 'Gigy Money' amesema amemnunulia gari mpiga picha wake lenye thamani ya shilingi milioni 10. Gigy amesema, aliona ni muda muafaka wa kumnunulia gari mpiga picha wake kwani ni mtu muhimu kuliko hata walinzi. "Mpiga picha ni mtu muhimu so niliona ni bora nimnunulie. Mimi nimegiza la kwangu lingine bado nadaiwa kama milioni 15 hivi maana ni milioni 40," alisema Gigy alipokuwa akifanya mahojiano na Wasafi FM. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/YQkyMGd via IFTTT

Mwamba Aliyehukumiwa Kimakosa Aachiliwa huru Jela Baada ya Miaka 33

Image
Mwanasheria Mkuu wa wilaya ya Kaunti ya Los Angeles George Gascón ametangaza kuwa Daniel Saldana, ambaye sasa ana umri wa miaka 55, ameachiliwa huru baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 45 jela mnamo mwaka 1990 kwa kosa la kufyatulia risasi gari iliyokuwa ikitoka kwenye mchezo wa soka wa skuli moja ya sekondari iliyoko kwenye bustani ya Baldwin, mashariki mwa Los Angeles. Ufyatuaji risasi huo ulipelekea kujeruhiwa vijana wawili kati ya sita waliokuwamo ndani ya gari hilo lakini hawakufariki. Saldana alikuwa mmoja wa wanaume watatu walioshtakiwa kuhusika na shambulio hilo na akahukumiwa kifungo jela baada ya kupatikana na hatia ya makosa sita ya kujaribu kuua na shtaka moja la kufyatulia risasi gari lililokuwa na watu ndani yake. Erdogan asifu ushindi wake kama ushindi wa demokrasia Tinubu kuapishwa rasmi leo, Rais Samia awasili kushuhudia Hata hivyo ushahidi uliotolewa na mshambuliaji mwingine wa tukio hilo aliyehukumiwa ulibainisha baadaye kwamba Saldana “hakuhusika kwa n

Hayu Hapa Mchezaji Mtanzania Anaewaniwa na Timu ya Ligi Kuu Uingereza, Mbwana Samatta Kamchogea Njia

Image
  Novatus Dismas  Tetesi za Usajili Kwa mujibu wa mtandao wa Daily Mail, Timu ya Southampton na Middlesbrough wameonesha nia ya kumsajili Novatus Dismas Miroshi kutoka klabu ya Zulte Waregem ya Ubelgiji. Novatus mwenye umri wa miaka 20 alijiunga na Zulte msimu uliopita kutoka nchini Israeli, lakini ameendelea kuvutia kutokana na uwezo wake wa kucheza nafasi nyingi uwanjani. Msimu huu Novatus amecheza kama kiungo, beki wa kushoto na wakati mwingine beki wa kati kwenye mfumo wa back three. Licha ya timu yake kushuka daraja bado Miroshi ameendelea kuvivutia vilabu vikubwa. Msimu huu Novatus amecheza michezo 36 akiwa na Zulte Waregem na kutoa pasi mbili za magoli huku akiichezea Taifa Stars na kufunga mabao mawili. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/jp0anqQ via IFTTT

Rais wa Marekani, Joe Biden Alaani Sheria ya Kupiga Ushoga Uganda, Apiga Mkwala Huu

Image
Rais wa Marekani, Joe Biden ameilaani sheria mpya iliyotiwa saini na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni dhidi ya vitendo vya ushoga na kusema kuwa Marekani inaweza kuiwekea Uganda vikwazo huku akitoa wito wa sheria hiyo kufutwa mara moja. Sheria hiyo mpya itawalazimu Watu wanaoshirki kwenye vitendo vya ushoga kutumikia hadi kifungo cha maisha jela. Biden amesema ameliagiza Baraza la Usalama la Kitaifa la Ikulu ya Marekani kutathmini athari za sheria katika nyanja zote za ushirikiano wa Marekani na Uganda, ikiwa ni pamoja na uwezo wa Marekani kusitisha kutoa huduma za usalama chini ya Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kusaidia maambukizi ya UKIMWI (PEPFAR) na aina nyingine za msaada na uwekezaji. Biden amesema Serikali yake itazingatia athari za sheria hiyo kama sehemu ya mapitio yake ya kustahiki kwa Uganda kwa Sheria ya Ukuaji na Fursa ya Afrika (AGOA), ambayo inatoa matibabu bila ushuru kwa bidhaa za nchi zilizoteuliwa za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. from UDAK

Mapacha wanachuo wafariki wakiogelea Ziwa Victoria

Image
Mwanza. Kenny na Lenny Makomonde (24), mapacha na wanafunzi wa Chuo cha Mipango Kampasi ya Mwanza wamefariki dunia kwa kuzama majini walipokuwa wakiogelea ndani ya Ziwa Victoria. Tukio hilo lililoacha simanzi na vilio miongoni mwa wanafunzi wa chuo hicho, ndugu, jamaa na marafiki limetokea jioni ya Mei 28, 2023 wakati wawili hao walipokuwa wakiogelea kwenye ufukwe wa Mihama Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza. Miili ya mapacha hao wanaosemekana kuwa na ujuzi na uzoefu wa kuogelea tayari imepatikana na kuopolewa kutoka majini na Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakishirikiana na wananchi. Mkuu wa Jeshi la Zima Moto Wilaya ya Ilemela, Insekta Deusdedith Rutta amesema taarifa za mapacha hao waliokuwa wanasoma kozi ya Mipango na Maendeleo kuzama maji ziliifikia Jeshi hilo Saa 1:00 usiku jana Mei 28, 2023. ‘’Juhudi za uokoaji zilishindikana kutokana na kiwazo cha giza,’’ amesema Inspekta Rutta Amesema askari wa Zimamoto na Uokoaji walirejea eneo la tukio leo alfajiri kuend

Rais Samia Atoa Ndege Kubwa Kupeleka Wachezaji wa Yanga na Mashabiki Algeria

Image
Mhe. Rais Dkt. @SuluhuSamia ametoa ndege kubwa Boeing 787-8 Dreamliner kwa ajili ya kupeleka timu, viongozi na mashabiki wa timu ya Wananchi @yangasc1935 katika pambano la pili la fainali ya Kombe la Shirikisho itakayofanyika Algers, Algeria tarehe 3 Juni, 2023. HAINA KUFELI tuiombee Yanga ikawapige kwao. #HainaKufeli #TunapinduaMeza from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/Yul6Z8s via IFTTT

Ashindwa Kuvumilia Afanya Tafrija Baada ya Kupona Ugonjwa wa Moyo

Image
  Nilipoambiwa kuwa maisha yangu yapo hatarini na siku zangu za kuishi ziko ukingoni ndipo nilipoanza kufanya kila jitihada iliyoko ndani ya uwezo wangu kusudi nijinasuwe kwenye ugonjwa huwo mbaya wa moyo. Ugonjwa huu ndio ulinikutanisha na bingwa wa mabingwa daktari BAKONGWA mwenye nambari za whatsapp + 243990627777 . Dalili za ugonjwa wa moyo nilianza kuziona mapema nilipopata dalili za maumivu ya kifua, kifua kubana na muda mwingine kusindwa kabisa kupumuwa na kuzidiwa hata kuwekewa mirija ya upumuaji. Nilijithibitishia haya nilipo kwenda kufanyiwa vipimo hospitali ya taifa muhimbili na ndio hao waliosema kuwa hakuna tiba labda nipambane sana kubadilisha moyo tena itanibidi nisafiri kwenye nchi za watu huko ili kusudi hili litimie.Kuhofia kufariki mimi nikajichanga na kufanya mawasiliano ya ndugu zangu waliopo huko nchi za ughaibuni. Nilipowapa majibu na vipimo vya afya yangu walisema kupata mtu ambaye anaweza kujitolea moyo wanibadilishie nizoezi gumu sana, kwani kundi lan

Fei Toto Afunguka Tena "Nimemisi Kufunga na Mashooti Yangu ya Mbali, Nisaidieni Jamani"

Image
Baada ya juhudi za Mchezaji Feisal Salum “Fei Toto” kugonga mwamba mara mbili TFF kwa kushindwa kukubaliwa ombi lake la kuvunja mkataba na Yanga na Mchezaji huyu juzi kutangaza kuomba msaada wa pesa kwa Watanzania ili aweze kwenda kwenye Mahakama ya usuluhishi wa kimichezo (CAS), leo tena amekazia ombi lake na kuomba Watu wamchangie ili arudi uwanjani. Feisal ameandika yafuatayo katika taarifa yake “Ndugu zangu Watanzania, natamani kurdi uwanjani na kuendelea kuwafurahisha wapenda soka, nimebakisha hatua chache, nisaidieni niweze kukamilisha nia yangu ya kwenda CAS na kupata haki ya kurudi tena uwanjani” “Nimekumbuka nyakati bora, nimekumbuka kupiga mashuti yangu ya mbali, nimekumbuka kufurahia na Mashabiki wa soka, Fei Toto ni mmoja tu, msaidie arudi uwanjani kwa haki inayotaka kudhulumiwa” “Unaweza kulipia kwa lipa namba (5406394 FEISAL SALUM) hapo pichani au kwa namba hii ya simu kwa kwa Tigo Pesa 067 912 8899 FEISAL SALUM ABDALLAH, aidha natoa pole kwa kifo cha Shabiki wa S

Kama Una Dalili Yoyote Hapa Basi Una Upungufu wa Nguvu za Kiume, Wahi Tiba Mapema

Image
Mwanza. LICHA ya ushindi mnono wa mabao 4-1, Pamba imeondolewa kwenye mechi za mtoano kusaka nafasi ya kwenda Ligi Kuu, huku Mashujaa ya Kigoma ikisonga mbele. Mashujaa imesonga mbele kufuatia ushindi wa jumla wa mabao 5-4 baada ya kupata ushindi wa mabao 4-0 katika mchezo wa kwanza uliopigwa Uwanja wa Lake Tanganyika, mkoani Kigoma mwishoni mwa wiki iliyopita. Kufuatia ushindi huo, sasa Mashujaa inasubiri timu itakayocheza nayo kwenye playoff kutoka Ligi Kuu na endapo ikipata ushindi wa jumla kwenye michezo miwili itakuwa imepanda daraja. Pamba imepata ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Mashujaa ya Kigoma leo kwenye Uwanja wa Nyamagana, Mwanza katika mchezo wa marudiano ambao umepigwa kuanzia saa 10 jioni. Mchezo huo ambao umechezeshwa na Mwamuzi, Benedicto Magai umegubikwa na matukio yaliyoibua hisia za mashabiki ikiwamo kuipa Pamba penalti mbili ikiwemo moja ambayo kipa wa Mashujaa ameokoa lakini ikaamuliwa irudiwe huku mchezaji wa Mashujaa, Athumani Dunia akilimwa kadi nyek

Askari Wawili Wauawa Mbuga ya Wanyama

Image
  Walinzi wawili wa Mbuga za Wanyama Virunga, wameuawa na wengine sita kujeruhiwa katika shambulio jipya la eneo la mashariki mwa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo – DRC. Katika taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Mbuga hiyo, imesema washambuliaji hao wanaaminika kuwa ni wapiganaji wa kundi la Mai Mai Kabido au Wanamgambo wa jamii ambao wawindaji na ni miongoni mwa makumi ya makundi yanayoendesha mashambulizi eneo la mashariki mwa DRC. Aidha, taarifa hiyo imesema wakati wa doria katika mbuga hiyo karibu na mwambao wa Ziwa Edward ambalo lililopo mpakani mwa Uganda, walinzi hao wawili wa mazingira walifariki baada ya kupigwa risasi na kutokana na majeraha waliyoyapata. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Afisa wa kituo cha Vitshumbi, kijiji cha wavuvi kilichopo Vitshumbi, Kambale Muhindo alisema, “tulisikia milio ya risasi kundi la wawindaji haramu waliua kiboko na ili kujilinda waliwavizia walinzi wa mbuga hiyo.” from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/uNlGzVZ via IFTTT

Paula Kajala Anunua Gari ya Milioni 45

Image
Kupitia ukurasa wake wa Instagram PAULA ambae ni reality TV star ameonekana kujipongeza kwa kufanikisha kununua gari aina ya VanGuard ambayo ametutajia ina thamani ya shilingi milioni 45 Na ameenda mbali zaidi kwa kusema anajivunia kwakuwa hiyo ni hela yake mwenyewe ikiyotokana na kazi yake Tukumbuke kuwa Gari ya kwanza ya mwanadada Paula ni Crown ambayo alinunuliwa na Mama yake mzazi, hivyo hii ni gari ya pili kumiliki huku ikiwa ya kwanza kununua mwenyewe kwa Pesa yake from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/0JrBHKP via IFTTT

Updates: Majeruhi Katika Ajali ya Kukanyagana Uwanja wa Mkapa Wamebaki 10

Image
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Balozi Dkt. Pindi Chana akiwa ameongozana na Naibu Waziri wake, Hamis Mwinjuma maarufu @mwanafa, Katibu Mkuu, Saidi Yakubu, RC Chalamila na DC wa Temeke, Mwanahamisi Munkunda kwa pamoja wamewajulia hali majeruhi 10 wanaoendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya Temeke waliojeruhiwa kutokana na tukio la kukanyagana katika Mkapa Stadium wakati wakijiandaa kuingia uwanjani kutazama mechi kati ya Yanga na USM Alger ya nchini Algeria katika mchezo wa Kwanza wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika. Chana amepokea taarifa kutoka kwa Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt. Joseph Gasper Kimaro ambapo amesema walipokea majeruhi 30 wakiwemo Wanaume 18, Wanawake 10 na Mtoto Mmoja ambapo mgonjwa mmoja alipoteza maisha wakati akipatiwa matibabu. Mpaka sasa Wagonjwa wengine wameruhusiwa na wamebakiwa na Wagonjwa 10 na wote wanaendelea kupatiwa matibabu na hali zao zinaendelea kuimarika. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/ZdSDkNx via IF

Mume Akana Kumpiga Mkewe, Afichua Siri Nzito – ”Kapigwa Na Mchepuko, Alikuwa Anatembea Na Mjomba”-Video

Image
Mapya yameibuka katika sakata la mwanamke Jackline Mkonyi kudai amepigwa, kung’olewa meno na kutobolewa jicho na mumewe ambapo mwanaume anayetuhumiwa, Isaack Mnyagi ameibuka na kudai kwamba siyo yeye aliyempiga mkewe bali amepigwa na mwanaume wake mwingine (mchepuko). Akizungumza kwa njia ya simu na Global TV, mwanaume huyo amesema mkewe huyo amekuwa na tabia ya kuwa na uhusiano na wanaume wengi nje ya ndoa yao, huku akitoa madai mazito kwamba pia amekuwa na uhusiano wa kimapenzi na mjomba wake. Wakati mwanaume huyo akijieleza kwa upande wake, Jackline yeye anadai kwamba ni mumewe ndiye aliyemfanyia ukatili huo na kwamba tayari walisharipoti polisi, kauli ambayo pia imeungwa mkono na baba wa mwanamke VIDEO:  from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/LcOyD7p via IFTTT

Vijue Vyanzo, Dalili na Tiba Sahihi ya Upungufu wa Nguvu na Ongeza Umbile pia

Image
Upungufu wa nguvu za kiume ni tatizo linaloongezeka kwa kasi duniani kwa sasa. Changamoto hii imechangia wanaume wengi kushindwa kumudu TENDO vyema na kusababisha ndoa au mahusiano kukosa uaminifu. Siku zote mwanamke anahitaji kuridhishwa ktk tendo ili kuwa sawa kiakili. Mwanaume anatakiwa kuwa na uume wenye kusimama imara wakati wote wa tendo na kuweza kurudia tendo kwa wakati. Baadhi ya mambo yanayosababisha upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo ni:- "KISUKARI, KUJICHUA, NGIRI, KUTAZAMA VIDEO ZA NGONO, TEZI DUME, UNENE ULIOPITILIZA, ULAJI MBOVU, UVUTAJI WA SIGARA N.K." *DALILI NI KAMA:- 1.Kukosa ham ya tendo 2.Kuwahi kufika keleleni 3.Kushindwa kurudia tendo 4.Uume kusinyaa katikati ya tendo 5.Kuchoka sana baada ya raundi moja 6.Uume kusimama kwa ulegevu *TIBA ZILIZOTHIBITISWA:-👇👇 1.GING SENG PILLS @240,000/= >Hivi ni vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza ham ya tendo na nguvu za kiume hata kwa wenye kisukari na presha 2.MAX MAN GEL @240,000/=

Wananchi Wavunja Geti na Kuruka Ukuta Uwanja wa Taifa....

Image
Kutoka uwanja wa Mkapa Dar es salaam, Mashabiki wamelazimika kuruka fensi ili waingie uwanjani baada ya mageti kuchelewa kufunguliwa huku Polisi wakituliza ghasia hizo.Kutoka uwanja wa Mkapa Dar es salaam, Mashabiki wamelazimika kuruka fensi ili waingie uwanjani baada ya mageti kuchelewa kufunguliwa huku Polisi wakituliza ghasia hizo. Inaarifiwa kuwa tiketi zote zimeuzwa na haijulikani hatma ya Mashabiki ambao bado wapo nje wakipambana kuingia uwanjani ili kushuhudia mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Yanga dhidi ya USM Alger ya Algeria. Inaarifiwa kuwa tiketi zote zimeuzwa na haijulikani hatma ya Mashabiki ambao bado wapo nje wakipambana kuingia uwanjani ili kushuhudia mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Yanga dhidi ya USM Alger ya Algeria. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/TZ3oxNR via IFTTT

Polisi Mkoa wa Arusha Wamkamata Aliyemtoa Meno Mkewe kwa bisi bisi

Image
Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha, limemkamata Isack Robertson (45) mkazi wa Sombetini Jijini Arusha kwa tuhuma za kumpiga, kumng'oa meno na kumtoboa macho mke wake Jackline Mkonyi (38).Mwanaume huyo amekamatwa Mei 27, 2023, maeneo ya Himo mkoani Kilimanjaro akiwa amejificha kwa Mchungaji. Taarifa hiyo imetolewa leo Mei 28, 2023, na Kamanda wa Polisi mkoani Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Justine Masejo, na kusema mtuhumiwa wanaendelea kumhoji na pindi upelelezi utakapokamilika jalada litapelekwa ofisi ya Taifa ya Mashtaka kwa hatua zaidi za kisheria. Aidha ametoa onyo kwa baadhi ya watu wachache wanaofanya vitendo vya ukatili katika familia zao ama sehemu nyingine kuacha mara moja kwani hawatasita kuwakamata na kuwachukulia hatua za kisheria. Lakini pia amewaomba wananchi popote walipo wasifumbie macho vitendo viovu na waendelee kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi kwa kuhakikisha wanatoa taarifa za uhalifu na wahalifu katika maeneo yao ili kukomesha matukio hayo katik

Mshambulizi Wa Man City Ashinda Tuzo Ya Mchezaji Bora Chipukizi Wa EPL

Image
Mchezaji wa Manchester City Erling Haaland amekuwa mchezaji wa kwanza kushinda tuzo za mchezaji bora wa mwaka wa Primia Ligi katika msimu mmoja. Mabao 36 ya mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 22 yamemfanya avunje rekodi ya Ligi Kuu ya England ya kufunga mabao mengi zaidi kwa msimu mmoja. Kwa jumla, amefunga mabao 52 wakati wa shindano. “Nina heshima kuwa mchezaji wa kwanza kushinda tuzo zote mbili katika msimu mmoja – asante kwa kila mtu aliyenipigia kura,” alisema Haaland. Haaland, ambaye alipata kura nyingi zaidi kutoka kwa umma na jopo la Primia Ligi, alijiunga na City kutoka Borussia Dortmund msimu uliopita na ameisaidia klabu hiyo kushinda taji la tatu mfululizo la ligi ya juu. Tayari ameteuliwa kuwa Mwanasoka Bora wa Mwaka wa Chama cha Waandishi wa Soka (FWA) “Umekuwa msimu wa kwanza wa ajabu katika Ligi Kuu na kunyanyua kombe wikendi iliyopita mbele ya mashabiki wetu pale Etihad ulikuwa wakati wa kipekee sana kwangu,” aliongeza mchezaji huyo wa kimataifa wa Norway.

Feisal Salum 'Natokwa Machozi ya Furaha'

Image
Mchezaji wa klabu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania, Feisal Salum, ameeleza kuwa haamini anachokiona na anatokwa na machozi ya furaha kwa mapenzi makubwa ya Watanzania juu yake. “Siamini ninachokiona, natokwa na machozi ya furaha kwa mapenzi makubwa ya Watanzania juu yangu. Mimi ni kijana mwenye nidhamu na busara ni vile nimeamua kunyamaza na kwenda CAS. . “Ninachokifanya ni kutetea Haki yangu ambayo nimeikosa hapa, lakini sio kwangu tu bali kwa wachezaji wote wazawa ambao hawasemi na wanasaini mikataba bila kujua. Endeleeni kunichangia nikapate haki na kutengeneza misingi kwa wazawa wengine na thamani zao. . “Wale mnaonipigia Simu siwezi pokea simu zote sababu simu ni nyingi sijawahi kuona, endeleeni kunichangia ndugu zangu”. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/VAQ4ltM via IFTTT

Sheria Inayombana Ally Kamwe Baada ya Kumtukana Juma Mgunda Hadharani

Image
Kupitia sheria na kanuni zilizowekwa za Bodi ya Ligi kuhusu udhibiti wa viongozi huenda Afisa Habari wa klabu ya Young Africans Ali Kamwe akafungiwa miezi mitatu kujihusisha na soka, endapo sheria zitafutwa baada ya kumfananisha Kocha Msaidizi wa Simba SC Juma Mgunda na Andazi mbele ya Mashabiki wa Young Africans. Kwa mujibu wa Kanuni nambari 46 : udhibiti wa viongozi kifungu nambari 8 kinamfunga Ally Kamwe kwa maneno wa kashfa na dhihaka kwa Juma Mgunda, na mbaya zaidi aliyatoa hadharani na kunukuliwa na vyombo vya habari. Kanuno hiyo inasema: “Kiongozi Akitoa matamshi au ishara za matusi dhidi ya mashabiki, akitoa matamshi, ishara za matusi yenye nia ya kumdhalilisha kiongozi mbele ya jamii awe wa TFF, Klabu au Taifa atatozwa faini ya shilingi milioni moja 1,000,000/- na kufungiwa kwa kipindi kisichopungua miezi mitatu (3). Kanuni nambari 47 : udhibiti wa klabu, nayo inambana Ally kamwe kwa kauli aliyoitoa jana Ijumaa (Mei 26) inayosema: “Klabu ina wajibu na jukumu la kuhakik

Kocha wa Yanga Ategua Mitego Ya Waarabu Uwanja wa Mkapa, Dar

Image
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mtunisia Nasreddine Nabi amewataka mabeki wake kutofanya makosa yasiyokuwa na ulazima nje ya 18 yatakayosababisha mipira ya adhabu golini kwao watakaovaana dhidi ya USM Alger ya nchini Algeria. Hiyo ni katika kuelekea mchezo wa kwanza wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaopigwa kesho Jumapili saa 10 kamili kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Mchezo wa pili utakuwa Algeria Juni 3. Safu ya ulinzi ya Yanga inaongozwa na nahodha Bakari Mwamnyeto, Ibrahim Bacca, Dickson Job, Djuma Shaban na Kibwana Shomari ambao wamekuwa wakianza mara kwa mara katika kikosi cha kwanza. Akizungumza na Championi Jumamosi, Nabi alisema anakwenda kucheza dhidi ya USM Alger akiwa anaifahamu vizuri kimbinu, wakitumia mipira ya kutenga kupata mabao faulo na kona. Nabi alisema kuwa tayari amewaandaa mabeki hao ili kuhakikisha wapinzani wao hawapati faulo za nje ya 18 huku wakipunguza mipira ya kona ambayo ni hatari kwa USM Alger kuicheza kwa vichwa. Mtunisia huyo alisema kuwa ki

Kila Mwanaume Ninayempata Ana Fedha Nyingi, Tatizo Siolewi!

Image
Ni jambo la ajabu sana pale mwanamke anapomaliza mwezi mzima hajapata mwanaume yoyote aliyemtongoza, mwanamke kutongozwa ni jambo zuri, mwenyewe anajikubali kuwa yeye ni mzuri ila usipotongozwa anajua hana mvuto.  Nasema hivyo kwa sababu sisi kina mama kabla hatujatoka ndani ni lazima tujitazame kwenye kioo, ila siyo kila anayekutongoza unamkubalia ila kutongozwa ni jambo muhimu kwetu kina mama. Hata hivyo, wanaume wanapenda tupendeze kila tukikutana nao, ndio maana sisi wanawake huwa tunapenda kubadilisha nywele, nguo na vitu vingine kwa ajili ya kuwa na muonekano mzuri kwa wanaume, hamna kingine zaidi ya hapo. Jina langu ni Jackline mkazi wa Mbagala, umri wangu ni miaka 30, nafanya kazi katika soko la Kariakoo, hivyo kila siku ni lazima nipande Daladala za kutoka Mbagala kuelekea kazini kwangu na kisha jioni kupanda tena kurudi nyumbani, ndio maisha yangu yanavyokwenda.  Tangu nikiwa na miaka 18 wanaume ambao wananihitaji kimahusiano ni matajiri tu, mwanzo kabisa nilianza kwa

Mfungo wa kufa ili kumuona Yesu: Waliochelewa kufa waliuawa

Image
  Mhubiri tata wa Kanisa la la Good News International la nchini Kenya, Paul Mackenzie, anadaiwa kuwa alitumia genge la wahalifu kuua wafuasi ‘waliokataa’ kufa hata baada ya kufunga kwa siku nyingi. Waziri wa Usalama wa Ndani, Prof. Kithure Kindiki ameyasema hayo na kuongeza kuwa genge hilo liliua kwa vifaa butu wafuasi wa Mackenzie waliochelewa kufa baada ya kufunga kwa siku kadhaa na wale waliojaribu kutoroka. Waziri Kindiki ambaye alikuwa akiongea na Kamati teule ya Seneti inayochunguza vifo vya halaiki katika msitu wa Shakahola, Kaunti ya Kilifi, ameongeza kuwa Mackenzie alitumia mbinu mbalimbali kuficha mauaji hayo. Amesema, “Alikuwa akitapeli wafuasi wake fedha lakini alipendelea kupewa hela taslimu badala ya kutumiwa kwa simu,na alitumia kanisa lake kushawishi wafuasi wake kuuza mali za na kisha kujiunga na kanisa, kisha baadaye, aliwahadaa akiwashawishi kutokula au kunywa hadi wafe ili wakutane na Yesu.” Aidha, Prof. Kindiki amesema wale waliobadili nia na kutaka warudis

GSM Kuwapa Wachezaji Milioni 63 Kila Mmoja Wakitwaa Ubingwa

Image
Muwekezaji wa klabu ya Yanga Ghalib Said Mohamed (GSM) amewaahidi Wachezaji wa Yanga kuwapa Tsh 63 Milioni kila mmoja iwapo watatwaa Ubingwa wa (CAFCC) from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/C6ZgW9p via IFTTT

GSM Kuwapa Wachezaji Milioni 63 Kila Mmoja Wakitwaa Ubingwa

Image
Muwekezaji wa klabu ya Yanga Ghalib Said Mohamed (GSM) amewaahidi Wachezaji wa Yanga kuwapa Tsh 63 Milioni kila mmoja iwapo watatwaa Ubingwa wa (CAFCC) from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/GzImUTK via IFTTT

Nilichezewa Nisitunze Pesa Mfukoni

Image
Ninafanya kazi nzuri kwenye shirika lisilo la kiserikali la kusaidia watoto yatima, wazee na wale waote wasio jiweza Dodoma huko shirika letu linaitwa Diamanda Foundation sio kongwe sana lina kama miaka kumi sasa tangu tulizinduwe,tunategemea kupokea misaada kwenye mashirika mbalimbali, serikalini , na taasisi nyingine zote zinazoguswa na huduma yetu tunayoitowa hapo ofisini. Mshahar wangu ni mzuri unakidhi familia na kuiendesha vizuri bila ya changamoto yoyote ile.Ninaye mke na watoto wawili wa kiume bado ni wachanga na hawasomi wanashinda nyumbani na mama yao .Shirika hili nililifunguwa mimi na rafiki yangu Remmy na lilipokuwa tukaajiri wenzetu kadhaa sasa linazaidi ya wafanyakazi thelathini ambao wote wanafurahishwa na ufanyaji wetu wa kazi na malipo yetu pia. Kwa muda ambao nimefanya kazi ningekuwa nimefahamu daktari BAKONGWA mapema nisingekuwa mtu wa kulia shida tena kama wengine au angalau ningezijuwa tovuti zake https://bakongwadocotors.com   tu mimi nisinge jutia muda