Posts

Showing posts from March, 2019

ZIFAHAMU SEHEMU ZA KUMPAGAWISHA MWANAUME KITANDANI

Image
Tokeo la picha la mahaba Baada ya siku ya jana kutuma sehemu ambazo unaweza msisimua mwanamke katika mapenzi wadau wengi waliomba nitume na sehemu za kumpagawisha mwanaume. kwa hakika wanaume nao huwa na maeneo ya kuwasisimua na kuwapandisha kasi zaidi huku akipata raha ya ajabu.... leo nitayataja maeneo ambayo mwanaume akiguswa kimahaba huwa yanamsisimua sana na kumfanya ahisi kuchanganyikiwa kimahaba 1. MASIKIO hii ni seheme ambayo hubeba hisia nyingi sana za mwanadamu; hapa mwanamke unatakiwa ufanye kama kukunong'oneza kimahaba kisha utumie ulimi wako kukugusa masikio ndani,nje na kwa nyuma pia hii inaweza kumfanya mwanaume awe na msisimko mkubwa. 2. SHINGONI Sehemu hii ina hisia sana kwa kila kiumbe kwa sababu mishipa mingi ya fahamu hukutania hapo mguso wako wa pole pole kwa kutumia ulimi wako na pumzi ya kimahaba vinaweza mfanya mwanaume achanganyikiwe zaidi juu yako na kumfanya asahau mengine maana msisimko utampanda kwa haraka zaidi KAZI KWAKO kujua jinsi y

Je Wafahamu Kuwa Kupenda Ngono Kupita Kiasi ni Ugonjwa wa Akili (Sexual Disorder)?

Image
Wataalamu wa magonjwa ya mfumo wa uzazi wameeleza kuwa tabia ya kupenda ngono kupitia kiasi ni ugonjwa wa akili ujulikanao kwa jina la ‘mania’ (sexual disorder). Akizungumza na Mwananchi, daktari bingwa wa magonjwa ya kinamama na uzazi kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Colman Living amesema kufanya ngono mara kwa mara huimarisha ubongo lakini kupita kiasi husababisha madhara mbalimbali kwa mwili. “Kiafya kuna madhara ikiwemo maambukizi ya magonjwa kama yapo sambamba na kukinai tendo, lakini hapohapo kuna mwingine anakuwa na  hulka ya kupenda tendo hilo kwa sababu ni mgonjwa tunaita ‘sexual disorder’ au kitaalamu unaitwa ‘mania’ huu ni ugonjwa wa akili kwamba yeye anakuwa hatosheki hivyo anafanya mara kwa mara na wakati mwingine na watu tofauti,” alisema Dk Colman. Akielezea madhara kwa wanawake, Dk Colman alisema kwa anayependa tendo hilo licha ya kuchanika sehemu za siri, inategemea anafanya na watu wangapi, kama ni tofauti anaweza kupata magonjwa mbalimbali. Alisema

MBINU ZA KUMWOMBA MSAMAHA MPENZI WAKO

Image
Marafiki zangu kukosea katika maisha ya binadamu ni kawaida. Ni sehemu ya maisha yake. Tena inaaminika kwamba, kukosea ni kujifunza, maana kosa utakalofanya leo ni funzo la kesho. Hii ipo pia hata katika uhusiano na wapenzi wetu, mara kadha wa kadha tumejikwaa na kuwakosea. Hakuna cha ajabu. Ni kawaida kabisa, lakini jambo la msingi hapo ni kwa namna gani tu najifunza kupitia makosa. Ni kwa jinsi gani tunamaliza tofauti hizo. Maana unaweza kuwa hodari wa kukosea au ukawa bingwa wa kusamehe, lakini wimbo huo ukaendelea kubaki hivyo hivyo kila siku. Lakini pia, wapo ambao kwa bahati mbaya, bila matarajio yao, wanajikuta wakiwa wamewaudhi wapenzi wao. Ni bahati mbaya na yawezekana kabisa wanaumia sana mioyoni mwao, lakini wakashindwa jinsi ya kumaliza ‘bifu’ hilo katika penzi lake. Siku zote mkosewa hukosa raha, hupoteza hamu ya kukutana na mpenzi wake lakini kubwa zaidi, hujishusha/hukushusha thamani ya mapenzi yake kwako. Lakini mkosewa huyo huyo, akioneshwa kwamba makosa yaliy

Ujumbe kwa Wadada

Image
DEAR LADIES 1. Ngono haimfanyi mwanaume asikuache, hata ukukuruke vipi, jikwatue kiasi gani kama hajaona quality za kuwa mke atakuacha tu. 2. Mwanaume anaekupata kwa vile alitumia pesa zake kwako hatakaa na wewe milele Wanaume halisi hawawezi wakatoka na wanawake feki wanaopenda pesa Ukibahatika sana atakufanya daraja la pili yaani mchepuko! 3. Uzuri wa mwanamke unaweza ukampelekea akaolewa ila tabia yake ndio itakayoamua ni kwa muda gani atadumu katika ndoa Uzuri huvutia wanaume, ila tabia hufanya wanaume wadumu na wewe. 4. Pesa kiukweli ina faida sana na ni muhimu kwa mtu yoyote kuwa nayo ila pesa peke yake haiwezi kuleta ukweli wa maana halisi ya furaha na maisha. 6. Kuwa mzuri bila tabia njema hakuwezi kukakupa mume bora, sana sana utapata Boyfriends na wanaume za watu. 6. Tendo la ngono linaleta faraja ila haliwezi kuleta upendo Tendo la ndoa ni zao la mapenzi, mapenzi sio zao la Tendo la ndoa. 7. Tendo la ndoa inaweza kufanya mwanaume alale na wewe usiku kuc

UKIONA HIVI, UJUE UMEMKUNA VILIVYO

Image
 Leo acha niwape dondoo kadhaa kuhusu namna ya kujua kama umemkuna ipasavyo mwanamke wakati wa tendo la ndoa. 1.Kufinya shuka kwa nguvu au kitanda kwa nguvu wakati unampa mambo ni ishara mojawapo ya kuonyesha kwamba inamkuna vizuri. 2.Kukukumbatia kwa nguvu au kukufinya: Hii pia ni moja kati ya ishara nyingi anazoonyesha mwanamke pindi anapo ----- vizuri. 3.Kutokwa na jasho ndani ya sekunde chache: Ukiona anatokwa na jasho ndani ya sekunde chache na katika hali isiyo ya kawaida basi jua kua utendaji wako ni mzuri na unamridhisha. Acha niishie hapo kwa leo, lakini sina maana kwamba kama mwanamke wako haonyeshi moja kati ya ishara hizo au zote basi ndio inamaanisha haumridhishi, hapana. Hizi ni baadhi tu, zipo nyingi tu. Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome     🔞Wakubwa tu: video kali zote na original app download chini TAHADHARI WAKUBWA PEKEE NDIO WANARUHUSIWA KUBONYEZA HII L

Jinsi Ya Kumuuliza Mwanamke Umtoe 'Out'

Image
Kila mwanamke huwa tofauti na mwingine. Hivyo huwezi kutumia mbinu moja kumuuliza mwanamke kumtoa out halafu ukafanikiwa kwa kutumia mbinu io hio kwa mwanamke mwingine. Kujua mahusiano na mwanamke ni jambo muhimu. Mfano hauwezi kuongea na mwanamke mgeni usie mfahamu sawia na mwanamke ambaye ni rafiki yako. Kwa sababu hauwezi kujua ni wakati gani ama sehemu ipi unaweza kukutana na mwanamke uliyemzimia, nimeamua kuorodhesha kategoria tano kuu za wanawake ambao ukipatana nao inaweza kuwa rahisi kwako kuwauliza kuwatoa out kwa kutumia mbinu tofauti tofauti. 1. Kumuuliza kumtoa out mwanamke mgeni usiyemfahamu Kumuuliza mwanamke usiyemjua mtoke out kwa mara ya kwanza inaweza kuonekana jambo gumu, haswa iwapo kama hauna stimu zozote kwa akili. Lakini ukikaa kwa umakini na kufikiria utagundua ya kuwa kutaka kumtoa out mwanamke kama huyu ni jambo rahisi kuliko yote. Mwanzo kuna dhana tatu hapa. Kwanza ni kuwa ukienda kuongea na yeye una asilimia 50 kwa wewe kukubaliwa na asili

Hizi ndio sehemu 10 zenye msisimko Mkali zaidi kwenye Mwili wa Mwanamke

Image
Kila mwanaume anapenda kua fundi wa tendo la ndoa akiwa faragha na mke au mchumba wake lakini bahati mbaya sana hakuna kanuni maalumu ya kumsisimua mwanamke kwani kila mwanamke ana eneo lake ambalo likiguswa anakua taabani hivyo ni wajibu wa mwanaume kulitafuta na kuligundua eneo hilo. Mazoea ya kufanya mambo yaleyale kila siku kwa muda mrefu hufanya tendo hilo la ndoa lianze kua baya na huenda ikawa chanzo  cha mtu kuchepuka kutafuta ladha zingine. Kitaalamu katika sayansi ya binadamu kuna maeneo kadhaa ambayo wanawake wote wakiguswa hupata msisimko mkali lakini msisimko hutafautiana kutokana na mwanamke husika kama ifuatavyo. 1. Kichwani; juu ya kichwa cha binadamu kuna mishipa mingi ya damu na ile ya fahamu hivyo maeneo haya yakishikwa homoni kama oxytocin na serotoinin huachiwa mwilini na kuleta msisimko mkubwa. Jinsi ya kufanya; mshike kwanzia nyuma ya sikio kisha ingiza vidole katikati ya nywele kama unamkuna kichwa bila kutumia nguvu. 2. Sikio; sikio ni sehemu yen