Posts

Showing posts from May, 2019

ZISOME HAPA FAIDA ZA KUMSIFIA MPENZI WAKO

Image
Kuna mengi mazuri ambayo huenda mpenzi wako aliwahi kukufanyia, je uliwahi kumshukuru kwa kukufanya ufarijike? Naamini Mungu amekujaalia kuwa na mpenzi mzuri, mwenye kila sifa ambayo ulitamani awe nayo, je ulishawahi kumsifia hata kwa kumwambia ni mzuri? Huenda ulishawahi kufanya hivyo lakini kwa taarifa yako wapo ambao wanahisi kufanya hivyo eti ni ulimbukeni. Ulimbukeni? Kumsifia mpenzi wako unaona ni ulimbukeni wakati wataalam wa masuala ya mapenzi wanaeleza kuwa, wanawake ni watu wanaopenda kusifiwa sana hata kwa madogo wanayoyafanya. Unaona hatari gani kumsifia mpenzi wako kuwa ni mzuri? Unadhani unatumia nguvu gani kumsifia mpenzi wako kutokana na mahaba mazito anayokupatia? Kwa taarifa yako unaweza kuona ni kitu kidogo sana lakini madhara yake kwenye penzi ni makubwa. Kumsifia mpenzi wako kwa yale anayokufanyia kuna faida nyingi sana lakini kwa leo nitagusia chache. Kwanza kunaongeza mapenzi. Mume/mke anaposifiwa kuwa anajua mapenzi hata kama si kwa kiwango kikubwa, anaf

MDADA ZINGATIA HAYA KABLA NA BAADA YA KUOLEWA

Image
Naomba kuleta kwenu mambo ambayo naamini ni muhimu kuyatafakari na kuyapa uzito wenye kustahili. Yafuatayo ndiyo mambo ambayo unapaswa kuyazingatia kabla na baada ya kuolewa: 1. Kujitambua Kila msichana aweze kutambua nini kinamfanya kuwa mwanamke. Kwa maana kama ni maumbile hiyo ni default settings, kama ni kuzaa mwanaume haendi leba, sasa ni nini kinakufanya kuwa mwanamke? Kujitambua, kujiheshimu na kuwajibika. Nyumba yenye mwanamke anayeheshimika ni Baraka na nyota njema. Nyumba yenye mwanamke asiyejiheshimu na kuheshimika huwa haitamaniki, wewe wataka kuwa yupi kati yao? 2. Kila mwanaume ni tofauti 'wanaume wote ni wale wale tu'' Ni vibaya sana kumchukulia mwanaume sawa tu na wengine (hata kwa rafiki wa kawaida tu). Kuwa unajua au umesikia sifa mbaya za wanaume flani na flani, au umewahi kuwa na mahusiano na ukaona sifa mbaya kadha wa kadha za huyo, ukaja ukampata mwingine harafu unamchukulia ni sawa na hao wengine tu. (kosa kubwa sana) Kila mwanaume ana sifa z

JIFUNZE KUBADILIKA BAADA YA KUACHWA

Image
Ukilia ukiwa umeachwa haisaidii kitu,,kikubwa ni kujiuliza,je umeachwa kwasababu gani,,hili ndilo swali ambalo unapaswa ujiulize ili kurekebisha ulipokosea ili ajae asije anakuacha kama huyo wa mwanzo,,,nikwambie kitu my sister/brother usipoondoa kisiki ulichojikwaa kisa tu una maumivu,,,tegemea ipo siku kitakukwaa tena na kupata maumivu,,,unapoachwa jisafishe makosa yako na kuwa Mwanaume/mwanamke mpya hata utakapojaljwa kupata mwingine akukute wa tofauti kabisa. from Utundu kitandani http://bit.ly/2W2k1ah via IFTTT

HUYU HAPA MWAARABU WA JACLIN MENGI

Image
Jamani Jamani wanazengo Leo wambea tutakufa kwa pressure maana sio kwa double breaking news za Leo , yani wakati sakata la gwajima bado likiwa bichi, Jipya laibuka kuhusu mke wa marehemu mengi akiwa kwenye picha ya pamoja na mwanaume aliyetajwa kutoka nae kimapenzi anayejulikana kwa Jina la Hussein mmliki wa element bar na balozi. Ila wanazengo Leo nimemuangalia jacky kwenye msiba alivyo mkavu na tinted juu sijui alikua anaficha nini usoni, yan ukiangalia kwa makini utasema Madam ritha Ndo alikua mfiwa Na sio jacky, na ndio maaan hata watu walikua hawana time naye kabisa kumpa pole, yan Yale maneno ya mange yanaanza kuniingia kichwani, jacky she is a Jezebel . Mi nilivyoona mange kataja mpaka Jina la mwanaume mpaka picha ikapostiwa pale pale mbea mie nikawa alerted there is something danger. Unajua kwa stage aliyofikia mengi hakupaswa Kuwa na stress kabisa , huenda aligundua kitu kutoka kwa jacky, na kama mnavyojua babu yetu alikufa na kuoza kwa jacky, alikua aambiliki, Ila se

NILIVYO UMBUKA SIKU YA FUNGATE

Image
Mwenzenu karibia yananikuta makubwa sijui itakuwaje natamani siku zigande....mimi ni msichana wa miaka 23 nilikutana na Mkaka mmoja mwaka umepita sasa tukawa wachumba akanitambulisha kwao na mie nikamtambulisha kwetu na kuanza uchumba rasmi lakini katika kipindi hicho chote wakati tunaanza nilimdanganya mimi bikira kaka wawatu akafurahi sana na kuahidi kutonigusa mpaka siku ya harusi yetu na kweli kaka wa watu hakunigusa mpaka leo zimebaki week mbili tufunge Harusi..na amewaambia wazazi wake waandae zawadi watakayo nipa baada ya kunitoa bikira siku ya Harusi tutakapofanya kwa mara ya kwanza , Eti atawapelekea shuka lenye damu alafu nipewe zawadi ya kujitunza, ki ukweli mimi sina bikira kabisaaa, ilitoka toka na miaka 15 , Naombeni ushauri hili litanitokea puani na kunipa aibu from Utundu kitandani http://bit.ly/2Z4sWdh via IFTTT

ARE THEY BEAUTIFUL??

Image
from Utundu kitandani http://bit.ly/2wvcczt via IFTTT

Is it okay to love someone if you are in relationship with someone else?

Image
Is it okay? Of course. Love is complex and sometimes we end up loving more than one person, because that is just how life is. I know a lot of people will roll their eyes at this, because society has painted this picture of what love should be and look like. But the brutal and often times ugly truth, is that love changes. It fades and comes back again, but sometimes it just fades. And that’s okay too. I know it sucks, trust me. I loved a man for 10 years and that’s what happened to me. He just stopped loving me. And as painful and difficult as it has been to cope with that this year, I know one thing is certain now. Love changes. People change. Life changes. What and who we loved years ago, may not be what we want anymore. It is only up to the person who has fallen in love with someone else, to ask, “Is this really love because I am happy, and it is positive, and because this is what I truly, completely want?” Or, “Does this feel like love because I am unhappy or because I haven

LEARN HOW TO BE CONFIDENT ABOUT YOU

Image
“Today I lost the respect of a few people I love, and the desire to kill myself, when I finally took your advice and told everyone the truth about who I really am and what I’ve decided to do with my life. In a nutshell, I’ve chosen to love and honor myself, instead of convincing others to do it for me every day.” Those are lines right out of a live chat session I had this morning with a longtime reader and new course member of ours. Although this person asked to remain anonymous, they gave me permission to share this with you, and I’m so glad they did. Because the greatest struggle in life is the struggle to accept, embrace and love ourselves, with all of our imperfections. To be 100% honest about who we are, how we feel and what we need. To stop discrediting ourselves for everything we aren’t, and start giving ourselves credit for everything we are. And to be aware that not everyone we love will agree with us every step of the way, and to be OK with it. We have to learn to be o

NJIA ZA KUKUZA UUME

Image
Mambo vipi wadau Leo nataka niwafunze wanaume wa JF Jinsi ya kukuza Uume in Two weeks!!!! Unahitaji glass ya maji, Tangawizi, kitunguu, Olive oil, Asali na Ruler. Saga Tangawizi na kitunguu pamoja, weka kwenye kikombe cha chai, tia maji kidogo then weka vijiko vitatu vya Asali! Kunywa huo Mchanganyo! In 10 Minutes Nenda bathroom, Chukua ruler, pima Urefu andika kwenye karatasi! Then anza kumasaji kwa kuvuta kwenda Mbele, massage kwa kuvuta juu, massage kwa kuvuta kushoto then vuta kulia!! Tumia Mafuta ya Olive oil kumassage!!! Kuwa kama unachora Msalaba!! Vuta juu, Vuta chini, vuta kusho na vuta kulia!!!! Fanya hivyo five times!!! Yaani vuta juu five times, Chini five times Kushoto five times, Kulia x 5 etc Ukimaliza Vaa boxer loose, isiyobana! Repeat that Asubuhi na jioni! Make sure kila baada ya kunywa kinywaji chako, unajipima ili kujua Mboo yako inakuwa Nchi ngapi kwa siku. Kama wewe una uume medium, plz usifanye zoezi hili kwa week 2!!!! Fanya siku Tatu tu zinatosha!!!! Nar

ONA ALIVYO CHUKUA MWANAMKE KIRAHIIISII!!

Image
Mtanisamehe kwa ninyi ambao ninapozungumzia maisha mazuri huwa mnakasirika. Mtanisamehe maana ndo experience niliyo nayo. ni ngumu sana kwa mtu mvuvi kuzungumzia vizuri habari za kilimo, ndio ilivyo kwangu napata shida sana kuzungumzia shida na matatizo sababu sijawahi kukutana nayo zaidi zaidi nilipokuwa mdogo mama anasema nilikuwa nasumbua sana hasa kunywa maziwa na mayai. Jana nolitoka ofisini nikawa nimeamua nikale KFC na kufanya mizunguko kadhaa nikaja kutoke mataa ya pale Posta Akiba. Ile sehemu nishaijua kitambo kuna traffic washaifanya kitega uchumi. So wanasubiria tu ukichelewa kidogo kwenye taa ukawa unapita huku zinaishia wanakupiga mkono uwaachie chochote au wakuandikie. Alinikamata dada mmoja jana akidai nimepita wakati taa ya njano imewaka. Mimi nilikuwa wa pili kutoka mwisho, sijui sababu ni nini akaona anikamate mimi mwenye Range Rover amwache jamaa aliyekuwa na Subaru nyuma yangu. Nimepita nikaona ananipiga mkono. Nikacheck nyuma nikaona kuna subaru nayo ipo inak

FAIDA 6 ZA KULA PILIPILI MWILINI

Maalumu kwa wale watu wapenda na watumiaji wa pilipili ambao hutumia bila kufahamu faida zinazotokana na kiungo hiki chenye ladha ya uchachu na ukali lakini ndiyo kiungo chenye kuongeza hamu ya kuendelea kula chakula. Capsaicin ndiyo kiambata ambacho huipa pilipili ladha yake ya uchachu pamoja na kazi yake ya kuongeza ladha ya chakula. Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali zilizofanywa na wanasayansi wamegundua faida 6 zitokanazo na ulaji wa pilipili kwenye mwili wa binadamu, kama zifuatazo. 1. Hupambana na maumivu na uvimbe Capsaicin huziondolea nguvu neuropeptides ambazo ndizo husababisha maumivu na kuvimba kwa sehemu mbalimbali mwilini. 2. Huzuia kuziba kwa mishipa ya pua Capsaicin inajulikana kwa kupambana na kazi mbalimbali za bakteria mwilini ambazo nyingi husababisha kuathirika kwa sehemu ya wazi iliyopo kwenye mifupa hasa kwenye pua, pamoja na kazi yake ya kuunguza/ kuchemsha mwili, pia husaidia kuunguza ute unaoweza kusababisha kuziba kwa pua hivyo kuondoa, kupunguza kabisa

CHAJIRANI KIHESHIMU

Image
Juzi nilifuatwa na mwari wangu mmoja huku akilia, eti ohh mwanamke wa nyumba ya jirani amemchukulia mumewe. Shoga hivi utampaje nafasi mzee aende pembeni kujilinia asali bila hofu na mwisho kumiliki mzinga mzima? Kwa vile naheshimu ndoa, leo nataka nikung’ate sikio, sababu za nyumba ndogo kuwazidi kete wenye ndoa. Najua siri hii itawachukiza wengi hasa wenye tabia ya kukwapua mali za watu na kujimilikisha waume hao kama wa kwao, tena wako radhi kuona familia za wenzao zikiteketea huku wao wakipata neema kutokana na kuchuna bila huruma. Kabla sijawapa siri za hao vishankupe wanaopenda kuchukua waume za watu kiasi cha kutuona siye tulioolewa si mali kitu, kwanza nataka niwaulize wale walioolewa maswali haya na kila mmoja ajibu kwa nafsi yake; Nani anayefanya usafi wa mwili wa mume wako, kama vile kumkata kucha, kumnyoa nywele za pembe ya chaki na mambo mengine? Nani anayemfanyia masaji mume wako? Maana nawaona wengine macho yamewatoka pima kwa swali hilo la masaji, wengi hawajui kam

FANYA HAYA NA MWANAUME ATAKUPENDA DAIMA

Image
HISIA za mapenzi hutokea ndani kabisa ya moyo. Kila mmoja ana uhuru na haki ya kupenda. Huwezi kuchaguliwa wa kumpenda! Mapenzi ni maisha ya mtu katika uhalisia wake. Maana yake ni kwamba kama utakuwa na mtu ambaye moyo wako hauna mapendo ya dhati kwake, tafsiri yake ni kwamba maisha yako yote yatakuwa yenye mateso kila siku. Utalala na mtu usiyempenda, utaamka naye na utaambatana naye baadhi ya sehemu wakati moyo wako haukuwa tayari kuwa naye. Hilo ni tatizo. Kwa bahati mbaya kuna baadhi ya wazazi bado wana mawazo na fikra za kizamani. Wapo wanaoendelea kuwachagulia au kuwalazimisha watoto wao wenzi wa kuishi nao. Ndugu zangu, hizo ni zama za kale. Maisha yamebadilika. Kila kitu kimebadilika. Ni sahihi zaidi mtu achague mwenzi wa maisha yake mwenyewe maana ataishi naye yeye. Huo ni upande mmoja; upande mwingine ni haki ya mwanamke kupenda. Imezoeleka mwanaume ndiye mwenye mamlaka ya kumpenda mwanamke na kumtaka waanzishe uhusiano. Inategemea kama mwanamke atakubali au atakaa. P

WANAWAKE WANABOREKA WAKIFANYIWA HAYA KITANDANI

Image
– Wanaume wamejaa majisifu, hata awe anaumia kiasi gani atakaa ngumu eti kwa sababu “mwanamume ni kuvumilia”. Kumbe mle ndani anakatika maini Wanaume wanahofia sana kuonekana bwege chumbani. Wanasayansi wamefanya tafiti kadha na kuhitimisha kuwa wanaume wanaogopa sana kuachwa na mchumba na pia kudhalilishwa. Eneo moja ambalo wanaume wanahofia zaidi ni kuonekana duni kitandani. Wanatatizika kila wanapofikiria kuwa ustadi wao uwanjani ni wa ligi ya chini; kwamba hawawezi kukufikisha kileleni ilhali unawapa mahaba ya kutosha. Habari Nyingine: Hizi ndizo njia bora za kuongeza ladha katika mapenzi Itakuwa vyema kwako mwanadada kuhakikisha kuwa unamuondolea mpenzi wako mawazo haya ya kumfedhehesha. Chukua hatua zifuatazo: 1. Usimlinganishe na wengine Yawezekana umekuwa na mchumba mmoja tu, ama yeye ni wa mia moja! Kwanza, usithubutu kumtajia idadi hiyo. Pili, usimlinganishe hata chembe na hao wengine wa zamani isipokuwa tu kama yeye ndiye ameibuka bora kuliko wote! 2. Usimkashifu Hakun

WANAWAKE HUPENDA HAYA WAKATI WA KUHONDOMOLA

Image
Hivi ni baadhi ya vitu ambavyo wanawake hutamani sana wanaume zao wawe wanajua katika mapenzi, ili wasipate shida ya kumwambia mara kwa mara, jambo ambalo si wanawake wengi huwa uwezo wa kumwambia mtu, hapo ndipo unakuta mara nyingi mwanamke anaanza kuchepuka na kwenda kwa mtu mwingine wa kawaida tu kupata mahitaji yake baada ya kuona kile anachokitaka hakipati kwa mpenzi wake. Yafuatayo ni mambo ambayo wanawake wanapenda wanaume wayajue hata kabla ya kuambiwa; 1.Wanawake wanapenda ufuate anachokitaka Katika mapenzi wanawake wanapenda ufanye kile wanachokitaka japo ni vigumu kujua mwanamke anapenda nini. Kwa hiyo kama ni vigumu kujua kitu gani anapenda basi ni vizuri kuwa makini na kugundua ni kitu gani hapendi ili usimfanyie ambacho hapendi na ufanye anachopenda. Japokuwa si wanawake wote wanaweza kukwambia ni nini hasa kinawauzi, kuogopa kukuudhi, hivyo inawafanya wapate shida sana na kuweka maisha yao yawe magumu. Kwa sababu hiyo wewe kama mwanaume unapaswa kuwa makini na m

NJIA ZA KUONGEZA MBEGU ZA KIUME

Image
Chakula tunachokula kina mchango mkubwa katika kuongeza mbegu za kiume, vyakula vingi vya kisasa havina uwezo wa kuongeza uwingi wa mbegu za kiume. Inashauriwa kupunguza matumizi ya sukari na vyakula vya ngano na kuongeza zaidi ulaji wa matunda, mboga za majani na mafuta yenye afya. Chini hapa ni baadhi ya vyakula vinavyochagiza uzalishaji wa mbegu za kiume kwa wingi, kwa mujibu wa makala mbalimbali za afya zimefanyia utafiti vyakula hivi na kugundua mchango mkubwa katika kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume kwa mwanaume kama ifuatavyo. Matumizi ya kitunguu swaumu. Kitunguu swaumu kina Selenium ambayo husaidia kuongeza spidi ya mbegu na pia huondoa sumu. Vile vile Kitunguu swaumu kina ‘Allicin’ ambayo huongeza msukumo wa damu kwenda kwenye uume. Hivyo basi ni vyema kuongeza ulaji wa kitunguu swaumu kwenye chakula unachopika ambapo unaweza kutafuna punje 2 au 3 kila unapoenda kulala au unaweza kukatakata hizo punje 3 vipande vidogo vido (chop) kisha unywe na maji. Usile zaidi

MKASA: NILIPO SHINDWA KUMTUMIA PESA UKAWA MWISHO WA UCHUMBA

Image
Kwa utangulizi ni kwamba mimi ni kijana wakiume, wa pekee katika familia ya watoto watatu, nina mchumba ambae tunaelekeana umri na niko nae kwa mda mrefu kidogo... tumepitia changamoto nyingi lakini Mungu mwema tunaendelea kusonga mbele; Katika maisha yangu kuna kiumbe anaitwa Mama huwa namuheshimu na kumpenda sana, kuna mengi yanayofanya nimpende lakini kubwa ni kutokana na namna alivopitia mengi mpaka kupatikana kwangu (kwa kifupi ni kwamba nlipatikana kama ectopic pregnancy) kitu kilichopelekea afanyiwe oparesheni mara 2 mpaka kupatikana kwangu ni mengi alipitia lakini Mungu mwema mpaka leo mimi na yeye tuko salama. Siwezi kuandika yote lakini kwa kifupi mnielewe kwamba Mamaangu ndie hero wa maisha yangu mpaka nilipo, na hata kwa huyo mchumba nilisha declare interest juu ya nafasi ya mama kwene maisha yangu. Kisa kipo hivi, huyu mchumba tumekuwa tukisapotiana mambo mengi sana, ila ilitokea siku ya Valentine ameniomba kihela kidogo tu aenjoy na yeye huko aliko na kwa huo muda

NI HATARI KUMPELEKA MTOTO CHINI YA MIAKA KUMI SHULE ZA.BWENII

Image
Zipo sababu lukuki kwanini tunawapeleka watoto wetu shule za bweni ikiwa ni pamoja na kufiwa na wazazi wao, majukumu ya kusaka riziki kwa wazazi, elimu bora na zingine kadha wa kadha. Leo tutajadili athari za shule za bweni kwa watoto wenye umri mdogo. Umri wa chini ya miaka kumi na vipi elimu ya bweni inaweza kuwa ama chachu ya maendeleo ya mtoto au kumdidimiza kabisa kimaendeleo. Tuanze kwa kuangalia nini mtoto anaweza kufanya kulingana na umri wake na tutahitimisha na maoni yetu kuhusu umri wa shule ya bweni. Kuanzia umri wa miaka miwili hadi minne, mtoto huwa hajawa na ufahamu wa kutosha kujua mabaya na mema. Anachokipenda yeye ndicho kizuri na asichokipenda sio kizuri. Ni muhimu mzazi kuelewa hili ili kutoa muongozo na uangalizi kwa mtoto kwa upendo pasipo kumuhukumu kuwa ana tabia mbaya kwani bado uwezo wa kupambanua baya na jema ni mdogo mno. Ingawa bado hajawa na uwezo binafsi wa kung’amua mwenyewe mambo mema na mabaya, mtoto mwenye umri wa miaka mitano hadi sita anaweza ku

PUNYETO INATESA AISEE

Image
Naombeni msaada jamani mimi nina miaka 22 Sijawahi kufanya zinaa ila nimekuwa ni muumini mkubwa mno wa hii kitu mwaka wa pili sasa nashindwa jinsi ya kuacha. from Utundu kitandani http://bit.ly/2EM1tFl via IFTTT

JINSI YA KUKATA KIUNO WAKATI WA KUHONDOMOLA

Image
Simama wima (ukiwa uchi mbele ya kioo ndio it’ll work better), weka mikono yako hapo tumboni alafu sukuma tumbo lako mbele (litunishe) baki hivyo kwa muda kisha lirudishe kwa ndani na ubaki tena hivyo kwa muda. Rudia kufanya hivyo mara nyingi uwezavyo na kumbuka kubana pumzi huku mdomo ukiwa wazi (itasaidia kukaza misuli ya tumbo pia), kubadilisha mirindimo (polepole, haraka, chap-chap, kugandisha n.k) mpaka utakapo hisi tumbo lako linatetema/tikisika (yaani vibrating). Msingi wa kukata kiuno Kama nilivyosema awali, simama wima najishike kiunoni (kuhu na huku) kisha peleka sehemu ya kiuno ya kulia upande wa kulia, sehemu ya mbele ipeleke mbele uwezavyo(nina maana ile pelvis tu sio tumbo na kila kitu) alafu baada ya hapo peleke sehemu yako ya kiuno ya kushoto-kushoto, kisha peleka sehemu yako ya mbele nyuma hali itakayofanya matako yako yabinuke/jitokeze kwa nyuma…..nyoosha magoti kisha rudi kulia (ulipoanzia). Fuata hatua hizo kwa mara nyingine tena ambazo ni sima

MAELEZO MUHIMU KUHUSU KUONGEZA NGUVU ZA KIUME

Image
FAHAMU SULUHISHO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Ukweli ni kwamba ndoa nyingi za Kikristo zinavunjika kutokana na tatizo hili. Je, hakuna haja ya kuitisha mjadala wa kitaifa? Taifa letu linaangamia kwa kukosa maarifa. Hivi upungufu wa nguvu za kiume ni nini? Kifupi ni mwanamume kutokuwa na uwezo wa kutoa mbegu bora zenye uwezo wa kutungisha mimba, au kutosimama kwa uume. Takwimu zilizopo zinaonyesha kuwa asilimia 60 ya wanandoa nchini wanakabiliwa tatizo hili. Kwa hiyo, mabango ya waganga yaliyopo barabarani hayajapunguza kabisa tatizo hilo. Hawa watu wanatibu watu au majini? Hapo ndipo kiini cha makala haya. Sababu kubwa ya ongezeko la wenye matatizo haya ni kwamba dawa nyingi zinazodaiwa kuponya tatizo hili hazina viwango vya kuitwa dawa, bali ni vichocheo tu kwani kinachopigiwa chapuo huwa ni kumudu tendo kitandani na si nguvu asilia. Waganga wengi wameelekeza nguvu zao huko na ni hapo ndipo janga hili la kitaifa linapoota mizizi. Ukweli ni kwamba upungufu wa nguvu z

NENO NAKUPENDA PEKEE HALITOSHI KUPIMA UPENDO

Image
MPENZI wako anapokuambia anakupenda, inatosha kweli kukudhibitishia kuwa anakupenda kwa dhati na uendelee kumwamini? Hapa kila mmoja anaweza kuwa na jibu lake, lakini kwa wataalamu wa uhusiano hawakubaliani na hoja hii.   Kwanini? Kwa sababu neno ‘nakupenda’ ni jepesi sana katika hali ya kawaida kutamkika, lakini lina maana kubwa sana linapokuja katika ulimwengu wa mapenzi ya dhati. Naam! Ulimwengu wa mapenzi ya dhati kwa sababu kuna wengine wanakuwa hawana mapenzi ya kweli wanapotamka neno hili. Wanasaikolojia ya mapenzi wanaeleza kwamba neno hilo linaweza kuwa na maana ikiwa litalandana na matendo. Wengi wamekuwa wakiteseka kwa muda mrefu katika uhusiano. Wapenzi wao wamekuwa hawaeleweki kama wana mapenzi ya kweli au lah, kutokana na mambo wanayowafanyia lakini kwa wakati huo huo neno ‘nakupenda’ limekuwa halikauki midomoni mwao. Ni haki yao kuchanganyikiwa, lakini kuchanganyikiwa huko kutokana na kutokujua mambo ya uhusiano vyema. Inawezekana wewe ukawa mmoja wa watu hao,

MAMBO YANAYO HAMASISHA MAHABA KWA MWANAUME

Image
MWANAMKE JUA MAMBO YANAYO HAMASISHA MAHABA KWA MUMEO    KITANDA Mwanamke jitahidi kitanda chako kiwe vizuri NA cha kuvutui kipambe vizuri,kwa mashuka mazuri yenye nakshi,na shuka inyooke vizuri,sio kitanda kinakuwa kama  vile stoo ya nguo chafu.   MANUKATO Katika chumba chako jitahidi sana,kiwe kinanuka kila Mara mumeo anapo rudi akiingiq chumbani akutane na harufu nzuri,   .sio chumba chanuka jasho.   USAFI Hili ni jambo LA muhimu sana maana  utakuta chumbani kuna vyupi vya wiki nzima, hazijafuliwa mataulo chini,masidiria,mumeo akikuta chumba kiko hivo ujue kuna shangingi atamchukua.   Usafi wa mwili PIa Usafi wa mwili mwanaume anavutiwa na utakavokuwa umejipamba na atavutiwa kimapenzi na wewe.   Mapokezi mazuri Wanaume wanapendana sana kupokelewa vizuri,kwa mahaba tele mapokezi utakayo mpa mtu jitahidi yawe ya mahaba,legeza macho, mwili,yaani ili mradi tu umchanganye mwanaume Siyo umeshupaa kma mwanajeshi kwenye paredi.   CHAKULA Jitahidi mwanamke kujua

MBINU ZA USHINDI KWA WANAWAKE..FANYA HAYA NA MUMEO HATOCHEPUKA KAMWE

Image
Wanawake wengi hawajui nafasi ya mume, hivyo kufanya mambo kiholela na kujikuta NDOA inaanza kuleta matatzo. Jinsi ya kumlinda mumeo: 1. MAPISHI Unapokua upo jikoni unaandaa chakula, ni lazima ujue kuwa anaekula ni mumeo, hivyo ni vizuri ukatumia ujuzi wako wote kuhakikisha mumeo anakula chakula kizuri. Wanawake wanapika chakula kizuri siku za sikukuu ndo anajitahidi kutumia uelewa wake wote katika kupika ili tu aonekane na majirani. Au siku ukisikia mumeo anakuja na mgeni rafki yake alafu yamkini ni mtu mwenye cheo fulani ndo unataka upike vizuri. KWA IYO USITAKE KUPIKA VIZURI ETI KWA SABABU KUNA MGENI AMEKUTEMBELEA BALI IWE NDO TABIA YAKO KWA MUMEO 2. USAFI Wanawake bado hawajajua kuwa usafi ni kivutio pia kikubwa kwa mwanamume. Na kama tunavyojua kuwa usafi maana yake ni “kila kitu mahali pake” Sasa wanawake utakuta vijiko vya chakula vipo kwenye kitanda eti kwa sababu tu ana mtoto mdogo. Au nguo za mikojo ya mtoto unaweka chini ya kitanda mpaka zinaanza kutoa haru

USIPATE TABU KUMJUA MKEO MTARAJIWA MSOME MKWEO WAKIKE

Image
Kwa utafiti wangu mdogo niliofanya nimegundua kwamba tabia za mama mkwe ndio tabia za mkeo upende usipende.kwahiyo kama una mpango wa kuoa usiishie kumchunguza mchumba wa kike ambaye wakati wa uchumba anakuwa anaishi maisha ya kuigiza bali pia angaika kumchunguza mama mkwe. Kwanini mama mkwe? 1. Mama mkwe ndie aliyemlea mkeo mtarajiwa kwahiyo mchumba wako atakuwa ameiga na kufundishwa kuwa na tabia kama mama yake 2. Mara mwanamke anapoolewa Mshauri mkuu ni mama yake mzazi(napenda uamini hili) kwahiyo maisha yake kwenye ndoa yatategemea ushauri wa mamaye 3. Ikitokea mfarakano kwenye ndoa na kama mwanamke ndio tatizo mama mkwe ndie mtu pekee anayeweza kumbadilisha mkeo katika njia sahihi. from Utundu kitandani http://bit.ly/2HLrsyx via IFTTT

WANAUME MSIWAFANYIE HIVI WANAWAKE

Image
Mungu anasema si vyema mtu (Mwanaume) awe peke yake. (Mwanzo 2:18), na ni kweli Mwanaume hakuumbwa kuwa peke yake eti jeshi la mtu mmoja hata Mungu anajua, upweke unaleta disorder. Lakini wakati unasubiri au ukiwa kwenye mchakato wa kutafuta mwenzi wa maisha usitumie wanawake kama magazine za waiting room Airport ukiwa unasubiri muda wa kupanda ndege. Usijiingize kwenye mahusiano na mtu eti unavuta-vuta muda kupata mtu sahihi. Ni mbaya sana. Unamtongoza dada wa watu na kumsumbua mpaka anajiaminisha kuwa unampenda kumbe hayuko hata kwenye ndoto zako, unataka tu mtu wa kupotezea mawazo. Yeye (Msichana) anajenga imani kwako na kuanza kukuingiza kwenye mawazo ya hatima (future) yake. Anakubwagia limoyo lake lote, kumbe wewe hata hisia huna. Inaumiza sana. Bora utumie hiyo nafasi kujikita kwenye michezo au gym au mchakato wa kibiashara, au online courses ili uvute muda ukiwa unajiandaa kupata mtu sahihi wa maisha yako. Kwa nini umwambie mtu unampenda sana na uko tayari kufa kw

JIFUNZE KUMUDU HISIA ZAKO ILI USIENDESHWE NA MAPENZI

Image
Mapenzi ya kweli ni yale ambayo watu huumizana kiasi,,hugombana kiasi,,husumbuana kiasi,,hulizana kiasi,,zaidi ya yote hawa wawili hutumia busara na hekima kufutana machozi na kuruhusu tabasamu kurejea ndani yao na kupanga maisha pamoja,,kusikilizana,,kuheshimiana,,kufanya yampayo amani kila mmoja wao,,zaidi ya yote kila mmoja kuijua thamani ya mwenza wake na upendo wake,,,,HILO NDILO PENZI LENYE NGUVU from Utundu kitandani http://bit.ly/2HLIMn0 via IFTTT

LOOK AT HER IN THIS DRESS

Image
from Utundu kitandani http://bit.ly/2EID3N2 via IFTTT

USHAURI MWANAMKE WA KUOA

Image
Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote, maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi, hekima na busara. Yote hayo ni ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu. Wekeni wivu pembeni na Yafuateni haya; 1. Oa mwanamke ambae unaweza KUSALI nae na sio kwa sababu anajua KUFANYA MAPENZI vema. 2. Mwanaume bora KAMWE hapimwi kwa idadi ya wanawake alionao au aliotembea nao BALI kwa idadi ya wanawake aliowaambia “Mimi ni mume wa mtu” au ninae mtu tayari. 3. Kuna aina ya wanawake unatakiwa kuwaepuka kabisa kwa gharama yoyote ile, “wanawake wanaodhani uzuri wao ndio bora zaidi kuliko tabia zao” 4. Kila mwanamke anavutia akivaa nguo fupi inayoonesha maungo yake wazi, ila kama utakuta mwanamke amevaa nguo ndefu au za kusitiri mwili wake na bado anavutia, huyu ni dhahabu! Anathamini mali za mumewe! 5. Kamwe usimpe mwanamke mimba ya mtoto kabla hujampa mimba ya malengo na ukayatimiza. 6. Tafuta mwanamke ambae atakupa challenge ya maisha na kuong

MKE ALIYE MTAMU WA MANENO YAKE NA KAULI NZURI NI TIBA KWA MME WAKE

Image
Habari yako msomaji wangu, natumaini upo salama,leo nataka niseme na wanawake wenzangu,,nataka nikuambie tu kuwa safari ya ndoa ni ndefu si sawa na safari za kwenda mikoani,,hivyo usijidanganye kwa kujifariji kwa furaha ya muda mfupi,,kuna mambo yanatokea mwanamke unakuwa sababu ya kupoteza kwa furaha katika mahusiano yako kwa kukosa lugha nzuri,unadhani unajenga au unamkomesha mmeo kumbe unabomoa na kufungua upenyo wa upendo kupungua na kutafuta mahali pa kibinti tu kinachojua kubembeleza na kujali,,mwisho utafute mchawi nani kumbe mdomo wako,,hebu kuwa mtamu wa maneno yako,,kuwa na kauli nzuri zenye nidhamu na ubembelezi,,acha kupayuka payuka jitambue uwe wa wakitofauti. from Utundu kitandani http://bit.ly/2EGoYQ8 via IFTTT