Posts

Showing posts from November, 2020

Mdee: Hatuondoki Chadema ‘tunamheshimu Mbowe’

Image
Halima Mdee, Mgombea Ubunge wa Kawe kwa tiketi ya Chadema ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima James Mdee amesema, yeye pamoja na wenzake 18 hawatoondoka ndani ya chama hicho na wanaendelea na utaratibu wa kukata rufaa kupingwa kufukuzwa. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam … (endelea). Mdee amesema hayo leo Jumanne tarehe 1 Desemba 2020 wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kutoa msimamo wao baada ya kufukuzwa uanachama wa Chadema.   Mdee na wenzake 18 walituhumiwa kwa “usaliti, kughushi na uasi” wa chama hicho kwa kujipeleka kuapishwa tarehe 24 Novemba 2020 na Spika Job Ndugai kuwa wabunge wa viti maalum, wakijua chama hicho, hakijapendekeza majina yao Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Uamuzi wa kamati kuu, ulitolewa mbele ya waandishi wa habari na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe tarehe 27 Novemba 2020 akisema, Mdee na wenzake wamekisaliti chama na kama hawaridhiki na uamuzi huo, wanaweza kukata rufaa bar

Rais Venezuela amechapisha nambari yake ya simu nambari yake ya simu mtandaoni

Image
Rais wa Venezuela Nicolas Maduro, amechapisha nambari yake ya simu mtandaoni kupitia akaunti yake ya Twitter, na kusema "Nialikeni kwenye vikundi vyenu." Maduro alirekodi video na kutoa ujumbe uliosema, "Venezuela, ninashiriki katika vita vya maoni kwenye vikundi vya WhatsApp na Telegram kwa nambari 04262168871. Nijumuisheni kwenye vikundi vyenu vyote na tupambane pamoja kutetea Venezuela." Katika nambari hiyo aliyoitoa, ilionekana kuwa na picha yake Rais Maduro iliyobeba maneno yanayosoma "Rais wa Venezuela" kwenye profile ya WhatsApp na Telegram. Maduro pia alichapisha video za ujumbe aliotumiwa kwake kupitia akaunti kituo rasmi cha Telegram.   Maduro alimalizia kusema, "Mapokezi yamekuwa makubwa sana, maelfu ya vikundi vimenijumuisha." from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/39vxiCs via IFTTT

FAHAMU Njia Sahii ya Kutunza Miguu Yako..!!!

Image
Miguu ni sehemu inayoangaliwa sana hasa kwa wanawake, kwani unapoamua kuvaa nguo fupi na huku miguu yako haiko katika hali ya kuvutia sina shaka utaanza kujishuku hata kabla ya kutoka nje. Miguu ni sehemu ambayo inatakiwa kutunzwa kwa kipekee kama ilivyo sehemu nyingine kama usowengi tumekuwa tukipendezesha nyuso zetu na kusahau kabisa habari za miguu. Haijalishi miguu yako ni miembamba au minene iwapo utaitunza vizuri sina shaka kuwa utavutia kwa nguo yoyote utakayoivaa. Kuna njia nyingi za kutunza miguu na unaweza kutunza miguu yako hata kama huna fedha za kununulia vikorokoro vinavyotakiwa. Unaweza kuchukua beseni na kuweka maji ya uvuguvugu yenye povu la sabuni maalum ya kuoshea miguu kisha loweka miguu na iache kwenye maji kwa muda wa robo saa hivi. Chukua aina ya scrub uliyoichagua kwa ajili ya miguu yako paka na ikikauka anza kusugua miguu yako na hadi kwenye vidole na unyayo. Kisha jisafishe kwa maji ya uvuguvugu. Baadhi ya vitu unavyoweza kutumia ili ku kutenge

LIVE: Halima Mdee na wenzake wanazungumza na Waandishi wa Habari muda huu

Image
  LIVE: Halima Mdee na wenzake wanazungumza na Waandishi wa Habari muda huu VIDEO; from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3ocXBBG via IFTTT

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH SHARIFU FIKILI NGHAMBI wa MKOANI MOROGORO

Image
Kutana  na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH  SHARIFU FIKILI NGHAMBI wa MKOANI MOROGORO .............................. Ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu Anatibu kwa kutumia visomo na dua pia  UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika. ............................... JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na  Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na  SHARIFU FIKILI NGHAMBI ujionee muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 72 TU. ............................... Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza. Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi .............................. SHARIFU FIKILI NGHAMBI ANATUMIA  Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako, Anatibu kwa Kutumia  Vitabu vya QUR-AN, DAWA za A

Mwakinyo Abakiza Nyota 2 Kufikia Viwango vya Kina Manny Pacquiao, Agoma Kupigana na Twaha Kiduku

Image
Bondia namba moja nchini, @hassan_mwakinyo_jr kupitia ukurasa wake wa #Twitter amejibu kuhusu kupigana na Bondia mwenzake Mtanzania, #TwahaKiduku. Ikumbukwe kuwa kupitia viwango vilivyotolewa na mtandao wa ngumi za kulipwa wa dunia, boxrec Ijumaa iliyopita, #Mwakinyo amepanda kutoka nafasi ya 78 hadi ya 41 duniani kati ya mabondia 2,050 wa uzani wa Super Welter na kuwa na nyota tatu. Hivyo #Mwakinyo anahitaji kutafuta nyota nyingine mbili ili kuingia anga za mabondia wanaotamba duniani akiwamo #MannyPacquiao mwenye nyota tano. Akijibu swali la Shabiki yake aliyemuuliza kuhusu kumkimbia Bondia Twaha Kiduku, #Mwakinyo alijibu, "Nimebakiza Nyota 2 Kufika Level za kina Manny Pacquiao so kupigana Na Kiduku sidhani kama nitapata izo 2 star zilizobaki Lets focus on internation Levels" from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3mu4VbI via IFTTT

Hizi Ni Baadhi Ya Mbinu Unazoshauriwa Kutumia Pale Unapokutana Na Mwanamke Usiyemfahamu ili Uweze Kumteka Kimapenzi

Image
Unaambiwa Hizi Ni Baadhi Ya Mbinu Unazoshauriwa Kutumia Pale Unapokutana Na Mwanamke Usiyemfahamu Lakini Ukavutiwa Kumpenda Na Kumhitaji 1: Unapoomba namba ya simu hakikisha huombi kwa papara, yaani usioneshe kama una shida sana na usioneshe kama unataka kumtongoza, bali onesha kama unataka tu ulafiki wa kawaida,yaani lafiki wa kuchati nae tu kawaida. 2: Akikupa namba leo kausha usimtafute leo leo, mtafute baada hata ya wiki,msalimie tu na umpigie, hapa uangalie na muda ambao unadhani mtu anakuwa free, sio kupiga simu asubuhi sana au mchana au usiku sana, piga mida ya saa mbili usiku,na usiongee nae zaidi ya dakika 5. 3: Hakikisha kila siku unamtumia msg mara 3 na kumpigia simu mara moja, yaani asbh mtakie asbh njema, mchana, jioni na usiku piga kumpa pole na heka heka za mchana, ongea nae si zaidi ya dakika 5 ili usimchoshe. 4: Hakikisha hutumii maneno ya mtaani sana mfabo oya,inakuwaje,michongo vipi, barida, mzuka, poa n.k. Tumia maneno mazuri ya busara mfano sawa, haya, ume

Wimbo Mpya wa Diamond Platnumz Wavunja Rekodi Africa iliyokuwa Imewekwa na Davido...

Image
Nyota wa muziki nchini, msanii @diamondplatnumz amevunja rekodi ya kufikisha YouTube views Million 1 ndani ya muda mfupi zaidi kupitia video ya wimbo wake mpya "Waah" aliyomshirikisha @koffiolomide_officiel Awali rekodi hiyo ilikua inashikiliwa na Mwanamuziki #Davido Kutoka nchini Nigeria. #Diamond ameweka rekodi hiyo mpya baada ya kufikisha views Milion 1 ndani ya Masaa 8 TU. Kwa upande wa #Davido yeye alifikisha views Milion 1 ndani ya Masaa 9 pekee kupitia Video ya wimbo wake FEM. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3fSzPb6 via IFTTT

Diamond Platnumz Refuses to Pay His Debt to Shilole "Ni Ujinga Nikupe Nini Tena"

Image
  Back in 2018, singer Shilole walked down the aisle with the then love of her life; and being close to Diamond Platnumz, the Bongo singer allowed the two to hold the reception at his Madale home. Of course this was no small wedding as the likes of Vanessa Mdee, Babu Tale, Harmonize and wife were among the popular names in attendance. Speaking during the reception, Diamond made it known that his relationship with Shilole has come from far; but was mostly grateful for her support – meaning he was really ready to go all out. During this lit wedding Diamond Platnumz went on to spice the event by asking Shilole to pick a gift she wants him to buy for her. And in this case we mean anything! Diamond Platnumz goes back on his word Unlike most slay queens who would have asked for a car, house or honeymoon in Maldives; Shilole went on to ask Naseeb to use his platform to help promote her business shishi chill. However due to Diamond Platnumz busy schedule; this never came to be. Well,

Wanachama Wasimba Wakata Mzizi wa Fitina, Wasema Liwalo na Liwe Mohamed Dewj (MO) Ndio Baba Lao

Image
    TAWI Maarufu la Simba la Kibaha kwa-Mfipa Maarufu (Simba Tishio), limewataka viongozi wa matawi ya klabu hiyo kutokuwa wanyonge kuwatete viongozi wao wanaposakamwa kwa tuhuma mbalimbali kama ilivyokuwa kwa mfadhili wao Mohamed Dewj (MO). Hayo yameelezwa na Mhazi Mstaafu wa tawi hilo Fahimu Lardhi, alipozungumza na Waandishi wa Habari mjini hapa, ambapo alielezea masikitiko yake kutokana na kusakamwa kwa Mdhamini wao Mkuu Mohamed Dewj (MO), kitendo kilichofanywa na watu wasioitakia mema klabu hiyo. Alisema kwamba kwa muda mrefu kuna baadhi ya watu wasioitakia mema Simba wamekuwa wakitumia mitandao ya Kijamii, kuhoji mikataba iliyowekwa kati ya MO na klabu hiyo hususani wakitaka kujua kiasi cha fedha cha shilingi bilioni 20 zilivyotoka. “Niwaombe wana-Simba wenzangu tusiwe wanyonge kiasi hiki, hivi sasa tuna miaka minne tumekuwa na utulivu wa hali ya juu, hii inatokana na Mdhamini wetu Mohamed Dewj kuiweka klabu katika misingi imara, ambayo wapinzani hawapendi,” alise

Jezi ya Marehemu Maradona Yampoza Messi, Barcelona Yapigwa Faini ya Mamilioni Kisa Jezi Hiyo

Image
Klabu ya Barcelona italazimika kulipa faini ya paundi 2,700 baada ya nyota wake Lionel Messi kuvaa fulana yenye ‘brand’ ya Adidas katika kutoa heshima zake kwa gwiji wa soka Diego Maradona baada ya kufunga goli dakika ya 73 kwenye mchezo wao dhidi ya Osasuna siku ya Jumapili. Barcelona will have to pay a £2,700 fine after Lionel Messi paid tribute to Diego Maradona Messi alivua jezi ya Barcelona ambayo mdhamini wao mkuu ni Nike na kubakiwa na jezi ya klabu ya Newell’s Old Boys yenye ‘brand’ ya Adidas timu ambayo Maradona aliitumikia mwishoni mwa zama zake za kucheza mchezo wa soka. Maradona, who died last week at the age of 60, played for Newell's at the end of his career Moja kati ya vitendo ambavyo Messi amevifanya baada ya goli hilo ni pamoja na kubusu mikono yake yote miwili na kutazama juu kama vile Maradon alivyokuwa akifanya enzi za uhai wake katika kusakata kabumbu. Lakini kitendo hicho kimekuwa kinyume na kanuni za Royal Spanish Football Federation ambao kwa sasa w

Chanzo Cha Kifo Cha James Bond Aliyefariki Akiwa Usingizini Chafahamika

Image
Oktoba 31 mwaka huu ulimwengu wa filamu ulimpoteza gwiji wa filamu za James Bond, Sean Connery (90) ambaye alifariki akiwa usingizini nyumbani kwake. Sababu za kifo chake hatimaye zimetajwa, kwa mujibu wa TMZ ambao wamechungulia cheti cha kifo, wameeleza kuwa Sean Connery alifariki kwa ugonjwa Nimonia ambao ulisababisha kufeli kwa mfumo wa upumuaji. Moyo kushindwa kufanya kazi pia magonjwa ya Uzee. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3mqF1Wc via IFTTT

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne Disemba 1

Image
  Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne Disemba 1 from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3fRvqVK via IFTTT

Watu watatu wafa maji ziwa victoria

Image
Samirah Yusuph Busega. Watu watatu wakazi wa wilaya ya Busega Mkoani Simiyu ambao ni wavuvi katika ziwa victoria wamekufa maji kwa kuzama maji baada ya mtumbwi waliokuwa wanautumia katika shughuri zao kupasauka. Tukio hilo limetokea jana tarehe 29 mwezi wa 11 katika kata ya Kabita tarafa ya Busega wakati wavuvi hao wakiwa wanaendelea na shughuli zao za uvuvi kama kawaida. Ambapo kamanda wa polisi mkoa wa Simiyu Richard Abwao aliwaambia waandishi wa habari kuwa kwa mujibu wa taarifa ya daktari aliyechunguza miili hiyo kifo chao kilitokana na kunywa maji mengi na kukosa hewa na kuonngeza kuwa: "Waliokufa maji ni Mnaga Manyama miaka 28, Kulwa Juma miaka 15 na Bitulo Manyama wote wakazi wa Kabita wilayani Busega. Aidha tukio hilo lilitokea baada ya mtumbwi waliokuwa wanatumia kuzama kufuatia mtumbwi huo kupasuka na kuanza kuingiza maji." Alisema Abwao. Huku akitoa wito kwa wananchi wanaofanya shughuli za uvuvi kufanya ukaguzi na matengenezo hitajika ya vifaa vyao m

Msanii Harmonize Atupa Kijembe Kwa Wasanii wa Tanzania Waliokosa Kuwekwa Tuzo za Grammy

Image
  Msanii @harmonize_tz amedai kuwa tuzo za Grammy hazihitaji kelele nyingi ili kuteuliwa kuwania. Kauli ya #Harmonize inakuja mara baada ya wasanii wachache wa Muziki nchini, ambao ni Diamond Platnumz, Rayvanny na Zuchu kufanikiwa kuingia kwenye hatua ya kujadiliwa (Consideration) kwa ajili ya kuingia kuwania Tuzo za Grammy. Hata hivyo wasanii hao hawakufanikiwa kuteuliwa kuwania. Maneno hayo ya #Harmonize yamepokelewa kwa hisia tofauti tofauti, ikielezwa kuwa huwenda ikawa ni kijembe kwa wakali hao. Akizungumza hayo akitokea kwenye show yake ya Mtwara iliyofanyika wikiendi iliyomalizika, #KondeBoy ama #Jeshi kama anavyojiita kwa sasa, pia amesema, kwa mwaka huu amechaguliwa kuwania tuzo karibia zote isipokuwa Grammy pekee. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3qfoo1S via IFTTT

Marioo Amefunguka Kutumia Mamilioni Kufanya VIDEO Akiwa South Afrika

Image
  Nyota wa muziki wa kizazi kipya, @marioo_tz amesema ametumia Sh milioni 30 kutengeneza nyimbo sita za audio na video zake. Akizungumza mwishoni mwa wikiendi, #Marioo alisema hiyo ilikuwa ndoto yake ya muda mrefu kutumia fedha nyingi Ili kutengeneza kazi zenye ubora, ambazo zitawavutia wengi. "Kwanza nimefanya video sita na audio kibao nimerekodi wakati wa kutoka ukufika watazisikia, na hii video ambayo nimeitoa sasa hivi nimetumia milioni 30 kuishoot kwa hivyo nimefurahi kwasababu ilikua ni ndoto yangu kufanya video nzuri," alisema. Alisema kazi hizo ikiwemo hiyo video aliyopanga kuachia wakati wowote endapo mambo yatakaa sawa inavionjo tofauti, ambavyo mashabiki wake wote watakuwa na wakati mzuri wa kuburudika. @marioo_tz nyota anayetamba na nyimbo kadhaa, ikiwemo Inatosha ni miongoni mwa wasanii wanaokuja kwa kasi kwenye soko la muziki huo ambao unazidi kujikusanyia mashabiki wengi. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3fNMNXL via IFTTT

Chege na Rosa Ree Waingia Studio Kupika Kitu....

Image
Staa wa muziki nchini, msanii @chegechigunda, ameingia studio kurekodi wimbo na rapa @rosa_ree ambaye ni mmoja wa marapa wa kike tishio zaidi Afrika Mashariki na anayetafutwa zaidi kwa collabo. Ikiwa tayari ni mwezi mmoja umetimia tangu @hegechigunda aachie ngoma yake "Top Shatta" ambayo kwa sasa inafanya vizuri kwenye chat mbalimbali za TV na radio nchini, ameposti kipande cha wimbo mpya ambao amemshirikisha #RosaRee, na huenda ukawa mbioni kuachiwa. Ndani ya miezi hii mitatu ya karibuni, @rosa_ree tayari ameshirikishwa kwenye ngoma mbili za wasanii wazito ambao ni @bellachristian1 pamoja na @mrbluebyser1988. #Chege aliyewahi kuvuma na Kundi la TMK Wanaume lililokuwa linamilikiwa na Said Fella, wiki hii naye amemnasa kwenye ngoma yake ijayo. Huu ni muendelezo mzuri kwa rapa @rosa_ree kuendelea kufanya vizuri ambapo kwa hapa nyumbani, thamani yake inazidi kuongezeka kila kukicha. #SNSEnt from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2HQzQ2E via IFTTT

Mike Tyson Amevuta Mkwanja Huu Kwenye Pambano Lake na Roy Jones Jr

Image
Jumamosi ya Novemba 28 mwaka huu, mkongwe wa masumbwi na bingwa wa zamani wa uzito wa juu Mike Tyson alirejea ulingoni mara baada ya kustaafu mchezo huo miaka 15 iliyopita. Tyson (54) alirejea ulingoni kuzichapa kwenye pambano la maonesho akizichapa na Roy Jones Jr (51) pambano ambalo lilimalizika kwa sare. Kubwa kwenye pambano hilo lililoteka hisia za watu wengi hasa baada ya kumuona Tyson ulingoni, ni mkwanja ambao ameingiza kwa dakika hizo alizopigana katika round 8. Imeelezwa kuwa Mike Tyson pamoja na Roy Jones Jr, waliingiza kiasi cha ($1million) sawa na TSH. Bilioni 2.3 kwenye pambano hilo ambalo Tyson ameliita la hisani na si kwa ajili ya kutengeneza pesa.   from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2Jon7VN via IFTTT

YUPI Anayefaa, Tajiri ila Hana Muda na Mimi au Mwenye Uwezo wa Kawaida ila yupo Nami Muda Wote

Image
Kama kichwa cha Habari kinavyojielezea mimi ni binti mrembo tu Nina kaxi yangu nzuri Namshukuru Mungu, nimepita kwenye mahusiano kadhaa changamoto hazikosekani Nimekutana na wenye uwezo wanaoweza kanipa Nitakacho na wenye uwezo wa kawaida tu. Nilichojifunza ni kwamba Unaweza kuwa kwenye mahusiano na mtu Anaejiweza akakupa kila utakacho ila hana muda na wewe hamna out wala muda wa kukaa mkayajenga hata mazungumzo ya kawaida maana mimi ni mpambanaji Mkikutana ni show basi siku zinaenda mwaka umekatika hamna la maana na sio kwamba anamahusiano mengine Hapana ingawa Mwanaume huwezi msemea ila ni mtu ambaye uko nae huru ila yuko busy muda wote hawezi kujenga muda kwa ajili yako ila muda wa kufanya mengine kama kwenda Bar, karaoke nk anao Pili Mwanaume Ambae hawezi kukuhudumia kwa chochote mnapata muda wa kuzungumza kushauriana kupanga Mambo ya maendeleo ingawa hamuwezi kwenda out nk kutokana na kipato ila mapenzi mnayafurahia hata kwa kukaa ndani tu coz mimi sio mtokaji na haijawahi

Rais Mteule wa Marekani Joe Biden Avunjika Mguu Akifanya Hili..

Image
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden ameripotiwa kuvunjika mguu wakati akicheza na mbwa wake juzi Jumamosi. Kwa mujibu wa madaktari, Biden atahitajika kuvaa kiatu maalum cha kutembelea (walking boot) kwa wiki kadhaa. Siasa sio chuki, Jana Jumapili Rais Donald Trump alimuombea Biden apone kwa haraka, kupitia ukurasa wake wa twitter aliandika "Get Well Soon." from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2VlkF4w via IFTTT

Aliyekuwa Doctor wa Maradona Achuguzwa Kuhusiana na Kifo cha Staa Huyo

Image
Waendesha mashitaka nchini Argentina wanamchunguza daktari wa Diego Maradona kwa uwezekano wa kuua kufuatia kifo cha nyota huyo wa soka kilichotokea siku nne zilizopita. Polisi wapatao 30 walivamia makazi ya daktari Luque Jumapili asubuhi, huku wengine 20 wakienda katika kliniki yake iliyopo katika mji mkuu Buenos Aires wakijaribu kubaini iwapo ulikuwepo uzembe katika matibabu baada ya upasuaji aliofanyiwa Maradona. Maradona ambaye alikuwa na umri wa miaka 60 alifariki dunia kutokana na shambulio la moyo nyumbani kwake ambako alikuwa akiendelea kupona baada ya kufanyiwa upasuaji. Polisi pamoja na waendesha mashtaka wanashuku kwamba nyota huyo wa soka kuruhusiwa kwake kwenda nyumbani hakukutimiza vigezo vya kumruhusu atoke hospitalini, ikiwemo kupewa wauguzi au nesi wa kumuhudumia saa 24. Katika mkutano na waandishi wa habari uliogubikwa na hisia Jumapili, Dkt Luque ambaye alielezewa kama daktari wa kibinafsi wa Maredona, aliangua kilio akisema kuwa alifanya kile alichoweza kuy

Ujumbe wa Rapa Roma Mkatoliki kwenda kwa Wasanii wa Kuimba Tanzania

Image
Ujumbe wa Rapa Roma Mkatoliki kwenda kwa Wasanii wa Kuimba Tanzania; "Wasanii wa Kuimba wengi inabidi wabadilishe Style yao ya Uingiaji Jukwaani!! Wengi wanaingia kwa Kukimbia 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃🏃 wakifika pale mbele wanaanza kurukaruka kwa Ku- Hype! Sio kitu kibaya 🙌🙌🙌🙌 ila isiwe sasa kila msanii. Wamuachie mmoja tu aliyeianzisha, Wasiigane igane! Ingieni hata mnatembea tu mdogo mdogo kama hautaki Vile, mbona fresh tu!! Ukiwa mnyama na una mawe yako matatu tu ya mauaji Aaaaaah.... Fans Wataamka Tu Watake Wasitake 🔧" ameandika @roma_zimbabwe kwenye Twitter. Upi mtazamo wako kuhusu hili, tuachie comment yako. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2Vj3GzW via IFTTT

Kaze bado anatembelea kijiti cha Zlatko Yanga

Image
  Dar es Salaam. Kocha wa Yanga, Cedric Kaze ana kazi ya kufanya kutokana na kushindwa kupata ushindi wa kuridhisha katika michezo yake ya Ligi Kuu Tanzania Bara tangu alipochukua mikoba kuinoa miamba hiyo. Kaze alipata ushindi wa zaidi ya bao moja wakati kikosi chake kikiibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya KMC, mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Baada ya mchezo huo, Yanga ilishinda bao 1-0 dhidi ya Gwambina, ikalazimishwa suluhu na Gwambina kabla ya sare ya 1-1 dhidi ya Simba kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam. Kaze alishindwa tena kuibuka na ushindi dhidi ya Namungo FC akilazimishwa suluhu kabla ya kurudi katika ushindi alipoifumua Azam FC bao 1-0 na ushindi kama huo dhidi ya JKT Tanzania, Jumamosi. Katika michezo miwili iliyopita, kocha huyo raia wa Burundi alibadilisha wachezaji wake watatu wa mbele, Michael Sarpong, Carlinhos na Farid Musa, ambao walikuwa wanaanza na badala yake kuwaanzisha Yacouba Sogne, Ditram Nchimbi na Deus Kaseke.

Alichokisema Sadio Mane kufuatia kifo cha Diop

Image
  Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Senegal na klabu ya Portsmouth ya Uingereza, Papa Bouba Diop amefariki Dunia usiku wa kuamkia hii leo baada ya kuugua kwa muda mrefu akiwa nchini kwao senegal.   Rais wa Senegal Macky Sall amesema kifo cha Diop ni pigo kubwa kwa taifa la Senegal, maneno hayo yanakuja baada ya Diop kutoa mchango mkubwa kuisaidia timu yake ya Taifa ya Senegal kuweka rekodi ya kihistoria ya kutinga hatua ya robo fainali ya kombe la Dunia mwaka 2002. Kwa upande wa nahodha wa Senegal, Sadio Mane amesema ni majonzi kwao kumpoteza mchezaji ambaye alikua kioo kwa vijana wengi akiwemo yeye, huku akisisitiza kwamba ataendelea kuishi katika mioyo yao ingawa ni masikitiko kuwa aliondoka bila ya kuwaaga. Diop alifunga bao moja dhidi ya Ufaransa ambaye alikuwa bingwa mtetezi dk 30 na kufunga mabao mengine mawili dhidi ya Uruguay kwenye sare ya 3-3 na kuisaidia Senegal kumalizia wapili kwenye kundi A na kutinga robo fainali ambapo waliondolewa na Uturuki. Nyota huyo

Tatizo la Kuishiwa Nguvu za Kiume na Maumbile Kusinyaa Limekuwa Tatizo Kwa Wanaume Wengi ...Soma Hapa

Image
Tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume limekuwa janga la kitaifa na kimataifa sio wazee au vijana na wengi wao wamekuwa wakitumia madawa yasio na ubora na kushindwa kulitatua tatizo na kupelekea ndoa nyingi kuzidi kuwa na migogoro au mahusiano kuvunjika DALILI ZA MWANAUME ZA KUPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME NA UUME KUWA MDOGO NI HIZI HAPA 1 Uume kusimama ukiwa legelege 2 Uume kusinyaa na kuwa Kama wa mtoto 3 Kufika kileleni haraka wakati wa tendo 4 Kushindwa kurudia tendo  round inayofuata au kuchelewa kurudia tendo 5 Mda mwingine uume kusinyaa ndani ya uke wakati wa tendo 6 Kutoa manii nyepesi zisizo na nguvu hata utokaji wake sio wa kuruka 7 Uume kuingia ndani nk tatizo ili uchangiwa na NGIRI, KUPIGA PUNYETO, KISUKARI,PRESHA, UNENE KUPITA KIASI, VIDONDA VYA TUMBO, KUKOSA CHOO, TUMBO USONGO WA MAWAZO KUUNGURUMA %kwa tiba sahihi ya tatizo rako wasiliana na Dr Sita pia ipo dawa ya kisukari ambayo ulifanya kongosho liwe katika Ali utoaji Ute mchungu haijalishi unatumia vidong

Je Azam Kubadili Upepo Mbaya Jioni ya Leo?

Image
  Klabu ya Azam Fc itashuka dimbani jioni ya leo huko mkoani Mara itakapokaribiana na Biashara ikiwa ni muendelezo wa michezo ya ligi kuu ya Tanzania bara.   Kikosi cha Azam kitakuwa kikiongozwa na kocha Vivier Bahati ambaye amekabidhiwa mikoba iliyoachwa na Aristica Cioba ambaye alifutwa kazi kufuatia mwenendo mbovu wa kikosi hicho. Azam Fc walio katika nafasi ya pili wakiwa na alama 25, watakuwa na kumbukumbu ya kipigo cha bao 1-0 walichoambulia dhidi ya Yanga, lakini vilevile wakiwa wametoka kufungwa mechi mbili mfululizo za VPL kwa hivi karibuni. Kwa upande wa Biashara ambao walianza vyema msimu huu, hawajawa na matokeo mazuri lakini katika mechi tano za mwisho, wameshinda moja pekee , sare mbili na vipigo viwili. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2VhXUyC via IFTTT

Taarifa Kwa Umma Kuhusu Kuapishwa Kwa Wabunge Wapya Wateule Wa Rais

Image
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai leo jioni atawaapisha wabunge wawili walioteuliwa Jumapili iliyopita na Rais Dkt. John Magufuli. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kitengo cha mawasiliano cha Bunge hafla hiyo itafanyika saa 10 jioni kwenye viwanja vya Bunge, Dodoma. Wabunge watakao apishwa na Spika Ndugai ni pamoja na Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM- NEC, Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole na Riziki Lulida ambaye alikuwa mbunge wa viti maalum kwenye Bunge la 11 kwa tiketi ya CUF. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3o0M34m via IFTTT

Vijana kadhaa wachukuliwa mateka Libya

Image
Vikosi vya Khalifa Hafter vimeripotiwa kubomoa baadhi ya nyumba na kuwachukuwa mateka vijana kadhaa baada ya kuvamia mji wa Ubari nchini Libya.  Taarifa hizo za uvamizi zilizotolewa na Ofisi ya Mawasiliano ya Operesheni ya Volcano inayosimamiwa na serikali ya Libya.  Vyanzo vya ndani pia vimefahamisha kuwa vikosi vya Khalifa Hafter vilivamia mitaa ya Al-Sharib ya mji wa Ubari ambapo viliwatishia raia kwa silaha na kuondoka wakielekea mji wa Sebha wakiwa pamoja na vijana kadhaa wa kabila la Tuareg waliowachukuwa mateka.  Mji wa Ubari ambao ni mji wa pili kwa ukubwa baada ya Sebha katika kanda ya kusini mwa Libya, idadi kubwa ya wakazi wake inajumuisha watu wa Kabila la Tuareg.  Kwa muda mrefu sasa nchi ya Libya ambayo imekosa utulivu, vikosi vya Khalifa Hafter vilianza kuvamia mji mkuu wa Tripoli na kudhibiti utawala baada kumarishwa na kiongozi wao Aprili 2019.  from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3qcMEBH via IFTTT

Mtanzania Aliyefungwa Kenya Kwa Ugaidi Ajinyonga

Image
RASHID MBERESERO, Mtanzania aliyehukumiwa kifungo cha maisha nchini Kenya baada ya kukutwa na hatia ya kuhusika katika shambulio la kigaidi lililotokea katika Chuo Kikuu cha Garissa mwaka 2015, amejinyonga hadi kufa katika Gereza la Kamiti jijini Nairobi alikokuwa akitumikia adhabu yake.   Maafisa wa gereza hilo wamesema Mberesero aliyekuwa na umri wa miaka 26, alijiua kwa kujinyonga na blanketi lake katika dirisha la Block H alikokuwa amefungwa, akisubiri kusikilizwa kwa rufaa aliyoikata.   Mberesero alihukumiwa Julai 3, 2019 na watuhumiwa wenzake wawili,Hassan Edin na Mohamed Abdi, baada ya kukutwa na hatia ya kushiriki kwenye shambulio hilo la kigaidi lililotekelezwa na Al Shaabab na kusababisha vifo vya watu 148. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2VfRvUq via IFTTT

Mrembo muendesha bajaji aibua mapya "Wananiogopa"

Image
  Kutana na Happy Mushi maarufu kama 'dada bajaji' ambaye ni mama wa watoto wawili amefunguka kusema watu walikuwa wanamugopa na kumshangaa kwa sababu ya kazi aliyokuwa anaifanya kutokana na jinsia yake. Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital, Dada Bajaji amesema ana muda wa mwaka mmoja tangu aanze kazi hiyo ya udereva na ndoto zake ni kumilikia bajaji yake mwenyewe na kusaidia familia yake. "Kazi ya bajaji niliona itaniingizia kipato na kukidhi mahitaji yangu ndiyo maana nikaingia, kuna mtu nilikuwa namlipa ili kunifundisha, mwanzo walikuwa wananiogopa walidhani sitakuwa serious, kwa sasa mwanaume ambaye atataka anioe aniweke ndani simtaki atakuwa anaharibu kipaji changu cha kutafuta pesa" ameeleza Happy Mushi  "Abiria wangu wakipanda hii bajaji ni maswali mwanzo mwisho na huwa nawajibu, sishangai watu wanavyonishangaa kwa sababu kwetu Tanzania inajulikana kazi ya bajaji ni ya wanaume ila nataka niwatoe mshangao wao sasa hivi wameanza kunizoea"

Alichokisema Mzee Msekwa kuhusu Spika Ndugai

Image
   Spika Mstaafu wa Bunge, Pius Msekwa, amesema kuwa hakuna ugumu wowote anaoweza kukutana nao Spika wa Bunge la 12, Job Ndugai, mara baada ya wabunge 19 wa CHADEMA, kufukuzwa uanachama kwa kuwa yeye ni kama daktari tu anayepokea wagonjwa kuwatibu kisha kuondoka.   Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, kufuatia sakata la wabunge 19 wa viti maalum ambao wamefukuzwa uanachama na chama chao cha CHADEMA baada ya kwenda kula kiapo cha ubunge bila ridhaa ya chama, ambapo alisisitiza kuwa kwa kuwa hawana chama kilichowapeleka Bungeni basi hata ubunge wao umekoma. "Spika Ndugai hapati ugumu wowote, hakupata ugumu walipoletwa hapati ugumu wowte wanapoondolewa yeye ni mpokeaji tu, hana ugumu na wala hafaidiki na lolote ni kama mganga wa hospitali yeye anapokea wagonjwa akiwatibu wanaondoka, wakifa wanaondoka yeye hana jukumu zaidi ya hilo", amesema Spika Mstaafu, Pius Msekwa. Tazama video hapa chini from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2Jl9Ht

Polepole kula kiapo leo, Ndugai kuzingatia hili

Image
  Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, leo saa 10:00 jioni, atawaapisha wabunge wawili wa Bunge hilo walioteuliwa na Rais Dkt. John Magufuli, mapema jana.   Taarifa hiyo imetolewa hii leo Novemba 30, 2020, na ofisi ya Bunge, ambapo imeeleza kuwa wabunge watakaoapishwa hii leo ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Hamphrey Polepole, na aliyekuwa mbunge wa viti maalum katika Bunge la 11 kupitia chama cha CUF, Riziki Lulida. Spika Ndugai anawaapisha wabunge hao kwa kuzingatia kanuni za kudumu za Bunge inayoeleza kuwa endapo mbunge atachaguliwa au kuteuliwa kipindi ambacho hakuna mkutano wa Bunge unaoendelea, Spika atamwapisha katika eneo atakalolipanga yeye.  from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2VjrCDe via IFTTT

Hizi Hapa Sababu kwa nini Wanawake Wengi Huamua Kufanya Kazi ya Ukahaba

Image
  Tumewaona wengi mitaani wakifanya kazi ambayo wananchi wengi hawaipendi na hata kuwakosoa kila mara. Makahaba wengi hupitia mengi huku wakitafuta riziki yao ya kila siku bali wengi hawajawahi jiuliza kwanini haswa wanawake hao wameamua kufanya mambo hayo. Si kila mwanamke anapenda kuuza mwili wake kwa ajili ya pesa lakini wengi hawana kazi au mahali pa kupata riziki ndiposa wanajiunga  na kazi hiyo. Hizi hapa baadhi ya sababu kwanini wanawake wengi ujiunga na kazi ya ukahaba. 1.Utambuzi wao ni taofauti  Kuna wale wanona kazi hiyo ina leta pesa badala ya kutambua changamoto za kazi hiyo na mwishowe majuto yake. 2.Tamaa Kuna wanawake ambao wanapenda pesa sana huku wasitosheke na pesa ambazo wanapata za kila mwezi, wanaona hamna haja ya kukaa nyumbani wanajiunga na kazi ya ukahaba na kuanza kupata pesa. 3.Hamu ya kuridhika  Wanawake wengi hujipata kuwa hawawezi kutosheka na mwanamume mmoja wanaamua kutumia mwili wao vibaya na kufanya ngono na wanaume wengi ili a

Roberto Carlos afunguka dili la kusaini Chelsea

Image
Legendary, nyota wa Brazil, Roberto Carlos amezungumzia namna alivyokaribia kujiunga na klabu ya Chelsea kutoka nchini England mwaka 2007. ‘Icon’ huyo wa Brazil aliyeitumikia Real Madrid kwa mafanikio makubwa akicheza jumla ya michezo 527, makombe 13 akiwa na umri wa miaka 34 akitangaza kustaafu huku watu wengi walikuwa bado wakimuhitaji kwakuwa walikuwa wakiamini bado anacho kitu cha kufanya uwanjani. Carlos amesema alikuwa katika nafasi ya mwisho kujiunga na Chelsea chini ya mipango ya kocha wake kwa wakati huo Jose Mourinho. Roberto Carlos: What stopped me from Joining Chelsea | TrueNEWS Sports Kwa wakati huo Kocha huyo raia wa Ureno alikuwa tayari na Ashley Cole, ambaye amekuwa anamhakikishia matokeo mazuri kunako uwanja na beki huyo wa kushoto Carlos akiwa bora kweli kweli duniani Kwa sasa Carlos ana umri wa miaka 47, wakati ambao anagusia namna alivyonukia kutua Blues. Akiiambia Goal mchezaji huyo aliyekuwa katika ubora wa dunia amesema “Nilikuwa na mapendekezo kut

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu Novemba 30

Image
  Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu Novemba 30 from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3mn4ZKf via IFTTT