Posts

Showing posts from July, 2023

Watu Wabaya Waanza Kumchonganisha Jonas Mkude na Yanga..Yadaiwa Hayupo Kambini, Ukweli Huu Hapa

Image
Wakati tetesi zikieleza kuwa kiungo mkabaji ingizo jipya ndani ya Yanga Jonas Mkude amesepa kambini AVIC habari za kuamini zimebainisha kuwa nyota huyo yupo kambini. Ikumbukwe kwamba Mkude ni ingizo jipya ndani ya Yanga aliibuka hapo akiwa mchezaji huru baada ya kukutana na Thank You kutoka kwa mabosi wake wa zamani Simba. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/MESf8sx via IFTTT

Mke wa Ali Kiba Aibuka na Kulaani Vikali Kauli ya Diamond Kuwa Kashapita nae

Image
Mke wa msanii wa Bongo Fleva, Alikiba, Amina Khalef amelaani kitendo cha Diamond, kumkosea heshima kufuatia kumhusisha kwenye ugomvi wake na mumewe. Na kumfananisha na Mnyama. Diamond alitumia kauli iliyopokelewa tofauti wakati akimhusisha Amina kwenye majibu ya mfululizo mgogoro wake na Alikiba hali iliyozua sintofahamu na kumuibua Amina na kuandika; "Ni jambo la kipuuzi, lenye nia mbaya, na la kustaajabisha kabisa kuhusisha watu wasio na hatia katika migogoro/visasi". "Ninalaani vikali ukosefu wa heshima kwa mwanamke. Bila hisia za heshima, hatuwezi kutofautisha wanaume na wanyama. Ni muhimu kuheshimu haki na hadhi ya kila mtu, bila kujali jinsia au asili yake." "Utu wema wa kibinadamu hauwezi kukiukwa". from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/8y5DT64 via IFTTT

Mapya Yaibuka Afisa TRA Anayedaiwa Kujia Hotelini

Image
Tanga. Familia ya Richard Walalaze, ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Arusha aliyedaiwa kujiua kwa kujirusha kutoka ghorofani, imesema haiamini kama kweli alijirusha. Imeeleza inatia shaka tukio la kifo cha ndugu yao baada ya kuuona mwili wake katika chumba cha kuhifadhia maiti kwenye Hospitali ya Bombo na kufuatilia mahali ulipokutwa mwili huo hotelini. Familia hiyo imeeleza kuwa imejikuta ikiwa na maswali mengi yasiyo na majibu, hivyo inasubiri taarifa ya uchunguzi wa mwili itakapotolewa na Serikali. Msemaji wa familia hiyo, Mchungaji Godfrey Walalaze, ambaye ni kaka wa marehemu alisema hayo jana alipozungumza na Mwananchi, akiwa katika Hospitali ya Bombo. Alisema mazingira ya kifo cha ndugu yao yanatia shaka iwapo ni kweli alijirusha kutoka ghorofani au la. "Tumeuchunguza mwili tunapata shaka, sababu ukiacha kovu kichwani, mwili wote hauna mchubuko wala hakuna kiungo chochote kilichovunjika, lakini hata pale hotelini ulipokutwa mwili na michirizi ya d

Ali Kiba na Siku Hizi Sio Mnyonge, Aibuka na Kumpa za Usoni Diamond Platnumz

Image
Vita ya King Kiba Vs Diamond PlatNumz Inaendelea  Simba DiamondPlatnumz alirusha Kombora Kwa King Kiba Kwa Kusherehekea Wimbo wa Zuchu kuingia Trending No.1 Diamond aliandika “Dah yani licha ya Kurisiti mtihani Lakini Bado mmepigwa, Tena na Zuchu… Halafu Katoto ka watu hakajafanya interviews wala hata party, Tatizo mfalume nawe umezidi sana kuandikiwa siku hizi… ungejitungiaga tu kama unavyofanyaga, Mbona watu wanapendaga tu vile, Anyways basi Enjoy na Honey #ThisIsWasafi Mwisho wa Kunukuu Leo Kiba amerusha Makombora mawili ya Tweet kwenda Diamond Anasema Nanunukuu….  “Sema Kwevo Mdhaifu sana, tu party tuwili tutatu na Marafiki, Interview kadhaa na XXL, Roho inakufukuta, kutwa insta story halafu inabidi uzoee kuhusu Ngoma mfululu (Kali)  Otherwise, Roho yako chafu itakutia stress siku Uje Ku OD, Katika Tweet nyingine Ali Kiba anaendelea kuandika nanukuu “Halafu umepata nafasi itumie Vizuri mdogo wangu, Hela unazowekeza kuletea figisu kwenye mitikasi ya wenzio, ungeenda h

Yanga Yafunga Usajili na Wachezaji Wanne

Image
Dirisha la usajili la CAF litafungwa kesho Jumatatu, Julai 31 2023 habari njema kwa Wananchi ni kuwa timu yao imefunga usajili kwa wakati Katika dirisha hili Yanga imesajili wachezaji nane pia ikiwapa mkono wa kwaheri baadhi ya wachezaji Mshambuliaji Hafiz Konkoni alifunga usajili ambapo pia Yanga imewasajili nyota wa kigeni Gift Fred, Skudu, Pacome Zouzoua, Yao na Maxi Nzengeli Jonas Mkude na Nickson Kibabage ni wachezaji pekee wa ndani waliosajiliwa katika dirisha hili Wachezaji walioondoka ni Feisal Salum, Erick Johora, David Bryson, Djuma Shaban, Abdallah Shaibu na Mamadou Doumbia Wengine ni Dickson Ambundo, Yannick Bangala, Tuisila Kisinda, Bernard Morrison na Fiston Mayele from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/r3ej9Ki via IFTTT

Diamond amchana Alikiba baada ya Zuchu kushika #1 Trending, 'Umezidi sana kuandikiwa siku hizi'

Image
  Diamond amchana Alikiba baada ya Zuchu kushika #1 Trending, 'Umezidi sana kuandikiwa siku hizi' VIDEO: from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/d4XSLVR via IFTTT

Baada ya Twaha Kiduku Kupigwa na Msouth, Mwakinyo Acheka kwa dharau na kufunguka haya!

Image
  Baada ya Twaha Kiduku kupigwa na Msouth, Mwakinyo acheka kwa dharau na kufunguka haya! VIDEO: from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/zskbJ6L via IFTTT

Mtabibu wa TIBA Asili Kutoka Tanzania SHEIKH SHARIFF MAKALAMA Anatibu Magonjwa Haya

Image
*SHEIKH SHARIFF MAKALAMA * Anamshukuru Mwenyezi Mungu 🙏🏾🕍🕋kwa kumpa karama ya kufundisha na kuwaombea Dua viumbe wake🕉🕉. Napenda niwashukuru wote mliorudi kutoa shukran na wengne mlio mbali hasa nje ya nchi kuyashuhudia yale Mwenyezi Mungu aliyowatendea kupitia Dua na Visomo mbalimbali. Kwa uwezo alimpa mola, *SHEIKH SHARIFF MAKALAMA* yuko kusaidia matatizo kama.. Je unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume? Je umekua ukipata pesa na inakwisha bila kujua? 💸💵💴💸 Je umeachwa na mpenzi, mume au mke? Nipo kukusaidia 💑💏 Je wewe ni mgumba au ukipata mimba inaharibika? Ondoa shaka hilo litakwisha nawe utaitwa mama.🤰🏼🤱🏻🤱🏻 Je umekua mtu wa mikosi kila siku? *SHEIKH SHARIFF MAKALAMA* atakufanyia Dua na Visomo mbalimbali.😇☪🕌🕍🕋 Miliki pete ya bahati kutoka falme kuu. Miliki pesa💸💸 za majini bila masharti yeyote. Malipo ni km sadaka na utalipa baada ya Kufanikiwa. .Na kwa mlio mbali au nje ya nchi 🇹🇿🇹🇿 mnaweza kuwasiliana nae kwa call/WhtatsApp Pia *SHEIK

BREAKING: Yanga Imemsajili Mrithi wa Fiston Mayele

Image
Klabu ya Yanga imethibitisha kumsajili mshambuliaji Hafiz Konkoni kutoka klabu ya Bechem United inayoshiriki ligi kuu nchini Ghana. Konkoni (23) raia wa Ghana ambaye alikuwa anahusishwa na klabu ya Al Hilal ya Sudan anatua klabuni hapo kama mrithi wa Fiston Mayele. Msimu uliopita katika Ligi Kuu Nchini Ghana Konkoni alifunga magoli 15 kwenye mechi 26 na kutoa assist 3 huku akimaliza nafasi ya pili kwenye kinyang’anyiro cha tuzo ya mfungaji bora. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/cwN5PI7 via IFTTT

BREAKING: Bangala atua Azam FC

Image
Mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Tanzania bara msimu wa 2021/22 YANICK LITOMBO BANGALA amesajiliwa na mabao Mabingwa wa Tanzania bara msimu wa 2013/2014 klabu ya Azam FC. Bangala ambaye pamoja na Mkongoman mwenzie Djuma Shaban hawako kwenye mipango ya Yanga msimu huu kiasi hawakuwa sehemu ya utambulisho wa wachezaji waliotambulishwa kwenye kilele cha wiki ya Mwananchi kilichofanyika tarehe 22.Julai. 2023. Habari za uhakika kutoka kwenye chanzo cha kuaminika kinasema Yanga watapokea Tshs100M kwa biashara hii. Bangala na Djuma wameigomea Yanga kwenda kwa mkopo Singida Fontain Gate baada ya kutokea mgogoro wa kimkataba na nafasi zao kuzibwa na Yao Yao na Pacome. Azam itaondoa mchezaji mmoja wa kimataifa ili kumpa Bangala nafasi huku Azam wakitakiwa kumaliza biashara hii haraka. Hapo awali baada ya fainali ya FA Cup kule Tanga, Bangala alionyesha nia kujiunga Azam kwa kuongea na viongozi wao huku kocha wa Azam pia akionyesha kumhitaji. Lakini dili halikufanyika baada ya Yanga k

Hatimaye TCRA Yaufungia Wimbo wa Nay wa Mitego Unaoitwa Amkeni

Image
Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), umepiga stop matumizi ya wimbo wa rapper Emmanuel Elibarick, 'Amkeni' kupigwa kwenye mitandaoni ya kijamii na vyombo vya Habari. Kwa mujibu wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), wameeleza kuwa maudhui ya wimbo huo wa @naytrueboytz yana mwelekeo wa kutaka wananchi wasiwe na imani na Serikali. Pia unachochea mapokeo hasi juu ya utekelezaji wa mipango ya Serikali kwa ujumla. Nay ame-share barua hiyo twitter iliyosainiwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Bw. John Daffa. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/Mw7qj0u via IFTTT

Dr Yegela Bingwa wa Magonjwa Sugu, Nimerudi Tena Baada ya Kufanya Uchuguzi Porini Kwa Miezi 14

Image
DR YEGELA Dar es salaam/Morogoro/kahama +255 658 651 613 BINGWA WA MAGONJWA SUGU NIMERUDI TENA BAADA YA KUFANYA UCHUNGUZI PORINI KWA MIEZI 14 Na kubaini dawa za kutibu magonjwa makuu ya binadamu A) KISUKARI Ugonjwa unaosumbua watu bila kupata tiba yake dawa ipo Ambayo ni NSELYA MIX MITI 8 Ni ya kutibu ugonjwa wa kisukari tu Dozi siku (10) Ni ya miti shamba ya kunywa na kupona kabisa Kwa umri wote kuanzia siku 1)_100) B/_TEZI DUME Kukojoa mkojo unaouma Kupata choo ngumu Kusikia maumivu chini ya kitovu Na kuumwa kichwa cha kisogo na kati MALE MIX _ MITI (4)_ Ni dawa ya kunywa na kupona kabisa bila kufanyiwa operation Dozi siku (12) C/NGUVU ZA KIUME Kupata maumivu makali katika kifua uti wa mgongo na kiuno Na kupoteza hamu ya tendo KORONGO MIXER POWER Ni suruhisho kwa wakina baba wanao tumia sekunde moja hadi tano sasa inakuwezesh kutumia dakika 30_60 na kukomaza uume kutoregea Dozi yake siku (4) inaanza kufanya kazi baada ya

Tamko la Polisi Kupinga Kauli ya Kinana, ‘Sheria ifuatwe Hakuna Mishikaki’

Image
Jeshi la Polisi limesema limeendelea kupokea maswali toka kwa Wanahabari na Wananchi wa kada mbalimbali kufuatia matamshi ya Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara aliyoyatoa tarehe 27/07/2023 huko Bariadi Mkoa wa Simiyu kwamba watazungumza na kuishauri Serikali katika kupitisha sheria Bodaboda wabebe Watu zaidi ya mmoja. Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema “Wote wanaotupigia simu wanataka kujua nini msimamo wa Jeshi la Polisi, kimsingi Jeshi la Polisi ni Wasimamizi wa sheria zilizotungwa na Bunge letu tukufu miongoni mwa sheria hizo ikiwa ni kifungu namba 59 cha Sheria ya Usalama Barabarani Sura 168 ambacho kinakataza pikipiki kubeba abiria zaidi ya mmoja” “Hata hivyo Kinana hakusema bodaboda wapakie abiria zaidi ya mmoja bali ‘wataenda kushauri’ hivyo tunawaelekeza bodaboda wafuate sheria iliyopo kwa sasa ambayo tunaisimamia yene katazo hilo na endapo ushauri utakaotolewa utakubalika na sheria kubadilishwa basi tutasimamia sheria ya wakati huo, kwa sasa

Mahrez wa Man City Naye Akimbilia Uarabuni, Apewa Miaka Minne

Image
Nahodha wa timu ya Taifa ya Algeria, Riyard Mahrez amejiunga na klabu ya Al Ahli kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni 30 kutoka Manchester City. Mahrez (32) amesaini mkataba wa miaka minne wa kuitumikia miamba hiyo ya Saudi Arabia mpaka Juni 2027. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/gfzvYBt via IFTTT

Azam FC Wafunguka Hali ya Mchezaji wao Aliyevunjika Mkono Kwenye Mechi ya Kujipima

Image
Baada ya kufanya vipimo kwa kina klabu ya Azam Fc imethibitisha kuwa beki wa timu hiyo Edo Manyama ameteguka mkono wake wa kushoto na sio kuvunjika kama ilivyokuwa inaelezwa hapo awali. Azam Fc kupitia ukurasa wao wa Instagram wameandika... "Beki wetu @27_edo_manyama aliyepata majeraha kwenye mchezo wetu wa jana Jumatano dhidi ya Stade Tunisien, anaendelea vizuri hivi sasa. Tofauti na matarajio ya awali tukidhania amevunjika mkono, @27_edo_manyama mara baada ya kupelekwa hospitali na kufanyiwa vipimo kwa kina, imebainika ameteguka mkono wake wa kushoto. Daktari wa timu yetu, Dk. Mwanandi Mwankemwa, ameweka wazi kuwa, @27_edo_manyama, atakaa nje ya dimba kwa muda wa wiki moja kabla ya kuruhusiwa kurejea kwenye mazoezi ya kawaida na wenzake". from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/LH18uGx via IFTTT

Raya Asimulia Alivyoishi Maisha ya Chini na Barnaba "Sikumlazimisha Abadili Dini"

Image
Mke wa msanii wa Bongo Fleva Barnaba, Raya amesimulia jinsi walivyoishi kwenye maisha ya hali ya chini kwa takriban miaka minne kabla ya kuingia kwenye ndoa. Raya ametoa ubuyu huo leo Julai 27, 2023 alipokuwa akifanyiwa mahojiano Wasafi FM ambapo alieleza kuwa, walikutana na Barbaba akiwa ametoka kutendwa na aliyekuwa mpenzi wake. "Tulishikamana pamoja hakuwa na kitu lakini tuliwkenda mpaka akapata vitu. Tuliishi chumba kimoja kabla ya kuoana, mama alikuwa hapendi lakini nilimsihi amvumilie maana alitoka kuumizwa," alisema. Raya alisema ilikuwa vigumu mama yake kumuelewa lakini mwisho wa siku kwa kuwa alikuwa ana imani, kweli wakafikia hatua ya kufunga ndoa. Mke wa Barnaba, Raya ameweka wazi kuwa hakumlazimisha msanii huyo kubadili dini bali yeye mwenyewe ndiye aliamua. Akizungumza kwenye kipindi cha Mashamsham cha Wasafi FM leo Julai 27, 2023, Raya alisema, Barnaba alipitia kipindi kigumu ambacho yeye ndiye aliyekuwa msaada wake mkubwa kuvuka kwenye kipindi hicho. Al

Matokeo ya Mchezo wa Kirafiki Turan PFK vs Simba

Image
  Klabu ya Simba imepoteza mechi ya Kwanza katika kambi yake ya kujiandaa na msimu mjini Ankara nchini Uturuki baada ya kuchapwa 1-0 na Turan FK ya Turkmenistan, bao la dakika ya nne la Roderik Miller jioni ya leo. Huo ulikuwa mchezo wa marudiano baina ya timu hizo baada ya mchana wa leo Simba kushinda 2-0, mabao ya Kibu Dennis na Nahodha, John Raphael Bocco. Kwa ujumla Simba imekwishacheza mechi nne kwenye kambi yake ya kujiandaa na msimu nchini Uturuki baada ya sare ya 1-1 na Zira FK ya Azerbaijan Julai 24. Turkmenistan ni nchi inayopatikana Asia ya Kati ikiwa imepakana na Kazakhstan upande wa Kaskazini Magharibi na Uzbekistan kwa Kaskazini Mashariki, ambayo kwa sasa inashika nafasi ya 138 kwenye renki za FIFA ikiwa chini ya Tanzania ambayo ipo nafasi ya 123 from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/Y4orCSR via IFTTT

Kusah Afunguka Tetesi za Kuachana na Aunty Ezekiel "Mimi Sasahivi ni Brand Siwezi Tena"

Image
"Mimi na Aunty Ezekiel hatujaachana isipokuwa tumeacha kuongozana kila sehemu kama tulivyokuwa tunafanya huko nyuma, tumeacha kuongozana kwasababu kila mtu ana maisha yake na ndoto zake na kitu ambacho namwambia kila siku ni kuiheshimu kazi yangu na atambue mimi ni nani na yeye ni nani" amesema Kusah na kuongeza "Leo hii haiwezekani sherehe kaalikwa Aunty tuende wote wakati mimi naijua thamani yangu imekuwa, hiyo time ambayo tulikuwa tunaenda wote nilikuwa sijajipata hata show nilikuwa nafanya bure lakini sasa hivi napewa hela kwenye kila show. Kwahiyo inakuwa ni ngumu kunikuta naye mara nyingi lakini tunapendana, tunaishi pamoja na hata chakula yeye ndiye ananiandalia" from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/BPi46p1 via IFTTT

Simba Sc yagoma Katu Katu Kustafisha Jezi ya Jonas Mkude

Image
  Klabu ya Simba imeonekana kuendelea kutumia jezi namba 20 ya Jonas Mkude aliyetimkia Yanga ambayo walisema wataistaafisha mpaka atakapopatikana mhitimu mwingine wa timu ya vijana atakayeakisi yale ambayo Mkude almaarufu NUNGUNUNGU amefanya kwa miaka 13 ya utumishi wake klabuni hapo. Mchezaji mpya wa Wekundu hao wa Msimbazi, Che Fondoh Malone ameonekana akiwa amevalia jezi hiyo wakati klabu hiyo ikiwa kwenye maandalizi ya msimu mpya (pre-season) huko Uturuki. Awali, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally alisema jezi ya Mkude itastafishwa kwa heshima yake baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa miaka 13, lakini baada ya Mkude kijiunga na wapinzani wao yanga, mambo yameonekana kuwa tofauti na ilivyosemwa na Simba hapo awali. Nini maoni yako kuhusu hili? from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/BGt1ozP via IFTTT

Nionavyo Mimi Bangala na Djuma Hawakusoma Alama za Nyakati yanga

Image
JINA la Fiston Mayele halikuwepo katika orodha ya wachezaji waliotambulishwa Jumamosi jioni wakati Yanga walipofanya tamasha lao la wiki ya Mwananchi. Hakuna aliyeshangaa sana. Moja kati ya siri ambazo zimefichwa vibaya ni kwamba Mayele ameuzwa. Kila mtu anafahamu. Haikushangaza kuona jina lake halikuwepo. Yanga waliandaliwa kisaikolojia. Ingawa hadi jana ilikuwa haijatangazwa rasmi, lakini ilishavuja kwamba Yanga wamemuuza Mayele kwenda Misri kwa zaidi ya dola 1.2 milioni. Kilichowashangaza baadhi ya mashabiki ni kukosekana kwa Wakongo wenzake wawili, Djuma Shaabani na Yannick Bangala. Kwanini hawakuwepo? Inamaanisha kwamba hawatakuwa wachezaji wa Yanga kuanzia msimu huu unaoanza siku chache zijazo. Vyanzo vyangu vya ndani vinaniambia kwamba Djuma na Bangala wameachwa kwa sababu ya kuongoza migomo ya mara kwa mara. Lakini kuna taarifa za kiitelejensia kinaonyesha kwamba hawakuwa ‘wenzao’ katika baadhi ya mechi muhimu. Baadaye waliomba kuondoka klabuni. Hata hivyo ni kama wal

Hatimaye Luis Miquissone Ajiunga na Simba Uturuki

Image
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya @simbasctanzania, @luismiquissone11 ameanza mazoezi siku moja baada ya kujiunga na klabu yake, iliyoweka kambi ya wiki tatu nchini Uturuki. Mwishoni mwa wiki, klabu ya Simba ilithibitisha kumrejesha kikosini kiungo huyo raia wa Msumbiji baada ya mchezaji, kuvunja mkataba wake na Al Ahly ya Misri. Miquissone amerudi Tanzania baada ya nyota yake kushindwa kung’aa kwa Miamba hao wa Kabumbu Afrika waliomsajili kutoka Simba mwaka 2021. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/pT6meIW via IFTTT

Mama wa Beyonce, Tina Knowles, amefungua kesi ya kudai talaka kwa Mumewe

Image
Mama wa Beyonce, Tina Knowles, amefungua kesi ya kudai talaka dhidi ya mume wake wa pili, Richard Lawson, baada ya miaka nane ya ndoa yao. Tina, mwenye umri wa miaka 69, amefungua kesi hiyo Jumatano, Julai 26, akidai "tofauti zisizoweza kusuluhishwa" kama sababu ya kutengana. Tina, ambaye jina lake la kuzaliwa ni Celestine Ann Beyonce, alibadilisha jina lake kuwa Celestine Lawson alipoolewa na Richard, na anataka kurudisha jina lake hilo [Celestine Knowles], jina la aliyekuwa mume wake wa kwanza. Tina na Richard walifunga ndoa Aprili 2015 na hawana watoto pamoja. Mama Bey ana watoto wawili na mume wake wa kwanza, Mathew Knowles, mwenye umri wa miaka 71, ambao ni Beyonce, mwenye umri wa miaka 41 na mwimbaji na mwigizaji Solange, mwenye umri wa miaka 37. Mwaka 2019, alitengana na baba wa watoto wake hao baada ya kudumu pamoja kwenye ndoa kwa miaka 31 kuanzia 1980 hadi 2011. Walitengana baada ya kubainika kuwa Mathew, ambaye alikuwa meneja wa binti yake Beyonce had

Walichokisema Yanga Baada ya Kupangiwa na ASAS FC Ligi ya Mabingwa CAF

Image
Afisa Habari wa Yanga Ali Kamwe amesema malengo ya chini katika michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika inayotarajiwa kuanza mwezi ujao ni kutinga hatua ya makundi Katika droo ya mechi za awali na raundi ya kwanza ambayo ilifanyika jana huko Misri, Yanga imepangwa kuanzia Djibout kuikabili Asas Fc Mechi ya mkondo wa kwanza itapigwa kati ya August 15-20 na mechi ya marudiano itapigwa wiki moja baadae jijini Dar es salaam Kama Yanga itafanikiwa kufuzu hatua ya awali kwenye raundi ya kwanza itacheza dhidi ya mshindi wa mechi kati ya Otoho Fc ya Congo dhidi ya Al Marreikh ya Sudan Katika raundi ya kwanza pia Yanga itaanzia ugenini na kumalizia mechi ya pili nyumbani Kamwe amesema wanajiandaa kwa mechi hizo na jambo muhimu ni kuwaheshimu wapinzani wao "Sisi kama Yanga Africans tumeipokea vizuri droo iliyopangwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika. Nataka niwaambie Wanachama na mashabiki wetu kuwa hakuna timu ndogo kwenye Ligi ya Mabingwa, kila timu inajianda

Dr Yegela Bingwa wa Magonjwa Sugu, Nimerudi Tena Baada ya Kufanya Uchuguzi Porini Kwa Miezi 14

Image
DR YEGELA Dar es salaam/Morogoro/kahama +255 658 651 613 BINGWA WA MAGONJWA SUGU NIMERUDI TENA BAADA YA KUFANYA UCHUNGUZI PORINI KWA MIEZI 14 Na kubaini dawa za kutibu magonjwa makuu ya binadamu A) KISUKARI Ugonjwa unaosumbua watu bila kupata tiba yake dawa ipo Ambayo ni NSELYA MIX MITI 8 Ni ya kutibu ugonjwa wa kisukari tu Dozi siku (10) Ni ya miti shamba ya kunywa na kupona kabisa Kwa umri wote kuanzia siku 1)_100) B/_TEZI DUME Kukojoa mkojo unaouma Kupata choo ngumu Kusikia maumivu chini ya kitovu Na kuumwa kichwa cha kisogo na kati MALE MIX _ MITI (4)_ Ni dawa ya kunywa na kupona kabisa bila kufanyiwa operation Dozi siku (12) C/NGUVU ZA KIUME Kupata maumivu makali katika kifua uti wa mgongo na kiuno Na kupoteza hamu ya tendo KORONGO MIXER POWER Ni suruhisho kwa wakina baba wanao tumia sekunde moja hadi tano sasa inakuwezesh kutumia dakika 30_60 na kukomaza uume kutoregea Dozi yake siku (4) inaanza kufanya kazi baada ya

Kylian Mbappé Apiga Chini Fuko la Hela Kutoka Kwa Waarabu Saudi Arabia

Image
Kylian Mbappé hana nia ya kufungua mazungumzo na Al Hilal kwa sasa. Apiga chini mshahara wa Euro Milioni 700 zaidi ya TZS Trilioni 2 kwa mwaka na zaidi ya TZS Bilioni 36.5 kwa wiki. Amekataa kufanya mazungumzo na klabu hiyo ya Saudi Arabia baada kutenga kitita cha Euro Milioni 300, dau ambalo halijawahi kutokea kwenye historia ya mpira wa miguu, ili kuinasa saini ya mshambuliaji huyo wa Ufaransa anayekipiga kunako klabu ya Paris Saint-Germain. Mbappe mwenye umri wa miaka 24 amewekwa sokoni na mabingwa hao wa Ufaransa baada ya kukataa kusaini mkataba mpya, huku mkataba wake wa sasa ukitarajiwa kutamatika msimu ujao. Vyanzo vya karibu na PSG vimeripoti kuwa klabu hiyo imesalia kushawishika kuwa Kylian Mbappé alikubaliana na Real Madrid katika uhamisho wa majira ya joto 2024. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/f74ZEmu via IFTTT

Marioo asipokuwa macho atafilisiwa na Paula na Kajala - Mwijaku

Image
Marioo asipokuwa macho atafilisiwa na Paula na Kajala - Mwijaku "Wote tunafahamu kama Kajala hana kazi yoyote hapa mjini lakini kila siku anakula bata, pesa anatoa wapi? vilevile Paula alishafunga duka lake muda mrefu baada ya sponsa kukataa kulipa kodi, lakini kutwa kula bata, anasuka nywele za gharama kila siku pesa anatoa wapi? wameungana kumfilisi Marioo na asipokuwa makini ndani ya miaka mitatu tutamsahau atabaki anamiliki sauti tu" - amepaza sauti Mwijaku Hiyo tisa, kumi Mwajaku amesema kuna siku alimuomba laki 1 Marioo hakupewa na baadsye akaja kumuona Paula ana mamilioni aliyepewa na Marioo Mwijaku anasema Marioo hajali hata ndugunzake huko waliko yeye pesa anatulia na kina Paula na Kajala from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/V5HgCSE via IFTTT

Super Mihayo Mpya, Dawa Bora ya Kutibu Matatizo ya Nguvu za Kiume

Image
 Super Mihayo Mpya, Dawa Bora ya Kutibu Matatizo ya Nguvu za Kiume Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile, - kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa - maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo - kukosa hamu ya tendo la ndoa - kushindwa kurudia tendo la ndoa - uume kusimama kwa kulegea - uume kulegea katikati ya tendo - kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu - kuishiwa nguvu kutokana na punyeto. Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MIHAYO. kiboko ya matatizo haya. Pia kuna SUPER MIHAYO. Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto. Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo. (1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea. (2) ngiri (3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu. (4) kupungukiwa hormone za t

Gamondi aleta vita mpya Yanga, mastaa watoana jasho

Image
KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi ametegeneza vita kubwa kwenye kikosi chake, jambo ambalo litamfanya apasue kichwa kupata kikosi cha kwanza. Yanga juzi ilicheza mchezo wa kirafiki katika kilele cha Siku ya Mwananchi ilipovaana na Kaizer Chiefs na kufanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 kweney Uwanja wa Mkapa. Hata hivyo, pamoja na sehemu nyingine zote kuonyesha kuwa zitakuwa na vita kubwa ya namba, eneo la beki wa kati la timu hiyo linaonekana kuwa na vita kubwa zaidi na kama mabeki wa pembeni hawatakuwa makini watajikuta wakipisha maeneo yao. Eneo la ulinzi la kati la Yanga lina nahodha Bakari Mwamnyeto, Dickson Job, Ibrahim Bacca na Gift Fred ambaye amesajiliwa kwenye dirisha hili na tayari ameonyesha kiwango cha hali ya juu. Kuonyesha kuna kazi kubwa kocha huyo katika mchezo huo wa kwanza alianzisha mabeki wawili wa kati , Job na Mwamnyeto ambao ni pacha iliyokuwa inacheza muda mwingi msimu uliopita na kuwatoa wote wakati wa mapumziko. Baada ya hawa kuondolewa, Gamondi

Mkwasa aushtua uongozi Young Africans

Image
Aliyewahi kuwa Mchezaji na Kocha wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans, Charles Boniface Mkwasa amesema pamoja na kiwango kizuri walichoonyesha wachezaji wapya wa klabu hiyo lakini viongozi wanapaswa kuongeza Mshambuliaji kwa ajili ya kufunga mabao. Mkwasa ambaye pia amewahi kuwa Katibu Mkuu wa Klabu hiyo amesema mbali na wachezaji wapya kuonyesha uwezo wao lakini bado Young Africans inahitaji Mshambuliaji ambaye atakuwa na uwezo wa kufunga kama alivyofanya Fiston Kalala Mayele msimu uliopita. Amesema kwake amefurahishwa na kiwango cha juu kilichoonyeshwa na winga Maxi lakini anaamini bado anatakiwa kupewa msaada zaidi ili azalishe mabao mengi zaidi. “Furaha ya mashabiki ni kuiona timu yao inapata mabao ndio watakuelewa, Musonda siyo mchezaji mbaya lakini bado atahitaji muda kuwa sawa, Young Africans wanaenda kwenye michuano ya kimataifa hivyo watahitaji kuongeza straika mwingine wa kusaidiana naye pale mbele kama ilivyokuwa kwa Mayele msimu uliopita,” amesema Mkwas

Baada ya kuijua nyota yangu nimeweza kufungua Hoteli mbili kubwa!

Image
Nilikuwa na shamba ekari saba, watu wengi walikuja kwangu kuuliza iwapo naweza kuwakodisha shamba lile ili wafanye shughuli za kilimo lakini nilikataa kwa kuwa nilikuwa najua watanipatia fedha kidogo sana.  Mwaka wa kwanza nilipanda nyanya kwa matumaini makubwa sana, nyanya zilinawiri kweli na kila aliyenitembelea shambani alisema mambo ni mazuri kwa upande wangu, waliona kabisa naenda kupata mamilioni ya fedha.  Jambo lile lilinitia moyo na kuzidi kuzishugulikia ipasavyo, iwe ni kwa kuweka dawa au kumwagili kila wakati, ilikuwa imebaki ni mwezi moja niweze kuvuna, lakini ghafla wadudu wakavamia shamba langu na kuanza kula nyanya kwa kasi ajabu.  Marafiki walianza kunicheka na hapo nikafahamu kuwa wote waliokuwa wakizisifia zile nyanya walikuwa na nia mbaya, kila niliyemueleza alisema tu pole lakini nilifahamu walikuwa wenye furaha ni kuwa tu hawakuionyesha hadharani. Baada ya miezi kadhaa niliamua kufanya ufugaji wa kuku wa kuuza nyama, nilitumia takriban Ksh200,000 hivi kunu

TANZIA: Msanii wa Taarab afariki Dunia

Image
Salma Mbwana ‘Queen Salma’ Kiongozi wa kundi la muziki wa Taarab la Mashallah Modern Taarab"Super Shine" , Salma Mbwana ‘Queen Salma’ amefariki leo tarehe 25 Julai 2023 jijini Dar Es Salaam. Taarifa kutoka Meneja wa Kundi la Muziki wa Taarab la Mashallah Modern Taarab "Super Shine" Bwana Ally Mikidadi Habibu anasema, Marehemu Salma Bwana amefariki leo mchana Saa Sita na nusu (6:30) katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) . Msiba upo Magomeni Mapipa Mtaa wa Soga . from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/i1jcFJI via IFTTT