Posts

Showing posts from September, 2021

Mbowe Anavyovuna Fikra Chanya Akiwa Mahabusu..Maana ya Kitabu Anachokibeba Kila Siku Mahakamani

Image
NOMAN Vincent Peale, alikuwa mwanathilojia na mhubiri wa Injili aliyetimiza wajibu wake ipasavyo Karne ya 20. Desemba 24, 1993, alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 95. Hakufa na kuondoka. Aliacha fikra zinazoishi. Ni fikra hizo ndizo zinamfanya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ajipambanue nazo, akitaka jumuiya ya Watanzania na duniani kote kuamini kwamba yupo imara na hatafsiri kilichopo kwa chuki. Hapa najaribu kucheza na ubongo wa Mbowe kwa lugha ya picha. Mwaka 1952, Peale alitoa kitabu kinachoitwa “The Power of Positive Thinking” – “Nguvu ya Fikra Chanya”. Shabaha iliyopo kwenye maudhui ya kitabu hicho ni kuwajenga watu kuishinda mitazamo ya hofu na kuwaelekeza kuwa na imani isiyotetereka, kwamba Mungu yupo na ndiye mwenye udhibiti wa mwisho katika kila nyakati. “The Power of Positive Thinking” kilichapwa miaka tisa kabla Mbowe hajazaliwa. Amekua na kukisoma. Bila shaka anakiamini. Anazithamini fikra za Peale. Kipindi hiki akiwa mahabusu na safari nyingi za mahaka

Jinsi Operation ya Masha Love ya Kupunguza Ukubwa wa Ziwa Lake Lililompa Fursa Miaka Yote Inavyofikirisha

Image
Juzi kati tumemuona Masha Love akiwa nchini Uturuki kwa lengo la kufanyiwa operation ya Kupunguza Ukubwa wa maziwa yake,  habari ni kuwa Masha ameshafanyiwa operation hiyo ambayo imegharimu Milion 31 za kitanzania  Kwa mimi sina tatizo na operation hiyo lakini tatizo naona ni fursa atakazo hipoteza  Moja ya vitu vimempa umaarufu Masha Love ni ukubwa wa ziwa na sio Vibao kata. Kuondoa kwa ziwa lake ni hasara maana she is not such a cute, sijajua amewaza Nini hadi kulitoa anaenda kupoteza Identity na hatakuwa tena Masha zungusha kifupi kaenda kuondoa Fursa ambayo wengi wameikosa from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/39TXaHf via IFTTT

Mo Dewji Atema Cheche Kwa Wanaosema Kaondoka Simba

Image
Mfanyabiashara mkubwa nchini Tanzania na Muwekezaji wa Simba SC Mo Dewji ambaye anamiliki 49% ya hisa za Simba SC kwa thamani ya Tsh Bilioni 20 amewanyoshea kidole wanasema kaondoka na kusema huo ni upotoshaji na unatakiwa kupuuzwa. Pia amesema kuwa yeye bado yeye ni Muwekezaji wa Simba na ataendelea kuijenga Simba kadri ya uwezo wake. Hata hivyo Mo amewataka  mashabiki na wapenzi wa Simba  kupuuza upotoshaji unaodai amejiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba kutokana na maelekezo y FCC na kusema hiyo sio kweli huku akisisitiza kuwa amefikia uamuzi huo kutokana na mara nyingi kutokuwa nchini from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3BdBKkB via IFTTT

Kumekucha...Paula Kajala Nae Aende Chuo Nje ya Nchi..Amfuata Sonia

Image
Mtoto wa staa maarufu wa Bongo Muvi, Kajala Masanja na Prodyuza maarufu Paul Matthyes "P.Funk" Paula ameondoka leo Septemba 30, kuelekea chuo, nchini Ukraine ambapo ameongozana na mama yake mzazi, ambaye anamsindikiza. Kuondoka kwa Paula, kutawafunga midomo baadhi ya watu ambao waliokuwa wakisema mtoto huyo hawezi kusoma. Habari/video @imeldamtema from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3AYbH0n via IFTTT

Jua la Bandia Kuanza Kufanya Kazi 2035

Image
NCHI ya China ni miongoni mwa mataifa yaliyopiga hatua kwenye upande wa Teknolojia na hivi karibuni wameweka rekodi mpya baada ya kufanikiwa kutengeneza ‘Plasma’ ya nyuzi joto Milioni 120 kwa sekunde 101 na joto la Milioni 160 Celsius kwa sekunde 20.   Kituo hicho cha utafiti ni sehemu ya mradi mkubwa wa dunia “International Thermonuclear Experimental Reactor” (ITER), ambapo nchi nyingi zinashiriki kufanya majaribio ya kutengeneza nishati salama inayotokana na ‘nuclear fusion’ na itaanza kufanya kazi mwaka 2035 kwenye nchi kama 35. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3kUf0Ac via IFTTT

Samia "Tutaliangalia Hili la Matokeo Masomo ya Dini na Kutotambulika Kwa Vyuo Vinavyofundisha Masomo ya Biblia na Theolojia"

Image
  Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inakwenda kuliangalia suala la kutotambuliwa kwa vyuo vinavyofundisha masomo ya Biblia na theolojia katika mabadiliko ya sera ya elimu yanayofanyika sasa. Ametoa kauli hiyo jijini Dodoma, wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya kuanzishwa kwa Kanisa la Anglikana Tanzania yaliyokwenda sambamba na kongamano la maaskofu na wachungaji wa kanisa hilo. Kauli hiyo ilitokana na ombi la Askofu Mkuu wa Anglikana Tanzania, Dk Maimbo Mndolwa la kutaka Serikali kutambua elimu ya dini inayotolewa katika vyuo vinavyomilikiwa na kanisa hilo nchini. Dk Mndolwa alibainisha mambo mbalimbali ambayo kanisa lake linafanya katika sekta za afya, elimu na ulinzi, huku akiiomba Serikali pia iangalie suala la kodi katika huduma zinazotolewa na taasisi za dini. Rais Samia alisema Serikali imelichukua suala la kutotambuliwa kwa vyuo vya kufundishia Biblia na Theolojia na baadaye watatoa mrejesho wa suala hilo. “Niseme tunayachukua, tutayaangalia na tutaleta mrejesho

Waziri wa Afya Azindua Kiwanda cha Kuzalisha Barakoa

Image
  Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Dk Dorothy Gwajima amezindua Kiwanda cha Vifaa Tiba Mony Industries chenye uwezo wa kuzalisha Barakoa 100 kwa dakika Moja. Katika uzinduzi wa kiwanda hicho kilichopo Uvumba Street-Kigamboni, Waziri Gwajima amesema Alisema..“ Nipende kuwajulisha kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia ipo katika kuunga mkono juhudi hizi kwani imeweka kipaumbele katika sekta ya afya, “Vile vile nitoe wito kwa wanachi wa Tanzania kuzingatia umuhimu wa afya zao binafsi kwani takwimu zinaonesha kuwa magonjwa yasiyoambukiza yanachangia asilimia 27 ya vifo vyote vinavyotokea nchini,”- Waziri wa Afya Naye Mkurugenzi Mkuu wa Mony Industries, Violet Mordichai alielezea kwa kina ubora wa bidhaa zinazotokana na kiwanda hicho zinazofanya kiwanda hicho kuwa na uwezo wa kuhimili ushindani wa ndani na nje ya nchi from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3ARdu7v via IFTTT

Samia "Tutatoa Mwongozo Ulipaji Kodi na Misamaha Kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali"

Image
  Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaandaa kitini ambacho kitatoa mwongozo wa jinsi mashirika yasiyo ya kiserikali yatakavyonufaika na misamaha ya kodi iliyopo kwa mujibu wa sheria. Rais Samia ameyasema hayo leo Alhamisi Septemba 30, 2021 jijini Dodoma wakati wa mkutano mkuu wa Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (Nacongo) uliozikutanisha NGO zote zinazofanya kazi hapa nchini. Kauli hiyo ya Rais Samia imetokana na maombi yaliyotolewa na Mwenyekiti wa Nacongo, Dk Lilian Badi wakati akiwasilisha risala yao kwa Rais Samia kwa kueleza changamoto mbalimbali zinazoyakabili mashirika yasiyo ya serikali. Amebainisha changamoto hizo kuwa ni pamoja na kupatikanaji wa misamaha ya kodi kwa mashirika yasiyo ya serikali na changamoto ya upatikanaji na uhuishaji wa vibali vya ukaazi kwa raia wasio Watanzania. “Changamoto hizi zikifanyiwa kazi zitasaidia mashirika yasiyo ya kiserikali kuweza kuchangia maendeleo kwa taifa kwa kushirikiana na serikali,” amesema Dk Badi

Dokta Ngalu Suruhisho na Kiboko wa Magonja Sugu Mbalimbali Kama yafuatayo

Image
DOCTOR .Ngalu Anapatikana dar es salaam Tanzania Suruhisho na kiboko wa magonja sugu mbalimbali Kama yafuatayo ♦️KISUKARI ♦️TEZI DUME ♦️NGUVU ZA KIUME ♦️TATIZO LA UZAZI ♦️PRESSURE ♦️MIGUU KUVIMBA NA KUWAKA MOTO ♦️VIDONDA VYA TUMBO ♦️NGILI ♦️UVIMBE KWENYE KOO ♦️MVUTO WA MAPENZI ♦️MAGONJWA YA WANAWAKE ♦️KUVIMBA MWILI Dawa NI Bora kwa afya yako Haina madhala na imethibitisha Kwa wale waliopo mbali na dar es salaam yaaani mikoani dawa itakufikia popote upipo kwa kusafirishwa Kwa mahitaji ya dawa na huduma piga simu au WHATSAPP namba 📞+255736171773 from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/2ZALN50 via IFTTT

Hasheem Thabeet Anacheza Basket Hapa Tanzania? Aisaidia Timu ya Savio Kutwaa Ubingwa RBA

Image
  Timu ya mpira wa Kikapu ya Savio wametwaa ubingwa wa Ligi ya mpira wa kikapu Dar es salaam RBA baada ya kushinda mchezo wa tatu (3) wa fainali kwenye mfululizo wa michezo mitano (5) ya fainali baada ya kuibuka na ushindi wa alama 99 kwa 83 dhidi ya ABC kwenye mchezo wanne (Game 4). Mchezaji nyota wa Savio Hasheem Thabeet alifunga jumla ya alama 52 pekee yake kati ya alama 99 zilizowapa ushindi hapo jana, lakini pia alimaliza na rebound 15 pasi za kufunga (Assists) 3 na alifanya Blocks 6. Katika mfululizo wa michezo hiyo ya fainali Savio walishinda mchezo wa kwanza (Game 1) kwa alama 82 kwa 73, ABC wakashinda mchezo wa pili (Game2) kwa 82-79 na mchezo wa 3 ( Game 3) walishinda Savio kwa alama 83-64, kabla ya kushinda tena jana na kuongoza kwa 3-1 kwenye michezo minne (4 ) na sasa rasmi Savio ndio mabingwa wa RBA from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/2Wrmt09 via IFTTT

Jose Chameleon Kurejea na ‘Forever’ Baada ya Aliyopitia

Image
  Baada ya kupata matatizo ya Ini na Kongosho hadi kupelekea kulazwa hospitalini, nguli wa muziki kutokea nchini Uganda, Jose Chameleone (42) amedokeza ujio wa wimbo wake wa kwanza 'Forever' baada ya kupona. Wimbo huo amepanga kuutoa mwezi Oktoba 9 mwaka huu ambapo itakuwa siku ya Uhuru nchini Uganda huku ukiwa umetayarishwa na Ian Pro na Yaled    from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3imUMNL via IFTTT

FAHYMA afunguka kwa mara ya kwanza kuhusu RAY VANNY na PAULA, "sipo SINGLE"

Image
  FAHYMA afunguka kwa mara ya kwanza kuhusu RAY VANNY na PAULA, "sipo SINGLE" VIDEO: from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3opPR2r via IFTTT

Baada ya Marioo Kunusurika Kipigo Arusha, Meneja Wake wa Zamani Afunguka

Image
Fundi wa muziki wa Bongo Flava, Marioo ambaye alidai chini ya milioni 20 hafanyi show kibongo bongo, inaripotiwa kuwa weekend iliyopita alikuwa na show Arusha ambayo alilipwa kiasi cha sh. Milioni 15 lakini Show ikaingia mdudu baada ya Marioo kuchelewa kufika kwa wakati na raia kuanza kufanya vurugu ikiwemo kuharibu Mali na kutaka kutembeza kichapo kwa Marioo na timu yake. Hasa kupitia U-HEARD ya XXL na @soudybrown ,meneja wa zamani wa Marioo na C.E.O wa Daddy Entertainment Co. , @d_fighter1 ametoa neno kwa msanii huyo kwanza akimpa pole maana ni changamoto ya kazi lakini pia amedai kufanya tena kazi na Marioo sidhani kama itakuwa rahisi kwasasa, kwanza anahisi watu alionao hivi sasa ndio watu aliowahitaji na kuona watamfikisha sehemu lakini pia kuachana na Msanii huyo ni kutokana na kauli yake aliyodai anahitaji kupoteza baadhi ya vitu kwenye maisha yake ili apate vikubwa zaidi na baada ya hapo likaja suala la Marioo kutotaka kuendelea na D Fighter kama meneja wake tena. Kwasas

Meneja wa Diamond Amkingia Kifua Harmonize Baada ya Show zake Kukosa Watu Marekani

Image
Moja ya ma manager wa WcB ambae pia ni mbunge na mdau wa muda mrefu wa muziki @babutale amemtetea Mwanamuziki @harmonize_tz baada ya madai ya kutijaza watu katika baadhi ya show zake huko nchini Marekani. Akijibu swali la mtangazaji aliyetaka kusikia Maoni yake juu ya swala hilo Boss Tale amefunguka kwa kusema ni uzembe kwa wanao m'beza kwakua harmonize anapambana kukuza lugha ya kiswahili. » “ni kukosa nidhamu tu, mtu anatoka kwenye swahili nation ,anakwenda kupambana kukuza kiswahili, wanakuja watu wachache kwenye event yake we unamlalamikia..? Unakwenda kum comprt na wasanii wanao ongea kizungu..? Ni uzembe tu, Harmonize kama harmonize anapambana kukuza lugha ya kiswahili kwahiyo nae m'beza hajui anachopitia harmonize kwenye kupambana kukuza lugha ya kiswahili ” 🗣️ @babutale « from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3uoDgh5 via IFTTT

Ongeza Urefu na Upana wa Uume, Tibu Upungufu wa Nguvu za Kiume

Image
Baada ya kuchambua mambo yanayosababisha upungungufu wa nguvu, kukosa ham ya tendo na maumbile madogo ya uume, leo tutachambua baadhi ya dalili na tiba. *DALILI NI KAMA:- 1.Kukosa ham ya tendo 2.Kuwahi kufika kelele ni 3.Kushindwa kurudia tendo 4.Uume kusinyaa katikati ya tendo 5.Kuchoka sana baada ya raundi moja 6.Uume kusimama kwa ulegevu *TIBA ZILIZOTHIBITISWA:- 1.GING SENG PILLS @220,000/= >Hivi ni vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza ham na nguvu za kiume hata kwa wenye kisukari 2.VIGRX OIL @220,000/= >Huongeza uume kwa 6-7 inch ndani ya wiki mbili 3.BIG PENIS, VIMAX, GOOD MAN @270,000/= (Vidonge) >Huongeza uume, nguvu za kiume na kuimarisha misuli hata kwa waliothiriwa na kujichua 4.HANDSOME UP @270,000/= >Mashine hii huongeza uume kwa saizi unayotaka pamoja na kuimarisha misuli 5.VIGA SPRAY @180,000/= >Huchelewesha kufika kileleni na kuongeza parfomance. Tiba hizi zote zimefanyiwa majaribio na zimethibitishwa. Matokeo ni uhakika na ga

Kim Jong Un atangaza kurejesha mawasiliano ya simu na Korea Kusini

Image
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un ametangaza kurudisha laini za mawasiliano ya simu na Korea Kusini mwanzoni mwa mwezi ujao wa Oktoba. Shirika la habari la Korea Kusini, Yonhap limelinukuu shirika la habari la Korea Kaskazini, KCNA likiripoti taarifa hizo. Kim amesema mawasiliano hayo yatarejeshwa kama sehemu ya juhudi za kuimarisha uhusiano na kuleta amani katika Rasi ya Korea. Kim ameitaka Korea Kusini kuachana na sera zake za uadui na undumilakuwili. Aidha, kiongozi huyo wa Korea Kaskazini amesema sera za uadui za Marekani na kitisho cha jeshi, bado hazijabadilika na kwamba pendekezo la Marekani la hivi karibuni la kufanya mazungumzo ni jaribio la kuuficha uadui huo. Wakati huo huo, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linakutana leo kujadiliana kuhusu hali ya Korea Kaskazini. Mkutano huo unafanyika kwa ombi la Marekani, Uingereza na Ufaransa. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/2Y4EPEz via IFTTT

Sababu ya Kupanda kwa Bei ya Nyama

Image
WAZIRI  wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega ameeleza sababu ya nyama kupanda kwa bei katika maeneo mbalimbali nchini ni kutokana na upungufu wa upatikanaji wa ng’ombe na ongezeko la mahitaji ya viwanda vya kuchakata nyama.   “Taarifa ya kupanda kwa bei ninayo, tayari wizara imeshatoa maelekezo ya nini kifanyike. Lakini hata hivyo hii ni dalili njema kwa wafugaji sasa wanahitaji kuwekeza zaidi katika ufugaji,” amesema Ulega.   Hata hivyo wafanyabiashara wa mifugo na wauza mabucha wamesema kuwa kupanda kwa kitoweo hicho kuanzia wanakochukua (machinjioni), gharama za usafirishaji na msimu huu wa kiangazi kumesababisha pia bei ya nyama kupanda kwani wafugaji wengi hawapendi kuuza ng’ombe wakati huu wakidai kwamba mifugo hiyo inakua haina uzito kutokana na kupungua kwa malisho na maji.   Bei ya nyama kwenye mikoa ya Arusha, Moshi na Dar es Salaam inadaiwa kuwa shilingi 7,000 mpaka shilingi 8,000 kwa kilo tofauti na awali ambapo kitoweo hicho kilikua kikiuzwa shilingi 6,000

Tangaza Biashara Yako Hapa Kwenye App na Blog yetu

Image
Kama una biashara yoyote na Ungependenda tuitangaze kupitia Website hii na kwenye App yetu ya Udaku Special basi piga simu 0714604974 kwa maelezo zaidi from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3hiHm2p via IFTTT

Lukamba Mpiga Picha wa Diamond Platnumz AWATOLEA Uvivu Wasanii Wanaochipukia Kisa Kuigana

Image
@lukambaofficial Sijui ni skio langu Au vipiii wasanii chipukizi jitahidini kuimba kwa tone yako mnafanana sana mnajua kuimba ila tunashindwa kuwatofautisha Ameandika Lukamba mpiga picha wa @diamondplatnumz Je lina ukweli hili?.... Tangaza nasi 0714604974 from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/2WnZa7o via IFTTT

Kunani..Rayvanny Ashindwa Kumtambulisha Paula UKWENI..Aenda Mbeya Peke yake

Image
MIONGONI mwa maswali yanaulizwa kwenye vilinge vya ubuyu mtamu ni kwa nini Rayvanny amekwenda nyumbani kwao jijini Mbeya bila kwenda na mpenzi wake Paula? Inafahamika kwamba Rayvanny hivi karibuni alikwenda kufanya balaa kwenye Tamasha la Ngoma za Asili maarufu kama Tulia Traditional Dance lililoandaliwa na viongozi chini ya Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson katika Jiji la Mbeya. Pia inafahamika kwamba Rayvanny ni mwenyeji wa Mbeya hivyo tangu alipotua uwanja wa ndege Mbeya kila shabiki alikuwa anaulizia yupo wapi Paula, lakini jamaa huyo hakuwa na jibu. Tofauti na alivyofanya kwa Fahyma alipokwenda kumtambulisha kwa wazazi wake, lakini hadi sasa hajafanya hivyo. Baadhi ya watu wa karibu wa Paula wanamuambia kwamba, kuna shida kwani mbona alisafiri naye kwenda kwenye shoo Zanzibar na Naironi, kwa nini ameshindwa kwenda naye nyumbani kwao Mbeya? Kwenye mjadala huo, Rommy Jons ambaye ni Makamu wa Rais wa Wasafi alimshauri Rayvanny; “Muoe tu au mpe mimba kama Fahyma halaf

Amfumania Mkewe Live Akichepuka na Rafiki Yake Mayombya

Image
Katika hali ya kustaajabisha, mfanyabiashara wa duka la simu mkoani Katavi Issa Kasili, amemfumania rafiki yake ambaye ni mfanyabiashara wa zao la mpunga katika Halmashauri ya Mpimbwe, Wilaya ya Mlele mkoani humo akiwa chumbani akichepuka na mke wake. Katika video inayosambaa mitandaoni inamwonyesha Issa Kasili akimlaumu rafiki yake huyo kwa kuzini na mkewe.... "Umeni *****... mke wangu Mayombya? Umeni *****... mke wangu Mayombya? Mwishowe umetimiza ahadi yako? Akimdhibiti mkewe, Kasili amesema amezaa naye mtoto mmoja hivyo kuanzia sasa hataki ndoa naye tena ambapo mara baada ya kumfumania alimpiga faini ya shilingi milioni 5 rafiki yake huyo. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3okh3iZ via IFTTT

Unaambiwa Jay-Z na Timu ya Wanasheria Wake Wanapambana Kumtoa Jela Mzee Aliyefungwa Miaka 20 Kisa Bangi

Image
Jay-Z na timu ya wanasheria wake wanapambana kumsaidia mzee wa miaka 55 ambaye alihukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani kwa makosa ya kusambaza na kukutwa na bangi zaidi ya Tani moja. Kwa mujibu wa mtandao wa Page Six, mfungwa huyo aitwaye Valon Vailes alimuandikia barua Jay-Z akimtaka amsaidie kuachiwa huru kutokana madai kwamba mahakama haikutenda haki. Jay-Z baada ya kuisoma barua hiyo aliguswa na kumkabidhi mwanasheria wake Alex Spiro kulifanyia kazi. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/39Oy4cT via IFTTT

Mwanafunzi Mbaroni Kisa Kuchoma Mabweni Baada ya Kusimamishwa Masomo

Image
Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyehunge iliyopo Wilayani Sengerema, Lucas Moshi anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuchoma Mabweni mawili ya Shule hiyo Septemba 27 Mkuu wa Wilaya ya Sengerema, Sanyi Ganga amesema Mwanafunzi huyo alisimamishwa masomo na kutakiwa kufika Shuleni na Wazazi lakini hakufanya hivyo, badala yake alikuwa akizunguka maeneo ya Shule Hakuna Mwanafunzi aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha, mbali na mali za Wanafunzi zilizoteketea kwa Moto zikiwemo Nguo, Madaftari pamoja na Magodoro. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3mesvtQ via IFTTT

Rayvanny Afunguka Sakata la Kumnyang'anya Chege Msanii Wake Macvoice

Image
Star wa Muziki Barani Afrika @rayvanny 🐆 na C.E.O Wa @nextlevelmusic_tz Ameweka Wazi Kuwa Aliomba Ruhusa Kwa @chegechigunda Kabla Ya Kumchukua @macvoice_tz "Nilimuomba Ruhusa @chegechigunda Kabla Sijamchukua @macvoice_tz" @rayvanny #Rayvanny Amethibitisha Hilo Kupitia #TheSwitch Ya @wasafifm Leo from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3CXJXJV via IFTTT

Mwigizaji Mtunisy Ambaye Alizaa na Pauline Zongo Awafungukia Mashabiki Waliomkalia Kooni

Image
Mwigizaji @mtunisy ambaye alizaa na Pauline Zongo awafungukia mashabiki waliomkalia kooni kumwambia kakalia u-handsome tu wakati mzazi mwenzie kaharibikiwa "Wanasema waswahili kuwa muungwana akivuliwa nguo HUCHUTAMA ni sawa na upo MTONI unaoga mara CHIZI kapita na kubeba nguo zako ukimkimbiza ukiwa huna nguo utaonekana wewe ndio CHIZI. Mungu mkubwa ikiwa walio MUHOJI waligundua hayupo sawa na kumpeleka SOBER HOUSE je wewe unaeambiwa ana mtoto nawe jambo ambalo ni kubwa kuliko hata hayo mahojiano UTAMUELEWA tena mtoto keshakuwa mkubwa? Yote tumuachie Mungu na wale wote walio nitusi na kunikashifu NIMEWASAMEHE na bado nitamsaidia huyo mtoto kama mwanadamu mwingine mwenye haki za msingi acha niendelee KUJIHENDSAMNISHA kama nilivyoambiwa AMIN!!!" Ameandika muigizaji huyo maarufu ambaye pia ni mfanyabiashara @mtunisy na Pauline Zongo waliachana miaka mingi iliyopita ingawa Mtunisy ameelezwa huwa anamhudumia mwanae ambaye kwasasa ni mkubwa Picha za kulia ni Pauline Zongo w

Matokeo ya michezo ya Ligi Kuu Tanzania (TPL) 2021/2022 zilizochezwa leo

Image
Matokeo ya michezo ya Ligi Kuu Tanzania (TPL) 2021/2022 zilizochezwa leo from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3CXSFYQ via IFTTT

Lemutuz Amchana "Mo Dewji Amefanya Wrong Timming"

Image
LE SUPERBRAND! ZE AKILI ZANGU ZA MCHANA LIVE!: Pamoja na kwamba nipo mapumzikoni FIVE STAR HOTEL kwa sababu ya AFYA YANGU lakini nimuhimu niseme something kuhusu hii Ishu ya leo ....kwa lugha ya Kizungu STRATEGICALLY inaitwa ....'WRONG TIMMING" ...Simba Lunyasi ndio kwanza tunaanza Kampeni ya Ligi na WIKI NZIMA SASA MATOKEO HAYAPO SAWA .....Tumepigwa na Yanga na jana tumetoka sare na timu ndogo sana kule Musoma and then leo haya .. ...WRONG TIMMING inavunja MORALE Wachezaji na hataqa Mashabiki ...KWA NINI ILIBIDI WASUBIRI MAMBO YAENDE SIVYO NDIO WATANGAZE HAYA YA MO KUONDOKA? ....DALILI ZA MVUA NI MAWINGU inaonekana kuna tatizo ambalo halisemwi na MFICHA MARADHI HUFICHULIWA NA KIFO ....ninarudia tena kwamba it was WRONG TIMMING! - @lemutuz_superbrand from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3zScE96 via IFTTT

Haji Manara Amtupia Dongo Morrison "Nimemiss Comments zako Katika Page yangu"

Image
Hajismanara ameandika haya katika page yake: "Benadi nimemiss Comments zako ktk Page yangu Hebu tupe Comment kuhusu Mwamedi kuumwaga,,,nn Shida? Mayele au B Ishirini za Chupli Wajumbe wa Bodi wameanza kuhoji? Najua wametaka kujua zimewekwa Benki gani na Mwamedi kachukia kuulizwa,,,, Benadi hebu tujibu basi fasta,,,, Benadiiiiiiiiiii 🤪🤪 @bm3gh" Manara from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/2WsJVu8 via IFTTT

Aliyekuwa Mpenzi wa Wema Sepetu PCK Atangaza Kwenda Germany Kufanyiwa Upasuaji Awe Mzungu

Image
@official_pck ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Instagram "NDUGU ZANGU NAOMBA RADHI KWA YEYOTE AMBAE NINAWEZA KUA NIMEMKOSEA KWA NJIA MOJA AO NYINGI MIMI NI BINADAM SIJAKAMILIKA TAREH 09 OCTOBER NITASAFIRI KWENDA NCHINI GERMANY 🇩🇪 KUFANYIWA SURGERY YA MWILI MZIMA AMBAPO NITABADILISHWA MFUMO MZIMA WA MWILI WANGU NA KUWA NA MWILI WA KIZUNGU NA UPASUAJI HUO UTACHUKUA TAKRIBANI MASAA 53 MPAKA KUKAMILIKA NA KUANZIA HAPO NITAKUA MZUNGU HATA MICHAEL JACKSON NAE ALIWAHI KUFANYA HIVYO NA KUA MZUNGU HIVYO NAOMBA DUA ZENU JUU YANGU NIWEZE KUTOKA SALAMA KWENYE CHUMBA CHA UPASUAJI" PCK from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/39LK7aT via IFTTT

Mtoto wa Monalisa Aliyesema Havijui Vyuo vya Tanzania Aenda Kusoma Chuo Nchini Ukraine

Image
Mtoto wa Msanii wa filamu Bongo, Monalisa, Sonia ameenda kusoma Chuo Kikuu cha Summy State nchini Ukraine. Sonia anakwenda kusomea kozi ya Uhasibu na Ukaguzi (Accounting and Auditing) kwa kipindi cha miaka minne.  "Sababu ya kuchagua kwenda kusoma nchi hiyo ni kwanza wametutangulia kiteknolojia kwa hiyo tunapoenda huko kusoma tunaweza hamisha teknolojia kwa njia ya elimu kuja hapa Tanzania" "Kitu kingine Ukraine na Urusi ni nchi ambazo zina fursa nyingi za utalii hivyo tunavyoenda huko kusoma ni nafasi yetu kuwaambia Tanzania kuna nafasi nyingi za Uwekezaji, kuna Mlima Kilimanjaro, Tanzanite na mengine mengi ambayo Tanzania tunajivunia" amesema Sonia. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3mcdUPw via IFTTT

Je, Vanessa Mdee Kajifungua Kweli au Mange Kimambi Kadanganywa Mpaka Kafuta Post?

Image
Mara baada ya mange kimambi kupost picha ikimuonesha rotimi na mtoto mchanga na kuvujisha kwamba Ndio mtoto wao aliyezaliwa, muda si mrefu mange alisema alitafutwa na Vee na akaambiwa kuwa sio kweli wala sio mtoto wao, bali ni mtoto wa ndugu yake rotimi. Kiukweli vanessa amemdanganya dada wa taifa, mange kimambi. Hatua aliyofikia vee inatosha kabisa kujifungua, Vee na rotimi ni wasiri sana ndio maana hata mimba imejulikana baada ya muda mrefu, je mtoto ndio atajulikana kwa muda mfupi? Siku saba zilizopita, tayari watu walikuwa wameshaanza kukoment kwenye page ya Vee na kusema kwamba wanasikia kwa juu juu kwamba vee kajifungua, lakini vee hajawahi kureply hizo comment. Pia siku tatu zilizopita vee amepost picha akicheza na tumbo liko wazi, mwanamke mmoja akakoment kwamba "ushajifungua wewe naona mstari kwenye kitovu umekaribia mwisho" hii ikimanisha kwamba Hiyo post ni ya zamani kabla hajajifungua. Ukweli ni upi, Tuendelee kusikilizia mchongo, ila naamini vee ameshaj

Pata Frames za Picha za Kisasa Kwa Bei Rahisi Kabisa..Jumla na Reja Reja

Image
Pata frame za picha kupendezesha sebule au chumba chako kwa bei nafuu kabisa kuanzia bei ya 12,000 na kuendelea kulingana na size ya frame utakayo taka Pia Kama unataka kuuza na Wewe frame za Jumla zinapatikana, Tunatuma Mikoani Pia  Piga simu kwa maelezo zadi 0758277206, Kwa dar unaletewa mpaka ulipo Tazama VIDEO Hapa Set hiyo ya frame pamoja na picha zake kwenye Video zilivyo hivyo unaipata kwa120,000 tu, Kama upo dar tunakuja kukuwekea ulipo, Mkoani Tunatuma, Piga simu 0758277206 Kama Hizo kwenye Video Moja moja unapata kwa 15,000 tzs Piga simu 0758277206 from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3odJhsj via IFTTT

Mtazamo Wangu Kujiuzulu Kwa Mo Dewji Simba "Mwepesi Kubebwa na Presha za Matokeo"

Image
Kuhusu neno KUJIUZULU ni la kawaida duniani kote, mpirani, siasa na hata kwenye mapenzi! Hakuna mgeni kwenye hili Ramon Calderon aliwahi kujiuzulu Urais wa Real Madrid na kupisha uchaguzi Mkuu uliomleta Perez kwa awamu ya pili na ikumbukwe hata Perez aliwahi pia kujiuzulu Perez aliwahi kusema kitu kuhusu watu KUJIUZULU, alisema kuna muda mambo hayaendi kisa wewe, kuna muda unajiona nje ya mfumo na kuhitaji mwingine aongoze na kuna muda masherti kadhaa Well! MO DEWJI wa Simba kajiuzulu Uenyekiti wa klabu ya Simba na majukumu anayo Try Again! Naomba hapa niseme kitu kuhusu MASHERTI Moja wapo ya matakwa ya FCC ni kuwa huwezi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na bado ukawa Mwekezaji kwenye timu, ni sawa na kusema kesi ya Nyani umpe Ngedere, hapa walitaka kuondoka CONFLICTS OF INTERESTS Kujiuzulu kwa MO ni dalili za wazi hivi sasa mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa Simba unaenda kutimia rasmi kwakuwa hata FCC walisema mchakato upo mwishoni kukamilika, pongezi kwa MO Saba

Mvua yasitisha kwa muda Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake

Image
Jaji Mustapha Siyani  anayesikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu amesitisha kwa muda kusikiliza ushahidi wa shahidi watatu upande wa utetezi wa shauri dogo  katika kesi ya msingi ya Uhujumu Uchumi kutokana na kukosekana  kwa usikivu mzuri unaosababishwa na mvua inayonyesha. Leo mapema shahidi wa tatu upande wa utetezi katika kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu alianza kutoa ushahidi wake katika Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3um2vk0 via IFTTT

Huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa BODI Ya Wakurugenzi Ya Simba

Image
Huyu ndiye Mwenyekiti mpya wa BODI YA WAKURUGENZI YA SIMBA.. SALIM ABDALLAH 'Try Again' Akichukua Nafasi Ya Moodewij Aliye jiuzulu Siku Ya Leo. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3ujQ5Jo via IFTTT

Huyu Ndio Mwanamke Mwenye Mvuto zaidi Anaishi Duniani Kwa Sasa

Image
Unaambiwa Mwimbaji na Mwigizaji raia Marekani mzaliwa wa Harlem, New York #TeyanaTaylor mwenye umri wa miaka 30 ndie aLietajwa kama Mwanamke mweusi wa kwanza kutajwa na Jarida la #Maxim kama Mwanamke mwenye mvuto zaidi anayeishi. Maxim ni Jarida la kimataifa la Wanaume ambalo lilianzishwa nchini Uingereza mwaka 1995 na kuweka makao yake jijini New York Marekani toka mwaka 1997, na mpaka sasa ni Jarida ambalo lina Wasomaji wapatao milioni tisa kila mwezi from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3EVFVDP via IFTTT

Huyu Ndio Mwanamke Mwenye Mvuto zaidi Anaishi Duniani Kwa Sasa

Image
Unaambiwa Mwimbaji na Mwigizaji raia Marekani mzaliwa wa Harlem, New York #TeyanaTaylor mwenye umri wa miaka 30 ndie aLietajwa kama Mwanamke mweusi wa kwanza kutajwa na Jarida la #Maxim kama Mwanamke mwenye mvuto zaidi anayeishi. Maxim ni Jarida la kimataifa la Wanaume ambalo lilianzishwa nchini Uingereza mwaka 1995 na kuweka makao yake jijini New York Marekani toka mwaka 1997, na mpaka sasa ni Jarida ambalo lina Wasomaji wapatao milioni tisa kila mwezi from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3kQf3gv via IFTTT

Nguo ya Ndani Boxer ya Mcheza Kikapu Michael Jordan Yauzwa Kwa Sh Bilion 6

Image
Living legend Michael Jordan anaweza kuwa Mchezaji bora wa basketball kuwahi kutokea katika historia ya mchezo huo, ambapo kupitia mafanikio na Umaarufu wake imefanya nguo yake ya ndani iliyowahi kuivaa kupigwa mnada na kuuzwa kwa $2,784 ambazo ni sawa na Billion 6.4 Tsh, na tayari shabiki mmoja wa MJ amekuwa gumzo kwa kuinunua 'Boxer' hiyo toka kwenye kampuni ya Lelands Auction siku ya Jumamosi. Nguo hiyo iliwekwa sokoni tangu mwezi August mwaka huu na mlinzi binafsi wa Michael Jordan, John Michael Wozniack ambaye amekuwa akiuza baadhi ya vitu vya gwiji huyo wa Kikapu. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/2XWAyDo via IFTTT

Breaking News:MO Dewji Abwaga Manyaga Simba

Image
Bilionea Mohamed Dewj 'Mo' amejiuzulu kwenye nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu ya @simbasctanzania Mo atabaki kwenye nafasi ya Muwekezaji wa klabu hiyo from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3zLpvdi via IFTTT

Kanye West Hataki Mchezo Kabisa, Amfutilia Mbali Chris Brown kwenye Kolabo yao "New Again" iliyoko Kwenye Album

Image
Kanye West amefanya mabadiliko machache kwenye album yake "DONDA" ambayo ilitoka August 29 mwaka huu. Kanye amemuondoa kabisa Chris Brown kwenye Kolabo yao "New Again" lakini pia amefanya mabadiliko kwenye baadhi ya nyimbo kwa kufanya mixing upya kwenye wimbo kama 'JUNYA' na nyingine. Chris Brown ni miongoni mwa wasanii ambao waliibuka na kumuangushia matusi Kanye West kwa kufuta verse zao kwenye album yake, CB alidai alishiriki kwenye ngoma mbili lakini alijikuta kwenye ngoma moja baada ya album hiyo kutoka. Sasa Kanye ameamua kumuondoa kabisa Breezy! from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3AThsfZ via IFTTT

Mauaji Makaburini Mwanza, Jamaa Ampiga Risasi Muombolezaji Msibani Kwa Bahati Mbaya

Image
Mtu mmoja aitwae Silas Charles (45) ambae ni Mfanyabiashara wa Samaki Jijini Mwanza amefariki kwa kupigwa risasi msibani jana Jijini Mwanza katika kisa ambacho sio cha kawaida baada ya kumaliza kumzika Jamaa yake. Mauaji hayo yalitokea wakati Waombolezaji wakiwa maeneo ya makaburi ya Kangae ambapo risasi iliyomuua Silas ilifyatuliwa na Muombolezaji mwenzake aitwae Jacobo Amoro (60) ambae alisema anafyatua risasi angani akidai ni ishara ya kumpa heshima za mwisho Marehemu. Wakati Jacobo akifyatua risasi hizo kwa bahati mbaya moja ilimlenga Silas na kufariki palepale eneo la tukio na kusababisha Waombolezaji wengine kukasirika na kuanza kumpiga Jacobo na kumsababishia majeraha ambayo anatibiwa Hospitali Jijini Mwanza chini ya ulinzi wa Polisi. "Mtuhumiwa Jacobo ni Mkazi wa Dodoma na alikua amekuja hapa Mwnaza kuhudhuria mazishi ya Jamaa yao aitwae William Okoo, alikua akimiliki bastola hiyo kihalali lakini amekiuka masharti ya leseni yake na tunamshikilia chini ya ulinzi Hos

Kimenuka..Mahakama Yaamuru Rick Ross Kumlipa Ex Wake Milion 25 Kila Mwezi

Image
BrianaSingleton Ambaye ni Ex na Mzazi Mwenzie Rapa @richforever 🇺🇲 Amepata Ushindi Baada Ya #Rozay Kukubali Agizo la Mahakama la Kumlipa Mrembo Huyo Takribani $11K (TSH.MILIONI 25.4) kwa Mwezi Pesa Hiyo Inatajwa Kuwa Ni Kwaajili Ya Malezi Ya Watoto Watatu Kwa Mzazi Mwenzake Huyo, Kwa Mujibu Wa Tovuti Ya #TMZ Hayo Yote Yanakuja baada ya Mahakama Kugundua Kuwa Rapa Huyu Anaingiza Takribani $600k (TSH.BILIONI 1.3) Wakati Ex Wake Anaingiza $142 (TSH.328,000) Kwa Mwezi from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3mbJRYk via IFTTT

Alichokifanya HAJI MANARA baada ya Matokeo ya SIMBA kutoa sare, MOO DEWJI hausishwa

Image
  Alichokifanya HAJI MANARA baada ya Matokeo ya SIMBA kutoa sare, MOO DEWJI hausishwa VIDEO: from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3iiOIpv via IFTTT

Arnold Schwarzenegger alivyompa mimba mfanyakazi wake wa ndani wakati mkewe akiwa mjamzito pia

Image
Arnold Schwarzenegger alivyompa mimba mfanyakazi wake wa ndani wakati mkewe akiwa mjamzito pia Tazama Hapa Chini: from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3ma9BEE via IFTTT

Haji Manara, Chama na Miquesone Utatu Mtakatifu Utakapo Endelea Kuitesa Simba Kwa Muda Mrefu

Image
Simba ilikuwa Hatari na kubwa Msimu uliopita kwa sababu ya Watu watatu. Ndani ya Uwanja kulikuwa na Miquesone na Chama nje ya Uwanja kwa ajili ya Propaganda kulikuwa na Haji Manara. Simba ilikamilika kwenye kila Sekta kuanzia Propaganda na Ndani ya uwanja ila yote ilikuwa kwa sababu ya Combination ya Chama na Miquesone. Kila mtu anafahamu jinsi Miquesone na Chama walivyochangia asilimia kubwa Simba kufanya vizuri mpaka kufika Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Kwa sasa Watu hao watatu Muhimu hawapo katika Club hiyo. Simba imeanza kucheza pira Makande. Simba hii ya sasa haiwezi kufika Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu. Hata Ubingwa wa Ligi ya ndani kutakuwa na Mchuano mkubwa sana Simba ikipambana na Azam kushika nafasi ya Pili. #Romanticxaloyce #RAupdates #SimbaSC #YangaSc #Nguvumoja from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/3AQBbwE via IFTTT

Okoa Ndoa, Ongeza Maumbile, Nguvu za Ulijari na Hamu ya Tendo

Image
Baada ya kuchambua mambo yanayosababisha upungungufu wa nguvu, kukosa ham ya tendo na maumbile madogo ya uume, leo tutachambua baadhi ya dalili na tiba. *DALILI NI KAMA:- 1.Kukosa ham ya tendo 2.Kuwahi kufika kelele ni 3.Kushindwa kurudia tendo 4.Uume kusinyaa katikati ya tendo 5.Kuchoka sana baada ya raundi moja 6.Uume kusimama kwa ulegevu *TIBA ZILIZOTHIBITISWA:- 1.GING SENG PILLS @220,000/= >Hivi ni vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza ham na nguvu za kiume hata kwa wenye kisukari 2.VIGRX OIL @220,000/= >Huongeza uume kwa 6-7 inch ndani ya wiki mbili 3.BIG PENIS, VIMAX, GOOD MAN @270,000/= (Vidonge) >Huongeza uume, nguvu za kiume na kuimarisha misuli hata kwa waliothiriwa na kujichua 4.HANDSOME UP @270,000/= >Mashine hii huongeza uume kwa saizi unayotaka pamoja na kuimarisha misuli 5.VIGA SPRAY @180,000/= >Huchelewesha kufika kileleni na kuongeza parfomance. Tiba hizi zote zimefanyiwa majaribio na zimethibitishwa. Matokeo ni uhakika na