Posts

Showing posts from August, 2020

ULITAKA NINI WAKATI UNAANZISHA UHUSIANO NA MWENZAKO?

Image
[WAKUBWA TU 18+] PAKUA APP MPYA YA UTAMU KITANDANI KUJIONA MAMBO MBALIMBALI YA CHUMBANII NA MBINU BORA ZA KUBORSHA PENZI LAKO Mpenzi wangu msomaji Ni kwa vipi uingie katika mahusiano na binadamu mwenzako halafu utumaini kila siku akufurahishe? Hiyo inawezekana vipi? Wewe unaweza kumfanya mtu kila siku akawa na furaha isitokee hata siku moja ukamkwaza? Ni kweli hatutakiwi kuingia katika mahusiano tukiwa na tunajua fulani ni lazima atakuumiza. Haipaswi kuwa hivyo. Lakini jiulize ni vipi unaweza kuishi na binadamu asikukwaze siku hata moja? Haya sasa chukulia kuwa umeingia katika mahusiano na mtu ukiwa na tumaini la kuwa katika furaha ya kila siku, halafu siku ikatokea kakukwaza itakuaje? Si mwanzo wa kuona kuwa umeingia katika himaya ya mtu asiye wa ndoto yako? Si mwanzo wa kuanza kuangalia njia ya kutaka kujitoa hapo? Tafakari. Siku zote ndiyo maana huwa nasisitiza watu waingie katika mahusiano kwa kigezo cha kupendana kwanza. Mengine ndiyo yafuate. Ukiwa katika mahus

JINSI YA KUKABILIANA NA WIVU KATIKA UHUSIANO WA KIMAPENZI.

Image
Wivu ni hisia za ajabu, hususan katika uhusiano wa kimapenzi. Ukiuruhusu wivu kushamiri ndani yako, unaweza kuwa na nguvu yenye madhara makubwa kwako na kwa wengine. Kwani Wivu unaweza kukufanya ukamuua mtu mwenye suluhisho la shida yako wakati haujui jinsi ya kutoka hapo ulipo. Hata hivyo, kwa upande mwema, wivu ni hisia za kawaida kabisa na kwamba kuna mikakati ya kimsingi ambayo unaweza kuitumia kuudhibiti. Mikakati hiyo inaweza kuchukuliwa kwa kupitia hatua zifuatazo: HATUA YA KWANZA Piga moyo konde kwa kutuliza hisia zako unapoona wivu unakukamata. Jaribu kutambua mzizi wa hisia hizo. Wivu katika hali halisi ni woga wa kumpoteza mtu au kitu fulani. Wivu huenda sambamba na hasira kwamba mtu fulani amevamia eneo au mali yako. Fikiria ni nini hasa lengo la wivu wako. Mara nyingi, watu hutumia hisia zao za wivu katika kutaka kutoa vipaumbele kwenye masuala yanayohusu maisha na uhusiano wao. Hivyo, jiulize ni kwa nini unahisi kuna tishio katika mazingira yanayokukabili

KAMA KUNA MWANAMKE UNAEMPENDA NA UNASHINDWA KUMWAMBIA UKWELI. BASI INAKUHUSU

Image
Kuna kundi kubwa la wanaume wanaoshindwa kueleza hisia zao kwa wale wanaovutiwa nao na kutamani pengine kuwa nao maishan Hii inawaumiza vijana wengi na hata wazee, Suala la kumweleza mwanamke hisia zake hadi akamuelewe inachukua mda mkubwa sana hadi wengine wanawatuma marafik ambao wengi huwageuka Hatua hii husababisha baadhi kujiona wenye mkosi wa kupendwa na warembo jambo ambalo siyo la kwel Sifa ya kwanza ili uweze kuzungumza na mwanamke akusikilize ni lazima ujiamin kuwa wewe ni mwanaum mwenye vigenzo vya kuitwa mwanaum unayeweza kusimama mbele ya watu naukasema mimi ndiye mmiliki wa mwanamk huyu Pili wanawak wanapenda kuwa katika ushindan hasa pale anapokuwa na mwanaume mwenye kujiamin basi anatembea akijiamin na kuona hajakosea kuchagua KAMA WEWE NI MUHANGA WA TATIZO HILI FANYA YAFUATAYO Tumia sauti ya utulivu yenye hisia ndani yake mnapoongea utazidi kumvuta karibu yako. Usipende kuzungumza kwa sauti ya juu au kupayuka au kupiga simu ukiwa kwenye kelele, Mtaka

MAKOSA YA KILA SIKU HULETA VIRUSI VYA KUMALIZA PENZI

Image
Mpenzi msomaji wangu, kila unapofanya kosa kuna maswali mwenzi wako huwa anajiuliza. Hayo maswali baadae ndiyo hutoa jibu litakalofanya akuone kama wewe si mtu mwafaka kwake. Kinachotafutwa katika mapenzi si kuwa na mtu mwenye sura nzuri sana au kuwa na mtu mahiri sana kitandani pekee, hapana. Japo hayo ni mambo yana maana yake katika namna yake ila muhimu zaidi ni kuwa na mtu anayeweza kumsababishia furaha mwenzake. Katika huzuni awe na uwezo wa kumfanya mhusika akatabasamu. Katika majonzi kuwe na hali ya unafuu na maisha kutoa maana chanya. Kama kila siku katika uhusiano ni makosa ya kujirudia ni kwa namna gani atakufikiria kama mtu mwafaka kwake? Fikra zake ni lazima ziondoke katika kukufikiria kama mtu bora kwake na badala yake akuone mtu usiyefaa wala wa thamani katika maisha yake. Japo huwa anasema anakusamehe ila kumbukumbu ya kosa lako huwa linabaki katika ubongo. Unaweza kufanya akaendelea kukuona bora kwa kufanya matendo bora na ya maana katika maisha yake.

💕CHOMBEZO TAMU SANA LA MAHABA 💕 👇👇 TENDO LA NDOA

Image
[WAKUBWA TU 18+] PAKUA APP MPYA YA UTAMU KITANDANI KUJIONA MBAMBO MBALIMBALI YA CHUMBANII NA MBINU BORA ZA KUBORSHA PENZI LAKO Katika dhana isemayo makubaliano ni muhimu kwenye tendo la"ndoa" Nimegundua kwamba mwanamke huwa kama pasi huchelewa kupata joto na hutunza joto kwa muda zaidi hata baada ya kumaliza kupiga pasi. Mwanaume ni rahisi kusisimka kimapenzi wakati mwanamke huhitaji kusisimuliwa. Mwanaume husisimuliwa na moja ya mlango wake wa fahamu kupitia kuona wakati nwanamke husisimuliwa kupitia milango yote mitano ya fahamu Kuguswa, kusikia, kuona, kuonja, kunusa na wororo wa mwanaume. Mwanaume ni mfano wa bulb ya umeme uki-switch tu mara moja inawaka wakati mwanamke ni mfano wa pasi ya umeme ambayo huchukua muda hadi ipate joto na hutumia muda zaidi to cool off. Hii ni muhimu sana ukitaka kuwa mpenzi mzuri na mpenzi mzuri hujua na kuzingatia jinsi ya kumridhisha mwenzake. [WAKUBWA TU 18+] PAKUA APP MPYA YA UTAMU KITANDANI KUJIONA MAMBO MBALIMBALI Y

ANZA MAISHA UPYA, KATAA MAUMIVU KARIBISHA FURAHA NA AMANI

Image
Mpenzi msomaji, kwa sababu ya amani na furaha ya maisha yake. Kama upo katika uhusiano wa amani na furaha, unatakiwa kuamua kuwa bora zaidi ili amani na furaha yako iweze kuendelea. Ni vigumu sana kuendelea kufurahishwa na mwenzako ikiwa unafanya matendo ya kumuudhi na kumuumiza. Kuanzia leo, kama unataka kuona amani na raha uliyo nayo katika uhusiano wako inaendelea, kuwa mtu bora na mwafaka katika maisha yake. Kwa kila kitendo unachotakiwa kufanya hakikisha unakifanya kwa namna inayotakiwa, ila pia kwa kila jambo unalotakiwa kukaa nalo mbali hakikisha unaliepuka ili uweze kumfanya kuwa na amani na utulivu wa nafsi. Kwa maendeleo ya furaha yako, amua kumpa amani na raha mwenzako. Katika uhusiano, raha huwa ni kitu cha kusababishwa, hasa mkiwa mnapendana. Yaani kama unataka akupe raha na amani, inabidi umsababishe yeye kuwa na amani na furaha. Kiasili, binadamu ana tabia ya kutaka kulipiza kisasi. [WAKUBWA TU 18+] PAKUA APP MPYA YA UTAMU KITANDANI KUJIONA MBAM