🤱🏼 *SINGLE MOTHER unataman Ndoa?? Fanya hivi.
👉🏻 Fanya haya Acha kuwasiliana mzazi mwenzako wala mazoea na ndugu au rafik zake wakat wa mimba kukataliwa. Lea hata kama hali ngumu .... ✋🏻 Mpige marufuku kuja kwenu au kwako wala usiende kwake. Ni aibu kuendelea kushirik tendo na mwanaume aliye ikana mimba ila umejifungua anakuja kujifanya kumsalimia mtoto kisha anakutumia na maj kuoga una muwekea.. Hapo lazima udharaulike 🤦🏼♀ Jiamin..acha kujirahisha kwa kila mwanaume kwa iman kuwa hakuna atae kuoa na mtoto uliye nae.... Bado we mrembo Dada kuzaa kumekuongea ukomavu wa akil .. Usijidharau kisaa umezalishwa 🚶🏼♀ Kaa mbali na wanaume wapita njia... Single mother epuka mazoea yanayo chochoea mapenz na waume za watu au vijana wenyr uchu wa ngono wasio na mwelekeo kimaisha.. Yaaan kutwqa anawwza apate hela akanunue raba nzur..apate girl mzur alewe. 👳🏼♀ Jiheshimu kuanzia uvaaji wako kaul na aina yq marafiki unao shinda nao.. Ipende kaz inayo kufanya ule na kuvaa vizur 👩👧👦 Kuna SINGLE MOTHERS wanao jielewa na wana msi...