Posts

Showing posts from January, 2020

Njia 9 Za Kutumia Kumtongoza Mwanamke Ambaye Hamko Ligi Moja

Image
Kutongoza mwanamke aina hii kunaogofya baadhi ya wanaume. Wengi husema kuwa kuaproach mwanamke wa kawaida ni rahisi lakini ikija kwa kutongoza mwanamke ambaye yuko ligi nyingine kunawatia baridi. Huyu ni mwanamke ambaye akiingia mahali kila kitu kinasimama na kumuangalia yeye. Kila akipita watu wanamkodolea macho ya kuingiwa na tamaa. Kila anapotembea unajiskia dunia yote ikikuzunguka kichwani. Kiufupi ni mwanamke mrembo unayemzimia kiasi cha kuwa unashindwa kumtongoza. Kama wanaume wengine, unashindwa kumtongoza kwa sababu anaoneka level nyingine, anaonekana tofauti kabisa na mwanamke wa kawaida. So utafanya nini ili kumpata mwanamke kama huyu? Usikate tamaa kwani kama mwanaume yeyote, pia wewe una nafasi bora ya kumpata mwanamke huyu na kumfanya wako kabisa. Ujanja wa kufuata ni kama ifuatayo. Zifuatazo ni jinsi ya kutongoza mwanamke aina hii: #1 Kuwa na sababa za uhakika. Kabla kuanza chochote, unafaa kujiuliza kwa nini unataka kumtongoza huyo mwanamke. Najua hautak

Zifahamu Hatua 6 Muhimu za Kunyonya Uume wa Mpenzi Wako Pindi Mnapokuwa 6 X 6 (+18)...!!!

Image
Jinsi ya kunyonya uume. 1-Anza kwa kubusu ktk mtindo wa kulamba maeneo yaliyo karibu na uume hasa sehemu ya ndani ya mapaja, anza paja la kulia na hamia paja la kushoto.....wakati unaendelea na safari yako ya kulamba tumia mkono wako mmoja kumshika sehemu ya kiunoni pale karibu na mboo. 2-Utaona uume unaanza ku-move (ukiwa umesimama), sasa ili usikuharibie utamu wa kubusu ushikilie kwa mkono wako mwingine kama vile umeshika mua au chupa ya soda kwa juu na peleka mkono huo juu na chini huku ukiendelea kubusu-kulamba. 3-Mkono wako ukiendelea na safari ya juu-chini hamishia mdomo wako kwenye pumbu (makende), yalambe taratibu na ukiweza yakoweshe kwa mate (yabugie a.k.a yaingize yote mdomoni mwako) huku ukitembeza ulimi taratibu...kuwa mwangalifu na meno yako wakati umeyabugia kwani ni "sensitive" na wanadai kuwa ukikosea kidogo huwa yanauma. 4-Toka sehemu hiyo ya makende kwa kubusu taratibu wakati unaelekea kwenye mtunguli wenyewe (mboo), tumia mkono wako kwenda juu-chin

utundu kitandani

akubwa tuu🔞 Bofya Hapa kupakua App ya Utundu kitandani na upate mautundu na maufundi yoote          Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome ona jinsi ya kusugua G spot bonyeza hapa BONYEZA HAPA      HAPA

UTUNDU KITANDANI

akubwa tuu🔞 Bofya Hapa kupakua App ya Utundu kitandani na upate mautundu na maufundi yoote          Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome ona jinsi ya kusugua G spot bonyeza hapa BONYEZA HAPA      HAPA

RAHA YA KUHONDOMOLA WOTE MUANDAANE

Image
Wanawake wengi hulalamika kwamba hawalidhishwi na wenzi wao kimapenzi.ila amini nawaambieni 95% inasababishwa na wanawake wenyewe Unakuta mdada umelala nae anakugeuzia mgongo . sasa nakuandaaje hapo? Yani unakuta janamke unalishikashika na kulipapasa kila sehemu ye kaganda tu hana response yoyote ile.ametulia kama gogo au boga vile. Unakuta mwanamke unampapasa sehemu tofauti za mwili ila kaganda tu ata harespond Hapo hapo unakuta hajanyoa minywele yake na hapo hapo kuoga hajaoga ukiuliza anakwambia nimeoga nyumbani,wanawake jamani mnatuboa sana hamjui tuu. Na sisi tunataka raha na kulidhishwa kama nyie mnavyotaka tuwastareheshe tu..na sisi tunapenda sana kupata raha jamani. Raha sio tu ile tukishawaingiza dushe na kumwaga hapana.raha ni pale tunapoandaana nikikushika hapa na wewe unashika pale. Nikikuchezea hapa na wewe unachezea pale na sio nakupapasa na kukuchezea we umeganda tu unasikilizia utamu tu. jifunzeni wanawake akubwa tuu🔞 Bofya Hapa

KUNA FAIDA WAPENDANAO KUKWARUZANA

Image
Mikwaruzano kwenye uhusiano inawafanya muwe imara. Inapotokea inawapa funzo kwamba mkishasameheana, muishi vipi ili msiweze kuingia tena kwenye kitu ambacho kiliwafanya mkwaruzane au mpoteze amani yenu. Katika hali ya kawaida kabisa, hakuna mwanadamu aliyekamilika hivyo tunapaswa kuelewa kwamba suala la kupishana mawazo lipo tu. Hauwezi kuepuka kutofautiana na mwenzako ambaye mmekutana mkiwa tayari na akili zenu timamu, hivyo mnachotakiwa kufanya ni kuitumia nafasi hiyo kujiimarisha. Hamuwezi mkakaa kwenye uhusiano mwaka mmoja, miwili hamjagombana hata iweje lazima itafika mahali kidogo mwenzako atakukwaza na mtaingia kwenye mvutano. Mnachotakiwa tu kufanya ni kuchukulia changamoto hiyo kama funzo. Mjue ni nini kimesababisha hadi mpishane. Kwenye eneo hili kila mtu anapaswa kujitathimini yeye mwenyewe. Zungumza na nafsi yako uone ni kweli hujamkosea mwenzako? Kama ulimkosea, muombe radhi na ujue kwamba hilo liwe kama mwongozo kwako ili kuwasaidia lisitokee tena. Kwa kawaid

MAMBO 5 USIYOYAJUA KUHUSU WANAUME WENYE MICHEPUKO

Image
Wanawake wengi walio kwenye ndoa wanahangaika na waume zao kwakuwa na uhusiano wa kimapenzi na michepuko. Yafuatayo ni mambo kumi ambayo yawezekana ulikuwa huyajui kuhusu wanaume wenye michepuko: 1: Wanaume wengi wanakuwa bado wanawapenda sana wake zao wakati huo wakiwa wanachepuka. Wengi huwa wanafanya hivi ili kuona mwanamke mwengine anaweza kumridhisha kwa kiasi gani, au wanaamua kuchepuka kutokana na migogoro iliyopo ndani ya uhusiano au ndoa yao. 2: Mara nyingi, wanaume wanachepuka na wanawake wanaojuana nao. Ni rahisi sana kwa mwanaume kuchepuka na mwanamke anayejuana naye kwakuwa kwa yule asiyejuana naye vizuri, inamaanisha mchakato wa kutongoza inabidi uchukue nafasi yake, wakati mwanaume anahitaji kumaliza shida zake za kufanya mapenzi kwa muda huo. Kuanza kuzungushana na mwanamke mpya ni sawa na kuishi matatizo ya uhusiano wake kwa mara nyingine zaidi, lakini kwa mwanamke anayejuana naye, hasa anayejua mgogoro wao wa uhusiano, ni rahisi kutimiza haja za mwanaume huyu

ILI UDUMU KATIKA MAHUSIANO YAKO.EPUKA KUMWAMBIA MPENZI WAKO MANENO HAYA

Image
Endapo umekwisha ingia katika mahusiano au unatarajia kuingia katika mahusiano ya kimapenzi, yapo mambo yanyofaa ambayo junaweza kumwambia mpenzi wako naye akafurahi, lakini yapo mambo ambayo kimsingi hupaswi kabisa kumwambia mpenzi wako. Kwani endapo utaamua kumwambia utatengeneza njia ambayo itawafanya mahusiono yenu yafe mara moja. Maneno yafuatayo ni hatari kwa kuwa yanaleta madhara makubwa moyoni mwa mlengwa na ni vyema kuzuia kuyatamka kwa namna yoyote ile. Maneno  Mabaya Ambayo Hutakiwi Kusema Kwa Mwenza Wako: 1. Nakuchukia Chuki ni kitu kikubwa sana,kwa kweli huwezi kuishi na mtu ambaye unamchukia. Hutakiwi kumtamkia mwenza wako neno hili. Unaweza kuchukia tabia yake lakini si yeye mwenyewe. Njia nzuri ni kusema kuwa “Nachukia au sipendi tabia yako ya kuchelewa kurudi nyumbani” au maneno yanayofanana na hayo. 2. Maneno ya Matusi Maneno kama “mjinga” au “mpumbavu” yasitumike kwa mwenza wako hata kama yana ukweli ndani yake. Japo ujinga ni kutofahamu kitu fulani la

HII NDIYO SABABU KUBWA YA WATU KUCHEPUKA KATIKA MAHUSIANO YA KIMAPENZI

Image
Niliwahi kusema ya kwamba ya kwamba “mchepuko ni dili feki” wengi wakabishana sana, na leo naomba kurudia kusema ya kwamba mchepuko ni dili feki kwa sababu michepuko ndio chanzo cha mifarakano ya ndoa zilizo nyingi ulimwenguni kote hii ni kwa mujibu wa utafiti usio rasmi lakini ndio ukweli wenyewe. Na miongoni mwa sababu inayopelekea kutokea kwa michepuko ni: Penzi kupoa au kufa Penzi linapopoa au hata linapokufa huwa  inaonyesha wazi kabisa dalili zote za awali. Kwenye kupoa mhusika anaweza kuanza kujihisi ndani ya moyo wake kutompenda mwenzake kama alivyokuwa akimpenda awali. Inawezekana mwenzake hajagundua kuanzia mwanzoni kwamba penzi la mpenzi wake limepoa ila kama hali ya kupoa huku itaendelea lazima itagundulika. Baadhi ya vitu dhahiri vitakavyoweza kukufanya ufahamu kwamba penzi la mwenzako limepoa au kufa nikwamba kuna mambo ambayo uliyazoea kuyaona yakifanywa kawaida hautayaona tena. Kuna vitu vilikuwa vikifanywa pasipo kukumbushana sasa utalazimika kuviomba ili ufan

FAHAMU JINSI YA KUISHI NA MPENZI ANAYEPENDA FEDHA

Image
Hapa tunazungumza kuhusu mapenzi kama kawaida yetu. Leo nimekuja na mada ambayo naamini itawagusa wengi. Marafiki zangu, kusaidia katika mapenzi ni jambo zuri tena lenye mantiki sana. Suala la kusaidiana si la upande mmoja. Linaweza kuwa kwa wote, kwa mwanaume au mwanamke. Ni kati ya nguzo muhimu katika mapenzi, lakini kwa bahati mbaya kuna wale ambao wamekuwa na tabia ya kupenda sana fedha! Unajua wenzi wanajuana kulingana na wanavyoishi, hivyo ni rahisi sana kumgundua mwenzako kama anapenda sana fedha au ni kweli ana tatizo linalohitaji msaada wako. Hii ni kasoro, lakini haimaanishi kwamba ndiyo sababu ya kuachana. Katika mada hii ipo dawa ya namna ya kudumu katika mapenzi motomoto na mwenzi wa aina hii. Imekuwa ni kawaida kumsikia msichana akitamba mbele ya wasichana wenzake kwa kusema: “Mimi nina kibuzi changu bwana kila ninachotaka kinanipa, kinajua kisiponipa nakitosa tu, yaani nakichuna kama sina akili nzuri.” Umewahi kukutana na maneno ya aina hii? Bila sha

UTAMU WA STYLE YA KIFO CHA MENDE

Image
Sawa sikatai kwamba siku hizi tunaenda na wakati,tunakuwa wabunifu ili kufanya tukio zima la kufanya mapenzi linoge.Mikao ya hapa na pale..style za kila aina kama vilema vileee mmh hii yote ni kuleta mzuka katika mapenzi lakini nakupa sababu moja ya msingi ambayo inakubidi uendelee kutumia style hii (KIFO CHA MENDE) 1. Kwanza stlye hii utaijua maana yake kama unafanya na mpenzi wako wa dhati kabisa na si mtu tu ambae umeamua kufanya nae tendo la ngono. 2.Kufanya mapenzi ni njia nyingine kubwa ya kudumisha uhusiano wako na mpenzi wako style hii inakufanya uwe karibu sana na mpenzi wako wakati mna  do…Style ya kifo cha mende inakufanya upate nafasi ya kumkumbatia mpenzi wako wakati mnafanya mapenzi,kumtizama usoni na kuona anajisikiaje wakati mnafanya mapenzi(anakufeel),wanawake tuna kawaida wakati gemu imekolea tunapenda kukumbatia kwa nguvu..kwa hiyo hapa utamvuta…utamkumbatia mpenzi wako..utamng’ata kwa wale wanaopenda kung’ata,utamlilia kwa wale wanaolia maaana kuna weng

JIFUNZE JINSI YA KUNYONYA UKE WA MPENZI WAKO HADI AKALEGEA

Image
Kwanza unatakiwa utambue kuwa baadhi ya wanawake hawako huru kukuachia wewe mwanaume ukodolee macho kwenye uke wake hivyo kama unataka kunyonya uke wa mpenzi wako kwanza kabisa unapaswa kuhakikisha kuwa unamuandaa kwa kusifia uke wake, harufu asilia ya uke wake n.k. Mhakikishie kuwa hakuna kitu kinakufurahisha na kukupa raha kama kuangalia mandharii ya uke wake, mwambie vipi unapenda anyoe nywele zake za huko (mnyoe ukiweza) n.k. Baada ya kulambana na kukumbatiana anza kwa kubusu na kulamba taratibu sehemu ya kiunoni kuelekea chini, hamia ndani ya mapaja, halafu rudi juu kwenye eneo zima la uke lakini sio mashavuni. Ukiona ana-relax au kushika kichwa taratibu endelea ukiona anajibana-bana acha kwani hatokuwa tayari. Jaribu siku nyingine na ongeza zoezi la kusifia mapenzi yako juu ya uke wake). Baada yakutembelea eneo zima la uke wake huku yeye anajiachia na kujisogeza taratibu au kutoa miguno fulani, hamia taratibu kwenye mashavu na upitishe ulimi wako kuzunguuka hilo eneo,

FAHAMU NINI CHA KUFANYA ILI KULINDA MAHUSIANO MAPYA

Image
Hisia za mapenzi na msisimko huwa mkubwa kipindi ambacho upo kwenye penzi jipya. Ukiwauliza watu wengi leo ambao wanateswa na mapenzi, wanata­mani siku zirudi nyuma ili warudie kufaidi mapenzi kama ilivyokuwa siku za mwanzomwanzo. Lakini wachache wanaojua nini cha kufanya unapoanzisha penzi jipya ili hisia na msisimko unaoupata, udumu kwa muda mrefu na uendelee kuyafurahia maisha ya kimapenzi. Mapenzi ni kama nyumba, ukijenga msingi imara, nyumba yako itakuwa imara na ukijenga msingi legelege, usitegemee nyumba yako kuja kudumu baadaye. Kama upo kwenye mapenzi mapya na unatamani raha na msisimko unaoupata leo udumu, ni vizuri ukazingatia mambo yafuatayo: MUONYESHE HESHIMA NA SHUKRANI Wanandoa, wachumba au wapenzi wengi, hulalamika kwamba wenzi wao hawawaheshimu, hawana shukrani na ndiyo maana hawafurahii maisha yao ya kimapenzi. Unapokuwa kwenye hatua za mwanzo za mapenzi, jenga heshima kwa mwenzi wako bila kujali umri, cheo au hali ya kiuchumi. Hata kama mwenzi wako ana u

WANAWAKE TU;ACHA KUJIWEKA CHINI JIKUBALI

Image
Maandiko katika kitabu cha biblia yanasema"MWANAMKE AMCHAYE BWANA ATASIFIWA"nikwambie kitu msomaji wangu siku zote mtu ukiwa na mahusiano mazuri na Mungu,atakuwa na ujasiri na imani,pia mwanamke jifunze hili,usipoteze muda wako kumlazimisha mtu,na usifanye mambo yakakugharimu kisa tu upendwe,,jitambue, mpe Mungu nafasi,jiamini kama mwanamke, jitume acha utegemezi,,kwa kidogo unachopata jitunze,pendeza,vaa vizuri siyo unajichooka hadi siyo poa,,pendeza wakati wote huku ukimtumaini na kumtegemea Mungu,,hakika hutakuwa wa kawaida,,Mungu atakufurahisha kwa mumeo na kama hujapata basi atakuja atakaeendana na hadhi yako,,acha kujiweka chini jikubali wewe ni mzuri na mrembo. akubwa tuu🔞 Bofya Hapa kupakua App ya Utundu kitandani na upate mautundu na maufundi yoote          Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome ona jinsi ya kusugua G spot bonyeza hapa BONYEZA HAPA      HAPA

LADIES,HIZI NI DALILI 11 ZA MPENZI WAKO ANATAKA AKUFANYE MKE WAKE,SOMA HAPA

Image
Ukiotea story kwenye vikao vya wanawake, utasikia wakisema wanaume wanaooa siku hizi wamekuwa wachache. Kwamba wengi tunapenda kuwachezea tu. Lakini wapo wanaume ambao wanataka kutulia na mwanamke mmoja na kumfanya awe mke wake. Sasa utajuaje kuwa boyfriend wako anakupenda kiasi cha kutaka uwe mke wake? 1. Huweka mipango ya baadaye Anapoanza kuzungumza mipango yake ya baadaye, ni ishara kuwa angependa ajue mtazamo wako na mtazamo wako una uzito kwake. 2. Unaalikwa kwenye kila tukio Unakuwa mtu wa pili kwenye kila matukio muhimu. Hii inamaanisha kuwa anakuona una umuhimu kwenye maisha yake. Anataka kukutambulisha kwa familia yake na kukufanya ujisikie kuwa na wewe ni sehemu yake. 3. Yuko Makini Kama mpenzi wako anazingatia muda, ni lazima anakukubali sana. Pindi mwanaume anapokuwa kwenye uhusiano serious, atahakikisha kuwa mwanamke wake hamsubiri. Atahakikisha unajua kama atachelewa na hatokuchomesha mahindi. 4. Kuna ongezeko la ukaribu Itaonekana kama mlipoanza kuw

utundu

akubwa tuu🔞 Bofya Hapa kupakua App ya Utundu kitandani na upate mautundu na maufundi yoote          Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome ona jinsi ya kusugua G spot bonyeza hapa BONYEZA HAPA      HAPA

HIZI NI SABABU ZINAZOPELEKEA WAPENZI WENGI KUCHOKANA MAPEMA

Image
Hivi uliwahi kujiuliza hivi ni kwanini baadhi ya mahusiano ya kimapenzi hufa mapema, kama si kufa basi kushuka kwa mahusiano hayo? Moja kati ya sababu ambayo husababaisha kufa kwa mahusiano ni ile tabia ya kuchokana mapema katika mahusiano na moja kati ya sababu kubwa ambayo hupelekea kuchokana mapema ni: 1. Mazungumzo Mazungumzo ni njia muhimu ya kujenga ndoa na kuiimarisha , aidha ni njia ya mkato ya kuchokana na kuchukiana. Mwanamke ambaye hajui wakati gani aseme nini na wakati gani asiseme, hujikuta katika wakati mgumu ndani ya ndoa yake. Kwa mfano: Mwanamke ambaye kila anapoongea na mume wake huanza mazungumzo yake na matatizo na lawama humfanya mumewe awe na woga kila anaposikia sauti yake, na kuiona nyumba chungu, kwa sababu hakuna binadamu anayependa kusikia matatizo tu wakati wote. Mwanamke wa aina hii huwa anamsubiri mumewe kwa hamu kubwa, na anapofika tu na kabla hata ya kupata rizki, anaanza kumsomea orodha ya matatizo; watoto wamerudishwa shule, karo haijalipwa

NJIA NANE ZA KUGUNDUA IWAPO MWANAMKE AMEPANDWA HAMU AKIWA KANDO YAKO

Image
Je unaweza kutambua iwapo mwanamke amepandwa na nyege akiwa kando yako? Well, kama unazifahamu ishara bayana basi inakuwa rahisi kwako.Ok, tuanze hivi. Hebu chukulia umeketi na marafiki zako wa kiume na wa kike halafu ghafla rafiki yako mmoja akaanza kuonyesha ishara fioa ambazo wewe pekee ndio umezitambua kuwa amepandwa na nyege na anataka ufanye makamuzi ya haraka haraka. Hiki ni kipawa kilioje? Sasa waonaje kipawa hiki cha kutambua mwanamke kama amepandwa na nyege bila hata kumgusa wala kumchungulia mwili wake wa ndani kiwe unakimiliki? Relax, Nesi Mapenzi iko hapa. Tutakupa ishara zote tuzijuazo hapo chini.Zama nasi… #1 Anakuangalia kana kwamba wewe ni nyama iliyotandazwa vyema Kwa lugha nyingine tunaweza kuita ‘macho ya mahabat’ ama ‘macho ya mlalano’. Kuna mtizamo wa macho ambao mwanamke atakuangalia tofauti na vile ambavyo unamtambua kukuangalia. Hii ni ishara ya kukuambia kuwa amekupa nafasi ya wewe uchukue hatua ya kwanza kwake. Utamwona kuwa mara kwa mara a

NIKILALA NA MWANAUME ASIYE NA PESA SIRIDHIKI WALA SIFIKI KILELENI

Image
Huyu tunamsaidiaje:   From Frida   :   Wapendwa naomba msaada maana naona napotea , yaani boy wangu alisafiri kikazi karibia mwaka mzima sasa huku mimi sababu ya upweke nikaanza kuchepuka na Boss wangu , kila week end ananipeleka nje ya Mji kama Bagamoyo ama Kigamboni tunalala huko na kufanya starehe za kila aina , Baada nikawa natoka na Wengine pia wenye pesa , sasa cha ajabu nikitoka na mtu ambae hana pesa za kunipeleka mbali ya mjini na kunipa starehe mbali mbali si enjoy hata tukifanya sifiki kileleni , Sasa kibaya boywangu amerudi nashangaa simfeel hata kidogo kama zamani kwani yeye si mtu wa sterehe....yaani sometimes ili nienjoy inabidi nichepuke kwa wale mapedeshee wenye kujua starehe ni nini ....Nifanyaje? akubwa tuu🔞 Bofya Hapa kupakua App ya Utundu kitandani na upate mautundu na maufundi yoote          Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome ona jinsi ya kusugua G spot bonyeza h