Posts

ENDELEA KUFWATILIA USIKUBALI KUPITWA

Image
UKIMFANYIA HIVI MSICHANA HATOKUSAHAU KAMWE NA UTAONEKANA MWANAUME WA KWELI BOFYA HAPA KUTAZAMA JINSI YA KUFANYA NI RAHISI SANA   BONYEZA HAPA endelea kujipatia mautundu ya kwenye mapenzi na mahusiano kwa ujumla ASANTE USIKUBALI KUPITWA

KAMA HUJAJUA HII NDIO TAFSIRI KAMILI YA ULE UJUMBE WA ALI KIBA KUMTUKANA DIAMOND

Image

HISIA ZA MWANAMKE ZIPO HAPA ZAKUTOSHA

Image
Sema hisia zako, katika njia ambayo haitakuumiza au kuwaumiza wengine kihisia. Mwili wa hisia:Mwili wa hisia ni jumla ya hisia na mihemko yote. Hiyo ni kama, hasira, furaha, huzuni, sononeko, kero, kijicho, wivu n.k. Kila binadamu ana hisia kwani humsaidia kuishi. Mfano: bila hasira, utakufa baada ya muda mfupi kwani hutaweza kujilinda. Tunapaswa kutumia vizuri hisia zetu ili ziwe msaada kwetu na kwa wengine badala ya kuwa maumivu kwetu na kwa wengine. Maumivu mengi ya kimaisha yanatokana na kushindwa kwetu kuzipeleka mahali bora hisia zetu ili zisitupe maumivu na badala yake ziwe na msaada kwetu. Kwa mfano: upande wa pili wa kijicho ni wa kujenga. Badala ya kuwa na hasira na kulaani na kumshusha aliyefanikiwa, mtu anaweza kujiambia kumbe inawezekana, na mimi nitajitahidi. Hapa ni kijicho kilekile ila kimegeuzwa kuwa wivu wa maendeleo (kutoa nafasi na muda kwenye kijicho katika mkabala wenye kujenga). Watu ambao wanaweza kuitumia miili yao ya hisia vizuri, ni wale ambao wana utam...

Usikurupuke kumuingilia kama hujaona haya

Wanaume wengi wamekuwa waki waingi wapenzi wao kwa kukurupuka na kusababisha mwanamke asifaidi tendo la ndoa.. Mwanaume lazima umuandae mpenzi wako kabla ya kugegeda..aaaahhh bhan unakimbilia wapi. Tulia..anza kumpapasa taratibutumia ulimi vizuri kumnyonya sehemu mbali mbali za mwili wake...tumia kidole chako cha kati kumpapasa kwenye pichu yake... Hakikisha kabla ya kuingiza amelowana yani kiasi kwamba hadi anataka kuivuta ajiingize mwenyewe apo sasa chomeka baba... Hapo ..kila mmoja atenjoy na kesho ata taka tena

MAMBO 7 YANAYOUMIzA WANAUME KWENYE MAPENZI

Image
1. Chokochoko/Maneno Maneno Wanaume wengi huwa hawapendi chokochoko. Hawapendi mwanamke ambaye yeye kila wakati ni kuanzisha chokochoko ambazo zinazalisha ugomvi. Wanaume wengi hawapendi mabishano. Hawapendi ugomvi hivyo mwanamke anapokuwa hodari wa kuleta chokochoko, huepukwa. Ni vyema basi mwanamke akachunga kauli. Akawa si mtu wa kuchimbachimba vitu ambavyo havina kichwa wala miguu. Asiwe na kisirani. Kinywa chake kitawaliwe na maneno matamu, yatakayomtia moyo mpenzi wake, yatakayomfariji na yatakayomfanya apende kuzungumza naye. Mara nyingi mwanaume akiona mke au mpenziwe ni mtu wa kupenda chokochoko, mara nyingi humuepuka. Anajitahidi kadiri ya uwezo wake kukaa naye mbali. Ataona ni bora achelewe kurudi nyumbani akakutane na marafiki baa, wapige stori ili muda uende na akirudi nyumbani asiwe na muda wa kuzungumza na mwenzi wake, yeye ni kula na kulala. 2. Kutoridhika Wanaume wengi wanachukia kuwa na wanawake wasioridhika. Baadhi ya wanawake hata uwape nin...

mahaba

Image
UKIMFANYIA HIVI MSICHANA HATOKUSAHAU KAMWE NA UTAONEKANA MWANAUME WA KWELI BOFYA HAPA KUTAZAMA JINSI YA KUFANYA NI RAHISI SANA   BONYEZA HAPA endelea kujipatia mautundu ya kwenye mapenzi na mahusiano kwa ujumla ASANTE USIKUBALI KUPITWA

FAIDA TANO ZA KUMBUSU MWENZI WAKO

Image
1. Husaidia kuiboresha afya yako Unampombusu mkeo au mmeo kwa moyo wote na hisia zote (hapa tunaongelea deep kiss ‘kula den*a’) unapata faida kubwa kiafya ambao kitaalam tendo hilo huweza kusaidia kukupunguzia maumivu ya kichwa kwa kupumzisha taratibu misuli. Pia kitaalam tendo la busu hukusaidia kuing’arisha ngozi yako kama inavyofanyika kwa mtu anaependa mazoezi. Hivyo basi unapotaka kulala, ni vyema ukambusu kwa hisia mkeo/mmeo upate faida hizi badala ya kumpotezea na kumrukia wakati wa tendo la ndoa. 2. Husaidia katika ufanyaji kazi wa virutibisho mwilini Inaelezwa kuwa busu husaidia sana mwili kufanya mrejesho ambao unadhibiti ufanyaji kazi wa virutubisho mbalimbali mwilini hivyo inaweza kusaidia katika kuboresha afya yako zaidi. 3. Busu huongeza furaha na kupunguza msongo wa mawazo. Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali zilizofanywa inaelezwa kuwa tendo la busu huongeza kitu kinachojulikana kama ‘endorphins’, na endorphins husababisha mtu afurahi. Kama hivyo ndivyo, kwa nini usiit...