Posts

Video ya NANDY akidondoka wakati anashoot BYE aliyoshirikishwa na mumewe BILNASS

Image
  Video ya NANDY akidondoka wakati anashoot BYE aliyoshirikishwa na mumewe BILNASS VIDEO: from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/QdDCvHp via IFTTT

Kutana na Mdau Anaeota Ndoto za Mchana Kuwa Anafanya Kazi Simba Huku Akiwa Amemuoa Wema Sepetu

Image
  Shabiki huyo wa klabu ya Simba anayeitwa Moud afunguka "Mashabiki Wenzangu wa Simba Em Semeni wenyewe, Ni Raha ya kiasi gani Mimi ntakayoipata Moud Wenu Siku nikipata kazi hata yakubeba mabegi ya wachezaji tu pale Simba ,,,,Em Semeni wenyewe "wachezaji wenye hadhi wanaotambulika Hadi Kwenye Tuzo za CAF Kuna ubaya Mimi nikiwa nawabebea mizigo Yao ? Bila ya Shaka Hakuna ubaya Kuna kila sababu ya Raha pale msimbazi, Imagine ndio nakubaliwa lile ombi langu Halafu ndio unabeba Mkoba Wa Pape Sakho Ndani Yake kukiwa Na Kiatu Cha dhahabu ' Raha iliyoje,,, Hivi mshaelewa kwanini nawaombaga kazi Simba kila siku na huu mwaka wa 5? πŸ€ͺ, Nadhani majibu juzi mliyapata hakuna mtu asiyependa kufanya kazi sehemu ambayo Kuna mafanikio makubwa, Hakuna mtu asiyependa kufanya kazi sehemu ambayo ataandika japo historia yakupiga tu picha na kiatu Kama Cha Sakho πŸ€ͺ Okay, Nafikiri majibu mmeyapata juzi,,,, Sasa Vuta picha ndio nimepata kazi Simba halafu Madame Wema Sepetu ndio kaniku...

Babu Sefu ni Mkombozi wa Kitiba za Asili Wengi Wamefanikiwa..Wasiliana nae Mweleze Tatizo Lako

Image
BABU SEFU Ni mkombozi wa kitiba wengi wamefanikiwa  Mnakalibishwa wote wenye matatizo mbali mbali ya kidunia USIKATE TAMAA WAHI SASA Je? (1)umeachwa au kutelekezwa na mme/mke au mchumba mludishe sasa ndani ya masaa 4 tu ataludi na kuomba msamah (2)Mvuto wa mapenzi na biashara (3)Unateseka mardhi sugu? (4)Unafeli katika masomo yako (5)Kuludishwa kazini Migogoro kazini na kupata kazi (6)Kushinda kesi (7)Dawa za Nguvu za kiume Kurefusha na kunenepesha uume kwa saiz uitakayo  (8)Dawa za Kuongeza hipsi na makalio Miguu pamoja kuondoa Mabaka Chunusi na Michilizi (9)Zindiko la mwili Nyumba na mashamba KWA HAYO NA MENGINE MENGI USISITE Kumuona πŸ’₯  BABU SEFU πŸ’₯πŸ’₯  Piga simu 0769111403 POPOTE ULIPO HUDUMA ITAKUFIKIA from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/OacxBUn via IFTTT

Shafih Dauda Atokwa Povu " Kuna Vitu Havipo Sawa Kwenye Mpira Kisa Usimba na Uyanga...Haji Manara Sio Exceptional"

Image
Kuna vitu havipo sawa kwenye mpira kisa Usimba na Uyanga, kuna muda tunataka kubadili nyeupe kuwa nyeusi kisa Usimba na Uyanga, this is not fair. Nalitazama sakata la Haji Manara na hukumu ya miaka miwili namna watu wengi wanavyopinga hukumu na kuipa presha kubwa sana TFF, hiyo haipo sawa. Mlikuwa wapi wakati Mbwana Makata anapigwa miaka mitano, Lwitiko wa Mbeya anachukua miaka 10, kuna yule Kiongozi wa Biashara United kafungiwa maisha na hata Mimi nimepigwa miaka mitano. Haji sio exceptional ni Mwanafamilia ya mpira kama ilivyo kwa wengine, anapopewa hukumu kwa mujibu wa kanuni haipaswi kuonekana ameonewa, kumbuka hata Mimi nilifungiwa kisa tu MAKALA tena ya mtandaoni, why not Haji dhidi ya Rais wa TFF? Tunaupa taswira gani mpira wetu? Tunamaanisha kosa likifanywa na vigogo wa Kariakoo it means linapaswa kufumbiwa macho? Jibu ni HAPANA, binafsi ni muumini wa utawala wa sheria. Kila kitu kipo wazi sana, kama Haji hajaridhishwa na hukumu anapaswa kukata rufaa, ni haki yake! Sioni ...

Barnaba Amjibu Joslin Baada ya Msanii Huyo Kulalamika Nyimbo zake Kuimbwa na Wasanii Majukwaani Bila Yeye Kupata Kitu

Image
NIITE BASI ni moja ya hit songs zilizo muweka @joslin_tz kwenye ramani ya Bongo Flava kwa ukubwa hapo zamani na ni Identify yake hadi leo popote pale atapo shika maiki, mkongwe huyo na member wa kundi la muziki la Wakali Kwanza, hivi karibuni amefanya interview kwenye moja ya media na bila kutaja majina, akalalamika wasanii kutumia nyimbo zake kwenye majukwaa wanapo fanya shows, wakati wasanii hao wakilipwa, msanii huyo amelalamika yeye hapati chochote kitu. Hivi karibuni msanii @barnabaclassic ni miongoni mwa wasanii walio tumia wimbo wa NIITE BASI kwenye jukwaa. Akibonga na @soudybrown kwenye U-HEARD, Barnaba amedai hajawahi mkosea heshima Joslin na hajawahi imba nyimbo zake kwa malengo ya kupata pesa, maana yeye kama Barnaba anajitosheleza kwa kuwa na ngoma nyingi tu ambazo ni hits na anaweza ziimba kwenye shows na watu wakaenjoy, ila ifike hatua Joslin aelewe sometimes wasanii kuimba nyimbo za wasanii wengine ni kama recognition na kuheshimu talents za wasanii hao. Mopao ameen...

Tumia Dawa Bora za Vidonge vya Mitishamba..Je Unasumbuliwa na Nguvu Kiume, Kisukari, Maumbile Madogo?

Image
Baada ya maombi mengi ya wateja wangu ya kuitaja kuboresha Dawa ili kurahisisha utumiaji sasa DR DITTU kapokea maombi yenu sasa Dawa zetu zipo kwenye mfumo wa vidonge na unga pia _________________________ πŸ‘‰πŸ»je unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume yani kushindwa kuludia tendo,kuwah kukojoa kabla mwenzi wako hajakojoa _________________________ πŸ‘‰πŸ» Je unasumbuli na tatizo la uume kuwa mdogo au mwembamba mpaka tatizo ili linakutia aibu au kudharauliwa ongeza saiz upendayo sasa inch 5,6,7na 8 ________________________ πŸ‘‰πŸ» Je unasumbuli na tezi Dume, vidonda vya Tumbo,ngiri,kukosa Choo, __________________ πŸ‘‰πŸ» Je unasumbuli na ugonjwa wa kisukari,presha, magonjwa ya moyo, miguu kufa Gazi uzazi na na mengineyo _________________________ 🌳Tumia mafuta asili na vidonge vyake kuongeaza saizi ya uume 🌴ongeza nguvu za kiume Mara dufu ata kama una umri mkubwa Kwa kutumia vidonge asiri Ofisi yetu ipo Mbagala sabasaba na buguruni Rozana pia tunasafirisha uduma popote pale ndani...

Dkt. Cheni: Harusi ya Nandy na Billnass Mimi Nilimshinda kwa Kura MC Gara B

Image
MSHEREHESHAJI maarufu nchini na Staa wa filamu Dkt Cheni amesema dili la kusherehesha harusi ya mastaa wa Bongo Fleva Billnass na Nandy alipewa yeye baada ya kufanyika mchakato wa kupigiwa kura ambapo yeye ndiye aliyeibuka mshindi namba moja. Cheni ameyasema hayo wakati alipofanya mahojiano ndani ya Studi za Global TV na Global Radio ambapo amedai kuwa yeye alikuwa namba moja na mpinzani wake wa karibu alikuwa MC Gara B ambaye yeye alilazimika kupewa dili la Send Off ya Nandy ili kuhakikisha sherehe hiyo inakuwa kubwa na kufana. Sherehe ya Harusi ya Billnass na Nandy ilishereheshwa na Dkt Cheni Dkt. Cheni amebainisha kuwa yeye hakuomba dili hilo lakini kutokana na ukubwa wake alikuwa akipigiwa simu nyingi kutoka pande zote mbili kwa maana ya upande wa mwanamke ambaye ni Nandy na kwa upande wa mwanaume ambaye ni Billnass ambao wote kwa pamoja walimsihi akubali dili hilo kwani walikuwa na Imani naye kutokana na ukubwa wake. “Upande wa kina Nandy na upande wa kina Nenga walikuw...