MWANAUME MPENDE MKEO NA MWANAMKE MUHESHIMU MUMEO



Ni agizo na nataka ujue nguvu iliyopo katika upendo na heshima,, mwanamke unapoonesha heshima kwa mumeo unachochea nguvu ya upendo kwake,,,kumbuka mwanaume hujiuliza nani hufaa kukaa ndani ya nyumba,,mala zote huvutiwa na heshima yako,,,Jua heshima ikiwa ndani ya pendo lenu basi kuna ustawi pia wew mkaka jua kuwa upendo na KUJALI ni tunda pekee litakalomfanya mkeo kujiona wa tofauti na wa thamani,,,na unapoonesha upendo unachochea heshima kwa mkeo,,NA kumfanya akupende na kukuheshimu siku zote.



from Utundu kitandani http://bit.ly/2JOAxJ6
via IFTTT

Comments

Popular posts from this blog

Zifahamu staili 6 za Kufanya Mapenz

JINSI YA KUMVUTIA MVULANA/MSICHANA HADI KUWA MPENZI WAKO

Nikiwa na Msichana Namkinai, Hivi Nina Pepo au ni Tamaa tu?