UNA HAKI NA NAFASI YA KUPENDA AU KUPENDWA





Usikate tamaa,usaliti uliofanyiwa usikufanye ukayachukia mapenzi,kikubwa ni kujua sifa NA vigezo vya mtu mwenye upendo wa dhati na atakayeheshimu hisia zako,,,ni haki yako NA unaweza kufurahia mapenzi tena,,,hebu tulia na ujitathimini kisha ruhusu akili ishirikiane na hisia ili vifanye maamuzi ya kumpata mtu sahihi na wakati sahihi atayeleta furaha na kukusahaulisha machungu yote.



from Utundu kitandani http://bit.ly/2XiZKyK
via IFTTT

Comments

Popular posts from this blog

Zifahamu staili 6 za Kufanya Mapenz

JINSI YA KUMVUTIA MVULANA/MSICHANA HADI KUWA MPENZI WAKO

Nikiwa na Msichana Namkinai, Hivi Nina Pepo au ni Tamaa tu?