DADA ZANGU;MUEPUKE SANA MWANAUME ALIYEKUACHA KWA MBWEMBWE AKITAKA MRUDIANE



Mwanaume yeyote aliyekuacha kwa dharau,,dhihaka,,matusi au hata kukuonyesha uchafu aliokuwa anaufanya na wanawake wengine,,akikuomba mrudiane Nate usikubali
Nakusisitizia tena USIKUBALI,,kama alishindwa kutambua thamani yako wakati mpo pamoja hadi mkaachana,,hawezi kuitambua hata mkirudiana,,furaha ya mwanaume kama huyo ni kumuona mwanamke aliye achana nae akipata tabu,akilia na kuhuzunika katika maisha yake.
Mwanaume hujihisi fala pale anapokuona unaendelea na maisha yako kama kawaida,,una furaha na amani katika moyo wako,,humtegemei wala kumlilia kama ulivyo kuwa unafanya hapo awali juu yake,,,,Hivyo atafanya kila liwezekanalo mrudiane then akurudishe kwenye vikwazo ulivyovivuka.
Endelea kumuomba Mungu ili akusaidie uweze kusimama mwenyewe katika maisha yako,,Muombe sana Mungu aendelee kuyalinda mahusiano yako mapya,,ampe imani ya kukujalia huyo mwenza wako mpya,,akupende na kuyafanya mahusiano yenu kuwa yenye tija,,
Muepuke sana mwanaume aliyekuacha kwa mbwembwe kisha anakuja kwa hekima akitaka mrudiane baada ya kuona umefanikiwa kuyashinda majaribu yake na FURAHA YAKO KUIMARIKA.



from Utundu kitandani http://bit.ly/2WtC1iE
via IFTTT

Comments

  1. Baada ya miaka 2 ya kutengana, sasa tumeunganishwa tena kwa furaha! Mimi ni Judith Kamau kutoka Eldoret, kenya. Kwa miaka 4 niliishi katika ndoa yenye unyanyasaji, lakini baada ya kusoma ushuhuda kadhaa kuhusu Dk John katika makala mtandaoni. Niliamua kuwasiliana naye kwa spell maalum. Nilishangaa aliponiambia kwa usahihi matatizo yangu yote ya zamani na ya sasa na alinifunulia kuwa mume wangu alikuwa kwenye uhusiano na mwanamke mwingine. Dokta John alisema kuwa atanisaidia kumtenganisha yule mwanamke mwingine na mume wangu, nilifuata maelekezo yote aliyonipa na akafanya uchawi maalum uliotuunganisha mimi na mume wangu. Leo tunaishi pamoja kwa furaha.
    Unaweza kuwasiliana naye kupitia njia hii ili kupata suluhu la uhusiano wako au matatizo ya ndoa yako:

    Barua pepe:doctorjohn909@gmail.com.

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

Zifahamu staili 6 za Kufanya Mapenz

Maneno Matamu ya kumwambia mwanamke