Mlipuko Lebanon vifo vyaongezeka vyafikia 130

Ripoti kutoka Lebanon zinasema hadi sasa Watu zaidi ya 130 wamethibitika kufariki kutokana na mlipuko uliotokea Bandari ya Beirut juzi August 04,2020, Watu wengine zaidi ya 4000 wamejeruhiwa, Rais wa Lebanon amesisitiza kuwa uchunguzi kuhusu tukio hilo unaendelea.

from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/31pSFj6
via IFTTT

Comments

Popular posts from this blog

Zifahamu staili 6 za Kufanya Mapenz

JINSI YA KUMVUTIA MVULANA/MSICHANA HADI KUWA MPENZI WAKO

Maneno Matamu ya kumwambia mwanamke