UKWELI KUHUSU MAPENZI YA KWELI NA PESA

Siku hizi kumekuwepo na malalamiko sana kutoka kwa wanaume,wakidai kuwa wanawake 
Wengi siku hizi wanapenda sana 
Kuomba pesa,hali ambayo 
Imewafanya wanaume wengi kuamini kuwa mapenzi ni pesa, 
Kama hauna pesa huwezi kuwa 
Na mwanamke jambo ambalo 
Si kweli,leo nataka niwambie 

Wanaume wenzangu ni kweli pesa 
Ni muhimu katika mapenzi lakini 
Mapenzi ya kweli hayana uhusiano 
Wowote na pesa,"Mwanamke akikupenda kweli hawezi kuwa na Ujasiri wa kukuomba pesa hata siku moja",Huu ndio ukweli ukimuona Girlfriend wako hana aibu na mwepesi wa kukuomba hela jua 
Hapo unaibiwa. 


Mwanamke anayekupenda kweli anakuhitaji zaidi wewe katika maisha yake kuliko pesa yako 
Lazima aogope kukuomba pesa 
Kwa sababu anaogopa usije uka 
Mtafsri vibaya na ukamuacha. 
Lakini na wewe mwanaume 
Unatakiwa ujiongeze kidogo 
Umtunze mpenzi wako pale 
Unapopata kidogo,mpatie pesa 
Japo kuna wengine hujifanya kukataa we mbebeleze mpaka achukue huyo ndio mwanamke 
Anaekupenda kweli. 


Note:Mwanamke yoyote yule anaekupenda kweli hata awe changudoa hawezi kutanguliza pesa kwenye mapenzi yenu 
wewe utapewa papuchi bure na pesa juu lakini wengine watalipia.

utamu wote huu hapa tazama video hapa

tazama video ha[pa wkubwa tu tafadhali

Comments

Popular posts from this blog

MASHAIRI MATAMU YA MAPENZI

What Happened To Sarafina Skin? From Brown To White Skin – How Did It Happen? Explore The Real Story