Kama nilimkwaza mtu mnisamehe, Mimi ni binadamu- Dkt. Philip Mpango







"Mimi ni binadamu pamoja na kwamba mmesema maneno mazuri juu yangu mengine hamkusema nataka nitumie nafasi hii pale ambapo nilimkwaza mtu yoyote, mhe. Mbunge yeyote humu ndani au nje katika nafasi yangu ya Waziri wa Fedha na Mipango naomba mnisamehe" Makamu wa Rais wa Tanzania Mteule, Dkt. Philip Mpango



from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3u5MA7Z
via IFTTT

Comments

Popular posts from this blog

Zifahamu staili 6 za Kufanya Mapenz

MASHAIRI MATAMU YA MAPENZI