Beki wa Simba SC afungiwa mechi tatu





Beki wa Simba SC Ibrahim Amme Mohamed amefungiwa mechi tatu kucheza soka baada ya kukutwa na hatia kwa kosa la kumzuia muamuzi msaidizi kufanya kazi yake katika mchezo Gwambina 0-1 Simba SC, uliyochezwa April 24 2021 katika Uwanja wa Gwambina Misungwi jijini Mwanza.



from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3aNJ8Yp
via IFTTT

Comments

Popular posts from this blog

Zifahamu staili 6 za Kufanya Mapenz

MASHAIRI MATAMU YA MAPENZI