Sakata la Moses Phiri Kutaka Kuondoka Simba..Kiongozi Aingilia na Kumbakisha



Kuhusu taarifa za straika wa Simba, Moses Phiri kutaka kusepa kutokana na kushindwa kupata nafasi kikosi cha kwanza, upepo umebadilika staa huyo ataendelea kusalia Msimbazi.

Mwenyekiti Salum Abdallah alimwita Phiri na kumweleza bado wanamhitaji, hivyo wakakubaliana kwa amani


from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/RrIJTfq
via IFTTT

Comments

Popular posts from this blog

Zifahamu staili 6 za Kufanya Mapenz

Maneno Matamu ya kumwambia mwanamke