Sakata la Moses Phiri Kutaka Kuondoka Simba..Kiongozi Aingilia na Kumbakisha
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Kuhusu taarifa za straika wa Simba, Moses Phiri kutaka kusepa kutokana na kushindwa kupata nafasi kikosi cha kwanza, upepo umebadilika staa huyo ataendelea kusalia Msimbazi.
Mwenyekiti Salum Abdallah alimwita Phiri na kumweleza bado wanamhitaji, hivyo wakakubaliana kwa amani
from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/RrIJTfq
via IFTTT
Architects Wataalam wa Kuchora Ramani za Majumba na Ujenzi Kwa mahitaji ya ramani za nyumba za aina tofauti ikiwemo za gharama nafuu kulingana na mahitaji yako unazipata Architects Wasiliana na Architects (robindrl_studio) Simu +255687007159 Office Location: Mbezi Kinzudi Salasala. Tazama hapa chini Baadhi ya Kazi zao from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/qGyjSDM via IFTTT
"Ndugu wasomaji wangu, katika pitapita nyingi katika mitandao tofauti nikakutana na habari njema kama hii, nikizingatia pia wasomaji wengi hupenda sana elimu hii nikaamua kuchukua nafasi hii kuhakikisha unafikiwa na uhondo huu, napenda kukushirikisha kwani wengi waliopo katika mahusiano wanamengi sana yanayowakumba hasa katika kupeana tamu tamu za radha tofauti. Ni kweli kwamba utundu ukisahaulika katika ulaji mzuri wa pilau basi utadharaulika na kuonekana hujui kumbe mambo mazuri yapo tu hapa wazi na hakuna wakumlaumu eti mwanaume huyu hajui au mwanamke huyu hajui, wote mnatakiwa kuwajibika kuchochea maufundi. Kumbuka pia mautundu yanahitaji asante kwa kuendelea kutumia APP YETU Endelea kufurahia NA kujifunza mambo mbali mbali ya mahusiano tuachie coment yako na sisi tutaifanyia kazi pia fanyika mwana familia wetu kwa ku SUBSCRIBE chanel ya BONGO SPECIAL TV BONYEZA HAPA ASANTE VIDEO YA LULU DIVA SIWEZI TEMBEA NA JUX VIDEO H...
Kwa hili naamini maneno matamu, wakati ule unapokuwa unajaribu kupata msichana umtakae maishani mwako ili uuteke moyo wake awe wako, unahitaji kujifunza jinsi ya kutumia maneno matamu . Lakini ukumbuke si kila neno linaweza kuugusa moyo wa mwanamke. Lakini maneno matamu hufanya vitu vya kushangaza sana , humtoa nyoka pangoni. Wakati wanaume wengine wanalalamika ni jinsi gani ilivyo vigumu kuuteka moyo wa msichana, jibu ni rahisi sana , ni kwa sababu hawatumii maneno sahihi. Watu wengi pia wanakosa maneno, wengine hata hawajui wapi pakuanzia na wataanzaje, ngoja tuanze na haya maneno yafuatayo, maneno matamu ya kumwambia msichana. 1.Macho yako ni mazuri sana, yananivuta, nashindwa la kufanya, lakini yananifanya nipotelee kwako. 2.Unanifanya niwe mwanaume bora, kwa hio naweza kustahili kwenye penzi letu. 3.Unaonekana mzuri kama malaika, nahisi nikikushika nitakuchafua. 4.Napatwa na woga ndani ya tumbo langu , natetemeka unapoweka mikono yako juu ya uso wangu. 5.Umefanya ndoto zan...
Comments
Post a Comment