Yanga Hawana Uwezo wa Kumlipa Mshahara Simon Msuva Kwa Sasa



Anaandika Mchambuzi @boiboimkali ✍️

"Simon Msuva alikuwa ankusanya Mshahara wa kiasi cha Dola 12000 kwa wiki ambazo ni sawa na kiasi cha Shilingi Milioni 28 za Kitanzania, Kwa ujumla kwa mwezi akusanya Dola 50,000 Ambazo ni sawa na kiasi cha shillingi Milioni 117 za kitanzania"

"klabu ya Yanga imekuwa ikihusishwa na kumsajili Simoni Msuva kutokana na Mchezaji huyo kumaliza kwa Mkataba wake na klabu yake ya Al Qadasiah ya nchini ya Saud Arabia"


from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/UOrkq3I
via IFTTT

Comments

Popular posts from this blog

Zifahamu staili 6 za Kufanya Mapenz

JINSI YA KUMVUTIA MVULANA/MSICHANA HADI KUWA MPENZI WAKO

Nikiwa na Msichana Namkinai, Hivi Nina Pepo au ni Tamaa tu?