Erik ten Hag Kocha wa Man United Alikosea Sana Kumuondoa Christian Ronald Kikosini


Kiungo wa zamani wa klabu za Juventus na Barcelona, Arturo Vidal, amemkosoa kocha wa Manchester United, Erik ten Hag kwa kumuondosha Cristiano Ronaldo, ndani ya klabu hiyo.

Kwenye mahojiano yaliyofanyika kwenye mtandao wa Twich, Vidal alionesha kutoelewa uamuzi wa Kocha Erik Ten Hag, kumuondosa Ronaldo, licha ya mshindi huyo wa Ballon d’Or mara tano kuonesha kiwango bora. Kwenye mahojiano hayo, Vidal alisema kuwa.

"Yule kocha aliingia United vibaya. Hivi unaanzaje kumpunguza Cristiano Ronaldo? Ndivyo walivyo hawa jamaa. Ronaldo alikuwa mfungaji wake bora, na akamtoa kikosini. Hawa watu wenye vipara wanashida sana".


from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/BaGlT2h
via IFTTT

Comments

Popular posts from this blog

Zifahamu staili 6 za Kufanya Mapenz

JINSI YA KUMVUTIA MVULANA/MSICHANA HADI KUWA MPENZI WAKO

Nikiwa na Msichana Namkinai, Hivi Nina Pepo au ni Tamaa tu?