Yanga yaanza kwa kishindo Mapinduzi, yamchampa mtu 5-0

Yanga yaanza kwa kishindo Mapinduzi, yamchampa mtu 5-0


Yanga SC wameanza mbio za Kombe la Mapinduzi kwa kumtandika Jamhuri 5-0 katima mechi yao ya kwanza ya ufunguzi wa mashindano hayo.

Jamhuri SC 0 - 5 Yanga SC

Mechi hiyo ambayo Yanga aliuwasha zaidi na kuonesha ana wachezaji bora imepigwa kwenye Uwanja wa Amaani Visiwani Zanzibar.


Magoli ya Yanga yalifungwa na Crispine Ngushi (2), Skudu Makudubela, Kibwana Shomari na Crement Mzize.



from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/wmiRJ2v
via IFTTT

Comments

Popular posts from this blog

Zifahamu staili 6 za Kufanya Mapenz

MASHAIRI MATAMU YA MAPENZI