Posts

Mtoto huyu Mtanzania anayesoma chekechea awashangaza watu kwa uwezo wake wa Hesabu

Image
Mtoto huyu Mtanzania anayesoma chekechea awashangaza watu kwa uwezo wake wa Hesabu Hii ni video ambayo imekuwa viral sana mtandaoni inayomuonesha mtoto wa chekechea akijibu maswali magumu ya hesabu VIDEO: from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3aW12cb via IFTTT

Rais Joe Biden aidhinisha mashambulizi dhidi ya wanamgambo wanaoungwa mkono na Iran nchini Syria

Image
Jeshi la Marekani limetekeleza shambulio la angani lililolenga wanamgambo wanaoungwa mkono na Iran nchini Syria, Pentagon imesema. Shambulio hilo liliharibu vifaa kadhaa vilivyokuwepo katika kituo cha mpakani kilichokuwa kikitumiwa na baadhi ya wanamgambo wanaoungwa mkono na Iran, ilisema. Rais Joe Biden aliidhinisha hatua hiyo ili kujibu mashambulio ya hivi karibuni dhidi ya maafisa wa Marekani na wale wa majeshi ya muungano unoaungwa mkono na taifa hilo nchini Iraq. Mwanakandarasi mmoja aliuawa katika shambulio la roketi dhidi ya ya shambulio lililolenga maeneo ya Marekani nchini Iran mapema mwezi huu. Afisa mmoja wa jeshi la Marekani na wanakandarasi watano walijeruhiwa wakati roketi hiyo iliposhambulia maeneo katika mji wa Irbil , ikiwemo kambi moja inayotumika na muungano wa majeshi yanayoungwa mkono na Marekani. Mashambulio ya roketi pia yamepiga kambi za wanajeshi wa Marekani na maeneo ya wajumbe wa kidiplomasia. Pentagon ilitaja Kataib Hezbollah na Kataib Sayyid...

Ubingwa wa Ligi Kuu ni lazima, bora tutolewe group stage CAF Champions League – Manara

Image
  Kuelekea kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho baina ya Simba SC na African Lyon, Afisa Habari wa Mabingwa hao wa Nchi, Haji Manara amedai kuwa malengo yao Makuu ni kuchukua Ubingwa wa Ligi Kuu na FA, huku akiongea kwa msisitizo kuwa ni bora watolewe hatua ya ‘group stage’ ya CAF Champions League lakini ni lazima kuubeba Ubingwa wa Ligi Kuu. Manara amesema kuwa kwa Simba Ubingwa wa Ligi Kuu ni ‘Do Or Die’ ”Tuna shida moja Simba SC, sijui imetokea wapi, ipo kwa miaka mingi tangu mimi mdogo, ukimaliza kucheza na timu kubwa ukashinda, unapokwenda kucheza mechi ya kawaida mara nyingi hatufanyi vizuri, kwa hiyo nilimkubusha mwalimu Matola awakumbushe wachezaji na wewe na kocha wako Mkuu, tunakwenda kucheza mechi na African Lyon FC tushatolewa na Green Worriors, tushatolewa na Mashujaa timu za daraja la kwanza tusichukulie powa.” ”Nikamwambia kufungwa na African Lyon FC ni mbaya zaidi kuliko tungefungwa na Al Ahly, kufungwa hata kwa penati na African Lyon ni dhambi kubwa ambayo...

Msami "Nilikuwa kwenye mahusiano na Kajala ila hatukufikia kuchorana tatoo"

Image
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Msami amefunka baadhi ya musiano yake ambayo aliwahi kuwa mojawapo yakiwa ni Kajala na Irene Uwoya. Msami ameeleza kuwa aliwahi kuwa kwenye mahusiano na Kajala ingawa hakutegemea lakini hawakufikia hatua ya kuanza kuchorana tatoo. Msami ameongeza kuwa mmoja ya mtu aliyewahi kuwa naye kwenye mahusiano na litaka kumchora tatoo ingawa hakujua kama alichorwa hiyo au hakumchora ni Irene Uwoya. ” Wanaocheka umri au kipato kwenye mahusiano hao hawajui maana ya mahusiano, mimi nawapongeza sana Harmonize an Kajala nawaombea wafikie malengo yao pia mimi ni shabiki yao nayapenda mahusiano yao nataka kuona wakifika mbali zaidi. from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3bDN4e5 via IFTTT

Mimi Ngaru ni Mganga wa Kienyeji Ninaetubu Magonjwa Mbali Mbali Kwa Kitumia Miti Shamba

Image
MIMI NGARU NI MGANGA WA KIENYEJI NINAETIBU MAGONJWA YOTE KWA KUTUMIA MITI 🌳SHAMBA UTAARAMU WANGU NI WAKURITHI KUTOKA KWA MTEMI MAJEBERE MKOBA WAKE NINAO MIMI NAYOYAANDIKA NI UKWELI MTUPU NA PIA NINAHOFU YA MUNGU Magonjwa ninayo tibu ni mengi lakini nitaelezea.machache na dawa zake Natibu chango na uzazi kwa kina mama wasio pata watoto Natibu tumbo kujaa gesi na kuunguria ,uvimbe, kuunguria Natibu tezi dume Natibu kisukari, nguvu za kiume Natibu mshipa wa ngiri SAKASAKA POWER MIX ni dawa ya kutibu nguvu za kiume iliothibitisha na mamlaka ya chakula na dawa haina madhara kwa mtumiaji dozi siku 4 ongezeko la matatizo ya nguvu za kiume limekuwa kubwa Sana SASA mimi natibu kuanzia miaka 18 mpaka 90 Calling na WHATSAPP +255 737 585 753 NGOLOLO POWER MIX ni dawa ya kukuza na kurefusha na kunenepesha uume kukomaza kwa wale wenye maumbile madogo yaani kibamia dozi siku 4 NKOLA ni dawa ya kutibu kisukari ya kupanda nakushuka dozi siku 14 GWAGWA ni dawa ya kutibu kutibu ...

Ujauzito wa Amber Lulu bado ni kitendawili

Image
Kwa mara ya kwanza msanii wa BongoFleva Amber Lulu amejitokeza hadharani kuonesha ujauzito wake kwenye 'Baby Shower' yake iliyofanyika maeneo ya Mikocheni ambayo ilihudhuriwa na mastaa mbalimbali wa kike. Wakati yupo kwenye 'red carpet' anafanya mahojiano na waandishi wa habari, Amber Lulu amesema anafuraha sana kuelekea kuwa mama mpya mjini ila cha ajabu hamfahamu ni mwanaume gani aliyempa ujauzito huo. "Nijasikia vizuri kwa sababu naenda kuwa mama mpya mjini na kuna vitu vingi ambavyo vimebadilika na nahitaji kuvifanya, mimi mwenyewe baba wa mtoto simjui ila yupo na sio P Funk Majani, labda msubiri nikijifungua" amesema Amber Lulu from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3r3hLA0 via IFTTT

Simba na African Lyon kukipiga leo kwa Mkapa

Image
IKIWA Uwanja wa Mkapa leo Simba itakaribishwa na African Lyon kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao utachezwa majira ya saa 1:00 usiku. Chini ya Kocha Mkuu, Didier Gomes unakuwa ni mchezo wake wa kwanza kwenye Kombe la Shirikisho baada ya kurithi mikoba ya Sven Vandenbroeck ambaye alitwaa taji hilo msimu uliopita.  from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3r3gFnS via IFTTT