Breaking News: Rais Magufuli achukua fomu ya kugombea Urais


Rais Dk. John Magufuli leo Alhamisi Agosti 06, amechukua fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa muhula wa pili kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Makao Makuu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), yaliyopo Njedengwa jijini Dodoma.

from MUUNGWANA BLOG https://ift.tt/3iapd7m
via IFTTT

Comments

Popular posts from this blog

What Happened To Sarafina Skin? From Brown To White Skin – How Did It Happen? Explore The Real Story

MASHAIRI MATAMU YA MAPENZI