Nyota wa Kikapu nchini Marekani LeBron James Asaini Mkataba Mpya Lakers, Analipwa Shiling Milioni 11 Kwa Lisaa


Nyota wa Kikapu nchini Marekani LeBron James amesaini mkataba mpya wa miaka miwili na Los Angeles Lakers, mkataba wenye thamani ya ($85 million) ambao utamuweka kwenye timu hiyo hadi msimu wa mwaka 2022-2023.


Kwa mujibu wa ESPN, mkataba huu mpya unamuonesha LeBron James akilipwa kiasi kikubwa cha fedha kwa dakika hadi miaka miwili;


Kwa dakika 1 atakuwa akilipwa ($82) sawa na TSH. 190,158


Kwa Saa 1 atalipwa ($4,891) sawa na TSH. Milioni 11


Kwa Siku 1 atalipwa ($117,397) sawa na TSH. Milioni 272


Kwa Mwezi Mmoja atalipwa ($3.57M) sawa na TSH. Bilioni 9


Kwa Miaka 2 ya mkataba wake atalipwa ($85.7M) ambazo ni sawa na TSH. Bilioni 197



from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/3ltaEgw
via IFTTT

Comments

Popular posts from this blog

What Happened To Sarafina Skin? From Brown To White Skin – How Did It Happen? Explore The Real Story

MASHAIRI MATAMU YA MAPENZI