Kajala Amshukia Sound Brown "Usione Nakaa Kimya Ukazani Mimi Mjinga"
Kutoka kwa @kajalafrida ameamua kuweka wazi juu ya kukerwa na mtangazaji wa Clouds Media @soudbrown mara baada ya mtangazaji huyo kupost sehemu ya chatting alizodai kuwa za mrembo huyo akizungumzia kuhusu kutaka kurudiana na Harmonize.
from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/xHfuYji
via IFTTT
Comments
Post a Comment