Zari Hassan The Boss Lady Mama Watoto wa Diamond Platnumz Atua Bongo
Zari yuko Tanzania ambapo katika sehemu ya zoezi hilo mapema leo Mei 14 2022 ametoa taulo za kike kwa shule za msingi na sekondari kwa wanafunzi wa kike kuelekea siku hiyo inayoadhimishwa kila mwaka duniani.
Zari kama balozi wa Dowecare akishirikiana na kampuni hiyo wametoa msaada huo wa taulo za kike kwa shule za Msingi na Sekondari za wilaya ya Misungwi.
from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/E3RHygU
via IFTTT
Comments
Post a Comment