Posts

TAARIFA: Wachezaji wa Simba watakao ukosa mchezo wa Power Dynamos ligi ya Mabingwa

Image
TAARIFA: Wachezaji wa Simba watakao ukosa mchezo wa Power Dynamos ligi ya Mabingwa Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ally amesema wachezaji watatu wataukosa mchezo wa mkondo wa pili kuwania kufuzu hatua ya makundi ligi ya mabingwa dhidi ya Power Dynamo Mchezo huo utapigwa Jumapili, Oktoba 1 katika uwanja wa Azam Complex, Chamazi Ahmed amesema beki Hennock Inonga bado anaendelea kuuguza jeraha alilopata katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Dodoma Jiji Ahmed pia amewataja mlinda lango Aishi Manula ambaye bado anaendelea kuimarika wakati Aubin Kramo hayuko tayari kutumika kwenye mechi ya ushindani kwani kuwa bado hajapona sawasawa majerah "Baada ya mapumziko ya mwishoni mwa wiki timu ilirejea mazoezini jana kujiandaa na mchezo dhidi ya Power Dynamos" "Mpaka sasa ni wachezaji watatu (Inonga, Kramo, Manula) ambao tuna uhakika wataukosa mchezo lakini wachezaji wengine wote wanaendelea na maandalizi" "Tunatarajia kucheza mechi moja ya kira...

Kocha Al Merrikh Aanza Kuogopa, Adai Yanga Inaogopeka Afrika Nzima

Image
 Kocha Al Merrikh  Kocha Al Merrikh Aanza Kuogopa, Adai Yanga Inaogopeka Afrika Nzima Kocha huyo anayokumbukumbu ya kupokea kichapo cha mabao 2-0 wakiwa nyumbani katika mchezo wa kwanza wa kuwania kufuzu kucheza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Al Merrikh wanatarajiwa kurudiana na Yanga katika mchezo wa mzunguko wa pili wakiwa ugenini katika Uwanja wa Azam Comlex mchezo huo unatarajiwa kufanyika Septemba 30. Akizungumza kuelekea katika mchezo wa marudiano dhidi ya Yanga kocha huyo alisema kuwa: “Ukisema kuwa tunahofia kukutana na Yanga hapana, hilo halina ukweli kwa kuwa tayari tulishacheza nao na tulipoteza mchezo wa kwanza, ukweli ni huu kuwa Yanga kwa sasa ni tishio Afrika kulingana na walivyo. “Ni timu ambayo inacheza vyema na inapata matokeo hivyo ni lazima tuwaheshimu kulingana na ubora wao huo, tunakwenda kurudiana na timu ambayo ni ngumu lakini wakiwa na faida kubwa ya wao kucheza kwao. “Ambacho kipo kwa upande wetu ni kuendelea kujipanga k...

Mchezo wa Bahati Nasibu Umenitajirisha Maradufu

Image
Mchezo wa Bahati Nasibu Umenitajirisha Maradufu Frank ndilo jina langu mtoto wa kwanza kwenye familia yetu ya waliosoma, mimi tu ndiye niliyekataa shule mapema wenzangu wote ni wasomi tena waliofanikiwa na wenye kazi nzuri maishani mwao.Kazi yangu kubwa ni kuuza makava ya simu mtaji wenyewe nilipewa na wadogo zangu angalau na mimi nijitafute kidogokidogo huko, mchana nilifanya kazi hiyo lakini kila jioni nilitembelea kwenye mabanda ya casino hususani meridian bet kutafuta bahati yangu huko. Nimejifunza kucheza mchezo huu wa bahati nasibu kuanzia nikiwa mwenye umri wa miaka kumi na nane mara tu baada ya kuacha shule.Nimecheza mara nyingi sana na kila nilipokuwa ninajaribu niliishia kuambulia pesa za nauli tu na vichenji vidovidogo.Kabla ya msaada nilioupata kutoka kwa daktari bingwa BAKONGWA hapo nyuma sikuwahi kupata pesa ya maana ya kufanyia lolote katika shughuli zangu za kubet –ninakumbuka pesa kubwa ambayo niliwahi kushinda ilikuwa ni laki nne na nusu tu pesa ambayo haifi...

TARURA waonywa uchimbaji mashimo barabarani

Image
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amewataka watendaji wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini – TARURA, kuacha utaratibu wa kuchimba barabara na kuziacha na mashimo kwa muda mrefu bila kuyafukia. Aidha, pia ameonya kuwa atawaondoa katika nafasi zao watendaji wa TARURA pamoja na Mameneja wa TARURA wa Mikoa na Wilaya pale ambapo mashimo hayo yataachwa wazi hadi wiki mbili bila kuyafukia kwa utaratibu unaofaa. Hata hivyo, Waziri Mchengerwa amesema yapo mashimo yamechimbwa na kuachwa wazi kwa mwezi mzima, hali inayosababisha adha kwa watumiaji wa barabara na wakati mwingine kusababisha ajali. from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/OJN6y0v via IFTTT

Simba Kuwafungia Busta Wazambia, Mbrazili Asuka Mtego Mzito

Image
 KOCHA Mkuu wa Simba Mbrazili, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema wameutumia mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union uliopigwa Alhamisi iliyopita kama sehemu ya kujiandaa na mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos ya Zambia. Robertinho ameweka wazi kuwa katika mchezo uliopita dhidi ya Coastal Union aliwatumia wachezaji wenye uzoefu, ili kuzidi kutengeneza maelewano baina yao kuelekea mechi dhidi ya Power Dynamos itakayopigwa Jumapili. Simba Jumapili watashuka uwanjani na Dynamos katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika kusaka tiketi ya hatua ya makundi ya mashindano hayo, ikumbukwe mchezo wa kwanza ambao Simba walicheza ugenini nchini Zambia, Simba walipata matokeo ya sare mabao 2-2. Akizungumza na Championi Jumatatu, Robertinho alisema: “Tumeutumia mchezo dhidi ya Coastal Union kujiandaa na mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos. Tulijua Coastal watatupa mechi ngumu ambayo itazidi kutui...

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Image
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo  Website namba  moja kwa kutangaza ajira mbali mbali hapa Tanzania ya  AJIRA YAKO Inakuletea Nafasi mbali mbali zilizotangazwa leo na Makampuni Tofauti tofauti ya Binafsi pamoja na Ajira za Serikali BONYEZA HAPA KUSOMA NAFASI HIZO  AJIRA YAKO: Website Provides an Open and Easy Access to Job Applications, Great Resources for Career Advancement and Job Placement. Tembelea Kila siku kwani Kwa siku tunaweza Nafasi Mpya za kazi zaidi ya 30  kutoka Makampuni tofauti , njia za kuapply ajira hizi ni tofauti , kuna makampuni wanataka utume email na viambatanishi kama CV, vyeti na Barua ya Maombi, Makampuni mengine yanataka ujiandikishe kaka Mfumo wao (Portal) Kisha ndio ufanye maombi  BONYEZA HAPA KUSOMA NAFASI HIZO  from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/HECjZLx via IFTTT

Erik ten Hag Kocha wa Man United Alikosea Sana Kumuondoa Christian Ronald Kikosini

Image
Kiungo wa zamani wa klabu za Juventus na Barcelona, Arturo Vidal, amemkosoa kocha wa Manchester United, Erik ten Hag kwa kumuondosha Cristiano Ronaldo, ndani ya klabu hiyo. Kwenye mahojiano yaliyofanyika kwenye mtandao wa Twich, Vidal alionesha kutoelewa uamuzi wa Kocha Erik Ten Hag, kumuondosa Ronaldo, licha ya mshindi huyo wa Ballon d’Or mara tano kuonesha kiwango bora. Kwenye mahojiano hayo, Vidal alisema kuwa. "Yule kocha aliingia United vibaya. Hivi unaanzaje kumpunguza Cristiano Ronaldo? Ndivyo walivyo hawa jamaa. Ronaldo alikuwa mfungaji wake bora, na akamtoa kikosini. Hawa watu wenye vipara wanashida sana". from UDAKU SPECIAL https://ift.tt/BaGlT2h via IFTTT